BABA YANGU KIPOFU Full episode /53/

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 485

  • @SelinaWilliams-z7h
    @SelinaWilliams-z7h 3 години тому +54

    Jamani atakae soma hii msg Mungu ampe hitaji la moyo wake

  • @LeyianSteven
    @LeyianSteven 3 години тому +30

    Wa kwanza kutoka Kenya 🇰🇪. Mnipe likes za BABA KAROBO 🎉

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 2 години тому +41

    Ile kiusawa hii movie ilikua yiishie pale babakarobo kamuowa zuu wangap wanakubaliana na mmi😂❤❤❤

    • @Mwendakanambia
      @Mwendakanambia Годину тому +1

      Hii movie inazindi kuwa tamu zaidi endeleni mpaka episode 101❤❤wapi like Kama unakumbaliana na Mimi from Kenya alfu huyu kendi ni mkenya ❤❤😂😂

    • @dadaamwazewe1299
      @dadaamwazewe1299 Годину тому

      @@Mwendakanambia 😂😂😂😂😂😂😂

    • @noreennafula-zj8zp
      @noreennafula-zj8zp 18 хвилин тому

      Wazo langu pia jamani😂😂

  • @JudyMassawe-n5c
    @JudyMassawe-n5c 3 години тому +9

    dah!ndg zangu mpo chapu mda wote mnaichungulia kama baba karobo imetokaa😮😮.🎉🎉 hongera bb karoboo

  • @RamazaniMustafa
    @RamazaniMustafa 2 години тому +14

    Iyii movie munaenda kuiaribu sasa tume ichoka kabisaa

  • @AzizaQueen-lr8oz
    @AzizaQueen-lr8oz 3 години тому +12

    Jmn Leo nimewai kabisa like kwangu nawapenda team baba karobo mpo🎉🎉🎉❤❤😂😂😂😂😂

  • @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u
    @AbdulrazaqueNfaumeAli-s4u 2 години тому +89

    Hii movie inatosha sasa kama unakubaliana na mimi gonga like apa 🎉🎉🎉 from mozambiqui 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @SamwelMutembei-d6t
    @SamwelMutembei-d6t 3 години тому +11

    Nomba likes zangu from kenya

  • @SaidMohamed-d9k
    @SaidMohamed-d9k 3 години тому +11

    Baba kalobo au Baba Joan unajua ukiwa unamba asali,lamba kidgo ili baadae upate kuilamba itakukinai,movie ilikua nzuri n tamu sanaa ila unakoendelea ni upuunzi sasa umeharibu kila kitu

  • @jaycburundi257
    @jaycburundi257 3 години тому +14

    Nimesha fika lakini baba kalobo ucunge vizuli uyo dada
    Usije unajuta badaye na ujue eti mke wako amekusaidia vingi na anapenda Mwanako Ila tuyitegemeye tu na jua ni filemu lakini musisahau kuonyesha upendo mukugonga likes hapa kwa hiyi comment mie mufana wa baba Joan kutoka burundi❤❤❤

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 3 години тому +141

    Hii movie naiishe jaman kama ni baba karobo alipona, huko mnakoelekea mnaharibu movie leten movie nyengine mpya😂

    • @PaasaPaul
      @PaasaPaul 2 години тому +9

      Tena wanaharbu kwel ngoja tuone mwisho wao

    • @emmaemmaculate
      @emmaemmaculate 2 години тому +13

      Baba Joan tuletee episode mpya mkuu,naamini kazi Yako ila episode ikiisha buni mpya,,,,hapa tunarudi nyuma.ni ushauri tu

    • @SalamaSalama-c1q
      @SalamaSalama-c1q 2 години тому +5

      Hapo umesema

    • @VickyVictor-k2c
      @VickyVictor-k2c 2 години тому +5

      Kweli kabisa unasema kweli

    • @AmirNgunde
      @AmirNgunde 2 години тому +4

      Nikweli kabisa

  • @FurahaMKwenya
    @FurahaMKwenya 3 години тому +14

    Kazi nzuri,ila mnakoenda sasa mnaharibu. Bora mngemaliza tu pale baba karobo alipoona na kuonesha jinsi alivyofanikiwa kimaisha tena.

