SHEKHE SHARIFF AMVAA NABII GEORDAVIE/NABII WA UONGO/AMUONYA/ASIWATUMIE WAISLAMU KWENYE IBADA ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Tumepiga story na Shekhe Sharif

КОМЕНТАРІ • 193

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k 8 місяців тому

    Inalilah wainalilah rajiun shekhe umesema kweli waache kuchezea inan za watu

  • @josephemmanuel388
    @josephemmanuel388 Рік тому +2

    shehe upo vzr sana

  • @amrisabit9857
    @amrisabit9857 Рік тому +4

    Ni kweli yule devi ana tutafuta waislam sana kila siku ana wa panga watu eti ni waislam ili yeye aonekane Mzuri

  • @shersaid7988
    @shersaid7988 Рік тому

    Hakika ujinga kuchezea imani ya wengine ili ufanye kiki.Shukran shekhe Sharif kwa kulisema hilo.

  • @mosesjillo1729
    @mosesjillo1729 Рік тому

    Bibilia ilishakuhatarisha kuhusu manabii wa uongo,,,nabii yeyote anaetambulisha Mungu kwa jila lingine ambalo amejidhihirisha katika agano la kale,anaetoa unabii ambao hautimiziki basi huyo ni Nabii wa uongo,,,,mfaano Jina Allah aliloleta mohamed halikuwa kwa agano la kale

  • @philemonkavutirwa9522
    @philemonkavutirwa9522 Рік тому +7

    Asante Kaka izi Siku hakuna nabiii kabisa ni wizi

    • @williammpuya3035
      @williammpuya3035 Рік тому

      Hata hao waislamu wengi tu ambao ni waongo wazinifu tu,saic amini mungu yupo hapa tu,ila saiv sio wachungaji wala mashekh wapo wa hovyo tu

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 Рік тому +3

    Nimeona yamisiba jana wenzetu UTURUK ZAIDI YA WATU 4000 SIRIA ZAIDI YA 1000 wamefariki ndg zetu walio kuwa wanaenda msibani 14 mungu wetu tuondee vifo

  • @mastaplan
    @mastaplan Рік тому

    Upumbavu kugombana katika dini ambazo hamjui ukweli wowote juu ya hizi DINI...
    Africa GIZA

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Рік тому

    Majini

  • @bilalisalim360
    @bilalisalim360 Рік тому +2

    Ao mashekhe na mapastor wamezidi

  • @bahatimanegabe1777
    @bahatimanegabe1777 Рік тому +4

    Uyu SHEHEE nitapeli, tena hafai kuitwa shehe. alinitapeli pesa mwaka 2021 iposiku mahana ushahidi ninao siku nitawasili Africa ndipo siku atajuwa nguvu la taifa la marekani.

    • @aminmohammed4249
      @aminmohammed4249 Рік тому

      We na ww inaelekea unapenda ushirikina😅 sa kwa huyu ilienda kutafuta nini

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Рік тому

      @@aminmohammed4249 hakika mtu jisomee dua tuu

    • @isayachamsa3849
      @isayachamsa3849 Рік тому

      Haaaaa Hivi Ni Kweli?? Aliwahi Kukutapeli

  • @josefomoises9521
    @josefomoises9521 Рік тому +3

    Na we pia njaa iyo

  • @geraldtarimo3210
    @geraldtarimo3210 Рік тому

    Wewe mpuuzi acha ushoga,mlanguruwe we we,achamaramoja kuchezea imani ya kristo,pumbavu

  • @joelmutie2149
    @joelmutie2149 Рік тому

    Joel from Kenya msalimie Shariff mwambie asiogope

  • @drcharlesswai1123
    @drcharlesswai1123 Рік тому

    Maji sio ushirikina bhana.Ongea ukweli bhana

  • @richardyohana6307
    @richardyohana6307 Рік тому

    Shekhe sharifu Majin..mwamposa. joh dev. Wote ni matapeli na wote ni waganga wa kienyeji tu

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Рік тому +1

    Umeongea point shekhee🙏🙏mungu akuweke akuepushe na mabalaa ya Dunia

  • @shariffkareem8045
    @shariffkareem8045 Рік тому

    Apo aupo sawa mana vitu yva kiloo avi pimwi na yvombo yva kisayasi mungu ana sili na udongo wake na maji ni sili ya mungu Kila mtu kapewa kalama yake na maitaji yake we nimuongo kwa iri niliro sikia Asante kwa kupinga kalama dha wedhako

