Leo mnatuchambulia sheria kwa sbb ni askari ndio wametenda makosa lkn laiti kama angekuwa mtu wa kawaida tusingeweza kusikia hilo somo la sheria mm nasema hivi duniani kuna sheria za firauni lkn akhera kwa Allah ndio kuna haqi ya uhakika Mungu anasema...iogopeni siku mtayorejeshwa kwake..akili mkichwa.
Asante kwa ufafanuzi sheria ya kutetea wahalifu ila nyingi watetezi ni watu,wenye hakili nzuri,pia mmesoma pia mna familia,tafsiri ya kuulizwa swali ukiwa ni mtu mzima na msomi watu wanakushangaa wanajiuliza kwamba uyo anaye ongea ni mtanzania?au mgeni ujue wanasema ni kusoma saana labda.au kutojua
Mimi kesi kama hii kwa kweli nitachofanya haa mungu atanisamehe kwakweli siendi polisi nishaona milolongo mingi polisi bora nitende dhambi mpaka shetani na ibilisi wakiiona hiyo dhambi wakae pembeni
Yani ni hivi siyo kwamba wanatetea wabakaji hao mawakili wanatetea vibarua vya hao watumaji sasa lazima watete huku ili wao wabaki salama😂ila Mungu yupo haki itapatikana mpaka hapo cheo Cha mtu kimepotea wakae kwa kutulia
Ikiwa wafanya maovu wanatetewa KWA nguvu namna hii tusitegemee kama watoto wetu kama watakua salama kunakoelekea ni bora kuchukua sheria mkononi maana kupata haki mahakamani ni ngumu sana
Kwa maana hiyo, anatuambia mahakama ina fanya maamuzi kwa ushahidi usio kweli,mahakama hawataki ukweli kuamua kesi! Wao wanaamua kesi wanavyo taka wao na kwa ushahidi wao
Ww umeongea ukweli kabisa watu wanahasira nao yan kam mm namtaman huyo nyundo mfupi kama kijiko cha sukar hawa ni wa kuuwa hawafai kukaa ktk jamiii leo wamefanya kwa yule bint hatujui kesho watafanya kwa nan tz ni nchi ngumu sana
@user-lq6kr2gl7n kabisa maneno yako ni kweli sasa hivi nchi imekuwa haina amani kabisa, watoto wa dogo wana bakwa, wana walawiti sijui tuna kwenda wapi
Alafu kwanza ili kundi la nyundo hawana muonekano kbisa wa kiaskari bigtime navowaona otherwise mnavotupeleka huko kote tutafika tupate all prove vyenye mnataka but true say Allah is the greatest all the time sheria duniani haki mbingini we keep watching this movie
Hivyo vyote nimuhimu sana ndio maana ntuanapobakwatu anatakiwa akakupoti kabla hajaoga au kuguswa na mtu yoyote kwaajili ya DNA ya mtu Alie shiriki kitendo zipatikane pia fingerprint Yani alama za vidole vilivyo mgusa
Basi kama sheria ndo ziko hivyo! Yawezekana zikawa ni mipango ya kishetani tu, ifikie muda kuwe na taasisi za siri zitakazo hakikisha kwamba watu kama hao hawafiki hata mahakamani, alicho fanyiw yule hata mbwa hawezi fanyiwa, kunasheria nizakisenge ila basi tu dah! Mimi inaniuma Sana hii
Jamani eeeh mnaojua kuwapiga watu vipapai simuwapige awo wote kwa nzia aliyewateua na ivyo ubakaji vife tu visomewe hata albadili viondoke tu sheria sheria adi lini malizen mchezo wakulungwa
Nime elewa hakika kumbe mpaka mahakama ithibitishe kama kweli ni wao wametenda hio jina, kwa ushahidi ulio jitosheleza , nichekeshe kidogo yaani hata shetani lazima apate wa kumtetea , ila Sheria ni ya ajabu sana
Kweli huyu jama amesomea sheria,yani anajua,mwanasheria huwa hashindwi kesi ovyo yani huwa kama mechi mawakili na makama,jamani tafuteni pesa tuwe na mawakili
