@@KiagoBakari kwaio ww humuombi baba yko pesa unamuomba ALLAH direct sio tusome kaka hatuja chelewa ndo utajua kila kitu ukiona kinamaanisha nn laa sivyo utajikuta kila kitu chako ni ushirikina
Pamoja na Allah kukemea ushirikina na uchawi ni atakae kufa na hali hiyo haramu pepo kwake na amefanya dhambi kubwa atadumu milele motoni, lakini awa mabwana wa kisufi kwanza awajari kabisa,wanaendeleza shirki zao na uchawi uchawi ni hatarii xana, walitupoteza huko nyuma lakini saivi wame baki wao na wasojielewa
Masufi sio mawalii bali ni MAWLI wapenda kula ona wanavotengeneza mazingira ya kupiga hela hawa jamaa wanabiashara nyingi kupitia mgongo wa dini ona biashara zao hizi sherehe za Ziara za makaburi , Sherehe za khitima Sherhe za arobini Sherhe za birthday / maulidi Sherehe za mwaka mpya Sherehe za haqiqa nk
Itaqi llah ya ahlu kuburi, kuna moto wa Allah, kwa wafanyao shirki na watatolewa motoni waislamu wenye madhambi ya isiyokuwa haya ya shirki, itaqi llah ya ahlu kuburi,,,, itaqi llah ya ahlu kuburi,,, jahanamu ni mafikio ya makafiri na washirikina
@ZogoMtaani ahli kuburi si watu wa makaburi mnae acha ibada sahihi ya kumcha Allah mkawapa viumbe walio lala hapo chini na wao waitajia msaada wa Allah katika nusra, ninyi mwawapelekea maombi wawafikishie duwa zenu kwa Allah, mmepotea xana tubieni kwani hamna tofauti na washirikina walio kuwa zama za mtume walipo ambiwa wasiabudie wasoskia wakajibu atuwaabudu Bali tunataka watufikishe karibu na allah
@ZogoMtaani mfalme anahusiana Nini na dini yetu au Imani yetu hivi unaakili sawa sawa kweli ww? Au dishi limeyumba? Mana kuna watu waongea nawo ni wanywa gongo hata kuswali hawaswali arafu unakuta wanajitokeza kutetea mawlid mtihani kweli kweli, Sasa mfalme wa saudia na kuabudia kwenu makaburi kuna husiana Nini katika dini
@ZogoMtaani nyi washirikina bwana wazi kabisa amu kuabudu Allah Bali mnawatukuza masharifu zenu, mpk walokufa mkiamini duwa zenu zipitie kwao kisha ndo ziiende kwa Allah yani mumetanguliza maiti, kuliko Allah subuhana wataala wale ndo mmewafanya mabwana wa kuwafikishia shida zenu kwa Allah na hamjui katika ulimwengu walionao huko wanaitajia msaada nao lakini akili zenu zilivyo maiyte kama wao mkaona kuwafukuze
Ndg zangu wa kiwahabi someni mutoke ujinga haya haya ndo yaliwapelekea kufika kusema barzanji ina ushirikina ila kwenye niqash mkashindwa kuonesha shirki iko wp kimbe tukajua shirki iko kwenye akili zenu na ufahamu wenu kwaio kwa elimu hio nusu mwsho hadi baba zenu mtawaita makafiri au mtasema walikufa makafiri
Masufi ni wachawi sana na wadhirikina amnaga sufi aloijuwa njia ya sawa zaidi ni kuwangia watu na matunguli tunguli ndo mnachojuwa ninyi Allah awaongoze katika hakki
Kwani ww kwaakili yako katika barazanji hamna shirki, shirki ipo sana tuuh,hakuna alishindwa kuthibitisha shirki ndani ya barazanji huo ni urongo nyi endeleeni tu na ibada zenu ipo siku mtakuja kujuta ni muda ambao Allah atawatoa motoni, waislamu walikosea madhambi mengine so shirki, na wamesoma wanajuwa aombae kupitia kitu fulani ni kumshirikisha Allah na shirki ni finnari jahanamu hawatotolewa motoni katu mushirikina shauli zenu mmepotea bado mnatetea upotovu wenu