  • @Bonh2herbert45
    @Bonh2herbert45 3 години тому +6

    Cool baba Joan ❤❤❤❤🎉🎉❤❤

  • @samwelomachi7740
    @samwelomachi7740 3 години тому +6

    From Kenya enjoying it

  • @SaidyMaige-h9g
    @SaidyMaige-h9g 3 години тому +7

    KAZI KALI ILE MBAYA KAKA BIG SANA

  • @Dadaamwazewe
    @Dadaamwazewe 2 години тому +6

    Tumewai leo more love team baba karombo 🎉🎉❤❤

  • @TanashaPamelah
    @TanashaPamelah 3 години тому +42

    Kama unaamini mpango wa mama karobo hauwezi kufika mwisho gonga like tu

  • @GraceMumbere-q7v
    @GraceMumbere-q7v 2 години тому +1

    Mimi 🥰 burudani hapo mwisho fire 🔥kwa kweli unyama mwingi sana patronize ft zû

  • @ChristianKihindamuko-ke3lv
    @ChristianKihindamuko-ke3lv 3 години тому +5

    Hâta nami nimehai kutoka Congo drc

  • @Hadija-o5b
    @Hadija-o5b 30 хвилин тому +1

    Ila nasra mzuri jamani ,mungu fundi

  • @swabrinamwaka2437
    @swabrinamwaka2437 3 години тому +11

    Nasira sihapenda kwa kweliiii😢🎉🎉

  • @SalmaMkwenda
    @SalmaMkwenda 3 години тому +8

    Nawapenda sana trem baba kalobo

  • @jamallnyello5743
    @jamallnyello5743 2 години тому +3

    Baba karobo kapona malizeni movie mnakoelekea mnaiaribu kabisaaaaaaa

  • @AMORICHIssame
    @AMORICHIssame 3 години тому +8

    Daah me niwapongeze tu maana mupo chapu sana.

  • @AbigailKibona-o6q
    @AbigailKibona-o6q 2 години тому +6

    Hii movie iishe mana hapa hatupati funzo ila tunaelekea kupotezeana muda na mashabiki🎉🎉🎉🎉 kulingana na inako elekeaa

  • @freddyplaniddy4571
    @freddyplaniddy4571 3 години тому +13

    Kazi nzuri sana

  • @Joy-k4t8y
    @Joy-k4t8y 3 години тому +10

    Baba kalombo unajawa Cady vile anasubuwa Kwa house girl 😂😂😂 anajuwa kucheza card zake poa kuwa makini sana😅😅