  • @charlesmapunda5905
    @charlesmapunda5905 Рік тому

    Huwezi kuwa Shekhe bila kumzidi mwenzako majini ndio ukabidhiwe msikiti na watu tunao wapinga huwa mnachukua majina yetu kwenda kusomea Albadil ili tufe na hatufi kwa jina la Yesu na tutawaambia ukweli acheni uchawi kutegemea Majini yenu kuharibu watu,.Yesu halali Waislam na Manabii wa uongo wote nyie ni wapinga Kristo mlisha tabiriwa kwenye ufunuo wa Yohana tunao mwamini Yesu ni Mungu hatogopi nyie mnagombania maslai yenu sio ya Mungu alie Hai Milele na Milele nae ni Yesu Kristo Alfa na Omega.

  • @Oscar-qs7tn
    @Oscar-qs7tn Рік тому

    Mtu mwenyew kapaka ina, waislamu mjue kutulia, mtawaongelea Sana viongozi wa kikristo lakn wao wako kimyaaaaa. Mashekhe mtahubiri ukristo na watu wenu watakimbilia kanisan

  • @lawijosephezekieli1078
    @lawijosephezekieli1078 Рік тому

    Kwaiyo we muganga wa kienyeji

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 Рік тому +1

    Nabii mkuu kàkosea wapi mbona sioni kosa lake "shehe muogope Mwenyezi Mungu.

  • @MichelBingiclinton
    @MichelBingiclinton Рік тому

    Asanti mwalimu na ni nakufata kutoka Congo Lubumbashi

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Рік тому +8

    Heheheee unachekesha kwa taarifa yako waislam Ndio wamejaaa ma kanisani na Yesu anawatendea na ushuhuda wanatoaaaaaa Acha makasirikooooo

    • @muniramuniraally5357
      @muniramuniraally5357 Рік тому +2

      Jitambue kwanza uislam ni dini inayo jitosheleza kila idara Haya yte yameandikwa kwenye kitabu kitukufu Wte hawa ni matapeli tu tumuogpe mungu Jmn

    • @hassanihussein4479
      @hassanihussein4479 Рік тому +1

      Huyo yesu mwenyewe anataka kupewa ushuhuda

    • @jan6703
      @jan6703 Рік тому

      @@hassanihussein4479 Ati nini!!!!

    • @asiakheir8684
      @asiakheir8684 Рік тому

      Kama wakienda si wao wenyewe watakuwa makafiri? Na watazikwa masandukuni

    • @adamufundikira7878
      @adamufundikira7878 Рік тому

      ally inajitosheleza kupeleka watu motoni wewe simama na imani yako

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Рік тому +1

    Utofauti Kwako Wanakuja Kwa Kificho Lakini Kwa Devi Wanaenda Mchana Kweupe Sasa Wewe Na Yeye Devi Yupi Bola Unasema Manabii Wanakuja Kwako Kwa Sili Lakini Unaowasema Wewe Kwa Devi Wanaenda Mchana Sasa Tuelewe Nini Apo Nimegundua Mungu Ndie Kila Kitu Kwa Binadamu Kila Mtu Asimame Kwa Mungu Alie Juu Yetu

  • @mlokozivedasto9130
    @mlokozivedasto9130 Рік тому

    Jamani niwe muwazi shehe uyu nimuwazi na mkweli alipaswa awe shehe Mkuu naona anafiti sana

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Рік тому +3

    Ila mmh! Nimekuelewa pengi umegusa ukweli.

  • @baysadam235
    @baysadam235 Рік тому +1

    Lahasha Mtume wa mwisho ni Mtume Muhammad s.w.a hao wanaojita mitume ni njia zakutafuta ugari🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Рік тому

      Mtume wenu ni marehemu mwiislamu watu wote sio waislamu mbona vichwa vyenu ni vigumu waislamu

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      @@prochesernest5439 Huyo mtume Muhammad s.a.w asife kweni yeye si binaadam.?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      @@Catherine-mh8sw kumbe mhammad alikuwa binadamu ndomana alifanya mapenzi hata na mtoto mdogo wa miaka 9 hahahaah... sisi wenzenu tunamfuata mtume wetu Yesu kiristo aliye kufa na kufufuka na kupaa mbinguni kwa baba Mungu mwenyez muumba mbingu na ardhi

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      @@ramadhanmahongole9293 sawa

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Рік тому

      @@Catherine-mh8sw soma Quruan 33:56 Mungu na malaika zake wanasalia uwaskilize mashekhe wanavyo msifu kuliko Allah heti ni kiumbe Bora kuliko vyote anawazidi heti na malaika wakati maraika awatendi dhambi Muhammad katenda dhambi mpaka Allah anamwambia tubu dhambi zako 40:55
      47:19 ISSA kwamujibu wa Quruan hakuwai kutenda dhambi je aliye mbora hapo ni nani?