@@AbdulIssa-o7e huu ni uongo dharihi yaani unaongea uongo mchana kweupe hem onesha hua uchawi au ushirikina wa masufi kma ww ni kidume kisha na cc tukuoneshe mazishi ya shekh ibn taymiyyah uone shirki za kiwahabi unajua cc tunawaonea huruma tu na kuheshimu hatupendi kukosoa watu lkn lau tunayatoa yaliyomo kwenye vitabu vyenu bc hata ww utakimbia nikupe kdg tu hivi unajua shekh Albani amejuzisha punyeto na anasema mchna wa ramadhan ukipiga bc haiharibu swaum na shekh ibn taymiyyah amesema ALLAH akitaka anaweza kukaa juu ya ubawa wa mbu hem hayo maneni unachkuliaje bro tunawastiri tu lkn nyie ndo muna matopofu zaid cc tunaheshimu tu kma unajua kuna kitu kinaitwa adabul ikhtilaaf
@@AbdulIssa-o7eonesha hiyo shiriki kwenye barzanji uone naso tuoneshe uchafu uliomo kwenye matabu yenu ibn naazamimi ibn taimia anasena allah anachoka hili vip.ni tauhud au punda wewe
@darajanida uzuri sisi hatuna taasubi na mashekh kama ninyi khurafi shekh alisema kasema, sisi kauli za shekh huwa tunazipima zimeendana na hadithi za mtume kama haijaendana tunawacha fatuwa zake, tunasema shekh kajitahdi Allah atamlipa mara moja, alipatia analipwa mara 2 ndo alivyosema mtume ulamaa ni mujitahidi,wakipatia Allah anawalipa mara 2 akikosea analipwa mara 1 kwa kujitahidi Sasa ww una dharula hiyo?? Au toka uzaliwe umeandika kitabu gani katika uislamu umeifanyia Nini dini!? Yako? Mpk umshambulie shekh islamu na hizo mbinu na chuki za watu wa bidaa, alama za kuwajuwa Ahlu bidaa na dhwalala watu makundi potofu, kinyume na uislamu safi wa mtume, ni kuwasema na kuwatukana maulamaa wa ahlsunnah, haisaidii kitu, shekh islamu ni miongoni mwa mwanazuoni mkubwa sana anapendwq na watu wa kheri anachukiwa na makhurafi wasaidizi washeitwani mmekazana kumtukana na hayo yanawarudia wenyewe tuu!! Sana sana mnazitia nafsi zenu hasara tupu! Na kiama mtakuwa wenye majuto makubwa wanaudhubillah Allh ataunusuru na ma ibilisi wa kibidaa Hawa mnaesaidiwa na baba yenu ibilisi wa kijini kupoteza watu na kuzima Nuru ya dini sahihi ya mtume
Yani mtu anaomba kabisa jiinaakum(tumekuja kwenu) qaswadnaakum(tumewakusudia nyingi).. hii ni shirki ukweli lazima usemwe.. acheni ushirikina.. mkitaka kutawassal Kwa Allah basi yeye mwenyewe ashasema katika surat al aaaf aya ya 180.. " Allah ana majina mazuri muombeni kupitia majina hayo" acheni ushirikina wa wazi kabisa
😂😂😂 kwn zilikua zimefichwa wp au lini bro acha kudanganya watu hizi clip zipo wazi na ukitaka ata cd utatolewa sasa balaa ni nyie mawahabi kuna baadhi ya vitabu vinaishia kukaa tu lkn hamvisomeshi ili watu wasione upevu wenu na kufuru na kejeli zenu kuweni na inswaaf hapa tunapita tu
MASUFI NI WASHIRIKINA WAABUDU CHOCHOTE WANACHOKIONA KINAWARIDHISHA KWASABABU HAWANA YAKINI NA MOLA WAO WAMEWATUKUZA JAMAA ZAO MPAKA WAMEKUFA BADO WANAWAABUDU!!
Ni sahihi akhy pamoja na Allah kutuma mitume na kukemea shirki bado Hawa jamaa wanakomaa, Allah usamehe dhambi isipokuwa shirki, na mafikio ya washirikina ni tandiko la moto wa jahanamu milele humo hawatotolewa, hivi awa quruani ipi na mtume yupi wanamfata wao?
Toeni hii video chafu tafadhalini. Kama hakuna radd kumbukeni kuna watu hawajui kusoma wala kuandika na wanategemea hii channel ya sunnah. Sasa wakiona video kama hizi bila radd wanaweza wakatekwa na hii fikra wakidhani kuwa ni sunnah. Kwahivyo tafadhalini msimamizi wa hii channel kuwa makini na hii jambo. Usiweke video bila kufanyiwa radd. Kumbe sio kila mtu msomi.
