MKOBA WA MAMA Episode [ 37 ] {S2 } Tradition & Love story

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 229

  • @GrandePiquiGrande
    @GrandePiquiGrande 4 години тому +4

    Tunae angalia mkoba wa mama tukiwa kitandani tujuwane apo kwenye like naitwa Grande PiQui kutoka Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿👏👏👏👏

  • @EdwardMolell
    @EdwardMolell 13 годин тому +14

    Me naona vaito angeenda mjini bag ingepatikana kama unaamin nawewe gonga like tujuane

  • @pierrejackson6865
    @pierrejackson6865 8 годин тому +1

    Shukrani sana TANU. amna youtuber anaetoa kazi kwa wakati na wingi kama wewe. Respect!

  • @Diyankurze
    @Diyankurze 12 годин тому +6

    Ntanu anavyo muangalia kasongo kwenye umoja wa kwenda kuangalia walionasa na begi😂😂😂 nilijua atamkata mtama😂😂🙌🏾🙌🏾 ila kasongooooo mbona wewooo

  • @KhalimaSaid-t5y
    @KhalimaSaid-t5y 16 годин тому +9

    Wanaofurahia kuachwa kwa mapombe nipeni like zenu❤❤❤

  • @SmartVicenzo
    @SmartVicenzo Годину тому +1

    Walo Mmiss AWA gongeni like

  • @CharifaSumaili
    @CharifaSumaili 16 годин тому +15

    🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 wakuwaza Léo gonga 👍👍👍

    • @MWAMBAS
      @MWAMBAS 16 годин тому

      napolen kwa maswahibu yauko

  • @KudraTimbako
    @KudraTimbako 16 годин тому +7

    Nimekuwa wa kwanza leo kama unaamini tanu atarudi kijijini nipe like

  • @PREMICESYAGHETHERA
    @PREMICESYAGHETHERA 16 годин тому +7

    Mimi niwa kwanza naomba liké zenu

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 11 годин тому +2

    Vaito mwaba vipi ume muelewa sura mbili nika kusemee😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @frankphiri111
    @frankphiri111 8 годин тому +2

    This is the most interesting episode in this movie

  • @ZacariasAmane-z2t
    @ZacariasAmane-z2t 16 годин тому +11

    Wakwanza mim from 🇲🇿

  • @joginderjnr
    @joginderjnr 9 годин тому +4

    Tanu + Asante sana kwa kazi nzuri tunashukuru kwa kutuburudisha Kila mara kwa kweli MKOBA WA MAMA unabamba ❤,
    Ombi langu ni;
    1. Uzidi kutuletea next episode kwa wakati kama unavyofanya hata ikiwezekana haraka zaidi
    2. Mzidi kuwa na ubunifu wenu
    3. Tofa apatikane arudi nyumbani😂😂😂
    Big ups to fellow team Kenya💪
    Vaito, Sebomana na Shedafa kwa kweli nawapenda❤😂😂😂

  • @SaudaIbrahim-xr4fw
    @SaudaIbrahim-xr4fw 3 години тому +1

    😥😥😢🥺 funga funga tuondoke mama mchawi hana huruma dada sauda unaniliza mimi leo duuh chukua mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤

  • @Kawezakaweza-d2m
    @Kawezakaweza-d2m 16 годин тому +4

    Wa kwanza mm Leo tanu nipe like zangu pls

  • @ashurahamis5066
    @ashurahamis5066 8 годин тому +2

    Jamani kale ka mwimbo ka pesa

  •  6 годин тому +2

    @KING VAITO NAKUAMINIA SAANA YAANI WAKIMWAGA MBOGA UNAMWAGA UGALI NA MA CHORUS KAMA BONUS.

  • @Kawezakaweza-d2m
    @Kawezakaweza-d2m 16 годин тому +5

    Niliisubir kwa hamu sana

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 12 годин тому +2

    😂😂😂😂ILa Vaito Mungu anakuona😂😂Mapombe sulishobokeya mujini sikuutarudi kijijini kimekuramba Vaito amekukomowa kisawa sawa utaliya uku ukitambaliya magoti naanza kukuonea uruma😢

  • @J74251
    @J74251 16 годин тому +4

    Nimekua wa kumi na nne tunaomkubali Tanu 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤

  • @sarahdonte2183
    @sarahdonte2183 14 годин тому +4

    Vaito kapenda mpododo wa sura 2😂😂

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 13 годин тому +2

    Maskini Sauda😂😂😂ila naona mimba ya Mhina imenoga kabisa,karibu utajifungua....

