Ntemi_ Harusi ya Anna Official video.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 25 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 341

  • @FinahGHans
    @FinahGHans 7 місяців тому +5

    Nyimbo nzur sana jaman kila mda nafanya tu kuirudia rudia japo imeimbwa kiluga sielew ila nimeipenda sana big up bro

  • @MarcoMaduhu-rs8ow
    @MarcoMaduhu-rs8ow 14 днів тому +2

    Hongera sana namhala , nilicheza sana tarehe 19/10/2019 kwenye harusj yangu _ bariadi simiyu !keep upright

  • @Sosthenesndutu
    @Sosthenesndutu Рік тому +3

    Saf Sana najivunia Sana kuwa msukuma raha❤❤❤

  • @YohanaLenga-l5z
    @YohanaLenga-l5z Рік тому +2

    Safi. Sana kwakipaji Chako na mungu akubaliki. Nyimbo nzr sana

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 10 місяців тому

    kazi nzuri sana ntemi unaibuludisha sana hakili yangu nakuerewa ani

  • @FITINADIDACE
    @FITINADIDACE Рік тому +2

    Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa

  • @KhadijaKhadija-uc2uw
    @KhadijaKhadija-uc2uw 3 роки тому +10

    Daah nakumbuka nyumba nikaja kusikiliza nyimbo za kwetu najivunia kuwa msukuma nipo Dubai

  • @LucyWanzila
    @LucyWanzila 9 місяців тому

    Mungu abarki ndoa yao ❤❤❤❤

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 роки тому

    Owisee nikwambie usukumani rahaa sikuu yakuoa nikuchukue ujee uni dumbuize😁😁😂😂Niko dar salamu Ila sauti ikoo juu rahaa Ni yangu never give up

  • @charlesamon8873
    @charlesamon8873 5 років тому +15

    Dah!! Nimekumbuka nyumban nikisikia hizi nyimbo Nikon gwanzuh china

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga 5 місяців тому +1

    Safi sana. Nyimbo ina maneno mazuri bila maneno ya aibu. Najikumbusha nyimbo nikiwa hapa New Delhi - India.

  • @SaidJuma-ww6vd
    @SaidJuma-ww6vd Місяць тому

    Najivuni kubwa msukuma ngwaka nakupenda sana unapiga sho zuri sana

  • @leahjoram4611
    @leahjoram4611 Рік тому +1

    Napatikana dar es Salam bonge la song hahaha wasukuma yoooo naipenda

  • @teddydotto7137
    @teddydotto7137 8 місяців тому +1

    Najivunia kuwa msukuma nyimbo za mafundisho sana kwenye harusi yangu lazima uje kuimba mungu atupe uzima2

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 11 місяців тому +1

    Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅

  • @EmmanuelKasambale
    @EmmanuelKasambale 2 місяці тому

    Hongera ntemi umebarikiwa sana msukuma obeja gete

  • @bornyborny445
    @bornyborny445 7 місяців тому +2

    Much love from Kenya Nairobi Kenya

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 11 місяців тому +1

    Osanjiiii na ubhukulu ikeyula ilelo ❤❤❤❤❤❤❤mpaga mmakingo😂

  • @valeriakishiwa6029
    @valeriakishiwa6029 2 роки тому +1

    Napenda kaz zako broo
    Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza at

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 2 роки тому +1

    Kwakweli ng'wanakang'wa unatutamgaza vzr wasukuma, tunajivunia uwepo wako! Be blessed by the almighty God! We enjoying.

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 11 місяців тому +1

    Nakukubali sana ntemi omabala

  • @JoyceSindibu
    @JoyceSindibu 4 місяці тому

    Kaz nzuli sana kaka mungu azidi kukupa malifa

  • @MwanaidiJuma-g3z
    @MwanaidiJuma-g3z 11 місяців тому +1

    ❤ nakumbuka Sana kwetu 🎉 ng,wana Kang,wa

  • @braybarinaba
    @braybarinaba 6 днів тому

    Nakumbuka mbar sana nipo marekan

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 4 роки тому +1

    Mwanangu hapo ndo hua unagusa nafsi yangu kwa kujituma kwa kazi nzuri

  • @mabulayohana3811
    @mabulayohana3811 2 роки тому +1

    noma sana sukuma song,yani kama hujuwi hii kabila jifunze,good message ❤❤

  • @jescakitinga4393
    @jescakitinga4393 3 роки тому +1

    Baba nakukubali sana kaka angu MUNGU akuinue zaid

  • @zuhuraabdallah155
    @zuhuraabdallah155 Рік тому +1

    Mungu akuzidixhie Inxhaarlh. Endeleza Kudumixha Mila na desturi zetu. Wasukuma Oyeeee