My humble request mwenye atasoma hii message na apitie Channel yajiita AHLUL ATHAR DARSA ZAO KAAMIL MORE SO ZA ASUBUHI ZINAELIMISHA KUHUSU HAYA MAMBO PITIENI HUKO KI MIMI BINAFSI HII VIDEO NIMEITAKA HIVI ILIVYO EXACTLY!!!!KWANI NIKISIKILIZA DARSA AKITAJA MIFANO SHEIKH HUMEID ALLAH AMUHIFADHI HUSHINDWA KUELEWA VYEMA ALHAMDULILLAH KWA LEO!!!!!!
Kipimo cha uwali / usharifu ktk qurni ni uchamungu ان اولياء الله هم ا لمتقون Hakika ya mawalii wa allah ni wachamungu Watu wa bidaa sfa ya uwalii hawana kwa sabbu wanamsingizi mtume uwongo mtume kasema من كذب علي متعمد فاليتبؤ مقعده على النار mwenye kunisingozia mimi uwongo achague makaazi yake motoni Na mwenye kusapoti mtume kasema لعن الله من اوى محدثا amemlaani allah mwenye kumlinda mzushi Masufi angalieni haya maneno ya mtume kisha ...mutajiona muko wapi . Ila nasaha. TUBIENI MILANGO YA TOBA. IKO WAZI HAIJAFUNGWA
Halafutu ninani ktk swahaba au mjamwema yoyote aliekutangulia kuomba kwa staili hiyo? amakweli kuna kauli ya imamu nimemsahau Jina anasema ukiwa sufi asubuhi haifiki jioni ushakua mwendawazimu
Ndo shida ya Ahlu bidaa wanafanya shirki wakikatazwa usema wanamkufurishwa Sasa vitendo mfanyavyo si ukafirri sisi hatuwaiti makafiri ili tunawa masihi vitendo mfanyavyo ni vya washirikina madamu uhai bado mnao mnaweza tubia ndiomana hatujaitakidi ni makafiri Ila tunawaitakidi kuwa ni mmepotea katika bidaa zenye kufri, sawa akhy, tutamkatia mtu tamaa yule ambae ameamua kufa na itikadi hii ya kumshirikisha allah.ni hatari mafikio yake pabaya, na mwenye kumshirikisha Allah kuomba kupitia fulani, ni shirki pia, sabu atusamehe Allah waislamu wenye imani kidogo kinyume na shirki sasa ndugu zetu hilo hamjari kabisa hata kistuka tunapotea hivi wala kwanza ndo mnatetea ushirikina subuhana llah Maliki lkudus
Yaani mwaona hii clip ndio hujja ya watu kuabudu makaburi! Hizo ni dhanna mbovu za mawahabbi ambao sasa wajiita salafiyah! Hakuna sufi ambaye yuabudu makaburi lakini ni kupakizwa tope na hawa 'khawarij alsalafiyatul wahabbiya' wenye shirkul asghar wakiendeleza propaganda za mayahudi katika mujtamaa ya kiislamu!
Masufi ni walinganizi wa moto, so kuwafata kabisa wallahy,pamoja na Allah kukemea ushirikina, mtume kukataza kuomba kupitia chochote kilicho hi au wamekufa ni ushirikina ninyi watu walopotea huwezi waongoa
@AbdulIssa-o7e kama kweli waelewa nini maana ya usufi, basi hakuna ushirikina ndani yake, lakini kama huelewi utakaa ukipayuka maneno ovyo na kuwatuhumu ni washirikina ila ujue wasipokuwa washirikina basi yakuregelea mwenyewe!
@shariffali7780 mwenye macho haoni ambiwa, sabu ushakuwa mpotevu na moyo umekufa na kuzama katika njia uliyonayo unatetea hujijui kama umepotea, subuhana llah ama yushirkun Allah akuongoze sie na nyie, watu wanawaomba wafu bado unasema so shirki? Ama kweli ibilisi ni mbaya sana kuwapoteza watu na njia ya Allah, hata wakristo wanamshirikisha Allah, ukiwaambia watakujibu so ushirikina tunamuomba Yesu maombi yetu yakaribie kwa mungu muumba, kwahiyo Allah anawakili analotaka ihombwa hadi maombi yapitie kwa fulani, hata mganga wa kienyeji anafanya ramli na matunguli Ana hoja pia amshirikishi Allah, ndo kauli za watu walopotea awawezi kubali wamepotea lazima wakanushe na kuona wapo katika hakki hali ya kuwa upotevu
Unauliza nini mwenye macho ambiwi ona maskio Sikia, unaona kabisa watu wanalingania ushirikina kisha unajitoa ufahamu zinduka si ma khurafi wenzio hawoo, pamoja na aya zote Allah kukemea shirki na makemeo makali kwa watakao mshirikisha pepo haramu kwao na akhera watakuwa wenye hasara, endapo mtakufa na itikadi hizo
@darajanida mitume wa Allah kuanzia Adamu hadi mtume wetu muhammadi walopata taabu na madhila kulingania watu wabuadu Allah wachane na shirki kuomba kupitia fulani awe mzima amekufa hii kufri wazi wazi kabisa
@darajanida au unadhani ushirikina mganga wa kienyeji tuuh? Mlango wa shirki mapana akhy jitahidi kufatilia mi najuwa masufi hawasomi kazi yao ni kupiga ngoma tuuh siku zinaenda watoto hawajui kitu zaidi ya kupiga twari
@@AbdulIssa-o7e wewe unaongea sana umesema masufi wanabudu makabur.umeuilizwa na khii.hapo nini ibada.sisi masufi hatusomi nyinyi munao soma tufamishen nini maana ya kiwabudu karibu
Admin rudisha ile introduction ya kitambo ""Mpaka Kueleweke""
Hawa Masufi ni walinganizi wakubwa katika Shirki, Allah awaongoze nasie atuhifadhi tusiyafikie hayo.
