Wamarekani Wanafikiria Nini Kuhusu Afrika? | What American Girls Think Of African Boys?
Вставка
- Опубліковано 20 вер 2024
- Nilitembelea mitaa ya Beverly Hills, California USA. Nikapata nafasi ya kuwauliza wamarekani wanafikiria nini kuhusu Afrika? Wanawake wa Marekani wanafikiria nini kuhusu Wanaume wa kiafrika? nk. Tembea na mimi ili ufahamu zaidi.
Pia nakuomba usubscribe ili usimiss video mpya nitakazokua nikipost. Asante kwa kutazama, Nakupenda sana!
My previous video;
• Maandalizi Yanayofanyi...
🔸FOLLOW ME ON;
INSTAGRAM: / jacchalz
TikTok: www.tiktok.com...
My Other Channel: / @jackchalz
#jackwausa #losangeles #mtaani
Please Subscribe to the English Version of my channel ⬇️ ⬇️
youtube.com/@Jackchalz
Good job bro👍
nataka niwakumbusheni hiyo lugha unaongea sio zetu wafrica ni lugha lao,unaolewana nao vizuri sasa mbona tukiwa Africa Bango ama Kenya uniazie lugha ambao sio letu huoni kama sisi wafrica nimataila haya ongea nao Swahili tuone kama utajibiwa
Nahitaj demu wahuko jack fanya mpango
Jack wa USA sifa nyingi wameshakupa wa Tanzania 🇹🇿 wenzako akiwemo brow Raymond, mm shida yngu jack ni contact zako za WhatsApp nizipate aseee, kuna vitu nahitaji tu share mawazo.
Hello
Jamani mama yetu SAMIA SULUHU huyu Jack ndo umpe ubalozi utamfaa sana,anajitoa sana sana kutoka moyoni kuitangaza Tanzania yetu 🇧🇼❤️
Mama Samia we wait for you
ua-cam.com/video/_Je0D5HBUbM/v-deo.html
Are you normal mentally?
so unadhani ubalozi ni kufanya haya 😂😂😂
Siyo ubalozi Kwa maana ya Serikali, ila mtu huyu anaweza kutumika au yeye mwenyewe kuamua kuitumikia nchi yake kua mtangaza vivutio tulivyo navyo hapa nchini kwa nguvu zote
Im from kenya n my debut on this channel and this guy's fluency in both English and Swahili is top tier...
Thanks. And welcome to my channel!😊
Mwanangu jack, inatakiwa upewe ubalozi huko,unatuwakilisha ipasavyo imebidi Tu niwe nakufuatilia mno mtu wangu
Hallow Jack nikupongeze kwa ubunifu mkubwa unaoufanya wa kuwapeleka watu Marekani bila visa wala Passport binafsi nimeupenda saana huu ubunifu napenda kushauri ujaribu kutembelea pia maeneo yenye historia mfano mahali alipouawa Rais John Kenedy au 2Pac Aman Shakuru pengine kuwahoji watu muhimu wa USA kama Tyson na mwisho binafsi natamani kufanya tour huko hofu tuliyonayo wengi ni jinsi ya kuishi huko hasa ukiwaza ni Nchi kubwa Marekani wewe naona umekuwa mwenyeji huko nini msaada unaoweza kutoa kwa mtu anayetaka kuja huko ?
yaan hilo la kufika huko ndo muhim sana kwanza bro
Hakika brother I real appreciate Please tujibu kuhusu hili
leo tangu asubuh niko marekan Asante jack
kiukweli unafanya utangazaji wa Utalii vizuri kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla
WATCHING FROM JAMAICA ....hongera bro one love ..tia bidiii saaaana endelea kuwaonesha watu natamani siku moja uje hapa JAMAICA ,kingston.
Asante sana!
Unafanya kitu kizuri sana nimependa, ila jitahidi kutafsiri kwa kiswahili vitu wanavyokujibu maana wengi wetu nikiwamo na mimi ung'eng'e ni changamoto madaftari yalikuwa mazito
Sawa sawa wazo zuri
Rhodeo i heard it on all American series but now i see the real of it good work jack continue promoting our African culture proud of you
Nice work bro,watching from kenya, your content is 100% legit.
