HELLO MR RIGHT S06E06 FULL SHOW HIGHLIGHTS | JAMAA AKATALIWA KISA TATOO | ANAYECHEZA MCHEZO AULA
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- ►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
Sijawah kucoment kpnd hk lakn niseme tuu Aliya leo umependeza sana Mashallah
Kama mnashindwa kupost kipande kimoja kwa kila mr right sisi tunajifunza nini,, msilolijua ni kwamba kuna watu hatuna ving'amuzi kwahiy tunafuatilia you tube kama hivi
Umeniwakilisha vilivyo🙏
Et jamani sisi tunafatilia kwenye simu
Kwer kabisa hatuna ving'amuzi na hatujui tutapata lini sasa wanavyo fanya hivi ni kutukosa sasa sisi wengine
mimi nauliza shoo yao uwa ni lin
Napenda hii show kwa sababu yake kumbuka
Sanaaaa uwe unavaa ivo Aliyah ❤
Mashaaallah Aaaliy ukivaa ivo ndo unapendeza kuliko nguo zako za uchi
Mashallah da aliya umependeza san
Atakaye muoa huyo johari basi atakuwa amevaa bomu litamlipukia
Maashaallah aaliah leo umependeza sana my sst ❤
Mwasi kitoko mwana mboka 🇨🇩❤❤❤
Watangazaji wambea wanasengenya sana mnawateta sana punguzeni midomo
Aliya tisha sana❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Johari bhanaaa😅, ila jamani hawa Mrs Right🙌🏻
kaka unajua kuchamba askari kidole waaaa😂😂😂😂😂
Aliya hiyo nguondio vazi la umri wako umependrza❤❤❤
mashallah aliya kapendeza
Tatizo wachumba mmewabadilishia vinywaji mmewaekea bia 😂😂
Mashaallah dada Aalya umependeza vibaya mnooh,,,nakupenda sana,,mmmwaaah ❤❤❤
Nawapenda sana jmn ila garab mbona mwanzo ulikuwa mkali awo wadada uwatoe km mwanzo ❤❤🎉🎉
Leo umependeza sana Aliya
Mm dada zitowaachi umalaya😅😅😅😅
Mashaallah leo dada Aaliyah umependeza
Aliyah kavaa vizuri adi mm nijisikia vizur
Johar lenyewe libaaaaaaayaaaaa
Aliya Leo umependeza sana shoga angu hongera Kwa kupendeza
Jamani hii iwe mnaweka live au kama haiwezekani badi muwe mnapost full episode kwa mara moja tu....unaangalia Mr right no.1 ukitafuta wapili hupati unapata introduction yake tu
Umeongeya kweli wanatukosea sana
Ila kumbuka😂😂😂 et midole yako kama vile ngadu Askari kidole khaaa ww kaka ww unanivunjaga mbavu Sana nataman siku tukutane nichekee
Aliya kumbe ukivaa nguo za heshim unapendeza ❤❤ so much
❤❤❤
Walai leo Aliya amevaa smart tu sana I like it
Pia hongereni kwa kuongeza microphone kuwapa urahisi mr & Mrs right
Alichokisema kumbuka nikweli kuna baadhi ya wanaume tunaamini kuwa tunaweza mpata mwanamke yoyote tunaemtaka kutokana na mianeakano yetu 🎉
Tryssi na johari and Masha watazehekeya apo 😂
Jamani muwe mnaweka vipande vyote wengine atupo Tanzanian tunafatilia kwenye cm
Nikiwa Drcongo Lubumbashi
Yeah kuna Mudaa navutiwa sana na kipindi hiki,ila tatizo naona madada wengi wakitanzania bado hawadja kuwa na ile Memory ya kukalili mtu ambaye yupo Free tena mwenye vision iliyo juu
Mmh huyo annipher mwugizaji hapo alpo mnauhakka haigizi kwel😂😂😂
😂😂
hawa mr right wa leo mbona kama wamedata hiv
Jaman sania heee😂😂
hee makubwa😂😂
Naomba wawe wanaingia ma Mr right wawili at once
Ngara b simielewi leo kawa kama kogoo anamuwinda mtetea
sema saivi mnawekaa kipande kifupi sana simfanye kama mwanzo mlivyo kuwa mnaweka sasa mnaweka highlight ata atuelewi inaendajee mnatuacha sana Wengine hatuna uwezo wa vifurushi ndo maana tunafatilia you tube?????
Jamani hanipha sania wa housger jaman
Kwann mnashindwa kuweka full
Askari kidole mara vidole kama ngadu hahaha
kwan mmeshindwa kutupostia moja moja?
Ivi nyie vichwa kaa fenensi mnaonaga mkivaa uchi ndo mtaguliwa au waone vile 😏😏😏basi tu kusonya haiwezekani🙌
Umependeza aliyah
Hawa ma mr right hawapo serious wanatuzalilisha
wanafiki sana
Kaxi mwahasamisha zina nyote muko na mafungu ya madhambi
Kumbuka ,,,,jwakwer msi.mtoe kwasab anawapausha wadada hawajielew
Huyo dem maharage ya mbeya
sio kila mtu ana kingamuzi au kilamtu ana uwezo wakulipia kingamuzi, tunaomba mtuwekee vipande vizima sio nuzunuzu
@alya jamani ilo dira la msomali ukilichoka naliomba mie yanyzwaga sh 300k nayapenda ila sina ela tuu ya kununua
Ten ni mkundu uyoo johari
hawa ni malaya tu hiv kwel kbsa mtu mwenye akili zake aje kutafuta mwanamke apo au aje kutafuta wa kutomba tu
This girl she's right she looking husband she dont want love boy guy
Wamekuja fashion show ama kutafuta waume?
Johari kumprrekea kwa cheka t
Ila kumbuka 😅eti midole Kama ngadu
Jamani huyu si SANIA yupo kwenye tamthilia ya house girl
Huyu triss n mrahisi kwa wanaume khaaa
Jamn huyu si sania😳😳😳
Ila wadad wanqjidhauw mhm
😂😂😂😂😂😂😂😂sania
Wamekuja fashion show ama kutafuta waume manake sio Kwa nguo izo walizo vaa
Kumbuka unanpa raha jaman midole km ngadu😂😂
Ivi uku umnataft wanaume au wavulana..????😂
Jamani huyu thissi sauti yake kama ya husna sajeti
❤❤❤❤❤❤
Huyo demu wa kulia mwenye pink yupoa sema bc tyu
Johari mwehu
Kuna wa kuzeekea hapo sema hamuwajui
TRISSY
Johari ni takoo
Hebu muache kutuletea watu hawaeleweki tutayashusha madishi yenu make kipindi mumeanza kukichafua
Leo dada Aaliyah ame vaakama mtoto wamtu
Aliya huoni kuwa umependeza kuliko unavyokaaga uchi
We k kwel ety hutak mwanaum mweup
NAMTAKA JOHARI
Mnazingua siku izi
😅😅😅😅😅😅
Sania na wewe unatafuta bwana,ukiwa uchi
Kumbe na ww umemuona bwan
sioshuk
Kuna choko apo
😂😂😂😂