Elimu kubwa sana na muhimu, mambo haya yanafichwa na kupigwa vita, lakini ndio Uislanu wenyewe.
Ukitaka kuomba muombe Allah siomwingine asiekua yeye
@@KiagoBakari kwaio ww humuombi baba yko pesa unamuomba ALLAH direct sio tusome kaka hatuja chelewa ndo utajua kila kitu ukiona kinamaanisha nn laa sivyo utajikuta kila kitu chako ni ushirikina
Kuomba kupitia mtume swala na salamu zimuendee haifai yani ukasema kwa baraka za mtume haifai sembuse maswahaba
Imeniuma sana kwann muweke makosa haya alafu amjaweka bayani hakika watapotea wengi kwahiii naombeni muitoe
Akhiy Allaah amuhifadhi ametoa video ya pili inayoonesha kuwa hili ni jambo lisilo faa "MASUFI NI SAWIA NA WAKRISTO"
@@islaminmyheart9348huo ni ukhariji
@@darajanidaukimshirikisha Allah unatoka kwenye Uislamu. Period!!!
Wakiwemo Babu zenu
Baarakanllah fiykum wajazakumnllah khairay
wapongza ujinga tu
Imam shafii alifikiria sana kuhusu usufi kisha akgunduwa kuwa ni UPUMBAVU
@@issaabdallah1205 imamu shafii mwenye ni sufi hauoni kuwa una mtusi
@@Abuusaad-uy5cx Alokwambia Imam shafi ni Sufi nani?? Jaahil murakkab
@@Abuusaad-uy5cx nani kama kasema imamu shafii ni Sufi
Subiri nkupe dalili
@@tigerroar3545 imamu shafii amekubali kutawassal kupitia kaburi la mtu mwema...na yeye mwenyew amefanya
masufiiiiiiiiiiiii juweni kuwa mtume kasema #atakae kutana na Allah haliyakuwa kamshirikisha ataingia moton)i jee hiii hamuioniiiii
Mh ndugu zetu masufi mambo yao mazito kwakweli
so ndugu zetu awa wajinga ila wajuwe tu ujinga si dharura
@@MustafaChiumbwe hio ndio sunnah someni wacheni ujinga
hawaja wazidi mawahab lakin wanowp mpa.allah sifa za viungo
Awa jamani hawasikii Tena Sasa Cha kufany ni kuwazima kisheria kwa kuwaondowa kwasababu si waislamu Tena washamshirikisha Allah
@@mohammed-x3g8e waislamu wote wakubali kutawassal na makaburi ya wajawema
Washirikina ni nyinyi wenye utatu wa ukristo .
ukisikia ukjawriji ndio huo sasa
Pamoja na Allah kukemea ushirikina na uchawi ni atakae kufa na hali hiyo haramu pepo kwake na amefanya dhambi kubwa atadumu milele motoni, lakini awa mabwana wa kisufi kwanza awajari kabisa,wanaendeleza shirki zao na uchawi uchawi ni hatarii xana, walitupoteza huko nyuma lakini saivi wame baki wao na wasojielewa
Awa muda kidog watapata wanachokitak hii ni laan kubwa ambayo watapata
Mambo yote haya mashia ndo chanzo
Dalili ziko chungu tele mwaziacha Kisha mwatumia hawa za nafsizenu
Subuhanqllah
Masufi sio mawalii bali ni MAWLI wapenda kula ona wanavotengeneza mazingira ya kupiga hela hawa jamaa wanabiashara nyingi kupitia mgongo wa dini ona biashara zao hizi sherehe za
Ziara za makaburi ,
Sherehe za khitima
Sherhe za arobini
Sherhe za birthday / maulidi
Sherehe za mwaka mpya
Sherehe za haqiqa nk
Mawahabi wacheni ujinga someni ...kama mnakereka itisheni mnaqasha kwa hiyo mada tuone vyenye mtaekwa sawa
Wahhab ni nani....?