    • @beatrice9186
      @beatrice9186 2 години тому +1

      😂😂😂😂true

    • @Joy-k4t8y
      @Joy-k4t8y 2 години тому

      @@beatrice9186 Cady ni sumu hatari 😂😂

  • @joaquinamididimididi8810
    @joaquinamididimididi8810 3 години тому +3

    Kazi nzuri baba joan

  • @esthermsango5849
    @esthermsango5849 Годину тому +2

    Wanaotamani mama karobo aumbuke weka tick

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 2 години тому +3

    We we candy kazi yako kubwa ni kufurunga ndoa za watu umezidi mama

  • @clémchoux
    @clémchoux 3 години тому +11

    Baba kalobo usituaribishiye movie tunapo elekeya siyo pazuri

    • @Favouredone-c3p
      @Favouredone-c3p 2 години тому +1

      Leta ya kwako tuichangamkie

    • @fortunegerishom1827
      @fortunegerishom1827 Годину тому

      @@clémchoux ᴛɪʏᴀʀɪ ᴋᴀsʜᴀʜᴀʀʙᴜ ᴍᴘᴜᴜᴢɪ ʜᴜʏᴜ,,

  • @simonmaige3580
    @simonmaige3580 2 години тому +3

    Mzee baba unakoelekea unaharibu ujumbe man

  • @Mumlion2624
    @Mumlion2624 2 години тому +7

    Tunaomba huu mchezo ufike mwisho baba karobo

  • @Mhengaofficial01
    @Mhengaofficial01 2 години тому +10

    Mwambieni mwandishi amechemsha maji kwa moto was mshumaa hajui kuandaa series😮😮

    • @YusraSiyaleo-yk2fz
      @YusraSiyaleo-yk2fz 2 години тому +2

      Toa iyo picha ya kolo kwenye profile yako 😂😂😂😂😂

    • @mwelusi2549
      @mwelusi2549 2 години тому

      kwani kuna new characters are coming up again 😢

    • @SarahMpwehuka
      @SarahMpwehuka 57 хвилин тому

      ​@@YusraSiyaleo-yk2fzwewe kiboko sikuweza nimeiona nikashtuka hata mm😂😂😂😂😂

  • @AbouQataadahNassoro
    @AbouQataadahNassoro 3 години тому +8

    Leo mapema sanah

  • @RonaldMibei-v2s
    @RonaldMibei-v2s 3 години тому +7

    Mimi borake baba karobo amepona hayo mengine ni yenu🤠🤠🤠

  • @ArakazaOdrick
    @ArakazaOdrick 3 години тому +8

    Nayipenda ❤🎉❤🎉

  • @TatuMkeso
    @TatuMkeso 2 години тому +5

    Malizen muv,hk inakoelekea itaisha vibaya sana

  • @shekyajonasjojos
    @shekyajonasjojos 3 години тому +9

    Mimi wa kwanza toka 🇧🇮

    • @NadiauweraUwera
      @NadiauweraUwera 2 години тому

      Wapili kutoka burundi jameni nimecelewa ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @SyombuaMuvengei
    @SyombuaMuvengei 3 години тому +8

    Leo nimewai ndondosheni like hapa jamani jooni tusemesane hapa kusu mama karombo duh anavimbwanga huyu from Kenya 🇰🇪 ♥️ ❤❤❤❤

  • @JoshuaGodifreyJoshua
    @JoshuaGodifreyJoshua 3 години тому +6

    Mshaanza kuzingua mkianza vzr lkn now unavuruga movie

  • @EricMakanisa
    @EricMakanisa 3 години тому +11

    wa 42 leo munipe like namungu atawabariki nina mufatiliya baba kalobo jisi kendy anatamu changanya mara pili huruma mingi huwa ina haribu

  • @osmundmchunguzi
    @osmundmchunguzi 3 години тому +9

    Wakwaza leo nipeni like zangu

  • @NiyomwungereFlorence-q6q
    @NiyomwungereFlorence-q6q Годину тому +2

    Daaaa bola mbadilishe jina man sio baba kipofu tena

  • @SophiaAlifa
    @SophiaAlifa 18 хвилин тому +1

    Ila baba karobo mnaenda na uyo dada ila sio kwazujati nawapenda sana ❤❤❤

  • @jubaidamiss2409
    @jubaidamiss2409 3 години тому +7

    Next ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @mapesaomary-ip3vf
    @mapesaomary-ip3vf 3 години тому +6

    Mambo yamepamba moto 🎉

  • @kenyasloughinggags1553
    @kenyasloughinggags1553 3 години тому +8

    Second to comment but malizeni movie mnaharibu sasa

    • @MaureenDeche
      @MaureenDeche 2 години тому

      Hujalazimishwa kuangalia

    • @kenyasloughinggags1553
      @kenyasloughinggags1553 Годину тому

      @@MaureenDeche na sijakuambia unijibu . Acha kiherehere on opinions of other fans. Kupanuka ovyo ni mbaya

    • @MaureenDeche
      @MaureenDeche Годину тому

      @@kenyasloughinggags1553 so ulikuwa wa comment bt hutaki kujibuwa bas hukecomment

  • @Zebuu-kp
    @Zebuu-kp 2 години тому +6

    ❤❤❤nakukubali sana ❤❤❤🎉🎉

    • @OmmyFamily
      @OmmyFamily 2 години тому +1

      Kp twasubili plan b 🌺💐💐💐🌹♥️🥰🪻

    • @Getrude-tl1cn
      @Getrude-tl1cn 17 хвилин тому

      Twasubiria plan b ❤ kutoka 🇰🇪

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 3 години тому +5

    Yee mwenyewe anatembea kwa miguu alafu amevaa yebo alafu yuko maeneo ya uswailini alafu atakupandisha ndege atakutoa uswahilini😂😂😂

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 2 години тому

      😂😂😂😂😂😂nimechea Kwa sauti

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 3 години тому +8

    Movie ilishaish Lakin bado inaendelea mmh kunakoelekea ni movie kua mbaya na kukosa mvuto aisee

    • @TatuMkeso
      @TatuMkeso 3 години тому +2

      Kabisa wanaendeleza muv bila sababu

    • @AbaidiiniNgweti
      @AbaidiiniNgweti 2 години тому +2

      @@TatuMkeso yaan mpk mtu unachok kuangalia maan zinaungan ungan mpk inakosa Radha kiukwel ilitakiwa amaliz alivyoona na alivyomuoa zuu