Kama alie watuma hajakamatwa na sio kwa hawamjui badi nina wasi wasi hata upande wa mashitaka hawata leta vielelezo vya kutosha tutegemee jamaa kuona wakiwa huru
Mungu aliweka hukumu ili mtu apare haki binaadamu hawezi kuweka Sheria abadani kweli kesi km hii wanataka ushahidi gan mbna alochana picha ya raisi haikua hivi kesi yake aduwi shetani muwogope sana kava suti nzuri lakin nafsi zao chafu kuliko mavi alafu Wanaka Kwa wanachi haki za wanawake wakati wao ndo hawapendani likikutike jambo saiv malizana nalo mwenyewe mana unao wapelekea ndo wahuni wakubwa ifike mdaa akili ifaye kazi na sio elimu
Hivi huu udhalilishaji unapingwa kwa raia tu wakifanya wanaolinda nchi haina shida Nyie mawakili mnatetea nini hapo na kila kitu kipo wazi Mnataka ushahidi gani wakati unaonekana Mnachunguza ninin hapo kilichokua hakionekan
Mbona kama naona hawa wa2 inaonekana wanatetewa sana? Kuna kitu hakiko sawa na inaonekana hawafungwa kabisa na hili likitoa basi watoto we2 hawako salama kabisa. Utetezi wa kufafanua sheria umekuwa mkubwa sana
Ningekuwa mwanasheria kuna kesi ningezikata kama hii hapana jamani. We hukuona mtoto wa miaka 17 alivyo kuwa anasulubiwa 😭😭😭 hio video nilishindwa itazama sec 10
Kwastahili hii mwalifu akikamatwa na raia hatafika polisi kwanza, hukumu yahaaraka itatoka mambo mengine yaendelee, yaan ukweli upo wazi alafu kutwa mnazingushana mahakamani, hichi kipindi kingekua kile Cha magufuli nahakika hili swala lisingeleta ubabaishaji huu, ushenzi mtupu, hizo Sheria inabidi zibadilishwe,
Jmn binti kabakwa mwezi wa tano akuripoti mpaka mwez wa nane ambapo vdeo imelnki ndo kesi inaanza tena kwa mihemko yesu alikamatwa wote wakamwona amekosea ata pilato aliposema eti ana atia lkn wale wayaudi wakasema apana nn kilitokea aliukumiwa mtu asiye na hatia tusiwe wayaudi
Wamtoe yule msichana awe shahidi mwenyewe maana atawatambua mamaee mlolongo mwingi manina huyo nyindo itakua mtoto wafulan ndio maana kunapawa kubwa hapo
Kwa kweli Sharia inaweka kinga kwa wale ambao wamebambikiziwa kesi isije ikatokea hana mtu wa kumtetea. Ni mbaya sana ukiswekwa gerezani kwa7bu ta anyone wako. Ila inapokuja wakili mwenyewe amefanyiwa hivyo halafu wakili mwenzako anamtetea adui yako utajisikiaje??
Awonikuwauwa wote hadi hao wanawowatetea wakufe hiyo mahakama inapoteza mda kwaniiyo video siinaonyesha kilakitu wamebaka wamelawiti awonikuwauwa tuu tena nninavochukia polisi polisi niwabaya sana wangekua nivijana wakawaida washaguswa washavunjwa kila mahali kwakweli ninahasira sana kwahilijambo
Kosa Sio Eti Kwanini Wanatetewa Kutetewa Ni Haki Yao Isipokua Kama Watuumiwa Watashinda Na Ushaidi Upo Inamana Hao Mawakili Ndio Wanatakiwa Wakawe Watu Wa Mahakama Inamana Watakua Na Uwezo Mkubwa Kuliko Walio Mahakamani Kutetewa Ni Haki Yao
Leo mnatuchambulia sheria kwa sbb ni askari ndio wametenda makosa lkn laiti kama angekuwa mtu wa kawaida tusingeweza kusikia hilo somo la sheria mm nasema hivi duniani kuna sheria za firauni lkn akhera kwa Allah ndio kuna haqi ya uhakika Mungu anasema...iogopeni siku mtayorejeshwa kwake..akili mkichwa.