@YusufAli-gc9cu wafuasi wa Mohammad Abdul Wahab mfano kama wewe wahabi
tubishane na waabudu wafu?
@@abumuadmahatmohamed kutawassal ndio mnakuita kuabudu wafu ... wacheni akili mbovu someni
Wafahamu ulichotuma au umekaririshwa tu...sasa hio Aya ndio inakataza kutawassal kwa wajawema??
Washirikana wakubwa hawa.
bainisha ushirikina wao punda wewe
Masufi washaneni akili mbovo
Itaqi llah ya ahlu kuburi, kuna moto wa Allah, kwa wafanyao shirki na watatolewa motoni waislamu wenye madhambi ya isiyokuwa haya ya shirki, itaqi llah ya ahlu kuburi,,,, itaqi llah ya ahlu kuburi,,, jahanamu ni mafikio ya makafiri na washirikina
@@AbdulIssa-o7e
(Ahlu kuburi ).
Kwani wewe upo makaburini hata uwalinganie walio makaburini ?.
@ZogoMtaani ahli kuburi si watu wa makaburi mnae acha ibada sahihi ya kumcha Allah mkawapa viumbe walio lala hapo chini na wao waitajia msaada wa Allah katika nusra, ninyi mwawapelekea maombi wawafikishie duwa zenu kwa Allah, mmepotea xana tubieni kwani hamna tofauti na washirikina walio kuwa zama za mtume walipo ambiwa wasiabudie wasoskia wakajibu atuwaabudu Bali tunataka watufikishe karibu na allah
@@AbdulIssa-o7e
Ninani anae abudu makaburi ?.
Sisi sio nyinyi mulie mruhusu mfalme wa al saud kuzini na kulawiti kwenye tv kila siku nusu saaa.
@ZogoMtaani mfalme anahusiana Nini na dini yetu au Imani yetu hivi unaakili sawa sawa kweli ww? Au dishi limeyumba? Mana kuna watu waongea nawo ni wanywa gongo hata kuswali hawaswali arafu unakuta wanajitokeza kutetea mawlid mtihani kweli kweli, Sasa mfalme wa saudia na kuabudia kwenu makaburi kuna husiana Nini katika dini
@ZogoMtaani nyi washirikina bwana wazi kabisa amu kuabudu Allah Bali mnawatukuza masharifu zenu, mpk walokufa mkiamini duwa zenu zipitie kwao kisha ndo ziiende kwa Allah yani mumetanguliza maiti, kuliko Allah subuhana wataala wale ndo mmewafanya mabwana wa kuwafikishia shida zenu kwa Allah na hamjui katika ulimwengu walionao huko wanaitajia msaada nao lakini akili zenu zilivyo maiyte kama wao mkaona kuwafukuze
wambieni awa ujinga si dharura
Ndg zangu wa kiwahabi someni mutoke ujinga haya haya ndo yaliwapelekea kufika kusema barzanji ina ushirikina ila kwenye niqash mkashindwa kuonesha shirki iko wp kimbe tukajua shirki iko kwenye akili zenu na ufahamu wenu kwaio kwa elimu hio nusu mwsho hadi baba zenu mtawaita makafiri au mtasema walikufa makafiri
Masufi ni wachawi sana na wadhirikina amnaga sufi aloijuwa njia ya sawa zaidi ni kuwangia watu na matunguli tunguli ndo mnachojuwa ninyi Allah awaongoze katika hakki
Kwani ww kwaakili yako katika barazanji hamna shirki, shirki ipo sana tuuh,hakuna alishindwa kuthibitisha shirki ndani ya barazanji huo ni urongo nyi endeleeni tu na ibada zenu ipo siku mtakuja kujuta ni muda ambao Allah atawatoa motoni, waislamu walikosea madhambi mengine so shirki, na wamesoma wanajuwa aombae kupitia kitu fulani ni kumshirikisha Allah na shirki ni finnari jahanamu hawatotolewa motoni katu mushirikina shauli zenu mmepotea bado mnatetea upotovu wenu