  • @ProKakan
    @ProKakan 2 години тому +2

    @Babajohn ebu ii movie iishe jamani musha anza kwaribu jamani toka RDC congo

  • @ZawadiWakubisha
    @ZawadiWakubisha 3 години тому +14

    Kama unamkubal baba kalobo gonga like

  • @sibontungie804
    @sibontungie804 42 хвилини тому +1

    Hii movies imeanza kuwa kama MERLIN 😂😂😂

  • @juliusjkalela9164
    @juliusjkalela9164 3 години тому +6

    Hellow wapendwa tunashukuru kwa kutuletea kwa mda

  • @nazar-moussofficiel6711
    @nazar-moussofficiel6711 3 години тому +11

    Wakwandza leo mnipee likes za Baba karobo

  • @NduwayezuFiacre
    @NduwayezuFiacre 3 години тому +7

    Burundi tupo kbx🇧🇮🇧🇮

  • @AbekyaWalulika-li2tp
    @AbekyaWalulika-li2tp Годину тому +2

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉😊😊😊 LOVE you 😘

  • @JohnAdam-m7o
    @JohnAdam-m7o Годину тому +2

    Penzi LA baba kipofu aliyeonaa na zujat 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌😥 Team Riyadh wap like zangu wamwishoo leo mm🇰🇪🇸🇦😂😂

  • @alfrednyambane4772
    @alfrednyambane4772 3 години тому +3

    Ak mnajua kutegea

  • @SalimKwaka-op9tc
    @SalimKwaka-op9tc 2 години тому

    Emotional twist, hii movie mmeweka maudhui ya usaliti tofauti na yale ya mwanzo ya ushikirikina na uvumilivu. Mama karobo na fasheni wateseke iiishe.

  • @deinndainofficial8837
    @deinndainofficial8837 3 години тому +5

    Nimewahi leo

  • @kenedymkwawa6978
    @kenedymkwawa6978 3 години тому +5

    Maliza movie unaharibu sasa

  • @evangelistamenlufumapunda6645
    @evangelistamenlufumapunda6645 3 години тому +3

    Mapemaa

  • @CynthiaIrakoze-g5x
    @CynthiaIrakoze-g5x Годину тому

    Aaaaa marafikiza nimecherew rajin musifik mbara ngonja tufatiriy tuwon bitayishiy wp mana mimi nawonakabxa inaanza nicangan na baba karobo awe makin san nahuy kisikorokwiny muombaomb asije akajutiya burundian🎉🎉🎉🎉

  • @jacksonchingwaba1626
    @jacksonchingwaba1626 3 години тому +3

    Nasra naye kulikon
    Kiukwel mnataka kuharbu kaz

  • @KisKabamba-dw1bu
    @KisKabamba-dw1bu 3 години тому +5

    Wapili mimi hapa nipeni like zangu

  • @ZamzamAbdulnuru
    @ZamzamAbdulnuru 3 години тому +4

    Leo nimewahi😂

  • @scompanyswahili3024
    @scompanyswahili3024 Годину тому +1

    Kuna mtu anatafuta vita na Mr Rahasa 😅😅

  • @carolyneliona9866
    @carolyneliona9866 3 години тому +4

    Baba karobo hapo ba hug unasingua 😢.

  • @MartinLazaro-zj6ke
    @MartinLazaro-zj6ke 2 години тому

    Nyie wanafiki mnao sema hii movie iishe baba karobo ni anatumia maarifa makubwa sana na ndiyo maana hii movie ni kali sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 baba karobo apewe maua yake 🙌🙌🙌💯🔥💯🥰🥰

  • @mughishajohn3287
    @mughishajohn3287 Годину тому

    Ebanae hatujachelew sana mno love this movie ❤❤❤

  • @InnocentManirambona-w1q
    @InnocentManirambona-w1q 3 години тому +3

    Wakwanza leo kuona movie basi munipeni like kutoka kwa baba karobo nawapenda sana❤❤❤

  • @sarikokiagape7685
    @sarikokiagape7685 Годину тому +1

    Baba joan baba joan baba joan hii inaonekana kama movie mpya, tafuta title mpya maana binafsi baba yangu kipofu iliishia pale ulipoona..
    Tunakupenda sana ndo maana tunafuatilia movie zako.