Pole kaka sky Allah atakuponya
Asante kwa ufafanuzi sheria ya kutetea wahalifu ila nyingi watetezi ni watu,wenye hakili nzuri,pia mmesoma pia mna familia,tafsiri ya kuulizwa swali ukiwa ni mtu mzima na msomi watu wanakushangaa wanajiuliza kwamba uyo anaye ongea ni mtanzania?au mgeni ujue wanasema ni kusoma saana labda.au kutojua
Nyinyi wacheni mchezo wenu nyinyi hebu mpeni haki mtt wa watu
Mimi kesi kama hii kwa kweli nitachofanya haa mungu atanisamehe kwakweli siendi polisi nishaona milolongo mingi polisi bora nitende dhambi mpaka shetani na ibilisi wakiiona hiyo dhambi wakae pembeni
😂😂😂
😂😂😂
😂😂sheria mikononi apo uta' chukuwa
🤣🤣🤣🥱
Huo ndo ukweli hizi sheria walitunga wavuta bangi watupu
Hapo iko namna sawa haki ipo kwq mungu wacha tuone mwisho wake
Yani ni hivi siyo kwamba wanatetea wabakaji hao mawakili wanatetea vibarua vya hao watumaji sasa lazima watete huku ili wao wabaki salama😂ila Mungu yupo haki itapatikana mpaka hapo cheo Cha mtu kimepotea wakae kwa kutulia
Uo ndio ukwer
Ndio ujinga wa Sheria,Mimi nilishindwa kusoma Sheria baada ya kugundua kua sometimes inatakiwa umtetee muarifu,huo ni ujinga
Ikiwa wafanya maovu wanatetewa KWA nguvu namna hii tusitegemee kama watoto wetu kama watakua salama kunakoelekea ni bora kuchukua sheria mkononi maana kupata haki mahakamani ni ngumu sana
Mh sasa kama ushahidi upo nini tena kinatakiwa au ndo ile haki kwa wote inauma na inaumiza 😢😢😢😢😢
Pole sana kaka sky kwa mafua
Kwasababu wanalipwa kutetea mtu yeyote kwa hali yeyote, nikazi ya Judge kutoa hukumu period.
Thank you Henry, umesema Vizuri sana…
Hao inaonesha wazi wametumwa na wanapewq utetezi na walowatuma mawakili 4 sio mchezo alafu mnasema alibakwa na walevi😂😂😂😂
Mr Henry umetufafanulia vzr sana
Kwa maana hiyo, anatuambia mahakama ina fanya maamuzi kwa ushahidi usio kweli,mahakama hawataki ukweli kuamua kesi! Wao wanaamua kesi wanavyo taka wao na kwa ushahidi wao
Pole sana mtangazaji
Hatukubali mpk kieleweke na mkiwaacha tukiwaona mtaani kwisha habari zao
Bora hao waende jera ila wakiwa huru raia wanaweza kuwaua hao maana watu wengi awawapendi huku bora waende jera tu
Ww umeongea ukweli kabisa watu wanahasira nao yan kam mm namtaman huyo nyundo mfupi kama kijiko cha sukar hawa ni wa kuuwa hawafai kukaa ktk jamiii leo wamefanya kwa yule bint hatujui kesho watafanya kwa nan tz ni nchi ngumu sana
@@MYME-u5d waTz hasira kwenye social media ukija Uraia mmoja mmoja Kila mtu yupo bze kutafuta ugali wake ww chunguza tu
@@MYME-u5dkumaamaeee piga mapanga ya miguu yote miwili wote wawe vilema maamaee zao
@user-lq6kr2gl7n kabisa maneno yako ni kweli sasa hivi nchi imekuwa haina amani kabisa, watoto wa dogo wana bakwa, wana walawiti sijui tuna kwenda wapi
Yaani baya lolote liwapate
Alafu kwanza ili kundi la nyundo hawana muonekano kbisa wa kiaskari bigtime navowaona otherwise mnavotupeleka huko kote tutafika tupate all prove vyenye mnataka but true say Allah is the greatest all the time sheria duniani haki mbingini we keep watching this movie
Quick recovery kaka Sky! Nakupenda saaana
Safi sana Njaa inafaya kuwatetea sababu ya njaa
Pole kaka
Hamnachakufanana we needs justice please 🥺🥺🥺
Pole kaka tuma namba 🙌
Hawa wangekuwa kenya ni mali ya wanaichi yani mnataka ushaidi gani???