  • @hamismsafiri6042
    @hamismsafiri6042 3 роки тому +1

    Nakumbuka nyumbn tu nikiskiliza hzi nymbo

  • @mtundaagnes5609
    @mtundaagnes5609 7 місяців тому +1

    bwana na bibi harusi yhehye imihayo, bhaleho bhaleho bhamajungu bhangholo jabhubhi😅

  • @PaulinaDaudi-ox3oz
    @PaulinaDaudi-ox3oz 6 місяців тому +1

    Kuwa msukuma ni raha❤

  • @agathamathias7195
    @agathamathias7195 3 роки тому +2

    Nyanda Acha Tudange Umepigilia Palepale! Unanikoshaga Saanaaaaaaaaaaa

  • @SelinaTungu
    @SelinaTungu Рік тому +1

    Asante Sana kakanyimbo zetu za kisukuma nilizipoteza mda mlefu ila nimezipata na kubuka nyumbani usukumani

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania 4 роки тому +7

    Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana.
    Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿

  • @rosemaryjoseph2346
    @rosemaryjoseph2346 2 роки тому +2

    Japo saida kaloli alituapia kuwa atazibiti nyimbo zoote za kinyamwezi na kisukuma amefeli tuko juu wasukuma

  • @rashidbakhari9656
    @rashidbakhari9656 4 роки тому +1

    Nakumba bar sana ck unamuimbia mbinamu yangu huu wimbo

  • @Zainp-o4o
    @Zainp-o4o 9 місяців тому

    Mim nikubari kwa nyimbo zako

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 4 роки тому

    Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta

  • @jacklinekansago1833
    @jacklinekansago1833 4 роки тому +4

    Najivumia kua msukuma I love it

  • @b_kings96
    @b_kings96 3 роки тому +1

    Mimi sio msukuma ila napenda hu wimbo sana

  • @vestinaaisha4515
    @vestinaaisha4515 3 роки тому +1

    Big up xan waxukuma juuuuuuuuuuu

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 4 роки тому +1

    Hongera sana Ng'wanakang'wa unanyimbo nzuri za harus wabeja

  • @SamiaLove-cw6nj
    @SamiaLove-cw6nj 4 місяці тому

    Hii nyimbo kali balaa❤

  • @MussaMadunda
    @MussaMadunda Рік тому +1

    Nakukubali Sana mzee

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.5822 5 років тому +3

    wanaodislike wimbo huu ni kwa sbb hawaijui lugha ya kisukuma lkn ni wimbo mmoja mzuri sana na ujumbe wake ni mzuri sana

  • @fredrickmagingila3614
    @fredrickmagingila3614 Рік тому +1

    Nyanda ndododo, hongera sana. Nasikiliza nyimbo hizi nikiwa 🇬🇧 UK, najikia kama nipo nyumbani kabisa

  • @JacoboKanzaga
    @JacoboKanzaga 11 місяців тому +1

    Ana,ujumbe,mzur❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hassansaid-b4z
    @hassansaid-b4z 3 місяці тому +1

    Kariba mpombwe tena

  • @elizabethstephano6063
    @elizabethstephano6063 3 роки тому +1

    Navyokupenda wew mkaka hujui tuu

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 2 роки тому +1

    Big up bro

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv 6 місяців тому +1

    ♥️♥️♥️♥️ sana kaka angu

  • @horaslugaya2261
    @horaslugaya2261 2 роки тому

    Horas lugaya nakuku bark xna from kigoma manyovu

  • @manenobuluba1037
    @manenobuluba1037 4 роки тому +1

    Ntemi nakupata kijana nafurahi sana nakusikiriza nyimbo zako piga kazi mafanikio nijuhudi yako

  • @neemamarine1769
    @neemamarine1769 Рік тому +1

    Ukweli mungu nimwema kwa kwa kipaji tu unacho

  • @KouameKoffi-u7n
    @KouameKoffi-u7n 3 місяці тому

    ❤ j'adore ce grand musicien merci

  • @johnmatanda3834
    @johnmatanda3834 4 роки тому +7

    Kutoka Chicago, USA nakupata sana kijana wa home kahama,kama Niko nyumbani vile.

