Mombasa: Kundi la vijana wanaowanyang'anya wakazi bidhaa lachipuka
Вставка
- Опубліковано 22 кві 2024
- Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
Nelson Marwa alikuwa kiboko yao
Their parents are currently watching silently, wakati watafangiwa ile kitu you will see them crying vile watoto wao ni wazuri
Lindeni wananchi wenu hapa Kenya, kisha ndio mufikirie kupeleka Police HAITI.
Ukisikia mmoja wao amepigwa risasi wamama wakiswahili watajitokeza kuandamana hii mombasa mbona asiwachiwe marwa
MOMBASA CITY LOOKS CLEAN AND ORGANIZED GOOD JOB
sijawahi kupenda mob justice lakini kama imefika hapa heri wauliwe tu....MWANAUME KAMA LIFE IMEKUSHINDA KUWA MSENGE
Usiwape chakula walale njaa. They seem strong enough to work
Chapa risasi tuu bure kabisa
Shopping? Njaa!
Where is our nelson Marwa we miss you alot champion God akuprotect kule uko you made mombasa safe place
Dawa yao ni risasi tu.
Wanatakiwa kuwa na patrol kila sehemu mbona uhalifu coast umekuwa mwingi unashangaa kikosi kizima cha polisi kinavamia mtu mmoja lakini maharamia wanavamia wananchia kila kona ya mji ni kama hakuna serikali
UKIINGIA RAHA, UKITOKA WEZI 🤣🤣🤣 NTV with the headlines 💯😆😆
Our police in Mombasa katikati ya town wezi wanapora police wako office tu eating bribes
Transfer that commissioner hamna kazi ana fanya, Mombasa has become extremely dangerous hata Nairobi and Nakuru is safer
Eti huko ndiko mnakoita Mombasa raha? Raha gani hiyo sasa? Au wizi na ujambazi ndio raha?
Only if Sheria ya kiislam ya kukata mikono wezi ingetumiwa, hakuna atakae thubutu kuiba.
Waaah! Hivi visa vimekuwa vingi sana hapa Kenya
Hawa ni chokoraa wenye wanakuja kuomba msaada na wanalala streets
Risasi itembee, mnabembeleza majangili