Haya sasa picha linaanza kaibuka tena baada ya slaa kuondolewa huyu jamaa ni dhulma tapeli mkubwa watu wengi wamekuwa maskini na siku zote alikuwa wapi na zilikuwa kliniki za ardhi alikuwa wapi mama amefanya makosa makubwa kumuondoa slaa na bado mengi sana yatatokea na kurudia tena dhulma inarudi upya
Mama samia wasaidizi wako wanaokusaidia kuteuwa viongozi ni wezi na ndio hao ndugu zao wanawatumia kudhurumu watu sasa walivyopendekeza j siraha umtoe ardhi umetukosea sna
Ila huyu Papa Msofe anatofauti na Mzee Mushi,tapeli mkubwa muda wote alikuwa wapi?,klinik ilifanyika Tanzania nzima yeye alikuwa wapi.Kaona Jerry kaondoka matapeli wameanza kurudi
@JohnCage-we6tp mlivyowapumbavu mnahisi Tatizo la Aridhi linaweza malizwa na mtu 1 kama sio Serikali ndio iamua kuweka mchakato bora wa kutunza Aridhi na sio njanja njaa tena kutumia Serikali za mitaa,hata huyo Slaa alishawambia kuwa Serikali hawahusiki na Aridhi na Sheria ya Aridhi haiwatambui Halafu Upinzani ulishashauri kuhusu MAMBO YA ARIDHI BASI TU CCM HUWA INABANA MAMBO MAZURI KUTOKA UPINZANI YASITANGAZWE.TUFUTENI INTERVIEW YA JOHN HECHE MTAELEWA SERIKALI ILISHAULIWA NINI KUHUSU ARIDHI
Papaaa musofe na Alex massawe, most wanted, wananikumbusha harakati za kina billlionea erasto msuya,,,bob sambeke,,,augustine mrema,,,na kina mawalla,,, watu wa kaskazini noma na nusu
eneo lolote lenye utata jua kuna wajanja washaingia hapo😊;wamepiga na washasepa;kama ni kweli umeuziwa na kiwanja ni chako na hati ya kuuziwa unayo ndani hata ukae miaka 100,,pale ni pako tu..na kama sio kwake ni kwa nani; kumbe mchongo upo ardhi afu mnaongea nn;afu na ao wenyeviti na wajumbe jau sana ao kama una ela yako nenda mahakamani
Wakazi washapigwaaaaaa hapooooo mtu ananunua kiwanja anatafuta hati anakaaaa ata miaka 20 alafu anayatimba kama uliuziwa imekula kwako wengine wananunua maeneo makubwa kwajiliiii ya kuuza baadae thamani ya ardhi ikipanda unakuta anamiliki kihalali hati miliki ya wizara ya ardhi
Ivi sisi kama wananchi tunapaswa kufanya nyinyi pale viongozi wanashindwa kusimamia mambo yetu huku tukiwa tunahumia kisheria wataalam watusaidie ni hatua gani za ziada tunazopaswa kufanya maana hizi zimamoto mara silaa mara mjomba lakin jawabu la kudumu hatuna tufanye nini wataalam
Mi Nazani Serikali Ikitaka Kutenda Haki Mtu Akivamia Na Ikishibitisha Sio Lake Tapeli Basi Auliwe Kupunguza Kizazi Cha Ovo Tanzania Mana Izi Lawama Zimekua Kubwa Kwakua Watu Wanazani Pesa Iko Juu Ya Shelia Awajui Kama Walio Juu Ya Shelia Ni Mafisadi2 Ambao Wao Wako Kwenye Shelia Kama Picha2
Serikali za Mitaa na Aridhi wapi na wapiiiiiii ...Mjumbe sijui Balozi wa nini Aridhi zoooote zipo kwenye system sasa Nyie Serikali za Mitaa mnataka kuendelea kulaghai Wapiga kura kuwa mna mamlaka na Aridhi!
Hawa jamaa wa upimaji ,Huwa wanaweka point zao usiku .baada ya miaka kadhaa alafu utokea na document .watu mnashangaa ,huyo angeibuka 2034 wote tungesgaa vipimo vinasoma vzur
Kiukwer tunamuihitaji slaa wetu jamani mama samia sluu kiukwer tunakuomba umrudishe slaa mama tunakuomba...ili awanyooshe tena awa madhilifu wa ardhi ...kiukwel mama tunakupmba
Watanzia tujifunze kuhoji watu wanaokuja mitaani kwetu hata kama wapo na gari za serikali mtu anaweza kuja mtaani na kupima kupima na sisi Yuko kimiya tukiamini ni Mambo ya serikali kumbe eneo lenu ndio linapimwa hivo
Huyo anataka kuanzisha vurugu tu. Kama alikuwa kweli anamiliki eneo hilo, alikuwa wapi miaka yote hiyo watu wanajenga na alikaa kimya. Hata kama kweli ni lake, Serikali imtafutie eneo lingine. Maana amefanya makusudi kukaa kimya ili awatie hasara wananchi na kuwafanya wananchi waichukie serikali.
