MUINJILISTI ALIESILIMU AMSIBITISHIA MUHUBIRI MWAIPOPO KUFIA KTK UISLAMU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024
  • #SHEIKHMWAIPOPO #MUHUBIRIMWAIPOPO #SHEIKHMWAIPOPOTV
    Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya UA-cam ya SHEIKH MWAIPOPO TV..Like pamoja na kusharekwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE:+255 756 361 906..................من فضلك لا تتوقف عن الاشتراك في قناة الشيخ موايبوبو التلفزيونية على يوتيوب..مثل مع المشاركةللآخرين ليتم استدعاؤهم من قبل خيري من الشيخ المحاضر سعيد موايبوبو.

КОМЕНТАРІ • 496

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 3 роки тому +35

    Hata sura yake imeanza kuonyesha nuru mashaallaa mwenyezi mungu amuongoze

  • @omarchuo2178
    @omarchuo2178 3 роки тому +25

    Shekh Mwaipopo wewe ni mtu makini sana

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 3 роки тому +17

    Mashaallah Allah akuliepen ma sheikh wetu kwa kazi kubwa mnayoifanya Allah yupo pamoja na nyie ameen

  • @dhayondrama9907
    @dhayondrama9907 3 роки тому +15

    Mashallah mwaipopo unafanya kazi nzuri ALLAH akulipe kheiry

  • @gabrielnyumba1155
    @gabrielnyumba1155 3 роки тому +2

    Nawaombea sana mnao wafundisha watu dini, mazinge,meaipopo,kishiki,Dr sule,Athumani ,Yahaya mungu amuhifadhi,na wengine wote, wengiii ambao wanafanya shughuli za kidini( uislam) mwendelee msichoke wapo wengi wanaoslim kupitia ninyi.

  • @BintAlly-k5r
    @BintAlly-k5r Рік тому +1

    Mashaallah allah akusimamiye uwe mwenye imani haswa ya uwislam

  • @abdallaalisalim5770
    @abdallaalisalim5770 Рік тому

    Masha Allah, Allah akupe umri mrefu ili uwendelee kuendeleza uislam mble na sisi tupate kunufaika kutoka kwak

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 3 роки тому +6

    Nitafurahi sanaaa sheikh mwaipopo njooo Zanzibar njooo Wallah tunawapenda 👏🏻

  • @aishambega4118
    @aishambega4118 3 роки тому +4

    Allah akupe mwisho mwema sheikh mwaipopo hongera umemuukoa mja wa Allah kuwa ktk haki na yeye namuomba Allah amuongoze inshaallaah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +43

    Lazima kijana huyu asaidiwe kwa kwa hali yoyote Tujitokeze waislam Acheni kuwekeza kwenye mpira

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 Рік тому +1

    Mwenyezi mungu akukinge nakila shari yaarabi mungu akukingenamabaraa

  • @ShurayfuHamis
    @ShurayfuHamis 9 місяців тому +2

    Waislamu woote❤takbiiiiiiiiìiiir❤❤

  • @noot-oe2mw
    @noot-oe2mw 6 місяців тому

    Mashaallah Mashaallah sheikh Allah akupe maisha marefu lnshaallah

  • @rahmatahmed1871
    @rahmatahmed1871 3 роки тому +4

    Assalam Aleykum Warahmatullah wabarakatu...Masha Allah Tabaraka Allah....Allah amjalie thabit kwa kila jambo....Allah isim Allah IPO Masha Allah hata Nuru ya uso yaonyesha....Allah akuhifadhi Hashim akujalie istikama kwenye Ibada...Na atujalie khusnul khatma yarabby...Karibu sana ndugu yetu katika iman kwenye dini ya haki

  • @rahmaomar9137
    @rahmaomar9137 4 місяці тому

    Mashallah karibu sana kaka. Shehe nakukubali sana Allah akulinde

  • @sakeenaanzi4431
    @sakeenaanzi4431 2 роки тому +1

    MashaAllah, mafunzo yako na ufafanuzi zaidi kuhusu dini yetu ya kislamu inanipa imani zaidi shukran shekhe, toka nimeanza kufwatilia chanel yako nimeipenda zaidi shukran

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa5159 3 роки тому +16

    jamani matajiri wa kiislam pepo hiyo.acheni kufadhili mipira tu.siku ya tatu leo bado tu hajapata mfadhil.angekuwa msanii huyu zamani tu.ashafadhiliwa.ALLAH KAREEM.