Appreciate that!
From Mozambique 🇲🇿 nataka utuoneshe duka la balenciaga
Upo Mozambique sehemu gani
Cabo Delgado discrito de Palma
@@abduladinane ok karibu shimoyo
nimependa uyo dada alie sema africa tuna tamaa tuna maisha ya shida ni kweri kabisa🤔🤔
😁😁😁
Mimi nimependa hao wadada waliosema wapo single 😃😃😄
Napenda unavyoongea kaka. Love from KENYA
Jack unakitu Cha kipekee,kwanza akili nyingi yaani you're so wise keep it up bro
Thank you. Ubarikiwe!
Jack your work is so appreciated man! Napenda sana video zako watching from Zambia
Awesome! Thank you!
@@jackwausa huyo nia anayo we push cont
Ata Huku Kenya 🇰🇪 kumenyesha after 5 good months, we're grateful 😊🤝🏾
Mombasa bado 😥
Mombasa bado 😥
Jack nisipopata bundle la kucheki video zako nakuwa nazimiss unanionyesha US vizuri, sema kwa video hii umefanya ubunifu mkubwa sana hongera sana
Mmmmh, what an interview!, let's sum it up. Hope you heard about wildlife and that there is enough for everyone in the world according to the Ukranian girls, nice one.
Jack fanya muendelezo wa mtoto ulomuomba namba wamoto sana 😂
Alimkufia niliona👍
Jack,marekani Kuna watu wanao ishi vijijini?kama wapo tembelea utuonyeshe siku moja
With such content ni swala la muda tu mpaka channel hii itakopokua kubwa na maarufu,,tupo hapa jmn,,all the best broh unatufikisha US kwa uraisi zaid,,we thank you
🙏🏾
asante wka kutupitisha mitaa ya LA tumeona pisi kali za LA.. Unyama mwingi sana mzee enedelea kutuma content
Video Safi Sana yaani Moyo unafurahia Sana, kuona huko USA. Heshima yako Brother pa1 sn, From Zanzibar Tz.
To be honest your so creativity man .....I like they way u doing ma men........So lt's go to the next revel worldwide
Tunakupata live kutoka dar es Salaam mton kwa aziz... keep doing tupo pamoja sana
*naingia youtube muda wote kuona kama una video mpya nakukubali sana mwanang we ni mbunifu* yan daaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Iyo pisi ulio chukua namba Kaka hata ningekuwa Mimi ningechukua kudadeki
Sema Jak Nini hiyo pisi yenye koti la pinki nimeielewa embu fanya ninipa account yake ya Instagram kataja lakini kavuta sana😁
Jack muhuni wa bongo utakuw unakula watoto hatar😂😂😂
Jama wangu ivi wale watu sio washamba paka akukuwaki wakukata kupiga nae picha duh uko nipowa kweli 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🔥💪☝🏾
Swali yues umefanikiwa kuzunguka states ngapi.....? Au Los Angeles ndo zaidi I mean california
jack kiukweli unafanya kazi nzuri sana yaani nimekuwa siku nyingi nataman kufika America 🇺🇸 ,mzee nipe mbinu nami niweze kufika kwenye hiyo nchi ya ahadi!!!
Nimependa unavyoitambulisha Africa hasa TANZANIA barikiwa sana Niko Mwanza
Much love from kenya. Share numbers of those single ladies.