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba 5 років тому +6

    najivunia kiskuma kua lunga yangu yakuzaliwa njoo na dar utupe burudan

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 2 роки тому

    Nakubali Sana brother

  • @samsonmaswi966
    @samsonmaswi966 3 роки тому

    Naomba ule wimbo ilbumbi lije kobhabyaji kaka

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 роки тому +1

    Yajayo yanafurahishaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 років тому +8

    Akupandaga poli azwalile za gharama kweli big up

  • @happinessdanstan8877
    @happinessdanstan8877 2 роки тому

    Nakubl sana nyimbo kaka ang

  • @LovelyTz
    @LovelyTz 3 роки тому +1

    Woooh my brother ooh my God nimekupenda sana daaah

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 5 років тому +1

    Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 5 років тому +11

    Za nyumbani ni bomba sana ,naipata nikiwa Zanzibar. Wasukuma juu!

    • @husnahasna7161
      @husnahasna7161 5 років тому +1

      Salum Moh'd Nyiga mpaka oman tunazipata kwa raha zetu watuache wasukuma najihisi nipo nyumbani

    • @frankclemence7308
      @frankclemence7308 5 років тому +1

      Ngwana kangwa ulepatikana hei nyanda

    • @michaelmanyilizu1393
      @michaelmanyilizu1393 5 років тому +1

      Salum huku kwe2 ndokama hivyooo,SHINYNGA 1 mazeeeee

    • @sophiamtemi9734
      @sophiamtemi9734 3 роки тому

      Iko poa sana

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 років тому +3

    Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe

  • @gabrielshija7786
    @gabrielshija7786 4 роки тому +1

    kutoka israel wimbo mzuri kama nipo home nitafuteeeee that why make sure that you gonna find me

  • @SaidiHemedi-n1c
    @SaidiHemedi-n1c 9 днів тому

    Nabuludik sana Niko ifakala tanzani 2:07

  • @HamisaRamadhani-z1r
    @HamisaRamadhani-z1r 3 місяці тому

    Najivinia kuwa msukuma napenda kuzisikiliza nimepamis hom niko Dubai

  • @petrojakcison118
    @petrojakcison118 5 років тому +4

    Kutoka dar naenjoy mziki mzur kutoka kwa mw'anakang'wa🔥🔥🔥🔥🔥yan hatar

  • @yusuphabdallah285
    @yusuphabdallah285 4 роки тому

    Nikiwa Dodoma nakupata vzr sana ng'wana kang'wa chapa kz bro

  • @kulwampela3890
    @kulwampela3890 3 роки тому +1

    Tujifunze vijana kupitia nyimbo hiz sio kucheza tuu kabla hatujaingia kwenye pingu za maisha

  • @gilbertwaswa131
    @gilbertwaswa131 4 роки тому +1

    Hongera sana nimeipenda

  • @mudynuru4036
    @mudynuru4036 3 роки тому +1

    Wasukuma safiiiiii

  • @mektridamichael4035
    @mektridamichael4035 5 років тому +6

    Wew na nyanda masome nawakubali kinoma bigap ng'wana Kang'wa

  • @jacklinebabuneliku1686
    @jacklinebabuneliku1686 5 років тому +6

    Big up kwa ku2tangaza Wasukuma

  • @sittaanatory2699
    @sittaanatory2699 3 роки тому

    Yaan Hap nahic Kam Niko nyumbn kbc

  • @ibrahimkynga3265
    @ibrahimkynga3265 4 роки тому +8

    I don’t hear the language but I’m enjoying the song! From Maine USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 роки тому +2

      Thanks brother!

