Wanafunzi wengi wajipata njiapanda baada ya kusafiri kuelekea shuleni
Вставка
- Опубліковано 28 кві 2024
- Wanafunzi wengi na wazazi wao wamejipata kwenye njiapanda baada ya kusafiri kwa ufunguzi wa shule bila kufahamu kuwa wizara a elimu imeahirisha ufunguzi wa shule kwa wiki mmoja. waziri wa elimu ezekiel machogu alitoa taarifa hiyo usiku wa manane na hivyo wazazi, wanafunzi na walimu hawakuwa na ufahamu walipoelekea maeneo mbalimbali kwa ufunguzi wa shule. Wanahabari wetu wanaangazia kizungumkuti hicho katika steni za magari ya uchukuzi wa umma na hata shuleni
It is sign of incompetent they should have proper of disseminating information in the right time
Wana ujinga sana kwanini hakusema Jana Bure kabisa
Yani viongozi bure zaidi ya sana, just common sense surely, sai the country is not stable, poleni wakenya, we are in trouble na sasa ni Mungu tu atatusaidia
Hii ni elnino for real lkni government is still trying to force issues juu walimisuse the budgeted amount for this disaster...With flash floods, outbreak of diseases will be unavoidable
Late response from the Cs and the government..
This is so sad, met students in town stranded.This is pathetic,the government had a whole week
Heli waturundizie matiangi yeye ndiye alikuwa anjua kupanga mashule.
How hard was to communicate this yesterday or Saturday, surely govt
Aki I also hope Machogu won't change his mind about Junior high. Imagine umerelax hivi then tusikie grade 9 wanaingia high school 😢😮
😂😂😂aki
Hii ni Kenya, tukae rada
So sorry for dear parents. I am praying God to have mercy and provide for the children
sad, next time you vote remember this a non-functional govnt. Mpesa number nitumie huyo mama kakitu
Mtu wetu, government...
Serikali yetu iko na upungufu mkubwa😂😂😂😂😂
Walitangazia watu wa bar😂
Wazazi tuwache kulalamika,si Kenya yetu tunataka Amani,ama ni aje wangwana,si tume elewana na hii serikali tusonge mbele,😅
Kweli hapo walifanya makosa
Ni maombi sio uchawi... hmm.
Waliimba ni maobi si ushawi,,,, the red line really works
That minister need to sacked you are ok fit for work the goverment you need to think of those parents
Kwani siku hizi kazi ya serikali hufanywa usiku?
Thieves and drunkard they are.
Sio wewe pekee mama nimedepost school na kufanya shopping amefika. Shule.amerudi tena nyumbani Ezekiel plz tuambie mapema tunaumia
Ma Pheba sasa
The life of your children is at your hand not school.kwani masomo na maisha ya mtoto gani muhimu.aendetushule hata kama barabara imejaa.wamama wa vituko ehhhh mtoto yangu.wacha watoto watulie
You're not a parent.
You speak like foolish one....
Mbona huelewi pia? Unakaa kaa mochogu,ukitoa news 12am midnight utakuwa na akili kweli?