muze likoma mbona unatowa macho ,mutalamu.wako anakuacha ,kep.zeb sasa wanashanga kwa gisi amewaponyoka eti anaenda kujisaidiya makubwa hayooo❤❤❤😂😂😂😂😂,pole san muze likoma n'a mali zakuzulum 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂ya leo kali ni full kucheka mda wote jamani love you so much 😂😂😂 zebuu eti mwiziii 😂😂😂,,,alaf mzee likoma unatabia mbaya kinachomkuta matikisa we unamcheka wkt ww ndo unamponza mwenzio 😂😂😂😂ya leo kali lakini haireweshi unakuwa strong 💪💪💪 Big up team yote
Wanaomkubar likoma na watoto wake gonga like
Weeee zebuu weeee.weeee likomaaaa weeee kisai weeee weeematikisaaaa kp .nawapesa wote leten kingine Cha Saba
Hongereni kwa kazi nzuri kiukweli muna tupa burudani nzuri Sana mashabiki zenu
Gonga like apa ka una furahia
hallafu fundi maji nae.yakamukuta pole sana kisai.kwa uganga wakoo mutakutana n'a dibozi manuva❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Ambao tunaomkubal
Kp na ,,,,,,,,,,,,,likoma....
Na zebu..please gonga like..tujuane
😂😂😂😂❤❤❤
Kumtaja mandojo legend mmekosea sana, its better mgemtaja kwa mazuri... Hata yeye huwez jua alikumbwa na nini mpaka akajikuta kanisan.
All in all nawakubali sana
Kwakweli likoma dangote katisha sana maua ako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
muze likoma mbona unatowa macho ,mutalamu.wako anakuacha ,kep.zeb sasa wanashanga kwa gisi amewaponyoka eti anaenda kujisaidiya makubwa hayooo❤❤❤😂😂😂😂😂,pole san muze likoma n'a mali zakuzulum 😂😂😂
Duuuh😂😂😂😂😂 we kp au likoma kisai mtanivunja mbavu haki, sijawai coment Leo nimewapa makopa yenu❤❤❤❤
Daaah tangu nifuatilie hii movie nikali Sana like yenu❤❤❤
nawakibar sana ila mnachelewa kitoa mwendelezoo jmnn daah
😂😂😂wueee likoma jamani mnanimaliza na kundi lako wueee nawapenda sana
❤
❤❤❤❤❤Kwa kp na zepu na timu yako
Likoma ni best katika kuiza uzeee
Guys good job wakubwa zangu naombeni like jmn🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mzee likoma hazeeki Na huyo muganga wake🎉😂😂😂😂😂❤
Toka move imeanza leo nimecheka hongeren san from TZ
Nice sana cezeni kama nyie nawapenda Xanax,❤❤❤
❤❤❤❤❤ongera kazi mzuri Mungu akuzidishie kipaji
Iyi movie nzuli ila tu tatizo mnakawia inatuma naceka kweli mpaka nasahau tress za kazi
Hongera sanaa kp na na zebuu mmenifurahisha sanaa😂😂😂😂
Kisai umeyakanyanga kp na zebuu pokeeni maua yenu 🎉🎉🎉
Kp na zebuu nawapenda
Zambia 🇿🇲 🇿🇲
Aki wanifurahisha nyinyi wote shika maua🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Likoma umetisha sana
Napenda sana video zenu lakini Napenda zaidi mumalizie kwanza plan B liko nikuna sasa ku roho. Ni Wasso kutoka Congo DRC
Leo ni mimi wa nane kwa comment asante sana kp pamoja na team yako yote nawapenda kwa kazi freshy
😂😂😂😂😂😂😂Mr Likoma na Diboz jamani shey shey kaondoka na si yeye,alaf huyu kisai n mlagai
Mbona huwa mnachelewa sana kutoa muendelezo
Ivi kuna mtu anacheka kama mm kweli kwaajl ya hii move,likoma kp zebuuu maua yen🎉🎉🎉🎉
Yani mi mbavu Sina kwakweli😂😂😂😂
@@jennymali4368 so poa kbs
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team aquino
kazi nzuri sana from DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
yani kp na zebun jaman❤❤❤❤
Wapili Leo kutoka TANZANIA.