Thanks Mr jack.yaani ni bonge la SHULE yaaani ni zaidi ya kusomea degree.uko vizuri hongera endelea kutufungua akili juu ya ughaibuni
The lady in blue was honest and spoke openly about exploitation in Africa and how America determines how Africans are
Tunaomba uwe utafasili kinachokuwa kimezungumza wengine washabiki wako hatujui kingereza rakin kazi nzuri kaka
The lady with blue coat, the way she define africa it’s means is so real,
Nmejifunza kitu kuhusu wadada wa uko wanavorespond maongezi hata Kama n sku ya kwanza kuonana, Sasa kutana na akina mwajuma wa bongo mama yanguuuuuuu weeee,, wanafanya Mambo kua magumu sana
Huko vizuri best unajitaidi sana kuelezea vizuri.....hopefully siku nitakuja kutembea huko
Karibu sana
Unajituma sana brother j
Mama yetu Samia suluhu. Huyu Jack unamfilkiriaje..huyu umpe kazi ya ubalozi ana play part kubwa mno kuitangaza Tanzania huko marekani kuliko hao mabalozi wako..hembu mchunguze huyu kijana mtanzania utamuelewa tu
Africa is ma home ,nimeipenda iyo fact,idea,acceptance yake nimeappriciate
Upo vizuri Sana Kama na sisi watanzania tupo marekani maana tunakuelewa vizuri Sana Asante kwa ubunifu mkubwa
Beautiful Content Brother Jackson. Keep it up man.
Next time tupeleke ufukweni tuone jinsi jamaa wanavyo~Surf hizo pande za Hollywood.
You do well bro...
You make us aware about USA .....
Grateful
🇹🇿Bro i love what you do but huku kwetu i have try to make a vlog about dar es salaam tour but its so difficult here. Nimekamatwa na polisi Eti unashuti watu bila ridhaa yao daaah
tuko nyuma ya muda sana ndo mana hatusongi mbele ila angekua mzungu anafanya vlogging wasingemsumbua.
That's really sad. Pole sana kwa changamoto hizo. Hopefully one day hiyo system itakua rafiki kwa vloggers!
😂😂😂😂😂😂😂 kimeumana hii ndo bongo
huo mtaaa sio poa kwa haraka kila ndinga inyopita no leds thana 50k $
Very well ndug yangu i'm with you,and good job i'm from burundi.
Nice to hear the opinions, especially that they look down upon us for no reasons.
Because we fake everything .like the UA-camrs kiswahili accent.Disgustingly fake.
Samahani bro what camera do you use?
Gopro 10 Camera hyo
Hahahaha Jack, nimependa contents zako by fredy mtu mzima 😁😁
Lkn jack uwe unatafsiri jinsi wanavyotoa maoni yao coz si wote afrika wanaojua kiingezera broo kwa namna hii ingebamba sana plz do that broo
Love your content bro. Ardent follower from Nairobi Kenya. Keep up, Deuces
safi sana bro jack kazi nzuri.#Michael wa Mombasa
Nice content, Always Mr Jack 💪🏽
I will try to shoot my shot😂😂😂
Best of lucky
Mitaa ya kishua hiyo RODEO
Nakubali sana safi safi
Brother naomba connection nifike uko nitafute marafiki
Nimependa uyu dada anavyotembea mwenye blue ,wakwanza ku muinterview ,yani nimependa anavyodunda ni Arusha girl kabisa huyu wala asibishe.,😀😀😀😀
Mda wote natama kuona video mpya mpaka nimerudia zile niliziangalia kwa mara nyingine tena kama kesho nakusubir kwa ham kuusu tuzo za Oscar kaka
SAFI SANA BRO
Oyooo Mwanangu Jacki pambana
Kazi Nzuri
Oya uko marekani mbona majumba ya people warufu kama Kina lihana na wengine mbona hatuyaoni
Kuna mshikaj wangu mitaa Sacramento California,
Congratulations Jack...keep it up.
An amazing ambassador.
Kaka nakubali kazi zako ongela mimi niko mozambique lakini kamanipo marecani❤🇲🇿
Jack naona unafanya yako nice job
Naenjoy sana movie zako, Ila unapoahidi muendelezo wa video utekeleze bana,
Kwa mfano ulituonesha yard ya magar ya Toyota then ukasema utatuonesha tena yard za magari mengine ford benzi na mengineyo
Nitafanya hivyo next time.