Ni huyu huyu Papaa Msofe kipindi cha JK alikua na kesi ya mauaji ya ndugu mmoja anaitwa Onesmo Kitundu ambaye alikua na ugomvi naye wa kutaka kumdhulumu nyumba maeneo ya Mikocheni huyo Onesmo alichukua pesa ya mkopo wa riba umiza kwa huyo Papaa Msofe matokeo yake siku 1 kabla ya kesi Onesmo akakutwa ameuawa kwa kunyongwa
Utashangaa,huku Bunju A Mkoani watu wasiojulikana ni wapi wanatokea wameweza kuvamia maeneo ya watu ovyo ovyo tu,utashangaa eneo la mtu lenyebfance wamebomos tofali kuzitumia kujengea vipanda hivyo,kulikovamiwa kuna jambo sio zuri linaendelea ofisi za serikali za mitaa hawachukui hatua yoyote.
Mama kwanin umemtoa slaa??? Tunakuomba mama mrudishe slaa ..aludie uwazir wa ardhi...ingekuwa kumchagua tungemchangua ila hatuna jinsi...ila slaa tunakuhitaji kwel kwenye mambo ya ardhi mama
Papa msofe ni tapeli anajulikana vituo vingi vya polisi anajulikana anashikiana na watu ardhi. Ametapeli watu wengi kwenye madini. Alikuwa jela wakati wa Magufuri ametolewa wakati wa Samia.
Mwenyekiti wetu wa mtaa wa salasala uko vizuri sana tunakupenda kwa kazi zako kuacha hii ya musofe uko vizuli.
Haya sasa picha linaanza kaibuka tena baada ya slaa kuondolewa huyu jamaa ni dhulma tapeli mkubwa watu wengi wamekuwa maskini na siku zote alikuwa wapi na zilikuwa kliniki za ardhi alikuwa wapi mama amefanya makosa makubwa kumuondoa slaa na bado mengi sana yatatokea na kurudia tena dhulma inarudi upya
Kweli kabisaa mama anasapoty wa waendelee kuzulumiwa
Kumuondoa slaa ardhi imevunja moyo watu wengi
Mungu Baba mrejeshe tena waziri Slaa kwenye nafasi yake.Kwa jjna la YESU. Amen
Mama kwann ulimtoa slaa jaman mbona mambo yanaanza tena?
Hata Mh NDEJEMBI anaweza
Mtani wangu Elias Shunashu uko vizuri sana, huyo Msofe mhuni na ni tapeli wa viwanja, mpambane naye.
Kiongozi unanyoosha maelezo vizuri sana MUNGU AKUBARIKI kwa kuwatetea wananchi wako🙏❣️
💯💯💯💯✅✅✅
Huyo mzee lini ataacha utapeli atakuja kufa mdomo wazi kila siku papa msofe
Yan kiukwel haya mambo enz z magufuli walitulia Hawa watu matapel lkn sasaiv wameanza Tena kutapel maeneo
Mama samia wasaidizi wako wanaokusaidia kuteuwa viongozi ni wezi na ndio hao ndugu zao wanawatumia kudhurumu watu sasa walivyopendekeza j siraha umtoe ardhi umetukosea sna
R.I.P MY BEST PRESIDENT MAGUFULI ANGEKUWEPO WOTE MNATIWA NDANI 😭😭
Huu ndo muda wa matajiri kuchukua ufalme wa RIP Magu tutakukbuka sana
ALUDISHWE SLAA ALAKA SANA UTAPELI UMEANZA
Aje mtaani kwangu tumgawane vipande vipande kwa faida ya wengine
Ila huyu Papa Msofe anatofauti na Mzee Mushi,tapeli mkubwa muda wote alikuwa wapi?,klinik ilifanyika Tanzania nzima yeye alikuwa wapi.Kaona Jerry kaondoka matapeli wameanza kurudi
Mama kawapiga watanzania na kitu Kizito kumtoa slaa 😂😂😂
Haipingiw hio usishangae kua aliambiwa mama afanye hivo maaan maybe alion silaa atafichua maovu ya watu wakubwa
Sana mno sana snaa
Daaah kweli Slaa alikuwa Yuko vR
@JohnCage-we6tp mlivyowapumbavu mnahisi Tatizo la Aridhi linaweza malizwa na mtu 1 kama sio Serikali ndio iamua kuweka mchakato bora wa kutunza Aridhi na sio njanja njaa tena kutumia Serikali za mitaa,hata huyo Slaa alishawambia kuwa Serikali hawahusiki na Aridhi na Sheria ya Aridhi haiwatambui
Halafu Upinzani ulishashauri kuhusu MAMBO YA ARIDHI BASI TU CCM HUWA INABANA MAMBO MAZURI KUTOKA UPINZANI YASITANGAZWE.TUFUTENI INTERVIEW YA JOHN HECHE MTAELEWA SERIKALI ILISHAULIWA NINI KUHUSU ARIDHI
Oooohoooo, Janjaweed
😂😂😂😂😂😂😂😂 umenikumbusha
Silaa, silaa huko wapi?Nini kilijiri
Msofe na mambo ya nyumba anapenda kweli
.
