Wanaume wa herufi "M" hii ndio siri ya maisha yao.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 118

  • @NachaKing-nj7cp
    @NachaKing-nj7cp 9 місяців тому +2

    Huja wah bahatisha ase

  • @shekikachibangu
    @shekikachibangu Місяць тому

    Mungu awe nawe kaka kwani huna ubinafisi mungu kakupa elimu na una tuelimisha nasi mungu awe nawe kwani nimejifunza mengi kutoka kwako ❤❤

  • @mohamedoman9344
    @mohamedoman9344 Рік тому +2

    Mm naitwa Mohamed natokea nchi Oman subhallah subhallah subhallah Allah anijalie afya njema inshllah kwa kila mambo yangu shukrani sana ndugu yangu allkk tv

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Рік тому +4

    Bass haya jina la mpenzi wangu hilo alhadulilah😅 nashukuru kwa mume wangu kupata mume wa jina hilo🙏🏽🤣😂🙏🏽🇦🇪

  • @jacksonmagesa9805
    @jacksonmagesa9805 8 місяців тому +7

    Ni yupi mwanamke SAHIHI kwa mtu mwenye jina la m

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 5 місяців тому +2

    kwel aseeee 😂😂😂 🙌🙌🙌

  • @Sirizabiblia
    @Sirizabiblia Рік тому +2

    Ahsante sana kwa kutujuza Allykk

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому +1

    Pole martha

  • @michaeljames3480
    @michaeljames3480 5 місяців тому +2

    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mastaplan
    @mastaplan Рік тому +1

    🙌🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅😅 kaka wee noma umechambua kwa weledi

    • @MadeleineMauridi
      @MadeleineMauridi 10 місяців тому

      Namimi ni mahuridi numbi madeleine kutoka Congo Niko mwanamuke lakini iyi ni yangu na Mimi

  • @tausiissaismail
    @tausiissaismail Рік тому +1

    Na tunapendana sana sasa tufanyaje

  • @mlamytz
    @mlamytz 15 днів тому

    Kwel asee

  • @NgaboPascal-r1w
    @NgaboPascal-r1w 9 місяців тому +4

    Unasema kweli baba mamboyote hayo niliyapitiya mimi jina langue ni muhindo natokeya kongo mjin goma asanténi

  • @MrishoSamueli
    @MrishoSamueli 8 місяців тому +3

    Mimi ni m mkewangu f bwamaweee heee kimbembe aduwi umesema kweli

  • @mastaplan
    @mastaplan Рік тому +2

    Kuna mwingiliano wa nyota kaka.
    Mfano mwanamke anaitwa Maliam huyu ni moto lakini yupo tena kwenye upepo mapacha.
    Hapo imekaaje.

  • @MWACHAMWACHA
    @MWACHAMWACHA 4 місяці тому

    Ujui chochote we jamaa😂😂

  • @mardadytv6810
    @mardadytv6810 4 місяці тому

    Kwel mzee

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 5 місяців тому

    Hahaha kaka unanigusa Sana aisee ubarikiwe mwalimu

  • @GloryEmmanuel-q4f
    @GloryEmmanuel-q4f 4 місяці тому

    Moses anatakiwa awe na mwanamk wa jina gan❤

  • @mohamedijuma3703
    @mohamedijuma3703 Рік тому

    Nashukulu sana kaka leo nimejijua kitugani nifanye mimi. M

  • @jonasimanuel-zw1dz
    @jonasimanuel-zw1dz 7 місяців тому +2

    Unasema kweli kiongoz

  • @rahmaahmed9490
    @rahmaahmed9490 Місяць тому

    Cjui
    .miee R mume M tuko vzur...alijiingiza kati S...kaja kupungua kila kitu maisha magumu...Ana kisukumi

  • @AshuraMsangi-pj8rt
    @AshuraMsangi-pj8rt 8 місяців тому

    Ubarikiwe mno

  • @صفوالغامدي-ل7ط
    @صفوالغامدي-ل7ط 4 місяці тому +1

    Mimi Nina Nina m kwaniganja njangu rakini mbona sinaherraa 😂😂😂😂

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 10 місяців тому +1

    Kaka uko sawa kabisa

  • @SamwelCherehani
    @SamwelCherehani 6 місяців тому

    Mashaka awe namwanamke gan😊

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 6 місяців тому +1

    Dah sis kina b nampenda musa jamani nifanyeje

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 6 місяців тому

    Mim nib na yey ni m ansema anipenda na tunataka kuoana itakuaje sasa broo na tunpendana sana

  • @BusakieBusakiejuma
    @BusakieBusakiejuma Рік тому +1

    Nimekwelewa San san upo sahihi

  • @rasmgz2367
    @rasmgz2367 5 місяців тому +1

    Bro umenikuna sana M kwa misimamo uamuzi na kujiamini.