  • @Redmpg34
    @Redmpg34 3 години тому +6

    Nice

  • @FaharuAdam-zm5ce
    @FaharuAdam-zm5ce 2 години тому +2

    Mnakoelekea mnaenda kuaribu movie yenu maan baba karobo ameshaona na zujath ameshaolewa na baba karobo sas kingne nin ambacho mnatak tuone

  • @ramadhankimaro-dc5it
    @ramadhankimaro-dc5it 3 години тому +3

    Ngoja tuone inapoelekea

  • @NestorySanga-y2j
    @NestorySanga-y2j 3 години тому +2

    Baba karobo naomba ukae mbali na candy

  • @AnordMsimu-s7p
    @AnordMsimu-s7p 43 хвилини тому

    Malizem move mnako elekea mnaharibu

  • @StamiliAshery
    @StamiliAshery 3 години тому +10

    Mama karobo 😂😂 mm nampenda jamani wanaompenda gonga like😂😂

    • @HabibaSelf
      @HabibaSelf 3 години тому +1

      Utakua umejichanganya kuandika sio mm kalobo ni bb kalobo maayo

    • @RehemaKatana-hb4ei
      @RehemaKatana-hb4ei 2 години тому +1

      ​@@HabibaSelfkweli kabisa 😂😂😂😂

    • @deoselcom9701
      @deoselcom9701 2 години тому

      4

  • @Mwakulaza
    @Mwakulaza 3 години тому +10

    Wakwanza leo mnipee likes zangu kutoka Congo

  • @LyidiaRupia
    @LyidiaRupia 3 години тому +5

    ❤️❤️❤️

  • @StephenSamson-x7j
    @StephenSamson-x7j Годину тому

    Haaa jamaa hii move iiishe mwaharibu sasa😮😮😮😮

  • @AkexLamek-vv1cv
    @AkexLamek-vv1cv 2 години тому

    Kutoka Congo Kinshasa baba Joan mbona kama mnataka haribu huu mchezo tena brother ❤...maliza sasa🎉

  • @JescaFelix-e4x
    @JescaFelix-e4x 46 хвилин тому +1

    Ila bongo move bhana Yani Huyu kaka anavyomtongoza nasra anamwita kabisaa nasra ila kupewa ni tu anauliza Tena jina

  • @TrizahMoraa-k7z
    @TrizahMoraa-k7z Годину тому

    Baba Joan tunakuomba
    Movie iishie hapo maanamulianza vizuri xai mnaendakuzingua

  • @dhahabukalama2635
    @dhahabukalama2635 2 години тому +1

    Wanaume waongo paka waongo tena 😂😂😂😂😂eti nikiwa na wewe takubadilishia maisha. Kwani wewe ni Mungu 😂😂

  • @marcndayishimiye7711
    @marcndayishimiye7711 3 години тому +3

    Nasla usimwace Rahasa

  • @marcosanga7135
    @marcosanga7135 17 хвилин тому

    Mm naona hii moves ihishe mana wwzidi kualibu mbele japo nzuri

  • @JamaliAmour-jp9dd
    @JamaliAmour-jp9dd Годину тому

    Candy hana tofauti na Gachagua😂

  • @SarahChombo
    @SarahChombo 56 хвилин тому +1

    mm hata nataka kusema labda ni movie ingne imeanza kumbe bado ni baba yanguu,,,,, utamu nkma umeisha kwa hii moviee,,

  • @ramadhankimaro-dc5it
    @ramadhankimaro-dc5it 3 години тому +3

    Sini mnaiyalibu sasa

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 3 години тому +4

    Nasra umeboa

  • @karingtonisimwinga122
    @karingtonisimwinga122 44 хвилини тому

    kazi njema sana nawashangaa hata wanao sema iishe

  • @OmarNzohabonayo
    @OmarNzohabonayo 2 години тому +2

    Haha Sasa dakika 26 sijacelewa San🇴🇲🇴🇲🇧🇮

  • @sophiasaitoti
    @sophiasaitoti 2 години тому

    Jaman mnaharibu movi bhna malizeni

  • @PerezQuenisha
    @PerezQuenisha 16 хвилин тому +1

    Movie imearibika kabisaa,walete 2 nyingine

  • @eunicejohn3994
    @eunicejohn3994 3 години тому +4

  • @MalkaNinik
    @MalkaNinik Годину тому

    Hii move na babangu kipofu imeisha sasa hii nimove nyengine tofauti

  • @benakizmannews
    @benakizmannews 34 хвилини тому

    Iyi movie iishe thu ju kwenye munaelekeya siyo pazuri kbz