Nitaendelea kumshukuru Mungu kwa ajili yenu wapendwa wangu kwa kuwa sehemu ya wimbo huu na kuufanya uende mbali zaidi Mungu ninayemtumikia awabariki sana.
Mungu awabariki sana wapendwa wangu kwa sadaka yenu ya kutazama wimbo huu. Niendelee kuwaomba kutazama na kutazama pia tuwaambie rafiki na ndugu zetu watazame na wa subscribe. Yesu awatunze
Halleluiyah..Iam so proud of you Son Dilunga..Namtukuza Mungu sana pia ninapokusikiliza ukimsifu na kumuabudu Mungu wetu.Mungu akuinuinue zaidi na zaidi.
Ooh amen amen asante sana dada Neema Mungu akubariki sana na wimbo huu uendelee kukuhudumia kila unapoutazama kwa jina la Yesu. Nikuombe u subscribe ili uweze ku share na rafiki zako. Barikiwa sana.
Amen Dada Pendo Mungu aendelee kukuhudumia kupitia huu wimbo. Lakini pia unaruhusiwa kushare na ndugu na rafiki zako kama sadaka yako kwa Mungu. Na pia uwaambie wasubcribe kama utakavyofanya wewe ikiwa pia ni sadaka yao kwa Mungu. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
I really like the song.its full of anointing, both the lead ,vocalists,instrumental, younare GOOD.above all,your dress code brings glory.more grace
Kazi yako ni njema kaka barikiwa sana Mungu aendelee kukupaka mafuta mabichi kwa viwango vya juu zaid
Nitaendelea kumshukuru Mungu kwa ajili yenu wapendwa wangu kwa kuwa sehemu ya wimbo huu na kuufanya uende mbali zaidi Mungu ninayemtumikia awabariki sana.
Hallelujah glory to God be blessed my brother
So powerful I'm blessed
Thanks too much to all singers for the good song plenty of meanings, may God our Lord who inspired you bless you amen. From DRC
Hakika Jehovah jina lako limetukuka haleluyah
Kali sana
Powerful worship. More Grace to this ministry in the name of Jesus
Mungu awabariki sana wapendwa wangu kwa sadaka yenu ya kutazama wimbo huu. Niendelee kuwaomba kutazama na kutazama pia tuwaambie rafiki na ndugu zetu watazame na wa subscribe. Yesu awatunze
Mafinga huji tena tumekukumbuka sana Dilungaa from Hofan Mafinga kwa Pastor Ambakisye....
Amen🙏🙏 God bless the all Team,, I really Love that Guy (Hallo Mbinguni)🇰🇪
naomba jina la aliyeimba wimboo huu
Huu wimbo nlikuwa naùsikiliza ktkà madhabau ya mana ministry asant kwa kutuletea official
Umewahi kusikiliza audio yake...iko njema zaidii (kwa mtazamo wangu lakini..)
Ameni, Brother kazi zuri hakika Yesu ametukuka sana
Halleluiyah..Iam so proud of you Son Dilunga..Namtukuza Mungu sana pia ninapokusikiliza ukimsifu na kumuabudu Mungu wetu.Mungu akuinuinue zaidi na zaidi.
Amen mama yangu mama Kyoma sifa na utukufu tumrudishie Mungu napokea pongezi hizi kwa unyenyekevu mkubwa.
Nawashukuru sana wapendwa wangu sifa apewe Yesu tuendelee kuomba ili mavuno yawe mengi.
Hujawahi niangusha. Barikiwa Sana mtumishi. Songa mbele songa Songa.
Amen, am really blessed with this song
umetisha bro
Amen Amen Amen Glory to the Lord
Nabarikiwa mno na huu wimbo Mungu awabariki sana jaman
Ooh amen amen asante sana dada Neema Mungu akubariki sana na wimbo huu uendelee kukuhudumia kila unapoutazama kwa jina la Yesu.
Nikuombe u subscribe ili uweze ku share na rafiki zako. Barikiwa sana.
Kaka kazi nzr sana arrangement iko poa naendelea kujifunza sana kwako
Be blessed mdg wangu, Mungu akuinue zaidi na zaidi.
Powerful Worship Brother
Mbarikiwe, wimbo mzuri sana, una upako❤❤❤
Mavazi safi🎉
nice bro dilungaa Unajua Unajua Unajua tenaaaa
halleluya limetukuka jina lako Yesu
Amen Amen Osca ni hakika
Hii saxophone 🎷 it's everything....thank you for this powerful song
Bless you kaka
Ahsante sana MUNGU azidi kukubariki kwa kuifanya kazi yake
Sifa utukufu kwa Yesu. 👏👏👏
Amen 🙌🙌🙌🙏🙏 be blessed 🎉🎉🎉🎉
Mtumishi Baraka za Bwana zisikuache.
My favorite song be blessed man of God 🙏
Wimbo mzurii
🔥🔥🔥🔥🔥
More grace papa
Wimbo unanibariki sana
Amen Dada Pendo Mungu aendelee kukuhudumia kupitia huu wimbo. Lakini pia unaruhusiwa kushare na ndugu na rafiki zako kama sadaka yako kwa Mungu. Na pia uwaambie wasubcribe kama utakavyofanya wewe ikiwa pia ni sadaka yao kwa Mungu. Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Jina la Yesu Limetukuka 🙏
I waited for this 🙌🏽
Mungu akutunze kaka yangu nyimbo hii imenikumbusha mbali sana
Amen Mungu akubariki sana
Amen asante sana utukufu apewe Yesu
Ongera sana mtumishi wa Mungu Adamu Dilunga
Asante sana mtumishi
Powerful song glory to God be blessed Dilunga
🙏🏽
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉God bless you my brother
Amen Amen
Niseme nini zaidi ya kumtukuza MUNGU kwa ajili yako fire 🔥 🔥🔥
Utukufu na heshima ni kwa Yesu aliye juu
Blessed
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Naupenda mno huu wimbo jamani🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾Mungu awabariki mnooo
God bless you 🎉
Hongera bro ubarikiwe!
Thanks Yohana
honor to our God Almighty forever
Amen
Hongera sana Mtumishi ✋
Amen asante sana ndugu yangu
Amen 🙏 🙏
Nice teacher,, Be blessed😊 🙏
Glory glory glory…
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Barikiwa Edric ndugu yangu
Hakika Jina la YESU limetukuka .
Powerful worship.Be blessed!
Amen dada Veronica Mungu akubariki sana
🙌🙌🙌
🙏🙏🙏
❤️❤️❤️❤️
❤
Amen
Amen amen
❤
Amen Amen
❤