Jambo la Muhimu sana kulikumbuka unapo uanza Mwezi Februari 2025 | Pastor Grace Josephat Gwajima

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of a Largest Church in Tanzania. He is also the Arch-Bishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. God is using him to raise the dead, heal the sick and performing of signs and wonders in the name of Jesus. Follow his Facebook page jgwajima Instagram bishopgwajima
    Join our Live Online Services every sunday at 1030 East Africa Time

КОМЕНТАРІ • 130

  • @shadrachkamyori9911
    @shadrachkamyori9911 6 днів тому +3

    Mungu awabariki sana sana. Kumfahamu Bishop Gwajima imeinua imani yangu.
    Ashukuriwe Mungu aliyemwita Bishop Gwajima. Naona kama nilichelewa na kucheleweshwa sana. Injili anayoihubiri Bishop Gwajima ina uvuvio wa aina yake.
    Mungu awakumbuke (G & J Gwajima) hata vizazi. Amen

  • @omuze1290
    @omuze1290 9 днів тому +5

    Zaburi 29:3b inasema: Bwana wa utukufu alipiga radi. Which means radi ni salaha ya Mungu.
    Kwa mujibu Yeremia 51:20, mimi niliyeokoka ni radi. Kwenye timu yetu ya maombi nilisema: kama wachawi wanaweza kujigeuza kitu kingine nasi wana wa Mungu tujigeuze radi kwa jina la Yesu kisha tuwashambulie wachawi. Walipigwaje. Glory to God!

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 9 днів тому +2

      @@omuze1290 hallelujah Hallelujah

    • @Golden444-g6x
      @Golden444-g6x 9 днів тому

      Amennnnn

    • @tumainipallangyo776
      @tumainipallangyo776 6 днів тому

      Ameen Mama yetu kipenzi Mungu akutunze na familia yako. Namshukuru Mungu kumleta bishop JG duniani na akampa msaidizi mwema ambayw ni wewe. Mungu azidi kuwatumia kwa ajili ya kusudi lake❤

  • @theresiapaulla741
    @theresiapaulla741 7 днів тому +1

    Somo zuri sana Mtumishi, tumebarikiwa Mungu azidi kukutumia.Amen.

  • @RaimundoZacariasJonas-jq1bg
    @RaimundoZacariasJonas-jq1bg 8 днів тому +1

    Amen glory to lord JESUS...FROM MOZAMBIQUE

  • @AnzelimJulius-sh2qm
    @AnzelimJulius-sh2qm 6 днів тому +1

    Amina mama tunakupenda sana

  • @MontanaGeje
    @MontanaGeje 9 днів тому +1

    ❤ Asante sana mama yetu tunakupenda Mungu mwenyezi akutunze.

  • @cmoshi7014
    @cmoshi7014 4 дні тому

    Mama kama mama na Hekima zake MUNGU akutunze mama ❤

  • @WinifridaSikujuamzee
    @WinifridaSikujuamzee 9 днів тому +2

    Amen Mama🙏 Asante Kwa kutukumbusha Mungu akutunze,songa mbele Mama

  • @dissankone3425
    @dissankone3425 6 днів тому

    BWANA YESU ASIFIWE MAMA BISHOP GRACE🥰🌹

  • @Yusuphlalusa
    @Yusuphlalusa 9 днів тому +1

    Amen mama yangu kwa hekima zako na unyenyekevu wako

  • @YoasapMeshack
    @YoasapMeshack 4 дні тому

    Amen mama mungu akutunze ❤❤❤❤

  • @PendoSamson-rr8uy
    @PendoSamson-rr8uy 7 днів тому +1

    Mama wa maelfu elfu tunakupenda sana❤❤❤❤

  • @RichardRere
    @RichardRere 9 днів тому +1

    Barikiwa sana mama yetu,
    Huu ni ukweli usiopingika MUNGU ameiweka ufufuko na umzima katika mikono yako,,Yani wewe ukizinguatu akàkuwazia ww , Basi tena,, yesu akulipe kwakadri ya moyo wako

    • @EdithShirima-y5k
      @EdithShirima-y5k 8 днів тому

      Asante mama kwa kutukumbusha Tena kwa habari ya kurithi pamoja na Bwana ubarikiwe