  • @MagyMunna
    @MagyMunna Рік тому

    Asante

  • @MUNYEREREBass
    @MUNYEREREBass 6 місяців тому +1

    Mimi jina langu ni Michael je ninagitaji kuowa mwanamke wa aina gani

  • @AibuniDaimu
    @AibuniDaimu Рік тому

    Mimi a natakiwa nice nature wanna gani

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س Рік тому +2

    Mohamed ni maji ya kunde mrefu wa kat alipata mwanamke jina sara wakaachana akapata mwanamke jina N akapata matatizo kazin wakahangaika sana lakin sasa wamesimama vizuri sana sana mpaka raha na MUNGU awazidishie

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 8 місяців тому +1

    Kaka umenena kweli Mimi jina langu la utoton ni M, na mpemz Wang wa mwanzo jina O. Tulipendana Sana ikafika maali tukapishana japo huwa ananikumbuka bado. Na mpenz wangu wa pili jina C na T Nina mtoto nae huwa ananisumbua Sana malumbano baada ya mda flan mwisho was siku hatujafanikiwa kukaa pamoja. Hivyo bc kupitia hili somo lako nimeamin huwa nakosea choice. Mtoto wetu jina linaanza na herufi K, kiukweli ananipenda Sana mpaka Basi nimekubaliana naww kupitia hili:

  • @mohamedmoadhani5614
    @mohamedmoadhani5614 6 місяців тому +1

    Mimi ni M na Kwa mkono Niko na haerufi ya M pia

  • @mlamytz
    @mlamytz 15 днів тому

    Mlamy

  • @MohamedabdualiMohamed-wx5uu
    @MohamedabdualiMohamed-wx5uu Рік тому +1

    Mungu akubari jazaka allah heri

  • @Kanjunjunails
    @Kanjunjunails Рік тому +1

    Mimi ni majaliwa nampata mpenzi mwenye herufi gani Alie Bora zaid

  • @marthamario1524
    @marthamario1524 Рік тому +2

    Nimekufatilia sana kaka...mim ni m na mwenza wangu ni L Yani ni ugomvi Kila dakika maendeleo hamna....😓😓😓nataman ata nitoke 😭

  • @martinlalika
    @martinlalika 9 місяців тому +1

    Mimi m nimeoa ade (h)hilda lakini udogo wake aliitwa e napitia shida hasa uchum nifanyaje hapo