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 роки тому +2

      How can i send money 💰 to this artist just to buy a drink? Hop i’m talking to the right person. Ibrahimkynga@gmail.com

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 роки тому +1

      @@ibrahimkynga3265 where are you?

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 4 роки тому +1

      USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  4 роки тому +2

      @@ibrahimkynga3265 +255744516663 whatsapp for more info!

  • @shanijohn3988
    @shanijohn3988 4 роки тому +5

    Duh mimuha ilanapenda San nyimbo zakisukuma jamn

  • @johnsimba7230
    @johnsimba7230 5 років тому +3

    uko vzuur sana m shabk namba1 kwako we n diamond wakwetu usukuman unajua sana jtahdi kutoa video tunakupenda sana

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp 5 років тому +6

    ❤️❤️Umenikosh San na kisukuma mayo from Oman ipo sik nitafik usukumani✈️✈️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 років тому +1

      Karibu sana mariam

    • @stumay-wx9rp
      @stumay-wx9rp 5 років тому +1

      @@rajabuhussein4652 shukran ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @rajabuhussein4652
      @rajabuhussein4652 5 років тому

      @@stumay-wx9rp naomba number yako unayotumia wasap plz

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 років тому

      Maryam karbu

    • @halimarashid5184
      @halimarashid5184 5 років тому

      Jaman Mpaka nime miss Nyumban 😭😭 I love you Nyumban

  • @marrykanti841
    @marrykanti841 5 років тому +8

    Umenikosha kaka, naipenda sana lugha yangu na tamaduni zake.

  • @mahedasayi111
    @mahedasayi111 4 роки тому

    Mwana Kamwa anatoa ujumbe safi kwa jamii

  • @sakijakhassim8818
    @sakijakhassim8818 5 років тому +2

    Upo vizur mkuu,Endelea kuonesha maujuz na maubunifu every day mzee baba

  • @marthabinhu7183
    @marthabinhu7183 3 роки тому +1

    Nakumbuka nyumbani mpka.nalia

  • @ShamimuRajab
    @ShamimuRajab 2 місяці тому +1

    Hii nyimbo haichoshi kwakweli

  • @busandaking5742
    @busandaking5742 5 років тому +4

    Dah wimbo mzur xn xo big up mn

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 5 років тому +1

    Mfanikio mema video ni nzuli ila Bwana halusi alihalibu jinsi alivyoonekana video iko good 50&

  • @sophiamichael644
    @sophiamichael644 5 років тому +7

    Nyimbo nzuri, jitahidi utoe video ya shinje na mchoji.!

    • @anjellaezekiel1557
      @anjellaezekiel1557 4 роки тому

      Nikiwa dar nikiskiliza hizi nyimbo najiona Niko kwetu bala

  • @ibengweboaz4327
    @ibengweboaz4327 5 років тому +3

    Ye, mamihayo buli ngh'ana, hangamaga nyanda! Amazing,

  • @mariethamkulo1983
    @mariethamkulo1983 4 роки тому

    Musungu wa mwana nkima waluma nhangi lwa nkambheli

  • @magesejapheth8031
    @magesejapheth8031 4 роки тому +1

    Ulisawa du

  • @alexbushishi8342
    @alexbushishi8342 3 роки тому

    Uli h'i gulya no, Ntemi Omabala

  • @fabianmedard7021
    @fabianmedard7021 5 років тому

    Nakubali saana nimepamisi nyumbani Niko Dubai

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 5 років тому +3

    Najivunia kuwa msukuma

  • @deusmakaranga1079
    @deusmakaranga1079 3 роки тому +1

    Ki ukweli huu wimbo naupenda saana

  • @deboramsigwa5961
    @deboramsigwa5961 4 роки тому

    Kama umemwona babu nakanzu nakachupa ka Eagle gonga likeee

  • @michaeljoseph9903
    @michaeljoseph9903 5 років тому +4

    Uko vzr ww ni alikiba unaimba nyimbo za asilia siyo za biashala

  • @henrydonard3098
    @henrydonard3098 5 років тому +1

    Wasukumu mlihoii bhehi

  • @MariaHango-jn5xn
    @MariaHango-jn5xn Рік тому

    Tagal mpwa