Sheikh mwaipopo masheikh wetu wa kiislamu wasikuvunje moyo, wao kazi kubishana na kutukanana wao kwa wao, wamewaacha ndugu zetu hawa wanapotea na tumeamrishwa kuwalingania ili waje kuokoka na moto, saivi watu imani imeshuka sana masheikh ndio wanaotakiwa kuongeza jitihada ili imani watu zirudi, wao ndo kwanza wanatukanana, mie nipo pamoja na wewe na ukikosea nitakwambia umekosea mkamilifu ni Allah peke yake ila nipo pamoja na wewe sheikh wangu..ingawa utachukiwa lkn usijali hata mitume wa Mungu walichukiw. Sheikh wallahi unajuwa..
@@swaleheally8134Ni wengi nyakati za Yesu waliongea kama were adi mpaka Yesu aliposulubiwa wakasema: "kweli, huyu alikuwa mwana wa Mungu" maneno ya biblia. Ndipo saa zingine unaambiwa, " do not judge the book by it's cover.
Mtume meshak Mungu akubariki tunaomcha Mungu hatujisifii usomi wala elimu maana neno la Mungu wakweli linatafsiriwa kwa Roho Mtakatifu,,mpokee YESU KRISTO mwipopo akuondolee majini
Assalam alaikum, Sheikh Mwalpopo uko Sawa,Mungu akupe afya na nguvu za kuendelea kuitangaza DINI ya Mungu na usichoke kuutetea uislamu na Allah atakulipa duniani na kesho Akhera.... Aaaamiiiin..!!
Mungu awape macho ya rohoni...hamjajua kazi ya Roho Mtakatifu...1 Wakorintho 2:14 Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.
Yesu Kristo ni njia kweli na uzima kama unataka kupona na jehanamu ndugu yangu Muislam mpokee Yesu Kristo leo.Pasipo Yesu Kristo mbingu kuiona haiwezekani
Wakristo mnafeli kwa sababu ya kusikiliza propaganda za wachungaji feki na manabii, someni ili mumjue mungu wa kweli aliyekuwa anaabudiwa na mitume wote.
Uko sawa mtume meshaki mtume Mali ya bwana hakuna mtu atakae elewa unayo yafundisha ispokua wale wanao ongozwa na roho mtakatifu bwana yesu asifiwe Sana🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe shehi wetu ishallah kwanza hajui kutamka neno la kuru Ani anasema kuruwani mpubavu yéyé lakina asuburi jibu la kuru Ani likimfikia machoni yake ataona.miujiza ya kuru Ani
Nakupenda sheik wangu apa nataka nikulushie ela kwenye namba Yako sasaivi tupe dawa maana waislam wenye elim wamelala wanakufa na elim bila kututangazia mambo ya kiislam Sasaivi wanaongele mpila
Nyinyi mnajuwa maana ya jina mtume wa Mungu ,vitabu vyote vya Mungu viliwatabiri kuja kwao,tupeni aya katika biblia ilupo mtabiri huyo unaye mwita mtume wako kuja kwake duniani,nyinyi hamumjuwi Mungu wa kweli
@@TALLUBOY wewe ndio umesema KRISTO ni dini,lakini maandiko hayasemi unachosema umedanganywa, KRISTO ni Mungu na pia mtoto wa mariam alirithi na kupewa Hilo jina kama alivyopewa jina YESU,na maana ya neno KRISTO ni mpakwa mafuta yaani alikubaliwa aliyepata kibali na MUNGU aliyechaguliwa hii ndio maana ya KRISTO.sasa Basi Mkristo NI nani?, NI mtu anayemuamini KRISTO ambaye ni mtoto wa mariamu sasa anayeamini na kufata mafundisho yake ambalo ni neno la Mungu huyo anaitwa MKRISTO,MWAMINI,WANAFUNZI,THENASHARA WALIOOKAKA, WATAKATIFU,WATEULE.kwenye maandiko kuna maneno ya MUNGU hakuna dini,Dini inaanzishwa na wanadamu lakini maneno ya KRISTO yanaletwa na Mungu mwenyewe
@@TALLUBOY umedanganywa, mwapotea Kwa sababu hamjui maandiko wala uweza wake, dini haimpeleki mbinguni mtu, Mungu ameleta Yesu ili kila amwaminiye asipotee(KUZIMU),Bali awe na uzima wa milele,na YESU anasema Mimi ndimi njia ,kweli na uzima mtu haji Kwa Baba ila Kwa mimi.sasa hapo kuna dini hapo,ili umuone Mungu unamuhitaji YESU