  • @MudriniAbdallah
    @MudriniAbdallah 7 місяців тому +1

    Naomba kuuliza Muhidini (M)anatakiwa aoe mwanamke yupi

  • @maulidimpili698
    @maulidimpili698 Рік тому +1

    Ni kwel kabisa kiongoz unachokisema hizo hali kwa upande wang ninazo kabisa

  • @mlokozivedasto9130
    @mlokozivedasto9130 10 місяців тому +1

    Safi Ila wapi unapatikana

  • @karaminabarack
    @karaminabarack 4 місяці тому

    Unasema kweli.mimi Methodi

  • @magangiralucas6516
    @magangiralucas6516 10 місяців тому

    Nikweli kabisa

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Рік тому

    Ni kweli kabisa

  • @RICHARDNYAMTEKI-b6i
    @RICHARDNYAMTEKI-b6i 10 місяців тому

    Je Mwita

  • @MUSSAALI-wj8ez
    @MUSSAALI-wj8ez 4 місяці тому +1

    Mm na mpenz wang sote wawil tumenzia na heruf ..m.. hapo unakuwaj kiongozi

  • @Murshid-qv5pu
    @Murshid-qv5pu 4 місяці тому +1

    Umetisha Sana

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س Рік тому +1

    Mimi Z lkn nina misimamo sana na nikikataa nimekataa

  • @MwanaShesha
    @MwanaShesha 6 місяців тому

    Kweli kin musa weupe

  • @anwarsaid2008
    @anwarsaid2008 Рік тому

    Nimekuelewa allykk

  • @JasminiSaidi-t8v
    @JasminiSaidi-t8v Рік тому

    mm z na mume wangu ni mohamed naomba unishauri kwenye hili

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx 11 місяців тому

    Kichwaaa kinanisumbuaaa sana

  • @user-ju9mi1ft4v
    @user-ju9mi1ft4v Рік тому

    Shukran

  • @MairaSikira-un4uu
    @MairaSikira-un4uu 5 місяців тому

    Kweli

  • @zone66tz82
    @zone66tz82 2 місяці тому

    Mm nilipewa Jina lenye heluf m ila nilipo ongezeka nikapewa Jina lenye heluf o nashangaa nikiskiliza naona o ndio Tabia ulizo zitaja ila m Simo kabisa wakat nimepewa o nikiwa ninamiaka mi nne

  • @AlexMaone
    @AlexMaone 9 місяців тому

    Mm na mchumba ungi anaitwa othumani mm mulfaty je kunatiba ya kuwekasaw upepo wake sawa,

  • @MathayoDawson
    @MathayoDawson 2 місяці тому

    Sawa kama mambo Yutaka magnums kiuchumi mtu mwenye elufi M afanya je ilimambo ya wesawa

  • @AminaMpinga-y4x
    @AminaMpinga-y4x 5 місяців тому +1

    Mimi nna M mikono yote miwili lakini sifanikiwi nna miaka 24

    • @maifinadari309
      @maifinadari309 Місяць тому

      Hajamaanisha herufi katika mikono kaongelea herufi ya jina lako sijui umeelewa

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 Рік тому +1

    Je nyota hii kwenye biashara ni kutembea au kukaa

  • @SalimKarama-fw7tt
    @SalimKarama-fw7tt 6 місяців тому +1

    Hehehehehe zidi kupoteza watu hiyo ni Siri yake Allah peke yake hiyo elmu ghaib ni Siri yake mola hakuna ajuwao elmu hiyo only Allah

  • @mohamedmkilalu6152
    @mohamedmkilalu6152 10 місяців тому +1

    Kaka apo kwenye kupendwa na wake za watu walahujakosea ni kweri tupu na ndio maisha yanayo nikuta mimi

  • @Mudrili
    @Mudrili 7 місяців тому

    Daaah unaongea ukweri saan kaka

  • @OmaryKileo
    @OmaryKileo 9 місяців тому

    Nikwel sema umejuaje kak

  • @FurahLove
    @FurahLove 3 місяці тому

    Eebwana naishicongo shekh ukomukweli naitwa.monon amasulemani.

  • @MSAINDARO
    @MSAINDARO 7 місяців тому

    Mm naitwa msai je nipe mwanamke mwenye jina linalo Anza na jina gan et kaka

  • @PendoIlinda-sp1tj
    @PendoIlinda-sp1tj 5 місяців тому

    Je M na F wanaona

  • @subyshaban
    @subyshaban 4 місяці тому

    Namba Yako ya Simu naiomba brother, pls

  • @allykk1459
    @allykk1459  6 місяців тому +1

    MWANAMKE BORA WA A,M,NA Y NI G,S

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Jina langu la kwanza mimi ni k

  • @MARKOMLONGA
    @MARKOMLONGA 5 місяців тому

    Nimeelewa mkubwa

  • @MartinElikana
    @MartinElikana Рік тому

    Mie ni m na mke alikuwa e vulugu zilikuwa nyingi sana uko sahihi

  • @MerrySungura
    @MerrySungura 5 місяців тому

    kaka umesema kweri mm napitia magumu sana kwenye ndoa yangu mume R nifanyeje kaka

  • @MasoudMohd-k7u
    @MasoudMohd-k7u 11 місяців тому +1

    Unapatikana wap

  • @michaelsafari
    @michaelsafari Рік тому +1

    Na kama mke wangu ana herufii m nayee jee hatuendani

  • @FiliminaTitus
    @FiliminaTitus 10 місяців тому

    Asnte kwa ushaur wako Mimi n f na mwanaume niliyezaa nae n A nikweli hatuko saw ila hakuna uwezekano maana sitaki kuchangany watt