    • @shirimaoliva7695
      @shirimaoliva7695 7 днів тому

      Amen ❤nimekuelewa Pastor

  • @ibrahimupamba8022
    @ibrahimupamba8022 9 днів тому +2

    Amen mama barikiwa sana

  • @rerisamba
    @rerisamba 9 днів тому

    Glory to God wewe ni mtumishi mkubwa wa Mungu kua na mume kama Askofu Gwajima na kumtuza sio rahisi hivyo hongera Grace hope Mungu atakufunulia kuhusu mapambo

  • @janelutego7593
    @janelutego7593 9 днів тому

    Amen Mama yangu
    Wewe ni ishara kuu sana ya upendo wa MUNGU BABA katika Maisha yangu

  • @FredLyatuu
    @FredLyatuu 9 днів тому +1

    Ameni ameni Mama

  • @samwelemmanuel694
    @samwelemmanuel694 3 дні тому

    Mama kama Mama❤❤❤

  • @neylaizer
    @neylaizer 9 днів тому

    Tunawaombea Mimi na familia yangu.Gwajima ni hazina ya Tz amen

  • @EkelyNkanda
    @EkelyNkanda 9 днів тому +2

    Majeshi majeshi

  • @ChrisnOhwin15
    @ChrisnOhwin15 6 днів тому

    Amen❤️

  • @Mwl_Lupimo
    @Mwl_Lupimo 9 днів тому

    AHSANTE SANA MAMA,
    UTUKUFU MAJESHI... LIKE NYINGI NYINGI WANA WA MUNGU ✊✊

  • @annemwende4480
    @annemwende4480 6 днів тому

    Mama❤❤

  • @BettyMaiyo-y5e
    @BettyMaiyo-y5e 5 днів тому

    Aminaa.maama wetu.

  • @Golden444-g6x
    @Golden444-g6x 9 днів тому

    Asubuhi yangu imekuwa nzuri Sana Kwa hili neno Nakupenda mama angu Grace

  • @rodriguesvictorvalerio6886
    @rodriguesvictorvalerio6886 9 днів тому

    Amina mama askofu. Nabarikiwa toka Mozambique.

  • @pastoremmanuelchatanda4425
    @pastoremmanuelchatanda4425 9 днів тому +2

    Amina mama, Mimi ni mrithi

  • @PastorErickjmi
    @PastorErickjmi 9 днів тому

    Mungu akubariki mama nawapenda sana by pastor erick jmi

  • @mr.machange1377
    @mr.machange1377 9 днів тому +1

    GLORY TO GOD

  • @PeterMalungu-m8y
    @PeterMalungu-m8y 9 днів тому +1

    Amina Mama

  • @CMfountainofhope
    @CMfountainofhope 9 днів тому +1

    Barikiwa sana mama yetu

  • @BelitoSaúdesamaqui
    @BelitoSaúdesamaqui 9 днів тому

    Amina mtumishi, Sasa mabambo yanini mama mtumishi ni chukizo Kwa bwana, Soma mwanzo 35:1_5. Amen

  • @AlexPascal-e1w
    @AlexPascal-e1w 9 днів тому

    Amina mama etu kipezi

  • @NoelyMadeje
    @NoelyMadeje 9 днів тому

    Amina Mama angu nimebarikiwa sana🙏

  • @estermathias8354
    @estermathias8354 9 днів тому

    Amina 🙏🏼

  • @rithersospeterkati3355
    @rithersospeterkati3355 9 днів тому

    Amen Amen Mama. 🙏

  • @gracenbarnes5254
    @gracenbarnes5254 9 днів тому +1

    Mama mnyrnyekevu uyu kwa mara ya kwanza kuonana nae tulisafiri kwa ndege moja kwenda kwa trump. Mungu akubariki mtumishi

  • @estherwasira4434
    @estherwasira4434 9 днів тому

    AMEN MAMA.