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Рік тому +1

    Inalillahinwainailahi rajuun hiyo ghaib ww kakupa nani ghaibuni ya Allah tu. Yakesho. Hakunaajuae.

  • @saidsuleiman9018
    @saidsuleiman9018 Рік тому

    Wahuni Tu wale shezi

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 Рік тому

    Nilikia nahishimu sana mashekhe
    Lakini sasa hivi mashekhe ni kanzu tu
    Mumekua wasanii
    Mwashindana kwenye mitandandao.
    Na sisi maamuma tukifanya
    Mtasema
    Hebu naomba mudi nyuma msitumie mitandao vibaya
    Mshajielezea sana
    Yatosha

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Рік тому +1

    Kanyoe hizo ndevu baba acha makasiliko yaani mafanikio ya NABII MKUU yanawatesa wengi kumbe

  • @paulinanyanzala9072
    @paulinanyanzala9072 Рік тому

    Shekhe sharrif acha kusema uongo ushuhuda unaotolewa kwa geordavie ,musa, mwamposa, gwajima,suguye, n.k ni ya kweli wafuate vifaa au dawa za miti shamba ili watoe ushuhuda kama wanafuata kwako ni maajabu watu wanauza tunguli miti shamba inauzwa sokoni wakufuate wewe Sharif kweli wewe shughulika na yako tabiri yako kila MTU na karama zake

  • @petrothomas5328
    @petrothomas5328 Рік тому

    Shetani mkubwa ww

  • @cmb6342
    @cmb6342 Рік тому

    bac Kama wew Ni Mungu futa dini ya kikristo uiache ya kiislamu tu,hii Ni dunia ya Mungu yeye ndo ameua iwe hivyo kwa makusudi yake,usiumize kichwa mwachie Mungu atadili nao

  • @shuwehaharuna6309
    @shuwehaharuna6309 Рік тому

    Shekhe yahya alitabiri watu wakubwa watakufa cha ajabu akafa yeye,,,,,atakae amini huu upotövu hiyo hajawa na Imani hakuna anaye Jua kinachokuja mbele ni mungu pekee hata malaika hawajui

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Рік тому

    Huyu si shekhe ni mganga na ni mchawi harafu fanya mambo yanayo husu wewe na dini Yako we sio mungu mwache mungu afanye kazi yake wewe fanya kazi na majini Yako maana ndio mungu wako

  • @meikoking
    @meikoking Рік тому

    Kwendaaaaaaaa Wanakuja wenyewe

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Рік тому

    Wew jina laki linatisha shekhe majini wew uwezi kuwa kalibu na wachungaji maana wew ni majini majini na wachungaji awakai pamoja wanayafukuza ulifukuzwa wewe wakristo atuna mausiano na majini wewe ni ndugu zako majini

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому +2

    nawewe uache kuagua

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому

    Umekoseya shakusungumsa ukalime

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Рік тому +3

    We una maono au maunooo? Bwege we jambazi mmoja we

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Рік тому

    KWELI MAMBO YA KUCHUKUA
    WAISLAM WASIYO NA IMAN NA NJAA KALI ZAO UKO MTAANI munatupa miemsho ya #din Tutauwana
    Wenyewe kwa wenyewe muache
    UJINGA NYINYI WACHUNGAJI

  • @noelbernard6390
    @noelbernard6390 Рік тому +2

    Hivi kuna sheikh asiyekuwa na mahusiano na majini

    • @teophilletus8969
      @teophilletus8969 Рік тому

      Majin Ni viumbe wa mung tu ila kun majin wema na majin wabay km binadam walivo kwaiy ukion ww huna wered kichwan kuhusian na maada na si msomi San wa vitabu ili kuzichimba historia jaribu kukaa kmy