  • @Kalidvalid-v7i
    @Kalidvalid-v7i 5 місяців тому

    Tuchambulie na heruf ya mw

  • @awaahassan936
    @awaahassan936 9 місяців тому

    Mimi mwanahawa mchumba Allly na mubarak ni yupi nitaedumu nae hapo maalim

  • @martinkahema7629
    @martinkahema7629 10 місяців тому +1

    M&A❤❤PIGA KELELEEE

  • @milongojumanne7834
    @milongojumanne7834 9 місяців тому

    Mm naitwa milongo jumanne nimezaliwa mwaka 1983 mwezi 9 ,hapo utofauti ni Nini

  • @etrillyodfrex97
    @etrillyodfrex97 Рік тому

    Ally kk mm n M na yote hayo uliyosema nmeshayashuhudia kabisa..wwe kw kwli n zaidi ya nabii..

  • @rasmgz2367
    @rasmgz2367 5 місяців тому

    Bro nimekufuatilia naona majina yetu ya kimira ndio jina sahii kama mimi Mgaza.Nimeona mengi uliyo sema.Japo tuna majina ya kidini yaliyo letwa.Jina la kibantu ndio sahii.

  • @Fatmaneema
    @Fatmaneema 5 місяців тому

    Eh kumbe

  • @MRUTUDONARD
    @MRUTUDONARD 5 місяців тому

    M na R imekaaje

  • @MossesKimpwi
    @MossesKimpwi 6 місяців тому +1

    Sasa kama mtoto Ana herufi M na mamayke jina Lake linaanza na V nayo imekaaje

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 Рік тому

    Hivi nyota nitarehe za kuzaliwa au Herufi??

  • @Murshid-qv5pu
    @Murshid-qv5pu 4 місяці тому

    Vp m kwa m wakiwa kweny mahusiano?

  • @YahayaMbilimo
    @YahayaMbilimo 9 місяців тому

    Je ukiwana elufi m kiganjani mkonono

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 9 місяців тому +1

      Wewe ni mtu wa maana kabisa, iyo herufi m kweny kiganja ulonayo, Ina ashiria utajiri na pesa nying, mda mwingine chukukua chumv weka kweny kikombe tia maji weka lisaa Moja halaf unaweza kweny mikono Yako huku ukisema hivi, Anza Bismillah halaf sema chumv inalinda ee mwenyezmung nijaalie afya njema niweze kujimudu unipe utajiri pesa nying zeny kheir na mm, Amiin, halaf usifute mikono Yako acha tu Ivo Ivo yatakauka wenyew maji endelea na shuhuli zako, bdae unakuj kua tajiri kweli

  • @NEBERT-rc6bb
    @NEBERT-rc6bb 8 місяців тому

    Muriuki +254

  • @madinakassim9265
    @madinakassim9265 3 місяці тому

    Je kama wote ni m.m mwanamke na mwanaume

  • @TIRMIDHAbdulkarim
    @TIRMIDHAbdulkarim 6 місяців тому

    Ukiwa na mke wa nyota nyingine ambao ni Adui mtu atapona aje hayo matatizo

  • @AlexMaone
    @AlexMaone 9 місяців тому

    Kuvaa mavazi mekundu wanaumepeke yao??

  • @MuckiAbdul
    @MuckiAbdul Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx 11 місяців тому +1

    Kweli ulichosemaa Mimi ni Mohamed ,ila tatizooo langu kubwaaa nasumbuliwaaa naa kichaaa sanaaa

    • @swadifaabdallah4965
      @swadifaabdallah4965 10 місяців тому

      Yani mtihani mm ni mwanamke lakini hizo sifa zote nnazo na jina langu limeanza na heruf M nifanyaje kuondokana na wasiwas

  • @malemawatson1130
    @malemawatson1130 8 місяців тому

    Kaka nikama umenirenga mm swala la wasiwasi na mashakaa daaah ivo vitu vimenijaa

  • @VickKulekana-si1ib
    @VickKulekana-si1ib Рік тому

    Ndio nyota ya punda sayar ya moto nashukuru siku hizi naelewa vizur asili za nyota na kuendana kwao

  • @MariaMikidadi-rn3qy
    @MariaMikidadi-rn3qy 9 місяців тому

    Sasa unamanisha mwawiya sio inayoanzia elufi m

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Рік тому

    Sielewi nyota ndiyo nini

    • @janevivdevid
      @janevivdevid 11 місяців тому

      Mambo ya walimwengu😅