Jamaa tapeli toka kitambo sana wachina wamelia sana kipindi kile anawika papa msofe
Unyonge kwa sisi wananchi umerejea 😢😢
Papaaa musofe na Alex massawe, most wanted, wananikumbusha harakati za kina billlionea erasto msuya,,,bob sambeke,,,augustine mrema,,,na kina mawalla,,, watu wa kaskazini noma na nusu
Hivi Huyu papa msofe Sio Alikuwa na Kesi Moja Yeye na Alex Masawe Aliyekimbia Nchi kwa Tuhuma Za Kuua Mfanya Biashara Mwenzao?
Ushahidi unao...
Good job for spreading the news.
Tapeli huyo nani asiyemjua
Nendeni mkasachi hiyo hati ardhi wilayani na wizarani
Maisha yameshampiga anaendakusumbua wananchi Jerry silaa hatupo ardhi ndiyo maana ameenda kuvamia nyie mama kwa nini ulimtoa Jerry
HATARI
Daah huyu bingwa Magufuli alimpoteza kabisaa anapimaji, maji
Anakuja baada slaa kutolewa
Huyu msofe amezurumu sana watu nyumba viwanja
Tapeli karudi tena mzee magu alimficha segerea
Papa msofe siyo mkongo bali ni mpare wa same kilimanjaro
Pia alishakua na kesi ya mauaji ya kudhulumiana hiv hivi na bwana Onesmo Kitundu kipindi cha JK
Shidaaa yaaaa mama samiaaa viongoziii wachapaaa kaziii anawabadirishaaa reoo zurumaaa yawaziii inahazaaa iviiiii aropokuaaa sirahaaa arikuaaa wapiii naiyooo miakaaa sabaaa arikuaaa wapiiii apaaa tanzaniaaa auu urayaaaa
Nilijua tu baada ya Slaa mambo haya yataibuka
eneo lolote lenye utata jua kuna wajanja washaingia hapo😊;wamepiga na washasepa;kama ni kweli umeuziwa na kiwanja ni chako na hati ya kuuziwa unayo ndani hata ukae miaka 100,,pale ni pako tu..na kama sio kwake ni kwa nani; kumbe mchongo upo ardhi afu mnaongea nn;afu na ao wenyeviti na wajumbe jau sana ao kama una ela yako nenda mahakamani
Iki upate title deed lazma document za serikali ya mtaa na kata lazma zikamilike
Hongera Mwenyekiti
Kipindi cha magu arikimbia uyo taperi kabisa uyo mama awe makini uyo taperi uyo
Alikuwaga jela kwa muda flani akaja kutolewa
Alikuwa wapi muda wote huo mpk watu wameshajenga
Mwizi huyuuuu😢😢😢😢
Serekali ya mtaa ilikatazwa kuuza Viwanja unachoonda Serekali ya mtaa ni kuhakikisha hiyo sehemu ni ya huyo muhusika.
WANANCHI WAKAZI WA ENENEO HILO LA SALASALA MUWE NGANGARI KWELI KWELI....IKIWEZEKANA MPIGENI MAPANGA MUMUUWE.
Slaa Slaa tutakukumbuka kaka kwenye Wizara hii.
Papaa musofe ☝️
Wakazi washapigwaaaaaa hapooooo mtu ananunua kiwanja anatafuta hati anakaaaa ata miaka 20 alafu anayatimba kama uliuziwa imekula kwako wengine wananunua maeneo makubwa kwajiliiii ya kuuza baadae thamani ya ardhi ikipanda unakuta anamiliki kihalali hati miliki ya wizara ya ardhi
Haya mambo ni magumu sana, Dar es salaam uvamizi ni mkubwa sanaaaaaaa. Watu tunahitaji umakini katika ununuzi wa maeneo.