  • @barackaGaspal
    @barackaGaspal 16 годин тому +2

    Yani kila umoja wakwaza wakwaza mbona hatuwaelewi nyny aya na mimi wa 25 naomba like zenu ata 30 mungu atawabaliki ❤❤❤🎉

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 10 годин тому +1

    Sauda ulemavu umeuweza 🎉🎉

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 13 годин тому +1

    Safi sana team Tanu plus,na shukran pia kwa kuongeza dakika zaidi....🎉🎉🎉🎉

  • @BrysonJohn-
    @BrysonJohn- Годину тому

    Mkoba wa mama ❤❤hii nisliz bola Africa 🎉🎉🎉

  • @BrendaKhakasa-w3b
    @BrendaKhakasa-w3b 13 годин тому +1

    Kasongo,, 😂😂😂😂 watoto wakasongo mko

  • @AdamKulusu
    @AdamKulusu 14 годин тому +1

    Kazi hii kazi kweli umetisha kaka tanu

  • @Estherpendo-yk8iv
    @Estherpendo-yk8iv 16 годин тому +3

    🤣🤣🤣🤣 kasongo 🤣🤣🤣 nimezimia dada halima

  • @joycenakembetwa9095
    @joycenakembetwa9095 14 годин тому +2

    Jmn wasipo lipata begi Kina tandu bola niache tu kuangalia maana roho yangu ipo jujuuu😂😂😂

  • @SaraphinaFundi-rl2hx
    @SaraphinaFundi-rl2hx 4 години тому

    Tanu + move nzuri sana hii

  • @salvatorycharles6065
    @salvatorycharles6065 12 годин тому +1

    Sema sauda anajua sana

  • @MwajumaJuma-h4k
    @MwajumaJuma-h4k 11 годин тому +1

    😂icho kibuno kilivo kiasi vaito ujirambe

  • @dakhanvevo
    @dakhanvevo 16 годин тому +2

    Iko vizuri

  • @FatmaRashid-q7j
    @FatmaRashid-q7j 15 годин тому +1

    Nimecheka kasongo eti nimezimia da Halima😂😂😂😂😂😂

  • @adeboymusedeku9646
    @adeboymusedeku9646 16 годин тому +1

    Wa kwanza toka oicha nord kivu Drc ni ite Adeboy Musedeku like zangu

  • @AliHassanAli-ou4wh
    @AliHassanAli-ou4wh 16 годин тому +2

    Saudi nakukubali sn Allah azidi kukikuza kipaji chko

    • @DelvinChepkorir-t1d
      @DelvinChepkorir-t1d 9 годин тому

      Saudi tena😂😂

    • @AliHassanAli-ou4wh
      @AliHassanAli-ou4wh 9 годин тому

      @DelvinChepkorir-t1d umecheka ilikuwa nakuangalieni muko makini ila hyo nimefanya makusudi (Sauda)

    • @mjapanitz
      @mjapanitz 5 годин тому

      🙏🙏🙏✍️

  • @NicoleAlexandra-g5e
    @NicoleAlexandra-g5e 12 годин тому

    Mnachelewesha sana movie jaman

  • @EMMANUELMISINZO
    @EMMANUELMISINZO 14 годин тому +1

    Hahahaha! Vava waachie begi lao bhana 😂😂🎉🎉

  • @JohnChibanhila-ld6vv
    @JohnChibanhila-ld6vv 3 години тому

    Kaz nzuri sana

  • @CHAUSIKUMABULA-pg5tw
    @CHAUSIKUMABULA-pg5tw 4 години тому

    Mko vizuri hongereni

  • @officialhamiboykenya674
    @officialhamiboykenya674 13 годин тому +1

    Laki 3 Tu mwandola wajiita tajiri😂

  • @abbubakar-c7i
    @abbubakar-c7i 12 годин тому +1

    Uyu kasongo ni wale waganga matapili ndo yeye😂😂

  • @FatumaMwaravino
    @FatumaMwaravino 9 годин тому

    Kutoka niaza kuangalia ino series ino ndo nmechelewa wiki nzima❤❤

  • @ZurahMukoya-r5q
    @ZurahMukoya-r5q 9 годин тому +1

    Unaacha mgonjwa eti unasindikiza mgeni,atabakwa na afanywe msukule vile unataka.