  • @mkanulamajid500
    @mkanulamajid500 Рік тому

    Part 1 niliifatilia siamini Kama ameshahadia mashalaaah ustadh hasheem Allah kakuchagua

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 3 роки тому +4

    M'mungu atakuhifadhi inshaAllah. Yote mazuri yatakufwata kwa uwezo wa ALLAH .

  • @rahmaarrington9019
    @rahmaarrington9019 Рік тому +1

    Mashallah!! Allah atakuwezesha! Nia inashinda kafara!!

  • @aishaaisharagp9381
    @aishaaisharagp9381 3 роки тому +6

    Maashaallah Allah Akulinde

  • @Bosskubwah4501
    @Bosskubwah4501 3 роки тому +1

    Sheikh SHEIKH MWAIPOPO ALLAH AKUZIDISHIE na ulinzi wa kila jeshi analomiliki na Walinganiaji wenzako

  • @nassersalim1283
    @nassersalim1283 Рік тому

    Mashallah mashallah mashallah SHEKH MWAIPOPO ALLAH AKUPE MAISHA MALEFU ZAIDI. NA HUYO KINANA TUMSAIDIE

  • @bintiali4582
    @bintiali4582 3 роки тому +2

    Mola amuongoze kakaaetu katika dini iliyo ya haki amsamehe dhambi zake za Siri na za dhahiri,, Amiin 🤲🏾

  • @jumakumala1337
    @jumakumala1337 3 роки тому +3

    Allah akuongoze kwa kila lilozito ktk ndini liwe jepesi na kulielewa , allah akulinde na kukuifadhi ndugu yetu ktk imani karibu sn ktk dini ya aki

  • @khadijaali9861
    @khadijaali9861 Рік тому

    Mashlh kakangu mungu akupe mazuri y dunia n akhera

  • @siribrahonlinetv4489
    @siribrahonlinetv4489 3 роки тому +4

    asalaam aleykum jaman wewe sheikh mwaipopo ALLAH akuzidishie

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 3 роки тому +1

    MashaAllah mie nakuombea dua nyingi sana kaka yety ktk iyman wallahi twakupenda kwa ajili ya ALLAH

  • @habibaoman24
    @habibaoman24 3 роки тому +2

    Maashaallah mwenyezi mungu akujalie ufe katika uicilamu

  • @FatmaAboubakar-z7o
    @FatmaAboubakar-z7o 3 місяці тому

    Amiiin,masha Allah

  • @ShafiHamisi-tv3gn
    @ShafiHamisi-tv3gn Рік тому

    Mungu akupe mwisho mwema Ashimu

  • @tambwefatuuma5378
    @tambwefatuuma5378 3 роки тому +1

    Mashaallaah Mungu amzidishie kilala kheri inshaallaah

  • @brightshaka6301
    @brightshaka6301 3 роки тому +2

    Allah sw awazidishie sheh mwaipopo inshallah 👏

  • @lugendondago8493
    @lugendondago8493 3 роки тому +2

    Pambana Sheykhe mapaka kitaeleweka ,
    Pindi itakapo kuja nusra ya Allah na kushinda utawaona watu wanaingia katika dini ya Mwenyezi Mungu makundi makundi.
    Allah awalipe kheri.

  • @khamisomar5659
    @khamisomar5659 7 місяців тому

    Yesu kama kwa imani ya mungu au mtoto wa mungu hatuhitaji msamaha wake, lkn kama mtume tunaomba barka kutoka kwa Allaah

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 роки тому +2

    InshaAllah maisha yatafunguka...usijali riziki yako haitokukwepa maadamu mungu ameshakuandikia riziki yako...na inshaAllah utasaidika

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 роки тому

    Well come to Islam.. brother Hasheem Allah akupe afya akuongozi akuwezeshe Ameen...

  • @sarahmussa7043
    @sarahmussa7043 3 роки тому +2

    Masha Allah mwenyezimungu akutie nguvu na subra katka dini ya haki Insha Allah.