Kufanya huduma sio shida,shida ni ww bado utamfata huyo Nabi chizi ambao kwenye bibilia mafundisho hayaeleweki??si kuna Aya hizo zatolewa kwenye bibilia????si wajiona kama ww ni chizi ndugu,😊😅😊😅😊muhimu hapa ni ww uelewe ukweli uko wapi,,na sio kukomeshana,
@@criminalminds7723 huyo ni chizi sawa ila Mungu mwema wewe mwenye akili timam Mungu akubariki, yote wa yote tunamuachia Mungu ndio mwenye kutoa hukum
Maashaallah maashaallah maashaallah tabaraka Rahman SHEKHE WETU ALLAH akuhifadhi popote pale unapokuwa ktk kuufukisha ujumbe wa ALLAH inshaallah ALLAH akupe afya njema n.k inshaallah 🤲❤☝️
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah Asante sana Yesu kwa ukombozi wako juu yangu 😢😢🙇🏽♂️🙇🏽♂️ Kwanza unabii wa mtume Muhammad umetokana na kubanwa kwenye pango akiambiwa Muhammad soma , ajibu sijuwi kusoma. Izo hoja zaifu sana mwaipopo, mwenyewe shahidi kuusiana na kibano cha Muhammad kwenye mapango alafu mdai Padri akamwambia mtume Muhammad tayari umepata utume! Iyo haiwezekani abdahni eti nabii abanwe? Kuusiana na aibu ya Nuhu 😅duh! Pia iyo ni hoja zaifu, Muhammad mwenyewe kaowa Adija akiwa mtoto iyo sio aibu? Jaribu wewe kwanza kumuowa binti wa miaka 9 kama hutaenda jela, alafu aibu ya pili ya Muhammad kalogwaaaaaaa!!!
😢 waisilamu ni kweli nyinyi kweliwa bibilia amuwezi elewa ata bibilia emeshinda wakirsto kutafisirii but remember musema kweli ni yesu mwokozi wetu na muhumba baba yetu wabinguni Kwa ufunuo wa ROHO mutakatifu yesu ana sema wakirsto na waisilamu na watu weginee awataki kuja😢 kwa muhumba baba yetu wabinguni na mwokozi wetu yohana 5:39_
Mwaipopo hoja zako ni nyepesi sana,shida ya nyie waislamu mnamuwekea Mungu mipaka yaani Mungu hafanyi hiki afanyi hii. Mnashindwa kuelewa Mungu ni roho na roho uchukua mwili.Kashindana na Mungu akiwa Kama mwanadamu.
Ukifa ndio utaenda kutambua kwamba uislamu kumbe ndio ilikuwa ni dini ya mungu maana yesu alikuwa muislamu ssa wwe kufa na dini iitwayo ukristo ukaingie motoni
Soma bibilia Yesu hakutumwa kwako usipotee soma utoe ujinga.Wakristo shule mnasoma lakini dini hamtaki kusoma munaaminishwa mijambo haipo mutakuja kujuta siku ya mwisho ,hamuna Mungu wala nabii wala kitabu nahiyo biblia si yenu wazungu wamewapoteza sana
Yesu hajatuma kwako soma biblia kwanza uelimike japokua i kitabu chako wakristo poleni sana Hamumjui Mungu wala nabii wala kitabu niwazungu wamewaletea biblia kila karne wanatoa hili wakiongeza lile.
Injili ya yesu kristo Haimuhukumu mtu Imani yake,isipokuwa inamfundisha mtu Toba kunyenyekea mbele za Mungu, na kuacha uovu,injili ya yesu kristo,inaupendo na wenye thambi,ili. Wapate kuokolewa,
kana njaa hauone sura yake ilivyokauka yani face yake haina hata nulu njaa mpaka kanatukana viongozi wengine wa kikirisu nakujiona kenyewe kako poa sana😂 ila kama ulivyosema kiongozi wangu hawa mbwa ukiwakalia kimya Inamaana umekubaliana nao alafu ndio wanazidi Allah akuhifazi sheikh wangu Mwaipopo usichoke kuwa fundisha huwenda wakapatikana wamchao MUNGU katika vizazi vyao
MUNGU ANAKULA AU KWENDA HAJA KUBWA NA NDOGO?? MUNGU ANAENDA SOKONI?? MUNGU KATAHIRIWA NA BINDAMU ALIO WAUMBA??? MUNGU KAPIGILIWA MISUMARI NA BINADAMU MUNGU GANI DHAIFU HUYO???