@@AbdulIssa-o7e huu ni uongo dharihi yaani unaongea uongo mchana kweupe hem onesha hua uchawi au ushirikina wa masufi kma ww ni kidume kisha na cc tukuoneshe mazishi ya shekh ibn taymiyyah uone shirki za kiwahabi unajua cc tunawaonea huruma tu na kuheshimu hatupendi kukosoa watu lkn lau tunayatoa yaliyomo kwenye vitabu vyenu bc hata ww utakimbia nikupe kdg tu hivi unajua shekh Albani amejuzisha punyeto na anasema mchna wa ramadhan ukipiga bc haiharibu swaum na shekh ibn taymiyyah amesema ALLAH akitaka anaweza kukaa juu ya ubawa wa mbu hem hayo maneni unachkuliaje bro tunawastiri tu lkn nyie ndo muna matopofu zaid cc tunaheshimu tu kma unajua kuna kitu kinaitwa adabul ikhtilaaf
@@AbdulIssa-o7eonesha hiyo shiriki kwenye barzanji uone naso tuoneshe uchafu uliomo kwenye matabu yenu ibn naazamimi ibn taimia anasena allah anachoka hili vip.ni tauhud au punda wewe
@darajanida uzuri sisi hatuna taasubi na mashekh kama ninyi khurafi shekh alisema kasema, sisi kauli za shekh huwa tunazipima zimeendana na hadithi za mtume kama haijaendana tunawacha fatuwa zake, tunasema shekh kajitahdi Allah atamlipa mara moja, alipatia analipwa mara 2 ndo alivyosema mtume ulamaa ni mujitahidi,wakipatia Allah anawalipa mara 2 akikosea analipwa mara 1 kwa kujitahidi Sasa ww una dharula hiyo?? Au toka uzaliwe umeandika kitabu gani katika uislamu umeifanyia Nini dini!? Yako? Mpk umshambulie shekh islamu na hizo mbinu na chuki za watu wa bidaa, alama za kuwajuwa Ahlu bidaa na dhwalala watu makundi potofu, kinyume na uislamu safi wa mtume, ni kuwasema na kuwatukana maulamaa wa ahlsunnah, haisaidii kitu, shekh islamu ni miongoni mwa mwanazuoni mkubwa sana anapendwq na watu wa kheri anachukiwa na makhurafi wasaidizi washeitwani mmekazana kumtukana na hayo yanawarudia wenyewe tuu!! Sana sana mnazitia nafsi zenu hasara tupu! Na kiama mtakuwa wenye majuto makubwa wanaudhubillah Allh ataunusuru na ma ibilisi wa kibidaa Hawa mnaesaidiwa na baba yenu ibilisi wa kijini kupoteza watu na kuzima Nuru ya dini sahihi ya mtume
Yani mtu anaomba kabisa jiinaakum(tumekuja kwenu) qaswadnaakum(tumewakusudia nyingi).. hii ni shirki ukweli lazima usemwe.. acheni ushirikina.. mkitaka kutawassal Kwa Allah basi yeye mwenyewe ashasema katika surat al aaaf aya ya 180.. " Allah ana majina mazuri muombeni kupitia majina hayo" acheni ushirikina wa wazi kabisa
Hawa masufi washirikin
@@ahmedabry293 Sasa je mi najiuliza awa wanasoma Quran ipi ambay Haina mazingatio
Kwanza wajua nn maana ya kutawwasal bro ama watoa upotofu tu
@@ahmedabry293 hawa watu wanajidhihirisha haradharan upotofu wao yaan masuf sijui wanayajua wayatenday au wanajifanyia tu upuuzi wao
Kwani kumkusudia kiumbe au kumjia kiumbe ni shirki ?.
Acha ujinga kuomba kupitia mtu swala na salamu zimfikie haifai sembuse kupitia maswahaba?
Mtihani hu nawamesoma hawa Quruan. Sijui wamakubwa na nini
Safi Salafi channel kufichua haya walikuwa wamezifuta hz vdeos zao
😂😂😂 kwn zilikua zimefichwa wp au lini bro acha kudanganya watu hizi clip zipo wazi na ukitaka ata cd utatolewa sasa balaa ni nyie mawahabi kuna baadhi ya vitabu vinaishia kukaa tu lkn hamvisomeshi ili watu wasione upevu wenu na kufuru na kejeli zenu kuweni na inswaaf hapa tunapita tu
@LASSUH4947 kumbe hadi cd za kuabudu makuburini mnazo,mmejipanga,
@@tigerroar3545nyinyi kuna mjonga wenu mmoka asema ana nywele za mtume
MASUFI NI WASHIRIKINA WAABUDU CHOCHOTE WANACHOKIONA KINAWARIDHISHA KWASABABU HAWANA YAKINI NA MOLA WAO WAMEWATUKUZA JAMAA ZAO MPAKA WAMEKUFA BADO WANAWAABUDU!!