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 роки тому +5

    Masha"Allah

  • @eastafrica6858
    @eastafrica6858 Рік тому +2

    Mashallah kape deza kisha mtulivu toka mwanzo aliulizaaa kuhusu dini ya kislam na kajua ukweliiii

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 3 роки тому +1

    Mwaipopo mungu akupe subra...utafaulu inshaAllah

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 3 роки тому +3

    Mashallah

  • @faidalewa2033
    @faidalewa2033 3 роки тому +3

    Sheikh mwaipopo nakkubali Sana kaka mm nipo Kenya na tafadhali nakuombea mungu akufanyie wepesi Duniani na kesho akhera kaka

    • @mozasaidi1035
      @mozasaidi1035 Рік тому +1

      mubgu akujalie sana shekhe mwaipopo umri mrefu na uendelee kazi iyo

    • @mozasaidi1035
      @mozasaidi1035 Рік тому +1

      mungu atakuongoza shekhe insharrah na uyo kaka yetu mungu atamjalia sana

  • @neliusphilimon4476
    @neliusphilimon4476 3 роки тому +1

    Allah Akbar mashallah mwenyez Mungu atawajalia kila la khel mnafnya kazi kbwa sn

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Рік тому

    Pole yako Dickson,Hashim kwa sasa

  • @sefubin4270
    @sefubin4270 3 роки тому +1

    Mansha Allah 🤲🤲 karibu karibu kaka hashimu💕💕💕💕💕🤝🤝🤝 tutakulinda utasoma mansha Allah 🤲

  • @ritasheriff7814
    @ritasheriff7814 2 роки тому

    Mwenyenzi Mungu subukhana Allah azidi
    Kumuinua katika dini ya kiislamu.

  • @aishahamis1248
    @aishahamis1248 9 місяців тому

    Mashaahllah karbusana Allah akufanyiye wps

  • @mussamalugu1793
    @mussamalugu1793 3 роки тому +2

    Safi sana shekh wetu maa sha allah

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 2 роки тому

    MashaAllah Jazakhallahu kheiri 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rashidiseiphu6766
    @rashidiseiphu6766 3 роки тому +2

    sheqhe mungu akupeher duniyan na kesho aqhera

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Рік тому

    Nakupenda kwa ajili ya ALLAH Sheikh wangu Mwaipopo

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 2 роки тому +1

    Message kutoka Canada. Wakristo na waislamu wameumbiwa na mungu huyu mmoja tu. Hakuna mungu tofauti aliye umba Mkristo na mungu mwingine aliye umba Mwislamu. Sawa? Hapa tumekubali. Je dada na ndugu zangu kwenye Ukristo--umejiuliza hayo maswali kibinafsi? Umejiuliza jina la pili au la mwisho, yaani surname, wa Gospel kutoka Matthew, au Mark, au Luke, au John? Passport yako ina jina lako ya kwanza tu? Utaweza kusafiri hivyo? Ujiulize. Fikiria sana kwa akili aliyekupa mungu. Je Yesu au mama yake Maria walisema Yesu ni mungu au mtoto wa mungu? Je wanabii kwenye Bible waliozaliwa kabla ya Yesu wataenda motoni, kwa sababu hawakujua Yesu, na wakristo wanasema “only through Jesus you will be saved?”? Hii ndiyo haki au ni dhulma? Waislamu wanapenda Yesu zaidi kwa sababu wanaume wa waislamu wanaweka ndevu na wanawake wanavaa hijab (Head Cover) kama Mother Mary. Hawali Pig/Pork kama Yesu au mama yake. Wanamwomba dua na kukwabudu mungu moja sawa sawa kama yesu na mama yake walivyo omba kwa huyu mungu moja. Sawa? Fikiria sana haya maswali. Sio Ibilisi/Shaitani/satan awapoteshe na awachukue motoni. Wakristo ni wandugu wa waislamu. Sote tuende Peponi kwa kumwabudu mungu mmoja tu. Au sio? Much respect from Ray in Canada.

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 3 роки тому +3

    Inshaa Allah Dua njema tunamuombea

  • @princerammy1543
    @princerammy1543 2 роки тому +2

    Mashaallah mashaallah

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 роки тому

    Allah akuhifadhi kk upo sahihi yadihuruna fiidini lahi afuwaja wote hap wamesilimu mwaypopo na hashimu

  • @guenterernst5481
    @guenterernst5481 3 роки тому +2

    Mashaallah sura zangara kutokea iliposilimu allah amuongoze ajue dini na aweze kusilimisha wengine ameen

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 3 роки тому +1

    Mashalla ustaz.alhabdo lilay

  • @jumachete2293
    @jumachete2293 2 роки тому +1

    Mwaipopo mungu akupe firidausi

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 роки тому

    Masha Allah , JazakAllahu kheyran ...

    • @ukweliwauislamu9590
      @ukweliwauislamu9590 2 роки тому

      Utapeli wa pastor Adam Hajj
      ua-cam.com/video/xh7gF4OY5cU/v-deo.html

  • @fadhilasalim7464
    @fadhilasalim7464 3 роки тому +1

    allah atakuhifadhi ndugu yetu hashim.