Sheikh mwaipopo masheikh wetu wa kiislamu wasikuvunje moyo, wao kazi kubishana na kutukanana wao kwa wao, wamewaacha ndugu zetu hawa wanapotea na tumeamrishwa kuwalingania ili waje kuokoka na moto, saivi watu imani imeshuka sana masheikh ndio wanaotakiwa kuongeza jitihada ili imani watu zirudi, wao ndo kwanza wanatukanana, mie nipo pamoja na wewe na ukikosea nitakwambia umekosea mkamilifu ni Allah peke yake ila nipo pamoja na wewe sheikh wangu..ingawa utachukiwa lkn usijali hata mitume wa Mungu walichukiw. Sheikh wallahi unajuwa..
Daa umeongeza ukweli
Nilivo ona picha ya muchungaji tu sikuona umuhimu wa kusikiliza mana yemwenyewe yopo kama dishi lime yumba
@@swaleheally8134Ni wengi nyakati za Yesu waliongea kama were adi mpaka Yesu aliposulubiwa wakasema: "kweli, huyu alikuwa mwana wa Mungu" maneno ya biblia.
Ndipo saa zingine unaambiwa, " do not judge the book by it's cover.
Mungu aendelee kukubariki shekhe wetu mwaipopo tuwasaport mashekhe wetu na tusikubali dini yetu ichafuliwe na wahuni wa kanisan
Sema shetani aendelee kumbariki sio MUNGU aliyeumba mbingu na nch.
@@wilisonmikate1652 Bangi izo!!!!.
Mtume meshak Mungu akubariki tunaomcha Mungu hatujisifii usomi wala elimu maana neno la Mungu wakweli linatafsiriwa kwa Roho Mtakatifu,,mpokee YESU KRISTO mwipopo akuondolee majini
Assalam alaikum, Sheikh Mwalpopo uko Sawa,Mungu akupe afya na nguvu za kuendelea kuitangaza DINI ya Mungu na usichoke kuutetea uislamu na Allah atakulipa duniani na kesho Akhera.... Aaaamiiiin..!!
Ameen.inshaallah.
Jazakallahu lkheir Shekh. ALLAH akulipe kila la kheir
Barakah ALLAHU fiiqum hbbi mwaipopo Allah swt akulinde na kila aina husda na balaa na akupe mwisho mwema aaamiin ahsatum xnaa hbbi
Mungu awape macho ya rohoni...hamjajua kazi ya Roho Mtakatifu...1 Wakorintho 2:14
Basi mwanadamu wa tabia ya asili hayapokei mambo ya Roho wa Mungu; maana kwake huyo ni upuzi, wala hawezi kuyafahamu, kwa kuwa yatambulikana kwa jinsi ya rohoni.
Soma vizuri kijana yesu nabii ISSA a.s alikuwa anatabiri mtume MUHAMMAD S.A.W
Yesu na ISSA ni watu wawili tofaut kabisa kwa ushahidi wa Quran na Biblia
@@heritier5119 Yesu ni Issa wacha masiara ww
Upo sahihi shekhe wetu allah akulinde
Ostaz mwaipopo nakukubal
Sana shekhe wangu
Yesu Kristo ni njia kweli na uzima kama unataka kupona na jehanamu ndugu yangu Muislam mpokee Yesu Kristo leo.Pasipo Yesu Kristo mbingu kuiona haiwezekani
Tatizo Yesu si Mungu😂
N sawa what is the key to heaven ukipata basi mm nawe leo hii mkristo😂😂😂
Wakristo mnafeli kwa sababu ya kusikiliza propaganda za wachungaji feki na manabii, someni ili mumjue mungu wa kweli aliyekuwa anaabudiwa na mitume wote.
Wewe utatumia njia gani ili uende peponi??