Ni sahihi akhy pamoja na Allah kutuma mitume na kukemea shirki bado Hawa jamaa wanakomaa, Allah usamehe dhambi isipokuwa shirki, na mafikio ya washirikina ni tandiko la moto wa jahanamu milele humo hawatotolewa, hivi awa quruani ipi na mtume yupi wanamfata wao?
@@AbdulIssa-o7elinyume cha shirki ninini.naumba jibu
Toeni hii video chafu tafadhalini. Kama hakuna radd kumbukeni kuna watu hawajui kusoma wala kuandika na wanategemea hii channel ya sunnah. Sasa wakiona video kama hizi bila radd wanaweza wakatekwa na hii fikra wakidhani kuwa ni sunnah. Kwahivyo tafadhalini msimamizi wa hii channel kuwa makini na hii jambo.
Usiweke video bila kufanyiwa radd. Kumbe sio kila mtu msomi.
My humble request mwenye atasoma hii message na apitie Channel yajiita AHLUL ATHAR DARSA ZAO KAAMIL MORE SO ZA ASUBUHI ZINAELIMISHA KUHUSU HAYA MAMBO PITIENI HUKO KI MIMI BINAFSI HII VIDEO NIMEITAKA HIVI ILIVYO EXACTLY!!!!KWANI NIKISIKILIZA DARSA AKITAJA MIFANO SHEIKH HUMEID ALLAH AMUHIFADHI HUSHINDWA KUELEWA VYEMA ALHAMDULILLAH KWA LEO!!!!!!
@@SugowFarah-up3db ni swadakta maneno Yako atamimi ningelipendekeza iekewa rad kwa awa mayahudi
😂😂😂 kwaio hawa ni mayahudi na nyie c mtakua wakristo eeeee@@mohammed-x3g8e
Kama umekubali hii video ni chafu basi umekubali yanayofanywa hapo ni machafu pia
Huyu atakuwa miongoni mwa washirikina katika hawoo masufi maana huwezi chukia kukemewa vitu vya ushirikina usipo kuwa nawe utakuwa miongoni mwao
اللهم انصرنا يا رب 😢😢😢
Kipimo cha uwali / usharifu ktk qurni ni uchamungu
ان اولياء الله هم ا لمتقون
Hakika ya mawalii wa allah ni wachamungu
Watu wa bidaa sfa ya uwalii hawana kwa sabbu wanamsingizi mtume uwongo mtume kasema
من كذب علي متعمد فاليتبؤ مقعده على النار mwenye kunisingozia mimi uwongo achague makaazi yake motoni
Na mwenye kusapoti mtume kasema
لعن الله من اوى محدثا amemlaani allah mwenye kumlinda mzushi
Masufi angalieni haya maneno ya mtume kisha ...mutajiona muko wapi . Ila nasaha. TUBIENI MILANGO YA TOBA. IKO WAZI HAIJAFUNGWA
Halafutu ninani ktk swahaba au mjamwema yoyote aliekutangulia kuomba kwa staili hiyo? amakweli kuna kauli ya imamu nimemsahau Jina anasema ukiwa sufi asubuhi haifiki jioni ushakua mwendawazimu
Imam al shafie Allah amrehemu
Sahaba gani hata mojawapo aliesoma majina ya ahlul abadri?
Kwan kuna hadith yasema kama hawakusoma niharamu kusoma
Eti wanihurm kazi yenu kukufursha waislam wenzenu tuiteni tufanye mjadal alafu mbona mwaropoka mkiwa wenyewe mkiitwa hmtaki
Ndo shida ya Ahlu bidaa wanafanya shirki wakikatazwa usema wanamkufurishwa Sasa vitendo mfanyavyo si ukafirri sisi hatuwaiti makafiri ili tunawa masihi vitendo mfanyavyo ni vya washirikina madamu uhai bado mnao mnaweza tubia ndiomana hatujaitakidi ni makafiri Ila tunawaitakidi kuwa ni mmepotea katika bidaa zenye kufri, sawa akhy, tutamkatia mtu tamaa yule ambae ameamua kufa na itikadi hii ya kumshirikisha allah.ni hatari mafikio yake pabaya, na mwenye kumshirikisha Allah kuomba kupitia fulani, ni shirki pia, sabu atusamehe Allah waislamu wenye imani kidogo kinyume na shirki sasa ndugu zetu hilo hamjari kabisa hata kistuka tunapotea hivi wala kwanza ndo mnatetea ushirikina subuhana llah Maliki lkudus
@AbdulIssa-o7eikowapi hiyo shirki
Hatuabudu makaburi twazuru makaburi mutaulizwa kwa kunena urongo manuozua.