kwahiyo mahakama itataka ushahidi kama kweli sehemu za siri ziligusana kama ushahidi, naombeni kueleweshwa
Hivyo vyote nimuhimu sana ndio maana ntuanapobakwatu anatakiwa akakupoti kabla hajaoga au kuguswa na mtu yoyote kwaajili ya DNA ya mtu Alie shiriki kitendo zipatikane pia fingerprint Yani alama za vidole vilivyo mgusa
@@zaidiissa3714na hivo video zilizosambaa duniani kote hazitoshi ?
@@zaidiissa3714 kwahiyo kwa siku zimeshapita huwenda ushahidi ukakosekana maan muhanga atakuwa ameshaoga
Basi kama sheria ndo ziko hivyo! Yawezekana zikawa ni mipango ya kishetani tu, ifikie muda kuwe na taasisi za siri zitakazo hakikisha kwamba watu kama hao hawafiki hata mahakamani, alicho fanyiw yule hata mbwa hawezi fanyiwa, kunasheria nizakisenge ila basi tu dah! Mimi inaniuma Sana hii
Angekuwepo mwenda zake mmh aubasi
Wakirudi mtaani hao mmmh
Sometimes huwa naona sheria ni upuuzi
Yaaani wanaweza kupindisha mambo mpaka ikawa sio kosa, sasa kwanini wakina Gigy mliwafungia ama wao walishindwa kukata sio wao...
Watafuteni hao mapacha wenzao sasa yani Tanzania yetu hi ni 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
FabrizioRomano wa bongo💯
Walah hikatiba tz niyakijigamno jmn mama zang tuige mtaan situmewajuwa kulaladadeki moja moja watajulie kw Good
Get well soon comrade 😊❤
safi endeleeni kuwa elimisha
Inshu sio mawakili inshu wanalipwa na nani
Kabisa nani anawafadhili
Asante sana , wanalipwa na nani?
Watalipwa na Wahalifu wezao
Ukiona MTU anatetea uhalifu ujuwe na yeye Pia ni Muhalifu
Ushahidi upo,na hizo ndizo sura zao kabisa na tumezitazama kwa umakini zaidi,na hawa mawakili watalipwa na upande upi?
Serekali itawalipa 100%
Jamani eeeh mnaojua kuwapiga watu vipapai simuwapige awo wote kwa nzia aliyewateua na ivyo ubakaji vife tu visomewe hata albadili viondoke tu sheria sheria adi lini malizen mchezo wakulungwa
Siyo laisi kiivo
Hawa dawa yao na wakiachiwatu nawao walawitiwe ili wanaone kama nivizuri pumbavu zao
Kwani Mama Samia yuko wapi jamani yy pia Angelivalia njuga bana🤔
Wewe m wenyewe ongea yako umeshakula hela mungu A nakuona kaka
Watetewe then washinde kesi tutakutana uraiani tutakula nao sahani moja mbwa hao
Mungu afanye wepes Hill jambo tupate haki kabisa wahalifu wakafie jelaaa uko
✌️👍👊.
Dah! Wanyonge tutahangaika mpaka siku ya kiama😢
Mbona yule dada wanyama ya swala hawakujitokeza mawakili mpaka alpohukumiwa ndio watu wakaanza kushtuka lakni haw mar tu wamepat mawakil.
Lazma atakuwa akipata baadae
Hela
Nime elewa hakika kumbe mpaka mahakama ithibitishe kama kweli ni wao wametenda hio jina, kwa ushahidi ulio jitosheleza , nichekeshe kidogo yaani hata shetani lazima apate wa kumtetea , ila Sheria ni ya ajabu sana
Pole kkangu Kw mafua
Kijana anapenda kukaa mbele
Hivi hi tanzania ikoje jamaniiiii
Get well soon mtangazaji
Ple kwa mafua sky ila hawa nikuwaroga tu ndo dawa hizo pesa kupeleka police na hakuna haku heri upeleke kwa mganga tu.....