@@RastaSuma waambie ukweli
Mashallah, sheikh Mwaipopo Allah akujaze kheri
شكرن شيخنا الفاضل مويبوبوا
Uko sawa mtume meshaki mtume Mali ya bwana hakuna mtu atakae elewa unayo yafundisha ispokua wale wanao ongozwa na roho mtakatifu bwana yesu asifiwe Sana🙏🙏🙏🙏
Amen
Allah akuzidishiye kheri juu ya Kheri zote za duniyani na Akhera
Allah akuongoz shekh kwenye kheri
Asalaam aleikum ,,, Masha Allah mwaipopo your doing great job
Nikweli hatuabudu mungu wa izraheli ila tunabudu mungu waulimwengu mzima bila kuchagua inchi Allah akuifazi sheikh mwaipopo ❤❤🎉🎉🎉😊😊
Huyo mchungaji alivuta sana bangi
Alivuta sana tena alipitiliza siku hiyo pole sana
MashaAllah shekhe wetu nikiwa kenya nafatilia sna nakuskiz mawahidha
Allah akulinde shekh wetu
Shekh Allah akuhifadhi na uendelee kutuelimisha
Ma Shaa Allah Allah Akuhifadhi amin
Huyu pastor naona anatafuta kick tu laana za Allah zimshukie kafiri mkubwa
Mashallah nakupenda shekhe Wang kwa ajili ya mwenyez mungu
Allah ukuzidishie Askari wamtume muhammad ( saw)
Assalaam alaykum
Jazaaka llah khair sheikh mwaipopo.
Waislamu kweli haya makundi yanatukosesha umoja nguvu kuutangaza uislamu kwa wakristo.
Brother Mwaipopo your true.
Masha Allah sheikh mwaipopo pasua majipu hayo usiache hata kipele huyo pastor emechoka hata nywele zinavumbi
Nywele zake kama mavuzi ya Punda huyu anaejita paster
@@hamadeddymaclayz hahahahaha
@@hamadeddymaclayz uishi miaka mingi 😂😂
Halafu mbona huyu mchungaji anaonekana Kama mpiga debe kwenye madaladala
@@chikuiddy9946 umeona eeh!! Mi nilikutana nae mwembe yanga alikua anagombana na konda kisa 100 alimzulumu alitakiwa ampe 500 akampa 400
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu sheikhuna Mwaipopo. Safi sana.
Allah atakulipa cku y kiyama endelea kueneza dini ustadh usikufe moyo
Shekh allah akupeshifa usidi kuwaeleza ukweli ,asalamu aleykum
Allah Akupe uhai mrefu shekhe wngu n
Ubarikiwe shehi wetu ishallah kwanza hajui kutamka neno la kuru Ani anasema kuruwani mpubavu yéyé lakina asuburi jibu la kuru Ani likimfikia machoni yake ataona.miujiza ya kuru Ani
Nakupenda sheik wangu apa nataka nikulushie ela kwenye namba Yako sasaivi tupe dawa maana waislam wenye elim wamelala wanakufa na elim bila kututangazia mambo ya kiislam Sasaivi wanaongele mpila
Shekh mwaipopo nakupend kw ajili ya allah
mwenyezimungu akujaliye umri mrefu sheikh wetu😋🙏🙏
MashaAllah shekhe uko sawa ALLAH akulinde
Allah akulipe pepo Sheikh wangu🤲
Mungu akutangulie uko sawa
Mwaipopo hongera
Umesema kweli sheikh,
Waislam mpokeeni Bwana Yesu maana ndiye Mungu wa kweli na Haki mtayajua mambo ya Rohoni
Mungu wakwel kivip acha ujiga unamkubali bina dam kama wewe alika tumbon kwa mama yake mwez 9 nakanyonya kama wew leo unasema ndio mungu uko lofa sana
@@IssaMbaru-qw6ug hauwez kuelewa mambo ya rohoni kama upo mwilin mpendwa
Nakupenda sheikh mwaipopo kwaajili ya Allah
Duu!! Nimecheka sana mungu amekula kichapo
Mamoja na yote haya
Miye namshukuru sana yesu kwakunipa wokovu👏
Kasome Biblia kwa makini wewe:- (KINGI JAMES VERS. 1952)SOMA 15:7 MATHAYO na 7:24 MATHAYO
Hasbiyallahu waneema lwakiil uyu MJINGA sana
Shekh Mwaipopo uko sahihi sana tu
Allah akuzidishie sheikh mwaipopo akupe nguvu zaidi kwa kuinusuru dini na kuwatoa mashimoni waliopotea katika giza nene
Nyinyi mnajuwa maana ya jina mtume wa Mungu ,vitabu vyote vya Mungu viliwatabiri kuja kwao,tupeni aya katika biblia ilupo mtabiri huyo unaye mwita mtume wako kuja kwake duniani,nyinyi hamumjuwi Mungu wa kweli
mashallah sheikh mwaipopo
Sheikh wangu mueleze ukweli uyo mpumbavu qur an hauna Shaka ndani yake Allah anaupenda uislam
Nakuamini sana shekhe mwaipopo
Shekhe mwache huyo ni muhubiri shoga.