    • @zianasalimuhivikunamchunga5224
      @zianasalimuhivikunamchunga5224 Рік тому

      Hivi Kuna mchungaji ambae Hana mapepo

  • @kobelochande6669
    @kobelochande6669 Рік тому +4

    Ndevu tu ka mkonge kwani kaja msikitini si wameenda wenyewe 😏

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 Рік тому

    kumekucha 2023 huu mwaka mtamu mie natabili Shetani na wafuasi wake huu mwaka watafalakanishwa na kuzalilishwa Sana...... itapendeza Sana shekhe. Wataje waganga wenzio wote tuwajue😂😂😂😂😂😂😂😂🙏🏿🇹🇿🤔

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Рік тому +1

    Jamani sharif majini ,na papa shoga bora nani?

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Рік тому

      Bora shoga maana yule anakuwa katupiwa Jini la ushoga ili kumuharibia maisha lakini Majini wewe ni Mpinga Kristo na mshirika na Shetani mojakwa moja, Shoga anaombewa na jini likimtoka anapona

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 Рік тому +2

    Aka kajamaa ni katapeki tu nilikaona Tabora kanauza dawa za kitapeli tapeli

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Рік тому

    Mimi ni mkristu tokea Kenya 🇰🇪 ila naungana na wewe moja kwa moja, watu wawache uchawi eti maji ya upako🙏.

    • @glaury9938
      @glaury9938 Рік тому

      Wewe mkristo tokea kenya nikwambie tu waslamu ndio wanaoongoza kwenda kanisani mana msikitini kuna majini na sio nguvu za mungu

    • @estermahenge-ks3dr
      @estermahenge-ks3dr Рік тому

      ​@@glaury9938 ajui tu uyo mwenyewe ni nabii wa uongo kama wengine😅mi simuamini kbs anavutia kwake tu

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Рік тому

    Nenda hata Kwa Mwamposa ukaone na kujiridhisha kama kuna wengi wasio wakristo na wanapokea na kupaka mafuta kama kawaida NB Nabii ni WA wakristo japo hata na wasio wakristo wanapokelewa kama kawa.

  • @paulinanyanzala9072
    @paulinanyanzala9072 Рік тому

    Sharif majini wewe unajaji watu huna lolote wewe umewafanyia wangapi uongo tabora ulikuwa unauza dawa zilipimwa na nani jamani usiwaponde wenzako sema yako

  • @womanofsteel1402
    @womanofsteel1402 Рік тому +8

    Hata nawe Ni mchawi jina lako tu linajitosheleza

  • @kennedybutiko7651
    @kennedybutiko7651 Рік тому

    Ukweli hauwezi fichika utajidhihiri

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Рік тому +1

    Kaka.taja I'li uokoe wasiojua taja

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому

    Ukanawe uso

  • @ssalimsalim3864
    @ssalimsalim3864 Рік тому +3

    Acheni uzushi yenu yanawashinda kwani simnakwenda wenyewe kwa njaa zenu au mliitwa??

  • @felixbenos6365
    @felixbenos6365 Рік тому +1

    Uko sahihi ulicho ongea

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Рік тому +1

    Acha ale pesa zao wakristo

  • @teophilletus8969
    @teophilletus8969 Рік тому

    Yan watanzania ubongo waoo Ni mavi tupu iv kam Mt unakil timamu ukimsikiliza mwanzo mwisho uyu jamaa anakibay gan alichokiongea kwan Ayo mafuta wanayonyweshwa watu mmeyapima kwel au Ayo maji lakin pia kiukwel kwasas din Ni kaz za watu kwaiy kutokujitambua kwenu msiropoke ujinga

  • @lameckdingoo4404
    @lameckdingoo4404 Рік тому +2

    Shekhe unateseka na nini kwani mbna mnaumia sana pindi wenzenu wanaenda kwa nabii mkuu

  • @omarimpogo6895
    @omarimpogo6895 Рік тому +1

    Upo sahihi shekhe

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      huyo sheikh wako yupo sahihi kwa lipi? au kwakuwa upo dini moja naye? anaongea utumbo tu hapo

    • @omarimpogo6895
      @omarimpogo6895 Рік тому

      @@ramadhanmahongole9293 we mjomba unaona kakosea kipi apo...!!!?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      @@omarimpogo6895 asa huyo ndie mtumishi wa mungu? mtumishi wa Mungu anakuwaga hivyo kupaka ndevu pich na na kuuza madawa ya kienyeji ?