  • @WaithiraGift
    @WaithiraGift 11 годин тому +1

    Naarabuk chizi😂😂😂😂hamaki zimempanda kweli kweli ❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @YussufMohd-s8d
    @YussufMohd-s8d 7 годин тому

    Munachelewa sana ckuiz kutowa move

  • @GiftMtale
    @GiftMtale 5 годин тому

    Machibya nakuona mbali sana kazaa kijana🎉🎉🎉🎉

  • @MwanapiliSidi
    @MwanapiliSidi 13 годин тому +1

    Vaito VaitoVaitooooo😂😂😂😂,hukuna kuwabembeleza😂😂😂😂 nimeipenda iyo❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shidashida6060
    @shidashida6060 13 годин тому +2

    Mkoba umerudi kwa mwenyewe.

  • @CharlotteMutambala
    @CharlotteMutambala 10 годин тому

    Kazi nzuri sana ila kaka ntandu mliwai beg lisifike kwa vava tunaomba sn kweli 🎉🎉

  • @bindra8622
    @bindra8622 12 годин тому

    Kazi nzuri

  • @Winleizerabdy
    @Winleizerabdy 6 годин тому +1

    Sikuisi mbona kama mnachelewa sana jamani

  • @DayanaKeneth
    @DayanaKeneth 7 годин тому +1

    Daaaah

  • @elizabethmahenzo7220
    @elizabethmahenzo7220 12 годин тому

    Nice movie ❤❤❤

  • @MOASLLY
    @MOASLLY 14 годин тому +1

    Hatimae ❤ nlikua nasubiaria kwa hamu muendelezo... 🎉🎉🎉

  • @rubyrung8808
    @rubyrung8808 14 годин тому +1

    Kw ntandu amekimbia leo😂😂😂😂😂

  • @AntoniodongoAntonio
    @AntoniodongoAntonio 11 годин тому

    Nimeipenda iyo vaito apeleke vifaa❤❤

  • @LilianAchieng-j3x
    @LilianAchieng-j3x 10 годин тому

    Nlikua nasubiri sana 🎉🎉🎉

  • @RATWIFKHALFAN
    @RATWIFKHALFAN 4 години тому

    Vaito asiuwawe jaman huyo jama ana itendea haki kbsa vazi la kiganga jaman anafanya kazi nzuli

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 13 годин тому +2

    Bag lionekane tuendelee na mengine sasa

  • @Twaha-y4k
    @Twaha-y4k 15 годин тому +2

    Shedafa mwanangu San ww ujuwee 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MonicaMkombwe
    @MonicaMkombwe 13 годин тому +1

    Awiloooo huyo naenda ngoma zake

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 8 годин тому

    naomba wakutane na tofa please tuendelee na mengine😊

  • @umaima1178
    @umaima1178 5 годин тому

    Kisamvu kimestawi mashallah

  • @JacklineMhina
    @JacklineMhina 16 годин тому +4

    No moja from tanga tz

  • @salvatorycharles6065
    @salvatorycharles6065 12 годин тому

    Mwamba yupo vizuri sana ila vipande vinachelewa kutoka

  • @AlineIradukunda-bs6mt
    @AlineIradukunda-bs6mt 14 годин тому

    Nicelew kidog😢❤❤il sio mbay nawapend sana washilik😂

  • @Salim.Muraad95
    @Salim.Muraad95 16 годин тому +2

    Swadaqta ❤❤❤ wa kwanzaa

  • @JumaMigezo
    @JumaMigezo 2 години тому

    Mkoba wa mama inazidi kuchangamka

  • @BIZOZAMoise-g5d
    @BIZOZAMoise-g5d 12 годин тому

    Masikini mapombe nakofeya lake kama bakuli la ujii😂😂😂

  • @MonicaMkombwe
    @MonicaMkombwe 13 годин тому +1

    Kumbe mandola akili unazo 😅hongera

  • @EVEFILMS-s2s
    @EVEFILMS-s2s 15 годин тому +3

    Bora muhina aamke tu apachangamshe

  • @Lena-y2s
    @Lena-y2s 15 годин тому

    Mkoba WA mama gangi la movi kabisa naipenda sana 🎉🎉🎉Yako kaka tanu.❤❤❤

  • @hutahuta1170
    @hutahuta1170 11 годин тому

    😂😂😂ilahuyo mkoba shida kazi nzr sana😂🎉🎉🎉🎉

  • @teddysananga
    @teddysananga 4 години тому

    Sibo alivodondoka😂😂😂
    Waganga wote mbiooo😅😅

  • @MpMpwate
    @MpMpwate 15 годин тому +1

    Munachelewasha San ndugu zangun mpaka nachoka❤❤❤❤❤❤ from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SalomeMaswanyia
    @SalomeMaswanyia 5 годин тому