Masamehe hajui atendalo
Inshaallah mwenyezi Mungu akupe kheri
Huyu mtume Meshach NI mtume wa YESU KRISTO
Nitafutie mstari uliyo
Andikwa kristo ni dini
Kwenye bibilia zote
Agano jipya na agano la kale
Alafu niambie mstari fulan
@@TALLUBOY wewe ndio umesema KRISTO ni dini,lakini maandiko hayasemi unachosema umedanganywa, KRISTO ni Mungu na pia mtoto wa mariam alirithi na kupewa Hilo jina kama alivyopewa jina YESU,na maana ya neno KRISTO ni mpakwa mafuta yaani alikubaliwa aliyepata kibali na MUNGU aliyechaguliwa hii ndio maana ya KRISTO.sasa Basi Mkristo NI nani?, NI mtu anayemuamini KRISTO ambaye ni mtoto wa mariamu sasa anayeamini na kufata mafundisho yake ambalo ni neno la Mungu huyo anaitwa MKRISTO,MWAMINI,WANAFUNZI,THENASHARA WALIOOKAKA, WATAKATIFU,WATEULE.kwenye maandiko kuna maneno ya MUNGU hakuna dini,Dini inaanzishwa na wanadamu lakini maneno ya KRISTO yanaletwa na Mungu mwenyewe
Bibilia kitabu cha nani?
Aya kama kristo umekili
Siyo din asiye kuwa na dini
Ni nani kama siyo kafiri badilia
Njoo kwenye din ya haki ambayo
Itasimamishiwa kiama siku yamwisho
@@TALLUBOY umedanganywa, mwapotea Kwa sababu hamjui maandiko wala uweza wake, dini haimpeleki mbinguni mtu, Mungu ameleta Yesu ili kila amwaminiye asipotee(KUZIMU),Bali awe na uzima wa milele,na YESU anasema Mimi ndimi njia ,kweli na uzima mtu haji Kwa Baba ila Kwa mimi.sasa hapo kuna dini hapo,ili umuone Mungu unamuhitaji YESU
Wokovu ni mpango wa Mungu kumtafuta mwanadamu
Yamkuta wapi mbona bado anaendelea kufanya huduma,Acha uongo
Kufanya huduma sio shida,shida ni ww bado utamfata huyo Nabi chizi ambao kwenye bibilia mafundisho hayaeleweki??si kuna Aya hizo zatolewa kwenye bibilia????si wajiona kama ww ni chizi ndugu,😊😅😊😅😊muhimu hapa ni ww uelewe ukweli uko wapi,,na sio kukomeshana,
Kwa sababu unakula unashiba soma kitabu chenu vizuri uwelewe vizuri
@@mengirashidy-ld3lm kinaeleweka vizur Kwa wale waliomuamini Yesu Kuwa Mwana wa Mungu
@@criminalminds7723 huyo ni chizi sawa ila Mungu mwema wewe mwenye akili timam Mungu akubariki, yote wa yote tunamuachia Mungu ndio mwenye kutoa hukum
Shekh fanya kaz ya ALLA achana na wababaishaji na sku ya mwisho utalipwa ujira wako inshaala
Aa!! Mtu mwenyewe muhuni tu kumbe bangi Iko kichwani.
Mungu wa kweli baba Ako.
Mtume meshack Yupo rohoni Sana yaan hapa hata mkusanyike million yeye peke yake anaweza kuwadondosha wote... unajua kwa Nini YESU YUPO UPANDE WAKE.