Hau kubelive kwamba intkuw contant but belive me street interview pia n bomba la conant
Nakushauri ungekuwa unawafundisha kiswahili japo kidogo ingekuwa poa sana
yan mzungu atabaki kuwa mzungu tu😘😘😘😂😂😂😂😂😂 angekuwa dem la bongo wanajishaua kishenzi ukimwambia mabo maringo kibao
Jack Hongera saana, nakufuatilia sana mshikaji
haya sasa wale wakorinto tulioingia instagram kujaribu kuwatafta hao watoto tujuane maana wabongo😂😂😂
😂😂
Mamb vp honger sna bro. Cku tunaomb uwatafute maecta maarufu. and tell them kaz zao zinakubalika sana asa kipnd iko
Brother Jack nmeonajinsi watu wanavyo zungumzia kuhusu maisha ya Afrika tunavyoishi
apo kwa huyo mrembo uliyefananisha jina naye nmeparudia mara kibao sana umeonesha real feeling safi sana😃
😊
@@jackwausa Jack nichekie mtoto please
kazi nzuri bro .........unakitu bro utafika mbali na kikubwa endelea kuwa OG bro..huna shobo we appreciate ma bouy...from code +968
umetisha sana mzee baba,safi.
Kaka nakupata sana una aidia nzuri by the way wewe ni Balozi tosha great man I salute you from bongo
Mwamba hahoji masela...uko vizuri kuanzisha maongezi na ladies
Bro naona unyama sana umetupia pigo kali pamba size yake. much respect blood
Bro Eshima sana kwakua unajuza mengi nakufuata nika Burundi 🇧🇮
Nmependa idea ya hii video..keep working brother.
Ni kweli Africa ni shida ,she is right we need to change and help each other
Ndugu tatzo la tz kujuwana Sana huyu jamaaa kama angekuwa na ndugu bungeni bas akipewa lkn tungoje maaana mungu ndy mpangaji
Hivyo visu ni balaa aiseee..
Content 🔥🔥🔥🔥
*jack jack we ni mshkaji wangu sana mwanangu nakukubali adi kufa*
Bro waonyeshe madhar mazur ya huku nadhani huwa hawaonyeshwi nitapenda kama utafanya hivo
My blue lady there is Oozing awesomeness.. she is very smart
Nakubali sana kujitoa kwako brother jack
Good job bro...very impressing
Its so strange like I expected even one person to acknowledge the fact that the first Black American President came from Afrika Kenya to be precised his excelency Hussein Barrack Obama damn .....so sad
Watching from Tanzania I real like your job
Ulizia pia kusiana na vip vijana uko kuhusu kumjua Mungu
sio kama tulivoskia bro.. uwe unasherehesha kwa kiswahili baada ya kuwahoji coz sio wote tunaelewa american english 😄
Appreciate man doing a splendid one! All the way from Dom🇹🇿 hope one day will touch the land on my foot.
mzima
Jack una pumzi ya kutosha yakumuingia mtu kimaongeze.raha sn.ila kua na UA-cam channel card .ya Kama kipeperush ukisha mhoji mtu ukimaliza unampatia na yeye baadae aingie UA-cam channel yako aenjoi ukweli
Good job jack nafuatilia sana hii maana ninajambo langu huko ningependa ushauri wako.
Nipo Dar Tanzania.
You have to improve sound Kaka..kuna sehem hamsikiki vzr na wakat Una content nzur...
Jack.. u have good CV bro.. ❤❤❤
Weeh 😄 I didn't get those Instagram names lol that ascent is too deep for me to understand 😅 I only got " pradl" and my UA-cam is interpreting that as Prado 😂
😂😂
Same to me 😂😂, next time the man should tag them 😂😂
Kenya wanapenda jokes
You take us to know america,sasa Sina Tena Mpango wakuja mpaka huko Kwa ajili ya kupaona America.Umesave nauli zangu mzee thanks very much,,keep going on👍
😂 😂 😂 😂 😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 wee jamaa wewe
😂🙌🏾
😂😂😂😂😂
If msoto was a person😂😂