Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu na wasaidizi wake wote ewe mwenyezi MUNGU mkuu
Ni mwaka mmoja sasa tangu NDUGU YETU MPENDWA WETU MZALENDO WETU MCHAPA KAZI NA ALIYEMTANGULIZA MUNGU KWA KILA JAMBO kututoka tulikupenda sana ila mungu alikupenda zaidi. Tunakukumbuka kwa uzalendo wako.pumzika kwa AMANI JPM. FILDAUSI IWE MAKAZI YAKO. Aaaamin
JPM ana maono makubwa sana katika nchi yetu lakini viongozi wetu wanaomsaidia wanamuangusha. Wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani nk. JPM hawezi akafanya kila kitu yeye ndio maana amewachagua mumsaidie. Kila anapokagua miradi lazima kuwe na shida mfano rushwa nk.
Mungu akusimamie Mh. Rais kwa yote ktk uwongozi wako.kutujuwa ssx. Wanyonge. Tulipata Shida sana kwa wale waliopata madaraka. Wanawanyanyasa sana. Endelea kuchunguza utaona mengi yamejificha.
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU nazidi kukuomba enderea kumuongoza kumsimamia kumrinda na kuzidi kuimalisha afya yake raisi wangu na wasaidizi wake wote ewe mwenyezi MUNGU mkuu
Hongera sana rais na mung hakubariki sna na mbunge abuud hongereni
Asante sana mwenyezi MUNGU mkuu
hapa kazi tuu
Hongera mheshimiwa rais
Magu hoyee
Vitu va msingi sana saluti kwenu
Ni mwaka mmoja sasa tangu NDUGU YETU MPENDWA WETU MZALENDO WETU MCHAPA KAZI NA ALIYEMTANGULIZA MUNGU KWA KILA JAMBO kututoka tulikupenda sana ila mungu alikupenda zaidi. Tunakukumbuka kwa uzalendo wako.pumzika kwa AMANI JPM. FILDAUSI IWE MAKAZI YAKO. Aaaamin
Hatutakusahau daima baba jpm
Inasikitisha sana kwa kweli, magufuli amefungua soko la morogoro akaenda dar nakufa? Mbona alikuwa mzima wa afya jamani hivi kitu gani kimemkumba?
Tutakukumbuka mh rais maguvur watanzania tuyaishi yarais
Kamanda mroto nae amefata nn huko😏🤔
Kwann watu wanstumia lakini kila baada ya neno moja
Ulikua mamba kwer 😭😭😭😭😭
JPM ana maono makubwa sana katika nchi yetu lakini viongozi wetu wanaomsaidia wanamuangusha. Wakuu wa mikoa, wilaya, madiwani nk.
JPM hawezi akafanya kila kitu yeye ndio maana amewachagua mumsaidie. Kila anapokagua miradi lazima kuwe na shida mfano rushwa nk.
yaani acha tuu mpaka inamkera baba wa watu dah!
Yan unamuona anaongea kwa hisia kabisa akiwa amekasilishwa mambo ya hovyo jamani mungu amuongoze
Rest in paradise
Kbx
AIKA NA WENZIO UGALI UTAENDA KAMA UTANI 😆😆😆
Mungu akusimamie Mh. Rais kwa yote ktk uwongozi wako.kutujuwa ssx. Wanyonge. Tulipata Shida sana kwa wale waliopata madaraka. Wanawanyanyasa sana. Endelea kuchunguza utaona mengi yamejificha.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