Toa makalio hapo
Toa makalio hapo
😂😂😂😂
Sio Ndacha tena
Dogo sawa
Maashaallah maashaallah maashaallah tabaraka Rahman SHEKHE WETU ALLAH akuhifadhi popote pale unapokuwa ktk kuufukisha ujumbe wa ALLAH inshaallah ALLAH akupe afya njema n.k inshaallah 🤲❤☝️
Allah s.w. azidi kukubariki. ❤❤❤
Shekh mungu akupe pepon ya firadaus
Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah Asante sana Yesu kwa ukombozi wako juu yangu 😢😢🙇🏽♂️🙇🏽♂️
Kwanza unabii wa mtume Muhammad umetokana na kubanwa kwenye pango akiambiwa Muhammad soma , ajibu sijuwi kusoma. Izo hoja zaifu sana mwaipopo, mwenyewe shahidi kuusiana na kibano cha Muhammad kwenye mapango alafu mdai Padri akamwambia mtume Muhammad tayari umepata utume! Iyo haiwezekani abdahni eti nabii abanwe?
Kuusiana na aibu ya Nuhu 😅duh! Pia iyo ni hoja zaifu, Muhammad mwenyewe kaowa Adija akiwa mtoto iyo sio aibu? Jaribu wewe kwanza kumuowa binti wa miaka 9 kama hutaenda jela, alafu aibu ya pili ya Muhammad kalogwaaaaaaa!!!
ww ndugu bangi zinakuzuru haya
Mashallah Ukitaka kufanikiwa kwenye dini ya MwenyeziMungu unatakiwa kuwa na Subira hutakiwi kuonyesha hasira
Najivunia kuwa mkristo, Bwana Yesu asifiwe
nakupenda helena Allah akuongz njia ya khr inshaAllah
@@fayeezabdallah2217 mimi ni mkristo najivunia kumju Yesu kristo mwana wa Mungu aliye hai na njia ya kweli na uzima
Shekha wetu mweipopo Allah akuifanzi inshallah
Dah mungu tuepushe
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
Ubarikiwe meshaki
Asante shekhe kwa kumleta huyu mtumishi ili mupokee injili ya Yesu Kristo , mumfuate ili muingie mbinguni
😢 waisilamu ni kweli nyinyi kweliwa bibilia amuwezi elewa ata bibilia emeshinda wakirsto kutafisirii but remember musema kweli ni yesu mwokozi wetu na muhumba baba yetu wabinguni Kwa ufunuo wa ROHO mutakatifu yesu ana sema wakirsto na waisilamu na watu weginee awataki kuja😢 kwa muhumba baba yetu wabinguni na mwokozi wetu yohana 5:39_
Imalilah wainalilah rajiun
Asallaàm. Mwaipopo. Na BABU mazingee. Toweni mahadhara.msiache na hata kuwenawengine mashekh toweni mihadharani mizuri
Wote Hawa kiboko Yao Mwalimu Ndacha wa Kenya anayo majibu Yote ya shaka ya maswali Yote kwa waislamu
@@heritier5119yule mbabaifu
@@heritier5119anabishana hadi na wakristo wenzie
Mwaipopo hoja zako ni nyepesi sana,shida ya nyie waislamu mnamuwekea Mungu mipaka yaani Mungu hafanyi hiki afanyi hii.
Mnashindwa kuelewa Mungu ni roho na roho uchukua mwili.Kashindana na Mungu akiwa Kama mwanadamu.
Awww.... Bwana Mwaipopo nakukubali kusema ukweli...kama waislam wangekuwa wa kweli uislam ungekua mbali Sana...
Ukifa ndio utaenda kutambua kwamba uislamu kumbe ndio ilikuwa ni dini ya mungu maana yesu alikuwa muislamu ssa wwe kufa na dini iitwayo ukristo ukaingie motoni
Uislqm umeharibiwa ili uonekqni hivisasq kama wewe unavyo sema hii nimipqngo ya mayqhud wanaotawqla dunia
@@mohamedhozi8110. Kasema km waisilam wangekua wakweli na hakusema km uisilam ungekua kweli.