  • @shurlaally1686
    @shurlaally1686 2 роки тому

    Maashallah kaka yetu Allah akujalie ufe ukiwa muislam

  • @yusufukienda8019
    @yusufukienda8019 3 роки тому +1

    Mashaala tunawasubiri wengi wataijua kweli izi ni siku za mwisho

  • @anwarambar6141
    @anwarambar6141 3 роки тому

    مشا الله تبارك الرحمن.karibu Bro kwenye dini ya haki.

    • @yunusramadhan2546
      @yunusramadhan2546 2 роки тому

      Mashaallah, lkni hakuna makafir wabishi kama watanzania nakusilim niwagumu sana hata wakiijua haki

  • @amourmaftah258
    @amourmaftah258 2 роки тому +1

    ALLAH AKBAR. ALLAH AKBAR. ALLAH AKBAR...huu ndio ukweli na daima ukweli hudhihiri.

  • @zumbetuppa1156
    @zumbetuppa1156 3 роки тому

    Maashaa Allah,Mwaipopo Allah akulipe,inshaa Allah,

  • @issahrashid6319
    @issahrashid6319 3 роки тому +1

    Maa shaa Allah Allah akubariq

  • @halima2549
    @halima2549 3 роки тому +2

    MashaAllah

  • @khamisomar5659
    @khamisomar5659 7 місяців тому

    Allaah akupe wepesi

  • @ZuberJafar
    @ZuberJafar 3 місяці тому

    Mashaal

  • @kizamaulidi6004
    @kizamaulidi6004 3 роки тому

    Mashaallah allah awazidishie kheri mashehe wote

  • @twalhamnyira5318
    @twalhamnyira5318 3 роки тому

    Mashallah shekh wetu tupo pamoja

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 роки тому

    Mashaallah Allaybaarik Yarrab

  • @shahdujamada7804
    @shahdujamada7804 3 роки тому

    Safi sana muhaya mwenzangu allah akukubali kalibu kigamboni

  • @dktabbaimran2002
    @dktabbaimran2002 3 роки тому +2

    Allahu Akbar

  • @mhjgkgjfjzuzu9545
    @mhjgkgjfjzuzu9545 2 роки тому

    InshaaAllah kaka Allah akuongoze

  • @alhajiahmad516
    @alhajiahmad516 3 роки тому +2

    Mungu akuzidishie zaidi ila tunaomba wahadhiri mushirikiane na muwe wamoja

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali8377 3 роки тому

    Mashaaallah mngu hmbariki

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 роки тому

    Mashaallah kalibu sana kijana

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 роки тому

    Ma sha allah
    Kijana Allah akuhifadhi na akubariki

    • @jeffmulei8895
      @jeffmulei8895 3 роки тому +1

      Waah, kijana umelipwa hela gapi? ujiuge na majini

  • @shabaniissa9792
    @shabaniissa9792 2 роки тому

    Allah akbar sheikh maipopo Allah atakuripa

  • @abdulrahmanmussa4479
    @abdulrahmanmussa4479 3 роки тому +1

    Karibu brother tuko pamoja inshaallah

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 3 роки тому

    Usijali ndugu yetu katika imani’ ...Yesu alisema “ADUI WA KWANZA NI WATU WA NYUMBANI KWAKO...AMPENDAE BABA AU MAMA KULIKO MIMI BASI HATAUONA UZIMA WA MILELE”
    Kwa hivyo usihofu ndugu yetu ‘ ALLAH kashakuridhia ‘ ndugu au wazazi wasikuzuilie katika njia ya ALLAH...!

  • @sharcksharckhassanhassan768
    @sharcksharckhassanhassan768 2 роки тому

    Maa Shaa Allah

  • @ashrafissa778
    @ashrafissa778 3 роки тому +1

    Allah ampe umli wenye kher nyigi inshallaha

  • @salummohd4971
    @salummohd4971 Рік тому

    Hongera ndugu

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 роки тому

    mashaAllah,Allah Akbar

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 3 роки тому

    Mashaallah tabarakaallah

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 3 роки тому

    Masha allah khashim

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 роки тому +1

    Karibu ktk uislam ndg yetu

  • @innocentmundekesye5617
    @innocentmundekesye5617 2 роки тому

    Yesu kristo wasamehe .