  • @agneselia9000
    @agneselia9000 9 днів тому

    Ameni Mungu ni mwema

  • @ElishaMusa-r6b
    @ElishaMusa-r6b 9 днів тому

    Amina; Mama yangu, Mimi ni mrithi wa Mungu 🙏

  • @officialjemimahowiti
    @officialjemimahowiti 9 днів тому

    It's my portion in Jesus mighty name

    • @EmancipateGodfreyKishimbo
      @EmancipateGodfreyKishimbo 9 днів тому

      U barikiwe sana kwa ujumbe mzuri nikija Tanzania nitakuja ufufuo na uzima natamani nikusikia face to face

  • @doristongora2897
    @doristongora2897 9 днів тому

    Ameen

  • @LeahMbena-m5t
    @LeahMbena-m5t 9 днів тому

    Amen mama

  • @MagretAmbululi
    @MagretAmbululi 9 днів тому

    Amina mama🙏🙏

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 9 днів тому

    Amen mami we mrembo ila usikubali mnvi nabadowekijana ebu mufurahishe baba kidogo (hekima ya mwanamke)

  • @HappinessPatrickIsaya
    @HappinessPatrickIsaya 9 днів тому

    Mama nimebarikiwa Sana na mafundisho kujikubali mwonekano was nywele zako

  • @IreneMumbe-p5c
    @IreneMumbe-p5c 9 днів тому

    Amina mama,,Mimi ni Mrithi pamoja na kristo 🙏🙏

  • @magolisa1942
    @magolisa1942 9 днів тому

    Love you Mom.

  • @blessedhoursfilms8821
    @blessedhoursfilms8821 9 днів тому

    Ameen mama

  • @akikiskola3644
    @akikiskola3644 9 днів тому +1

    Amen mamy🙏🙏

  • @AsaOp-l5z
    @AsaOp-l5z 9 днів тому

    Ameen sana mama yangu nakupenda sana

  • @LucyKapinga-fg4dk
    @LucyKapinga-fg4dk 9 днів тому

    Barikiwa Mama

  • @MariamLucas-c9z
    @MariamLucas-c9z 9 днів тому

    Amen🙏 mama angu kipenzi ❤

  • @NoelaTembe-x5i
    @NoelaTembe-x5i 9 днів тому +1

    Nabarikiwa na huduma naomba namba nahitaji huduma ya uponyaji

  • @gracenyangusi6230
    @gracenyangusi6230 9 днів тому

    Ameeen

  • @danielEliyamtishibi
    @danielEliyamtishibi 9 днів тому

    Amen amen 🙏 Mama yetu

  • @saida5091
    @saida5091 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @TomasInacioKapwida-q7g
    @TomasInacioKapwida-q7g 9 днів тому

    Amen mama I'm Mozambican but nakusihi mama uko sahii lakini toa izo ereni ni machukizo mbele ya Mungu

  • @EvangelistJsolomonMkwata
    @EvangelistJsolomonMkwata 9 днів тому

    Jamani mbona mvizimwmwahi kama mimi

  • @Shedrackwilfred
    @Shedrackwilfred 9 днів тому +13

    Pastor grace shkamoo mama! Nakusihi Utoe hizo hereni ni machukizo makuu machoni pa Bwana pamoja na rangi za kicha kama Unapakaga

    • @DEOMBUBA
      @DEOMBUBA 9 днів тому +5

      Weweni pasitor gani usiyekuwa na akili chungasana mwache mama yetu kwani nn kinakuuma

    • @BenjaminKabebo
      @BenjaminKabebo 9 днів тому +2

      Lete ushahidi wa maandiko tujue ukweli au ulifundishwa mafundisho manyonge?
      Pia nashauri kwenye mambo yote imani huja kwa kusikia yasikie yasemwayo ukianza kuangalia mavazi basi hata Yohana mbatizaji asingepata mtu wa kumwendea

    • @LeahMbena-m5t
      @LeahMbena-m5t 9 днів тому +2

      Soma biblia upate akili yake isaya 3:16-26 sisi
      Hatujakataliwa na Mungu hata tuondolewe uzuri na mapambo

    • @gracenyangusi6230
      @gracenyangusi6230 9 днів тому

      Kwanza ww una mamlaka gani ya kusema maneno kama hayo. Funga mdomo wako.usihukumu na ww usije hukumiwa.yakwako yamekushinda bado unahukumu wenzio