Mnatuzingua tu watu anaonekana kabisa wanambaka bado mnawatetea
NAJIULIZA HIVI MH HAYAT MAGUFULI ALIPOSEMA MTANIKUMBUKA KWA MEMA YANGU' JE ALIOTESHWA HAYA YANAYOTEKEA HIVI SASA WAKATI YEYE KESHAKUFA KWELI!?
Hivi ule ushahidi wa video haukubaliki mahakamani,au mie ndio najichanganya
mpaka iishe ndio raiya tuelewe tumeumia wengi sanaaa nabado sheria itende haki tu basi.
Nguvu ya pesa😮Yani wabakaji wanakiburi pyee
Kweli huyu jama amesomea sheria,yani anajua,mwanasheria huwa hashindwi kesi ovyo yani huwa kama mechi mawakili na makama,jamani tafuteni pesa tuwe na mawakili
Kama alie watuma hajakamatwa na sio kwa hawamjui badi nina wasi wasi hata upande wa mashitaka hawata leta vielelezo vya kutosha tutegemee jamaa kuona wakiwa huru
Mungu aliweka hukumu ili mtu apare haki binaadamu hawezi kuweka Sheria abadani kweli kesi km hii wanataka ushahidi gan mbna alochana picha ya raisi haikua hivi kesi yake aduwi shetani muwogope sana kava suti nzuri lakin nafsi zao chafu kuliko mavi alafu Wanaka Kwa wanachi haki za wanawake wakati wao ndo hawapendani likikutike jambo saiv malizana nalo mwenyewe mana unao wapelekea ndo wahuni wakubwa ifike mdaa akili ifaye kazi na sio elimu
Kwaiyo ile clip waliyopost awakuwa wao? Acheni kutuaminisha uongo nyinyi mawakili hii sio Tanzania ya mwaka 1980 haki ipi mnayoitafuta ?
Katiba ya hovyo hiyo ishapitwa na wakat ibadilishwe
Hivi huu udhalilishaji unapingwa kwa raia tu wakifanya wanaolinda nchi haina shida
Nyie mawakili mnatetea nini hapo na kila kitu kipo wazi
Mnataka ushahidi gani wakati unaonekana
Mnachunguza ninin hapo kilichokua hakionekan
Tuseme hela inatembea mnakosea sana hii hela hi kiukweli ni laana sisi tunasema ni wao ety wanafanana kaka muogope mungu ingekuwa mdogo wako je??????
Ama kweli mahakama sio ya kuiamini hata kidogo, hapo mawakili wakiwa vizuri wanaweza kuonekana hawana kosa ama wakafungwa mwaka mmoja au miezi sit
Uko sahihi mi nipo hapa,Mana naofia kukomaa kusema imeeditiwa
Mbona kama naona hawa wa2 inaonekana wanatetewa sana? Kuna kitu hakiko sawa na inaonekana hawafungwa kabisa na hili likitoa basi watoto we2 hawako salama kabisa. Utetezi wa kufafanua sheria umekuwa mkubwa sana
Mi niuliza kwani ushahidi Namba moja Upo wapi pengine mnaweza kufungua akili zenu
Ngoja waje wabake wake zenu ndio mtajua
Ngoja yatoke yabake na watoto wao ndio tutaona kama watainuka kutetea mbwa hawa
Ningekuwa mwanasheria kuna kesi ningezikata kama hii hapana jamani.