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 Рік тому +1

    Wataje jamaa,watajeeeeeee tuwajue wezi kabisa hao. Usipo wataja basi unawalinda

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Рік тому +3

    We mwenyewe mshirikina bwege we njaaa wewe na hao wachungaji nyote njaaa matapeli nyie hamna jini wala shetani mnaowatibu wizi tu nyie unaleta unafiki tu kwenye nchi yetu

    • @nicolenabintu2509
      @nicolenabintu2509 Рік тому

      Nime kupenda bure , Mungu ata awa okowe kwa kweli ,wana zidi kupotosha jamii 👎🏾😭

  • @selinagregory8674
    @selinagregory8674 Рік тому

    ww muongo watu wanapona fanya ya kwako

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Рік тому

    Kwani huyo nabii kawafata msikitini kwenu mpaka unasema anaingilia dini ujielewi mara shekhe kawaita hao mashekhe

  • @kakajoeprosper957
    @kakajoeprosper957 Рік тому

    Kama unaongea umewapa dawa ili wafanye miujiza inamaana na wewe ni mushirikina kama wao, pole sana, n'a dini yako.

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Рік тому

    Umepigwa Dongo lá uso unakataa wasan

  • @rosekasambale2521
    @rosekasambale2521 Рік тому +2

    Ww shekhe ubwabwa huna lolote hao waislam wanaokwenda huko wanaotwa????kwenda zako huko ww

  • @selinagregory8674
    @selinagregory8674 Рік тому

    akuna mtu wa kumpanga mtu ayo mambo yapo leo kwa wenzenu mnaongea kl wakati na muda wake auna lolote ww acha iman za watu ww fanya yako

  • @Rastermirish
    @Rastermirish Рік тому +1

    Haaaa yaani wewe akili Yako matope aina mchuzi

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Рік тому

    Wewe hebu pambaneni na dini yenu.bwana.acha upumbavu.kwani nabiimkuu amewaita?? Acha kubwabwaja wewe.yakwenu yamewashinda unahamia kwa nabii mkuu??? Ushindwe panya wewe.umetoka kuomba msamaha kwa uropokaji wako.huku kwako kumekushinda unataka mzozo na nabii mkuu.utamuweza kweli.kazi yako hiyohiyo.kulopoka bila mipango.kaa chini fikiria Kwanza usiropoke Kama ushuzi.alaaaaaaa.mliwatukana mashehe wenzenu Sasa yamewashinda mnaanza kuomba msamaha.mpumbavu kweli.

  • @stevenharuna7838
    @stevenharuna7838 Рік тому

    Na Akina pimbi ni wakristo maana walienda kule

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Рік тому

    Hayo majini yako hayawezi kuvumilia moto wa Yesu

  • @Marjeby
    @Marjeby Рік тому +1

    Huyu jamaa huwa ana matatizo ya akili wallah kwanza ukimuangalia tu uso wake unaliona hilo matatizo yake anajiona ana elimu sana while jamaa ni dalasa la saba na kwenye uislam ndio kabisaaa mjinga sana njaa ina msumbua et!sharifu majini hahahaha
    Mie ni muislam but asimame huyu jamaa na huyo Jodev mie naenda kwa Jodev

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Рік тому

    Wewe mwenyewe ni wale wale tu miwani kama kunambi

  • @grantmwakalambile2808
    @grantmwakalambile2808 Рік тому

    Ww na hao waongo wote ni wale wale ata ww Amna k2 naww ni mganga tu

  • @prochesernest5439
    @prochesernest5439 Рік тому +1

    Wewe majini yanakuvuluga

  • @raphaelkatanga5335
    @raphaelkatanga5335 Рік тому

    Mbonayeye nimganga nimtumishi washetani

    • @festinamwakipale3919
      @festinamwakipale3919 Рік тому +1

      Yey ni mganga hataki asalitiwe.na waganga wenzake wasijiite Wana wa Mungu huku wa shetan

  • @samwelpaul4279
    @samwelpaul4279 Рік тому

    sharifu majini unapoelekea utapotea achana na hawa watumishi

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Рік тому

    Wewe wakwanza kwahilo

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 Рік тому +4

    Kwani wanalazimishwa?? Wenzio wanaenda kwa uamzi wao. Saivi sjui tunaelekea wapi, Viongozi wa dini saivi mmekuwa na misuguano. Sisi tujifunze nn toka kwenu??? Haipendezi.