  • @FatmaAboubakar-z7o
    @FatmaAboubakar-z7o 3 місяці тому

    Masha Allah❤❤❤❤❤😅

  • @lwegelefistonnjoku1955
    @lwegelefistonnjoku1955 2 роки тому

    Allah akbar

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 3 роки тому

    Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiir

  • @mwarabumbarak4342
    @mwarabumbarak4342 3 роки тому +1

    Mwenzenu ameiona haki kaifata wakristo mtafukuzwa siko hiyooo ya mwisho.
    Luka 13:25-28
    Wakati mwenye
    nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;
    26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu.
    27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
    28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan 3 роки тому

    Inishaallah mungu awe na wewe kijana

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 3 роки тому +4

    Tukisema waarabu wabaya kwanza hatumaanishi raia wao au waarabu wa rangi na nywele walokua kwenye nchi tofauti japo kua lugha hawajui au km huyo mtu wa Pemba ulosema ww alokufadhili (hao watakua na ubaya ule wa maumbile ambao kila mwanaadamu haijalishi kabila wala rangi atakua nao) lkn Tunamaanisha wale viongozi wao wa nchi na ubaya wao.
    Mtume (s.a.w) alikua muarabu lkn alikua kiongozi muadilifu, hakua mnafik, na hakua adui wa waisilam wenzake. Na km utalazimisha kua kwakua Mtume (s.a.w) alikua muarabu ndio huezi kusema waarabu wabaya basi na Abuu Jehel alikua muarabu pia.
    Unahesabu uarabu wa Mtume (S.a.w) na kufananisha na hichi kizazi cha Makuraishi wa Makka kilichochanganyika na Mayahudi, wazungu nk ambao wengi wao hao Wafalme wa nchi za kiarabu wamechanganyika navyo na ndio maana hata imani na waisilam wenzao hawana?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 роки тому +1

      Ukiangalia visa ya Omani hao makafir wa Ulaya wanaingia bure Omani hawalipi hata sent moja, tena kwenda kwao km unavyokwenda ww kariakoo. Just unachukua pasport yako unapanda ndege ukifika Omani airport unagogewa bure. Nambie Tnz/Znz ukienda Omani unaenda km hivyo? Si mpaka utafute mfadhili, ndugu...na lazma ulipe hakuna cha bure. Na safari yako uanze kuandaliwa hapo ulipo km miezi, mwaka na sio unajitoa tu km wanavyokwenda wazungu/makafi na kwenda utarudi ulipotoka.

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 роки тому

      Na jengine hv inaingia akilini kafiri anatoka anapotoka anakwenda kumpiga muisilam ambae kazungurukwa na nchi za kiisilam, Na nchi za jirani ambazo ni zakiisilam ndio wapokezi ili mwenzao apigwe avurugwe? Na anakwenda na mizinga, mabom, silaha kubwa kubwa, vifaru nk au ww ulikua u afikiri Kafiri akitaka kumpiga musilam Iraq, Libya nk...hutoka kwake na ndege ya kivita mpaka kwenye nchi anayoitaka kuipiga? Halafu ulazimishe ww tuwaone wazuri kwa kua tu jamaa wa Pemba raia wa kawaida kakukaribisha ww ukala pilau na kukupa malazi?

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 3 роки тому

      Hao Waarabu wa Omani hata raia wa kawaida wengi wao umewaona wanavyowafanyia wahindi? Mtu anapigwa mikwaju kibanda cha simu kwa kua muarabu kafika na yy anaendelea kuzumgumza na simu, au mwengine kishatandikwa makofi air port kwa kujibizana na mwarabu tena wa Znz anaishi Omani. Kakutana na muhindi transit nimesahau alikua akitoka wapi wakazozana kitu kidogo yakesha. Bahati mbaya yule muhindi kumbe anakwenda Omani. Yule Mznz muomani alivyofika na kumuona anashuka Omani kampiga yule muhindi na hakuna chchte kilichofanyika. Na haya anahadithia kwa fakhari mwenyewe huyo mznz halafu unasema nn na wkt hao waarabu kuna Mtume (s.a.w) na kuna kina Abuu Jahel.
      Viongozi wa nchi za kiarabu wote hawana mana hata ukiwatetea vp lkn uovu wao upo wazi kabisa na kila mtu anaujua.

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 роки тому

    "Allah kareem atakuongoza inshaallah utasoma inshaallah"

  • @shabamuhidin634
    @shabamuhidin634 3 роки тому +2

    mashaAllah ametoka kwenye dini ya ujanja ujanja na kuhongana magari na nyumba,huku Uislam ni ufanye bidii utafute vyako sio kungojea,watu wanafanya kazi watafute zao

  • @nyetaapaul619
    @nyetaapaul619 3 роки тому

    Allahu Akbar!!!