We hukuona mtoto wa miaka 17 alivyo kuwa anasulubiwa 😭😭😭 hio video nilishindwa itazama sec 10
Nasheria hapana kwakweli
Unataka ushaidi gani mwingine na wakati watanzania wore ni mashaidi hivi kaka unaongea nini na wakati sisi wenyewe tumewaona ni wao
Huyo afande na hao walio tumwa wote ni kunyongwa mbele ya hadhara ya watu hasbiya Allah wani'mal wakiil
Labda Saudi Arabia sio Tz
Watasema imeeditiwa
Bila kujalisha ukubwa wa kosa. Utetezi ni haki ya kila mtuhumiwa hata kama ametenda adharani
Yule mama alikutwa na vipande kazaa vya nyma tu miaka 20 jero duuuh
Kwastahili hii mwalifu akikamatwa na raia hatafika polisi kwanza, hukumu yahaaraka itatoka mambo mengine yaendelee, yaan ukweli upo wazi alafu kutwa mnazingushana mahakamani, hichi kipindi kingekua kile Cha magufuli nahakika hili swala lisingeleta ubabaishaji huu, ushenzi mtupu, hizo Sheria inabidi zibadilishwe,
Sasa hizi sheria ndio za kimataifa toa uone wanavokutenga
hiii ndio inateteaga ht wauaji
User umeuliza suali zuri
mawakili nao ni wakuuwa tu nahao wabakji lao Moja nahao washemzi wenzao
Hao wanao tetea wanalipwa na serikali
Jmn binti kabakwa mwezi wa tano akuripoti mpaka mwez wa nane ambapo vdeo imelnki ndo kesi inaanza tena kwa mihemko yesu alikamatwa wote wakamwona amekosea ata pilato aliposema eti ana atia lkn wale wayaudi wakasema apana nn kilitokea aliukumiwa mtu asiye na hatia tusiwe wayaudi
Ata majambazi na wezi watawaze kuwatetea, sababu ya Njaa,
Kwa ufupi Mdogo wangu Sky. Kidini yetu Wakili kafananishwa Na mganga wa kichawi
Sababu Wakili anamtetea mwema na muovu. Kama mchawi anaroga huyu na anatolea yule uchawi
MIFANO NI MINGI SANA
El CHAPO
PABLO
NK HAKI YA MWNAADAMU IPO PALEPALE ENDAPO BADO HAJATIWA HATIANI
Hii pia ninasaidia sabb watuhumiwa wanaweza kubadlishwa pia,
Zingatia "MAFUA MAKALI MNOO" 😂
😭😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿
pesa ndo kila kitu wame lipwa
Wamtoe yule msichana awe shahidi mwenyewe maana atawatambua mamaee mlolongo mwingi manina huyo nyindo itakua mtoto wafulan ndio maana kunapawa kubwa hapo
Kwani mtu hawezi kuzingizia kosa
Kwa kweli Sharia inaweka kinga kwa wale ambao wamebambikiziwa kesi isije ikatokea hana mtu wa kumtetea. Ni mbaya sana ukiswekwa gerezani kwa7bu ta anyone wako.
Ila inapokuja wakili mwenyewe amefanyiwa hivyo halafu wakili mwenzako anamtetea adui yako utajisikiaje??
Kama watarudi urayani lazima wafe akuna uchenzi na hukatili kama walio fanya hawo mafirauni
Video wanafikiri imeeditiwa yaani wamesingiziwa daa😢😢😢
Ile biashara sio kosa...tulaumu aliyeanzisha matumizi ya ela
Kwahiyo wote ndy wafanane
Awonikuwauwa wote hadi hao wanawowatetea wakufe hiyo mahakama inapoteza mda kwaniiyo video siinaonyesha kilakitu wamebaka wamelawiti awonikuwauwa tuu tena nninavochukia polisi polisi niwabaya sana wangekua nivijana wakawaida washaguswa washavunjwa kila mahali kwakweli ninahasira sana kwahilijambo
Hakuna chochote hapo bahasha tu
Yaan hpo vdeo zpo zsingekuepo mh sjui
Kosa Sio Eti Kwanini Wanatetewa Kutetewa Ni Haki Yao Isipokua Kama Watuumiwa Watashinda Na Ushaidi Upo Inamana Hao Mawakili Ndio Wanatakiwa Wakawe Watu Wa Mahakama Inamana Watakua Na Uwezo Mkubwa Kuliko Walio Mahakamani Kutetewa Ni Haki Yao
Sio kweli , ikitokea hivyo ujue upande wa mashtaka hawajaleta ushahidi wa kujitosheleza
Mbona yule mwenye kipara simwoni jamani
Oyaaa nipeni like hapa haraka haraka tuondoke
Like zinakusaidia nn sasa