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 Рік тому

    Mwana siasa wa dini ya ovyo kabisa

  • @salummussa9871
    @salummussa9871 Рік тому +1

    Acha wivu ,,wataje mbona wewe hufanyi miujiza ,,mtu unaitwa jini

  • @grantmwakalambile2808
    @grantmwakalambile2808 Рік тому

    Sasa mbn umepaka brich kwenye ndevu iyo nn sasa au ni uhun

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn7752 Рік тому

    Wataje mbona unaongea pumba ndugu yangu pigana na magaidi wengiwao ni waislam hilo halipingiki

  • @ambrosejulius7259
    @ambrosejulius7259 Рік тому

    Anaitwa nani vile eti majini kila mtu apambane na Hali yake

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 Рік тому +1

    Amesema yeye uganga wake anatumia kitabu cjui kitabu gn????

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 Рік тому +5

    Kwani si wanakwenda wenyewe kafie mbele huko 😏😏😏

  • @zubedairislove3936
    @zubedairislove3936 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @fatumamsellem7622
    @fatumamsellem7622 Рік тому

    Kama wewe

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Рік тому +4

    Shekhe gani anavaa wigi! Ndevu 🤬

  • @mozzaliuleiza9288
    @mozzaliuleiza9288 Рік тому

    Shekh gan hujui kusoma aya ya quran 😅😅😅😅😅na unatafsiri kimakosa kitabu chake ni chenye kukamilika maana ya كتابا مؤجِّلا kaa chin usome na uache kuizungumzia dini piga porojo zako za kawaida

  • @selinagregory8674
    @selinagregory8674 Рік тому

    yn ww ni muongo kupita maelezo watu wanapona ww unaongea nini watu wanaitaj majibu kwenye maombi acha bra bra yako ww auna maajabu watu wanataka ukweli wamechoka kuongopewa

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Рік тому

    Mall-shababe nyie muna lolote mcristo ajawai kupigania Dini ata sikumoja

  • @Marjeby
    @Marjeby Рік тому

    Msenge wewe!we unauza nini?madawa yako unayouza na mafuta yako yamepimwa na nani?!we na kina wazee wa upako na kina Mwamposa mnatofauti gani?!wote wapigaji tu shwaini mkubwa wewe we umeshindwa tu unatamani sana kuwa kama Mwamposa au mzee wa upako maono we una maono ww?!we ni kafiri tu na mganga njaa pia

  • @sadickabdallah1519
    @sadickabdallah1519 Рік тому

    Sharifu majini leo ndio umenikuna sana sema lile la bwana doctor mwaka umekurupuka sharifu shekhe wa mkoa amekuzalilisha unamtetea bure tu mtu wa Wanamaker yule

    • @kendra371
      @kendra371 Рік тому +1

      TAPELI KUBWA huyu Scharifu mchongo

  • @aisha8850
    @aisha8850 Рік тому +1

    wakwanza ni wewe

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому

    Kwaiyo wewe huagui kwakutumia dini?

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Рік тому

    Kwanini mnafuata fuata Geor Davie nawewe kwanini usifanye kazi yako ya majini.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Рік тому

    Ivi kwanini kila shekh ni lazima awe mganga wa kienyeji?

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      Muongo mkubwa we

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      @@Catherine-mh8swni kweli... we fatilia masheikh wengi ni waganga wa kienyeji utakuta wamebuni kuuza miti shamba kwenye nakaz yao na wengine wanadiliki kuuza madawa ya kienyeji mpk misikitini

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      @@ramadhanmahongole9293 tatizo lako nini.

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Рік тому

      @@Catherine-mh8sw tatizo langu ni kuhoji uislamu ni dini ya Mungu kweli? Mbona unafanya mambo yake mengi ya kishetwani Shetwan? kama vile masheikh kalibia wote wanauza madawa ya kienyeji na unajimu wa nyota huo ni uganga wa kienyeji kabisa... halafu masheik wengi Wana paka pich ndevu zao sasa sijui mungu wao kawatuma kupaka? yani ni vituko tupu🤣🤣🤣

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Рік тому

      @@ramadhanmahongole9293 Sasa wewe kinakuuma nini. Hujuwi kitu kuhusu uislam si unyamaze tu .