Huna haja ya kusema ndugu zetu wapemba hakuna ndugu zako kule, sema tu wapemba. Maongezi yako ya ovyo yanaashiria ubaguzi na chuki zilizokujaa dhidi ya wapemba. Lkn kumbuka duniani tunapita tu hii. Cheo kisikupe kibri.
"Mwacheni muheshmiwa azungumze" Nauliza swali Mwakilishi na mwenyekiti lao ni Moja? Ivi kweli Pemba itapata maendeleo Kwa mfumo huu? Alhamdulillah Yaa Allah tujaalie waja wako dhalili sisi wapemba, tunyime Raha na starehe za duniani, tujaalie maisha mazuri huko akhera. Ammyna
Huyu hasa sijui yupoje! Hapo ukiangalia ndio sawa unaipa mdomo serikali ya Muungano kusema bara ipate asilimia kubwa kuliko Zanzibar kwa sababu ya population. Ndio mfano anaoleta huyu jamaa.
Kipind Cha sheni Hawa kuku poni alikua hawapo..lkn kwa limwinyi limezid kuleta upemba na uunguja..wallah subiri ifike 2025 hakupas kuonesha uungja ingawa ni waziri
Kuna wakati nilikuwa ninaongea na vijana wanaotarajia kuhitimu shahada zao Tunguu...vijana hao walikuja Unguja kutoka Pemba kwa ajili ya kusoma...niliwauliza endapo watarudi Pemba pindi wakimaliza masomo....walinijibu la hasha...wao wameshatoka Pemba kwanini warudi huko....na waaendelea kusema na siku wakivuka maji kwenda Bongo (Bara) ndiyo hawarudi tena
Mwambieni ,kuwa kaka yetu marehem Raza alikuwa ni ccm lkn hakuwahi kuongea huu ujinga .... Na kwa upuuzi huu maisha watatumwa na watanganyika kujimaliza wenyewe...Allah atujaalie kutuondoshea viongozi wa aina hii.
Sawa, ila zile boti zinazoshusha malaya kutoka bara hamzioni kwasababu ni ndugu zenu wa damu. Hivi sasa ukipiga hesabu wahamuaji wanaoingia Zanzibar kutoka bara ni wengi kuliko watoto wanaozaliwa Zanzibar. Tatizo lenu mnasumbuliwa na ujinga na hasadi, waja wa laana nyie mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuufisidi Uislamu Zanzibar kwa tamaa za nafsi zenu.
@@omaryjumas6327 hao laki 7 anaosema wapo Unguja laki 2 nzima kutoka bara kwann hasemi wabara walokua sio kwao wanaingia kila siku na vitambulisho wanawapa hasbiyallah mahasidi wa nchi yetu.
Ndio maaan wazungu wanatuona wafrica kama manyani
Huna haja ya kusema ndugu zetu wapemba hakuna ndugu zako kule, sema tu wapemba. Maongezi yako ya ovyo yanaashiria ubaguzi na chuki zilizokujaa dhidi ya wapemba. Lkn kumbuka duniani tunapita tu hii. Cheo kisikupe kibri.
Huyu hafai hata kuwa kiongoz
Huyu sku zote anaongea utumbo tu
Kumbe huyu hamna kitu ovyoo hamna kitu
anajielewa ?kwani barara zinajengwa kwa idadi ya watu au kulingana na ukubwa wa eneo husika ? mimi naona kama hajielewi
"Mwacheni muheshmiwa azungumze"
Nauliza swali
Mwakilishi na mwenyekiti lao ni Moja?
Ivi kweli Pemba itapata maendeleo Kwa mfumo huu?
Alhamdulillah
Yaa Allah tujaalie waja wako dhalili sisi wapemba, tunyime Raha na starehe za duniani, tujaalie maisha mazuri huko akhera. Ammyna
Huyu hasa sijui yupoje! Hapo ukiangalia ndio sawa unaipa mdomo serikali ya Muungano kusema bara ipate asilimia kubwa kuliko Zanzibar kwa sababu ya population. Ndio mfano anaoleta huyu jamaa.