Sheria ya ardhi mpya kiwanja cha makazi mwisho sqm 2000
Huyu mzee ni tapeli Sana anadhurumu wanyonge wakati akifa anazikwa padogo 2
Tunamtaka Slaa arudi mzigoni.Pili Mh.Mbunge Gwajima hataruhusu yatokee jimboni kwake
Mama tunakuomba umrudishe Silaha watu washaanza dhulma tena
Tena huyo yeye anatakaga tuu hati...sasa hao hati wanazo
Kaka angu sonasho nakukubali sana
Pole
Jamaanii hii nchi ngumu sana hii kwasasa
Mama si umrudishe silaa hii wizara jamani?? Hapa watu wataonewa sana na hii mi Papa.
Nilijua tu mama anaongonzwa na kwa midomo ya watu
Mtoe huyo anamtoa muweke huyo anaweka
SLAA ALIKUWA AWZIRI ASIYE OGOPA KITU
Kwa hiyo alivomteua SLAA aliambiwa na NANI ???
Kashafanya sanaa na watu wa Ardhi..
JE WIZARA YA ARDHI NI FUPA LILO MSHINDA FISI? NGOMA INOGILE”.
Hili lijamaa linapenda sana kudhurumu ardhi,ndio madili yake,ukizubaa anakupora unajiona
Uvamuzi wa maeneo siyo mzuri kabisa.
Turudishieni SLAA JAMANI DAAA😢😢
Huyo papa msofe siyo mkongo bali ni mpare wa same kilimanjaro
Ivi sisi kama wananchi tunapaswa kufanya nyinyi pale viongozi wanashindwa kusimamia mambo yetu huku tukiwa tunahumia kisheria wataalam watusaidie ni hatua gani za ziada tunazopaswa kufanya maana hizi zimamoto mara silaa mara mjomba lakin jawabu la kudumu hatuna tufanye nini wataalam
Mi Nazani Serikali Ikitaka Kutenda Haki Mtu Akivamia Na Ikishibitisha Sio Lake Tapeli Basi Auliwe Kupunguza Kizazi Cha Ovo Tanzania Mana Izi Lawama Zimekua Kubwa Kwakua Watu Wanazani Pesa Iko Juu Ya Shelia Awajui Kama Walio Juu Ya Shelia Ni Mafisadi2 Ambao Wao Wako Kwenye Shelia Kama Picha2
Shida kutopimwa ardhi ya nchi nzima,na kumilikishwa wakaazi ,
Tuna fuatilia kesi hii .
Huyo jamaa ni tapeli na akipatikana na makosa ya utapeli lazima afungwe.
Kipindi Jerry Silaa akiwa waziri yeye alikuwa wapi tapeli mkubwaa uyoo
Huyo huyo heeeee hatari
Du baada ya kitambo sana kula bata pesa kuisha hatimae amerud kumalizia kilicho baki hakiba haioz
Kwanza history ya papa msofe inasomekaje
Kwani baba alikuwa anawezaje jamaniii😢???Na hawa viongozi muwe mnawaficha sura zao kwa usalama wao jamanii
Serikali za Mitaa na Aridhi wapi na wapiiiiiii ...Mjumbe sijui Balozi wa nini
Aridhi zoooote zipo kwenye system sasa Nyie Serikali za Mitaa mnataka kuendelea kulaghai Wapiga kura kuwa mna mamlaka na Aridhi!
Hawa jamaa wa upimaji ,Huwa wanaweka point zao usiku .baada ya miaka kadhaa alafu utokea na document .watu mnashangaa ,huyo angeibuka 2034 wote tungesgaa vipimo vinasoma vzur
Iv mlishawahi kujiuliza Kwa nn mtu akifanya kazi kwenye sekta yake vizur serikalini ghafla anaondolewa
Mama Samia mrudishe Jelly Slaa wetu Matapel walikuwa wamekimbia sasa wamerud
😅😅😅nilikua nashangaa Kweli hela walizokua wanatumia stagen Kumbe sio halali bn
Alikuwa wapi mda wote.??
Wizara ya aridhi ndio wanatengeneza migogo hii mama samia upo wp
Mwiziiiii mkubwaaa😂😂😂
Huyyu ni shuda mno alikuwa ndani muda ule wa magu mwenzake alikimbia nchi alex massawe mijiz mikubwa
Matapeli wanarudi kama Slaa tunaomba arudi Ardhi.