    😔kwa kweli sijapenda bag kufika kwa vava na mama tofa😪

  • @Yesunijibuu
    @Yesunijibuu 13 годин тому

    ila kasongo unazingua 😂😂😂 sema mm na sibomana damu damu

  • @Jean_wayiva_mukuta
    @Jean_wayiva_mukuta 12 годин тому

    Kutoka Kongo 🇨🇩🇨🇩 Kasongo nimekuhimiza kufanya kazi yako na ushujaa na uaminifu.

  • @puritydavid9003
    @puritydavid9003 11 годин тому

    😀😀😀mwenye kuaguka nayo

  • @willykijanaa
    @willykijanaa 11 годин тому

    Mdogo wangu kasoongo😂😂😂mbona weeeooo😂😂😂slaash😅😅

  • @VVYAILINEOG
    @VVYAILINEOG 14 годин тому +1

    duuúh kwa vava watatoboa kwel vava 🎉🎉🎉🎉🎉 yako chukuwa

  • @dapheenndege7191
    @dapheenndege7191 12 годин тому

    😂😂😂😂Waganga wanakimbia mjini kama wendawazimu😂😂😂😂kasongo utapandisha wenzako chumvi

  • @StephanoCdaniel
    @StephanoCdaniel 15 годин тому

    Kazi nzuri kaka jitahidini kuwaisha kazi tuko na nyie pamoja MUNGU awabaliki sana

  • @MnyamisiAlly
    @MnyamisiAlly 16 годин тому +2

    Leo nimekuea wa kwanz 😮

  • @dapheenndege7191
    @dapheenndege7191 11 годин тому

    Sibomana shtua kasongo na Kofi, akili irudi😂😂😂😂

  • @ednamaumba1135
    @ednamaumba1135 14 годин тому

    Kaz nzuri 🎉

  • @vincentnyangicha1649
    @vincentnyangicha1649 16 годин тому +2

    Leo nimekuwa wa kwanza kutoka Texas.

  • @Winniepaul-l6l
    @Winniepaul-l6l 16 годин тому +1

    Kaz nzur sana me leo sijacheleew ila unachelewa sana kutoa episode zinazo fuata

  • @KILESHOJNR.001
    @KILESHOJNR.001 16 годин тому +1

    Nakubali

  • @Badablaise-vc6zu
    @Badablaise-vc6zu 14 годин тому +1

    Narabukuuuu piga mchenzi😅😅😅😅😅

  • @Lena-y2s
    @Lena-y2s 15 годин тому +1

    Couple ya wahuni inanicekesha sana,na mama lulu kanasa

  • @IrakozeSandrine-y5m
    @IrakozeSandrine-y5m 10 годин тому

    😂😂😂 ivi uyu kasongo anakuwaga nahakili kweli

  • @angelraphael4500
    @angelraphael4500 8 годин тому

    Nakuomba Tofaa asilipereke hilo bag jamn please sitalingalia tena hii movie

  • @falcom.4149
    @falcom.4149 10 годин тому

    Mnairefusha movie bhnaa

  • @EuniceMukiri-s9c
    @EuniceMukiri-s9c 12 годин тому

    Atakama nimechelewa bado Niko kwa watoto wa vaitoo ❤😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 9 годин тому

    Ilipoishia sasa😢 bag limejulikana na mama tofa🤭 sijui tofa ndio atapatikana wala vp...tuna uchu jaman

  • @Maryam-ye2xg
    @Maryam-ye2xg 15 годин тому

    Hivi nyie mnauhakika kasongo ni mganga😂😂😂 hii gusa unate watanasa wengi sana 😂

  • @jajaQueeny
    @jajaQueeny 15 годин тому +1

    Congrats 🎉🎉tn