Ana kichaa, sababu ya Watu Pemba kuhama kwasababu hamupeleki maendeleo
Kwan upemba na unguja si uvunjeke bora nyinyi wanyamwez mubak na unguja yenu
The product of what happened in 2020 election 😂
MHESHIMIWA TUSITIRI. ASTE ASTE BABA UTAWAAMSHA WALIOLALA
Hovyo kabisaa tena na hawo wanakaa wanapija makoci wajinga kwel
Hii kuhusu unguja na pemba itakuja kuleta mtafaruki, na migogoro mikubwa baina ya watu wa kutokea pemba na unguja.
Uyu jamaa unaweza kumpiga kofi kubwa,
Ccm kuna viongoz wajinga sana
Mwisho wa maji ni tope
Huyu jamaa choko anaongeya nn haileweki
Kipind Cha sheni Hawa kuku poni alikua hawapo..lkn kwa limwinyi limezid kuleta upemba na uunguja..wallah subiri ifike 2025 hakupas kuonesha uungja ingawa ni waziri
Basi tugaweni tuwachieni pemba yetu
Huyu sijawahi kumsikia kuzungumza kitu chenye mantiki si barazani wala kwenye nikutano jamaa ovyo sana
Duh!! Jamaa waajabusana anaeza kumtapisha mtu maongezi yake
Kuna wakati nilikuwa ninaongea na vijana wanaotarajia kuhitimu shahada zao Tunguu...vijana hao walikuja Unguja kutoka Pemba kwa ajili ya kusoma...niliwauliza endapo watarudi Pemba pindi wakimaliza masomo....walinijibu la hasha...wao wameshatoka Pemba kwanini warudi huko....na waaendelea kusema na siku wakivuka maji kwenda Bongo (Bara) ndiyo hawarudi tena
Ikiwa pemba wahukumiana kwa sharia basi yafaa kurudi ila ikiwa ni kanuni hakuna ulazima wa kurudi... mingine mtajazia nyinyi..
Msiba huo kaka
Ni kweli wengi tupo unguja Lakini mnaiba Kura zetu.
Utumbo mtupu.. akili za kitumwa
Ha
Jinga
Mwambieni ,kuwa kaka yetu marehem Raza alikuwa ni ccm lkn hakuwahi kuongea huu ujinga ....
Na kwa upuuzi huu maisha watatumwa na watanganyika kujimaliza wenyewe...Allah atujaalie kutuondoshea viongozi wa aina hii.
Mh leo kanenaa tutake tusitakeee Wapembaa tuko Unguja wingi amii zanguni na😂tukifanya nzahaa kisiwa tutakicha na vizee tu kuleee.. kwa hiyoo waheshimiwa wakilishi wetuu kutoka pemba tumewashtukia mnataka kututia chaka kiwaona mnaipigania pemba kumbe waongo Mh Nadiri kanawavua nguo kweupee 😅😅
Sawa, ila zile boti zinazoshusha malaya kutoka bara hamzioni kwasababu ni ndugu zenu wa damu.
Hivi sasa ukipiga hesabu wahamuaji wanaoingia Zanzibar kutoka bara ni wengi kuliko watoto wanaozaliwa Zanzibar.
Tatizo lenu mnasumbuliwa na ujinga na hasadi, waja wa laana nyie mtakwenda kujibu mbele ya Mwenyezi Mungu kwa kuufisidi Uislamu Zanzibar kwa tamaa za nafsi zenu.
@@omaryjumas6327 hao laki 7 anaosema wapo Unguja laki 2 nzima kutoka bara kwann hasemi wabara walokua sio kwao wanaingia kila siku na vitambulisho wanawapa hasbiyallah mahasidi wa nchi yetu.
@@omaryjumas6327 subhanallah mpk ww unatukana ivoo
Allah yupo muda utaongea