Mnaomba mait bwana
Mjombako hapo mwanzo wa video ananena kuwa anataka dalili ya kukataza kuomba maiti
@@RamadhanKheir
Ni sawa pia kwani ikiwa unaweza kuomba kwa aliyehai je maiti haifai?
@@abumuadmahatmohamed
Hata mimi nataka unipe dalili ilokataza
@@shilingi-Ahmadi kama kweli hamuombi maiti mbona ukiambiwa haifai kuomba maiti wataka dalili?
Yaani mwaona hii clip ndio hujja ya watu kuabudu makaburi! Hizo ni dhanna mbovu za mawahabbi ambao sasa wajiita salafiyah! Hakuna sufi ambaye yuabudu makaburi lakini ni kupakizwa tope na hawa 'khawarij alsalafiyatul wahabbiya' wenye shirkul asghar wakiendeleza propaganda za mayahudi katika mujtamaa ya kiislamu!
Si sheikh wenu adai ataka dalili ya kukataza kuwaomba wafu
@@shariffali7780 ww mjingaa unajuwa unachokizungumz na ao viongozi wenu mwajitafuna tu maana yak io nilaan
Masufi ni walinganizi wa moto, so kuwafata kabisa wallahy,pamoja na Allah kukemea ushirikina, mtume kukataza kuomba kupitia chochote kilicho hi au wamekufa ni ushirikina ninyi watu walopotea huwezi waongoa
@AbdulIssa-o7e kama kweli waelewa nini maana ya usufi, basi hakuna ushirikina ndani yake, lakini kama huelewi utakaa ukipayuka maneno ovyo na kuwatuhumu ni washirikina ila ujue wasipokuwa washirikina basi yakuregelea mwenyewe!
@shariffali7780 mwenye macho haoni ambiwa, sabu ushakuwa mpotevu na moyo umekufa na kuzama katika njia uliyonayo unatetea hujijui kama umepotea, subuhana llah ama yushirkun Allah akuongoze sie na nyie, watu wanawaomba wafu bado unasema so shirki? Ama kweli ibilisi ni mbaya sana kuwapoteza watu na njia ya Allah, hata wakristo wanamshirikisha Allah, ukiwaambia watakujibu so ushirikina tunamuomba Yesu maombi yetu yakaribie kwa mungu muumba, kwahiyo Allah anawakili analotaka ihombwa hadi maombi yapitie kwa fulani, hata mganga wa kienyeji anafanya ramli na matunguli Ana hoja pia amshirikishi Allah, ndo kauli za watu walopotea awawezi kubali wamepotea lazima wakanushe na kuona wapo katika hakki hali ya kuwa upotevu
Maslafi ni wehu uelewa wenu wa kuku
maskini nakuhurumia.Allah akuongoze uwajue wehu wa kweli
Mwehu ni yule asietumia uelewa wa mtume na maswahaba
Yani dini yatakakiwa ufwate vilewalivyo elewa mtume swala na maswahaba sio kwaufahamu wa sheikh lako
@@ayubahmed9490Aamiin
@@KiagoBakariswadakta!!!
Nini KUABUDU?
Unauliza nini mwenye macho ambiwi ona maskio Sikia, unaona kabisa watu wanalingania ushirikina kisha unajitoa ufahamu zinduka si ma khurafi wenzio hawoo, pamoja na aya zote Allah kukemea shirki na makemeo makali kwa watakao mshirikisha pepo haramu kwao na akhera watakuwa wenye hasara, endapo mtakufa na itikadi hizo
@@AbdulIssa-o7ewewe umeulizwa nini kuabudu umealizwa jibu
@darajanida mitume wa Allah kuanzia Adamu hadi mtume wetu muhammadi walopata taabu na madhila kulingania watu wabuadu Allah wachane na shirki kuomba kupitia fulani awe mzima amekufa hii kufri wazi wazi kabisa
@darajanida au unadhani ushirikina mganga wa kienyeji tuuh? Mlango wa shirki mapana akhy jitahidi kufatilia mi najuwa masufi hawasomi kazi yao ni kupiga ngoma tuuh siku zinaenda watoto hawajui kitu zaidi ya kupiga twari
@@AbdulIssa-o7e wewe unaongea sana umesema masufi wanabudu makabur.umeuilizwa na khii.hapo nini ibada.sisi masufi hatusomi nyinyi munao soma tufamishen nini maana ya kiwabudu karibu