Yeye alikuwa wapi wakati wote huo hadi watu wanajenga na wanaishi kwa muda wote huo? Huyo alikuwa hana matumizi na hilo eneo
Msofe ni mshenzi tapeli tu huyo.
Bang sio nzur
Mjumbe wa mtaani kwetu😂😂
Kiukwer tunamuihitaji slaa wetu jamani mama samia sluu kiukwer tunakuomba umrudishe slaa mama tunakuomba...ili awanyooshe tena awa madhilifu wa ardhi ...kiukwel mama tunakupmba
Huyu alikuwa yuko jela,kwa hiyo ni kweli yake kutokufika miaka 7.
Maeneo ya kinondo ndo uvamizi unafanyika.
Watanzia tujifunze kuhoji watu wanaokuja mitaani kwetu hata kama wapo na gari za serikali mtu anaweza kuja mtaani na kupima kupima na sisi Yuko kimiya tukiamini ni Mambo ya serikali kumbe eneo lenu ndio linapimwa hivo
Huyo anataka kuanzisha vurugu tu. Kama alikuwa kweli anamiliki eneo hilo, alikuwa wapi miaka yote hiyo watu wanajenga na alikaa kimya.
Hata kama kweli ni lake, Serikali imtafutie eneo lingine. Maana amefanya makusudi kukaa kimya ili awatie hasara wananchi na kuwafanya wananchi waichukie serikali.
Papaa msofe ni tapeli mkubwa
Zote Hati za wizi ,Msofe Kibaka mzoefu,Jerry Jerry
Iyo mnatakiwa muende ardhi inaweza ikawa siyo sahiii
Huyo mheshimiwa papa bado anaililia jela kwa nguvu😂
Ni huyu huyu Papaa Msofe kipindi cha JK alikua na kesi ya mauaji ya ndugu mmoja anaitwa Onesmo Kitundu ambaye alikua na ugomvi naye wa kutaka kumdhulumu nyumba maeneo ya Mikocheni huyo Onesmo alichukua pesa ya mkopo wa riba umiza kwa huyo Papaa Msofe matokeo yake siku 1 kabla ya kesi Onesmo akakutwa ameuawa kwa kunyongwa
Naona ume edit kipande muhimu, alitaka kusema tunavyomjua papa msofe ni ................., sns mbona ume edit hapo?
tuta iyacha
Mwenyekiti usicheze na mapapa musofe
Inawezekana ikawa ni eneo lake uhalali ndio utathibitisha na hizo nyumba hazionekani zina miaka alosema huyo Mtu wa kwanza kwa macho tu
Utashangaa,huku Bunju A Mkoani watu wasiojulikana ni wapi wanatokea wameweza kuvamia maeneo ya watu ovyo ovyo tu,utashangaa eneo la mtu lenyebfance wamebomos tofali kuzitumia kujengea vipanda hivyo,kulikovamiwa kuna jambo sio zuri linaendelea ofisi za serikali za mitaa hawachukui hatua yoyote.
Kwani ajaacha😂😂😂😂
Kabisa huyu tapeli msofe kila mtu anajua. Rc chalamila hatomuacha
Mama kwanin umemtoa slaa??? Tunakuomba mama mrudishe slaa ..aludie uwazir wa ardhi...ingekuwa kumchagua tungemchangua ila hatuna jinsi...ila slaa tunakuhitaji kwel kwenye mambo ya ardhi mama
Papa msofe ni tapeli anajulikana vituo vingi vya polisi anajulikana anashikiana na watu ardhi. Ametapeli watu wengi kwenye madini. Alikuwa jela wakati wa Magufuri ametolewa wakati wa Samia.
Papa Msofe mbona tapeli mkubwa anajulikana
Huyu tapeli bado tu anaendelea na utapeli?
Kuna Papa Msoffe fulani mwaka 2012 alikuwa mahabusu Keko kwa tuhuma za mauaji ya mdeni wake. Jiridhishe na identity ya huyu.
Unaweza kuona hati kumbe ni hati bandia pelekeni hiyo hati wizarani muone kama mtakuta nyingine na michoro ya mipango miji. Hiyo ni hati ya kughushi
Na ukute kapewa hukohuko pia
MTU ana Hati maana yake,hao wengine hawakufuata utaratibu,,,,,
Sawa, hao watu hawakufuata taratibu. Kwa nini kwa miaka yote hiyo, wakiwa wanajenga, hakuenda kulalamika popote?