🇹🇿🇹🇿❤❤❤
Kazi nzuri likoma
Mwiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂 naombeni likes zangu jmn❤❤
Mzee Likoma mjijga sana, ameshaona mganga anapigwa makofi halafu anampeleka ndani eti akapambane na mzim😂😂😂
Jamani barikiwe sana
Mzee likoma kanipa raha kweli
Congratulations 🎉🎉🎉 mzee likoma 100K
Nimejaribu😂,,much love from Kenya💙💙
IBR macompyut wakwanza kwalikoma dangot❤❤❤❤
Mganga leo umefikiwa chukua cumahicho 😂😂😂😅😅😅😅😊😊😊😊😊
Mm ndo wa mwisho kutoka kenya ila kazi nzuri sana team kp na zebuu nmechekaa 😂😂😂😂😂
Kp na zebuu, humu mmetisha
Mambo
Jamani eti dada na kaka
Wa mwisho
😂😂😂😂😂😂😂😂aaaah kmmk Leo nimecheka kisengee so kwa walivomfanya mganga
Zebuu mrembo unaniuwa sana
Mzee likoma mm nikukubali kinoma
Jameni Mnanichekesha😅😅😅😅Ety mwiziii....mwiiii😅😅😅😅
nitaachaje kuwapenda kwa vituko hivii 😂😂😂
Waa hamsini na tano leo jaman
😂😂😂😂 dhulma cio nzuri cku zte😢
Mtu anakaa anasubili like ndo nn toa maoni nn wafanye ili tuzidi ku enjoy sio kuomba like tu kuoga aaaaaaah team kp mnajuwa sio pouwa
Hivi hua wanapata nini
Kweli kabisa
mm kwa maoni yangu kama mkenya 254🇰🇪iziishe plz ata ikifika 1k mm sina shida nina mda wa kuona
From Tanzania mnipe like🎉
Selina mamb
Ware wote watanzania naombeni like zenu wanao ifatilia tamsilia hi!😮😮😮😮
WA Kwanza Leo kutoka KENYA nipeeni like 20 jamani
❤❤❤❤❤❤
😂😂😂😂
😅😅 kenya oyeeeee
😮😮
Mimi naitwasamweli josefu nawapongezarikoma hatar
Nimefk mzenj hongra san kaz nzr
Twende kazi Mzee likoma
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Lakini watu mnaomba likes kuliko kupongeza kwa kazi nzuri
Waambie aki sijui wanasipelika wapi
Namim naomben like nimewah leo
Ila hii Mr. Money Ni full comedy😅😅😅
Aki kwa hii ote mmekuwa wachekeshaji🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mzee likoma hii movie nzur sana
Wakwaza Leo nipe2 namm like zangu
Jamni na Mimi nip hap naomba ata like 5
Naomben like jaman 🎉🎉❤❤❤❤
mnacherewesha mno hii movie
😂😂😂😂😂we MZEE LIKOMA 🎉🎉🎉🎉mauwa yako nawapenda sana
😂😂😂😂😂😂😂😂hapo kwa mzee likoma nadiboz kuongea kwako kunanifrahisha mnoo❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Kisai,,,,Mzee likoma,nimepigwa na nyundo
Mzee likoma,,,hiyo sio nyundo ni Kofi babaa😅😂😂😂😂
Hiv jamn suraj yuko wap nimemmic
Walae hii ni kali sana 😂😂😂😂❤❤❤❤🎉🎉kp na sebuu enda mbele
Vibwengo kama baba yao
Nimekubar movie zenu ila twaomba msichereweshe sana kutoa😍😍😍😍
aki nmecheka yangu yote ......mzee likomaa chukua maua yako❤❤❤❤❤
matikisa tetema😂😂😂😂😂😂😂😂oooh mama tetema akh Mzee llikoma jamani
Likoma utakoma,matikisa utatikiswa yani nyie ndumbwi 😂😂😂 eti...ya leo kali😅😊🎉🎉🎉🎉
Movie nzuri sana master ❤❤❤😂😂😂😂🎉🎉😢😢😢😢😢😮😮
Aweeh likoma❤❤
Mm kutoka Kenya pokea yangu like
My money🎉 nice work
❤❤❤❤❤❤❤kazi nzur mungu akuze vipaji vyenu
Aki nimecheka leo good job watu wangu❤❤❤
Daah kisai Leo umeyakanyanga kp na zebuu pokeeni maua yenu 🎉🎉🎉🎉🎉
Team kp na zebuu mmetishaaaaaa. Nawapenda sana
🤣🤣🤣🤣🙌🙌mgangaaa namechekaa mm likoma kzi unayo babaa❤❤
😂😂😂😂😂😂😂ya leo kali ni full kucheka mda wote jamani love you so much 😂😂😂 zebuu eti mwiziii 😂😂😂,,,alaf mzee likoma unatabia mbaya kinachomkuta matikisa we unamcheka wkt ww ndo unamponza mwenzio 😂😂😂😂ya leo kali lakini haireweshi unakuwa strong 💪💪💪 Big up team yote
Kumekuja sasa😂😂😂😂 mganga kayatimba katimba nayo
zebu god akibless mcutie❤❤❤🎉🎉🎉
Hongeren San kp &zebuu mumejuwa kunifulahsh haha😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Ha😅😅😅 jaman Leo nimewah sana naombeni like Zang please jaman
Jaman hongereni sana mnafanya vizur sana
Mnachelewesha sana aisee tunaboeka bana
Ya leo nmeipenda kwa kwel mganga kanichekesha san ahahahah
😂😂😂😂mnafurahisha sana kwakweli ila ninamalalamiko zebuu alinikataa
😂😂😂😂 wapi mzee likoma
Abari kp
❤❤❤😂😂😂mganga matikisa imetikiawa weee mwisho wasiku umekata moto ohooo😢
*😂BETRAYAL HOUSE* alwàys funny 😅
Wanaowakubali kp na zebuu gonga luke🎉🎉🎉