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 9 днів тому

      @@BenjaminKabebo 1 Petro 3:3 Kujipamba kwenu, *kusiwe kujipamba kwa nje,* yaani, kusuka nywele; na kujitia dhahabu, na kuvalia mavazi
      hapa petro anaonyesha kujipamba kusiwe kwa nje, kwa kuwa wanawake wana kila namna ya kujipamba kwa nje ikiwemo rasta, wanja, hereni , rangi za nywele mawigi, vidonge vya kuwa weupe yaani kujichubua, kuongeza shape, na mengineyo haya hufanywa kwa msukumo wa tamaa ya macho na mwanamke yeyote anayefanya hivi hujisikia mzuri zaidi afanyapo haya.
      hatujaitwa kushikamana au kuambatana na uzuri wa jambo lolote katika dunia hii ila fahari yetu iwe kumcha Mungu sio tulivyoumbwa, tunavyovaa, akili zetu, fedha, mali, au chochote kilichopo duniani chenye kutamanisha
      mwanamke anapoambiwa asijipambe kwa kuvalia mavazi hapa ina maana asivae vazi lolote linalomfanya ajihisi mzuri au mkuu au bora ila avae mavazi ya kuusitiri mwili akiwa na usafi
      1 Timotheo 2:9 9 Kadhalika, nataka wanawake wajipambe kwa heshima na kwa busara. Mavazi yao yawe nadhifu, si kwa kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu na mavazi ya gharama kubwa,
      Hivyomwanamke akijikagua anapaswa ajihesabie unadhifu tuu na sio uzuri utokanao na muonekano wa nje
      KUMBUKA
      KILA MWANAMKE ANAYEJIPAMBA KWA NJE HUJIONA MZURI ZAIDI YA ASILI ALIYONAYO.
      AGANO JIPYA LINAHITAJI
      1 UNADHIFU
      2 KUJISITIRI
      BARIKIWA

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 9 днів тому

    Christo ni mkokombozi .

  • @WinnieMwaurah-w8y
    @WinnieMwaurah-w8y 9 днів тому

    Mrembo ila mama mbona wrwe hukata nywele zako,,,ni ishara ya kumulikiws kicjeanibsababu ya makaika

  • @jovindaud8220
    @jovindaud8220 8 днів тому

    Majeshi majeshi

  • @FirstyNicky
    @FirstyNicky 9 днів тому

    Ameen Mama

  • @MariamSindano-ty1lf
    @MariamSindano-ty1lf 7 днів тому

    Ameen

  • @wilsonchombo6822
    @wilsonchombo6822 9 днів тому

    Amina mama tunabalikiwa sana❤❤❤❤

  • @HappyCells-mg4jf
    @HappyCells-mg4jf 9 днів тому

    Amen

  • @janemwita2056
    @janemwita2056 9 днів тому

    Amen 🙏

  • @saida5091
    @saida5091 9 днів тому

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @JohnMakaji-zs8kz
    @JohnMakaji-zs8kz 8 днів тому

    Amen mamam

  • @PhilipoMgale
    @PhilipoMgale 9 днів тому

    Amina mama

  • @23atilio
    @23atilio 9 днів тому

    Amina mama ❤❤❤

  • @CarolyneOirere-gl1xr
    @CarolyneOirere-gl1xr 8 днів тому

    Amen

  • @WitnessMrema-z7z
    @WitnessMrema-z7z 9 днів тому

    Ameen mama

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 9 днів тому

    Amen 🙏

  • @SamsonZahoro
    @SamsonZahoro 9 днів тому

    Ameeen mama

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 6 днів тому

    Amina Mama

  • @brunolwambano6752
    @brunolwambano6752 8 днів тому

    Amina

  • @BeatriceMwakalobo-u6z
    @BeatriceMwakalobo-u6z 9 днів тому

    Amen mama

  • @MeryStephen-p6f
    @MeryStephen-p6f 9 днів тому

    Amen mama

  • @GodfreyRobertSimon
    @GodfreyRobertSimon 7 днів тому

    Amen