Hadiii Munguu Amemuona
@@mohamedhozi8110 acha ujinga na akiri zako za kukalilishwa mashairi
MTUME MUHAMMADI SWA AMESOMESHWA DINI NA MALAIKA JIBRIL MIAKA 23
Waislamu wa sampuli hii wanatakiwa kuwepo kwenyeu uislamu
Jmn yesu krìsto ni njia ya kweli na uzma,,mungu awàsaidie,,Queen sio kitabu cha mungu
Huoni iabu kupita hapa wewe pinga kwa hoja au tujibu yessu ndio dini Nani si mnasema yessu ni Mungu Sasa mungu Tena njia ya kwenda kwa Mungu gani Tena
WEWE DINI YENU INARUHUSU KUSAGWA NA MWANAMKE MWENZAKO VP USHAMPATA BASHA WA KIKE?? FURSA HIYO 😂😂😂😂
Soma bibilia Yesu hakutumwa kwako usipotee soma utoe ujinga.Wakristo shule mnasoma lakini dini hamtaki kusoma munaaminishwa mijambo haipo mutakuja kujuta siku ya mwisho ,hamuna Mungu wala nabii wala kitabu nahiyo biblia si yenu wazungu wamewapoteza sana
Yesu hajatuma kwako soma biblia kwanza uelimike japokua i kitabu chako wakristo poleni sana Hamumjui Mungu wala nabii wala kitabu niwazungu wamewaletea biblia kila karne wanatoa hili wakiongeza lile.
Injili ya yesu kristo Haimuhukumu mtu Imani yake,isipokuwa inamfundisha mtu Toba kunyenyekea mbele za Mungu, na kuacha uovu,injili ya yesu kristo,inaupendo na wenye thambi,ili. Wapate kuokolewa,
kana njaa hauone sura yake ilivyokauka yani face yake haina hata nulu njaa mpaka kanatukana viongozi wengine wa kikirisu nakujiona kenyewe kako poa sana😂 ila kama ulivyosema kiongozi wangu hawa mbwa ukiwakalia kimya Inamaana umekubaliana nao alafu ndio wanazidi Allah akuhifazi sheikh wangu Mwaipopo usichoke kuwa fundisha huwenda wakapatikana wamchao MUNGU katika vizazi vyao
Kweli wahislam wanahangaika sana kazi yao kuponda tu na kufuatilia waklisto,endelehen kumwabudu muhamand na ss yesu kristo
sw mbichwa
Pambana shekh hii ndio dini. Mwenyezi mungu atakulipa usijali unayo yaona kwani ndivyo ilivyo. Shekh njaa ndio inatualibu
MUNGU ANAKULA AU KWENDA HAJA KUBWA NA NDOGO?? MUNGU ANAENDA SOKONI?? MUNGU KATAHIRIWA NA BINDAMU ALIO WAUMBA??? MUNGU KAPIGILIWA MISUMARI NA BINADAMU MUNGU GANI DHAIFU HUYO???
Ni kweli isiyopingika acha kupeleka watu kuzimu mwaipopo achia watu waokoke.... Huyo unayemtusi unamjua ww! Ametolewa bali na BW.YESU
Ukweli wako utaikuta skhera shekh,Kwan tutaonezhwa kama video zilivyo Sasa,Allahumma Aamin
Kule kwayesu wanafata pesa lkn dini yahaki niyakisilamutu
Haki ya kuwa waganga na wakorofi wambea wagomvi
@irene kaluse WAGANGA UKOROFI MAJINI KUFUFUA WALIOKUFA USHOGA NA USAGAJI UPO KANISANI.
@@irenekaluse3213 TAFUTA BASHA WA KIKE AKUSAGE UKRISTO UNAKURUHUSU 😂😂😂😂😂 FURSA HIYO.
Shehe hugo mjings amess angelikana anajita mlokole
Kafikiria mungu bibi yake
safi ustadh
Huyu Mtume Meshack ni Mtume wa MUNGU wa kweli, asipuuzwe bali asikilizwe!!!!!!!!! Mwenye masikio na asikie
Ndio Maana Mukapelekwa SHAKAHOLA..
SI BURE
HUYO MTUME MESHACK KATOKEA WAPI KIMBIJI??? AU TUWA NGOMA 😂😂😂😂
Njukubari sana mwaipopo
Good
Manshallah
Hunalolote shekh mnafiki
Innalillah. Walnnalillah. Rajiun
LaaRaibafii 🎉❤❤
Huyo mchungaji mwenyewe hajaisoma vizuri biblia. bila Shaka angeisoma angeona jinsi Mwenyezi Mungu anavyoweka maagano na Ibrahim kuhusu Ishmael.
YESU anarudi kuchukua waliomwamini na kubatizwa ole wao ambao hawajamwamini na kumkri kuwa ni BWANA na mwokozi wa maisha yao!!!