UTAWAKUFURISHA MASHEKH ZAKO WOTE KWA SABABU YA VIGAWANYO VYA TAUHID || Muhammad Bachu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 321

  • @iddijuma1428
    @iddijuma1428 2 місяці тому +10

    Shekh Muhammad Bachu kwahakika Sisi tunakufahamu vizur sana ,kazi yako wewe fikisha haki kwa umma wa kiisilamu ,na Allah akupe afya njema zaidi ili tunufaike kwa ajili yako,, amiin

  • @faizahmed2898
    @faizahmed2898 2 місяці тому +10

    Mungu akuzidishie elimu bachu .Yani kwa jinsi unavyo fundisha kupitia makosa wanayo Fanya watu wengine tunapata kufahamu kwa rahisi sana jazaa yako kwa Allaah.kweli Una wafanya ubao hao maana tunafaidika Sana na elimu

  • @IbrahimMnyonge
    @IbrahimMnyonge 2 місяці тому +3

    Namuomba alla amjaalie shekh bachu ikhlaswi pamojana cc

  • @AbdulRama-u7d
    @AbdulRama-u7d 2 місяці тому +6

    Bwana muhammad wewe unaeleweka bana❤

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou 2 місяці тому +9

    Tupo pamoja kufuwatilia mijadala muhimu ya kidini,,Sheikh bachu endelea kutuelimisha mungu azidi kukupa nguvu ishalla

  • @k.kchakua1376
    @k.kchakua1376 2 місяці тому +2

    Jazaqallahu khaira sheikh wangu Allah akuzidishie Afya njema ..Sio kwamba hawakuelewi ispokua wanaona aibu KUSEMA wamekuelewa ..ikiwa SISI MAAMUMA tunakuelewa vizuri iweje wao wasomi wasikuelewi ..Leo hii mtoto wa std 7 akikusikia anakuelewa ..wanajitoafaham tu kusudi.
    Allah atakulipa kwa Elimu hii Bora Hakika wew nimwalim..

  • @saadaAbdalla1371
    @saadaAbdalla1371 2 місяці тому +4

    Maashaa Allah walokua hawamuelewi Sheikh wana lao ivi tuseme hawa hawajui kua Allah anamajina 99 na yote yamebeba sifa zake wamekusudia shari na Allah atazid kuwafedhehesha mpaka wasalim amri mbele ya Allah

  • @hamzamohamed07
    @hamzamohamed07 2 місяці тому +2

    BarakAllah feek Ustadh Muhammad... Allah (Subhanahu wa Ta'ala) Atuhifadhie Dini yake ya Ahlu Sunnah na Atuondoshee uzushi uliotawala ndani ya nchi zetu, ameen.

  • @saidmohamed6543
    @saidmohamed6543 2 місяці тому +2

    Masha Allah Sheikh Muhammad bachu hao majamaa wapige nondo mpaka waelewe tawhid tatu

  • @MASOUD-e3i
    @MASOUD-e3i 2 місяці тому +4

    Masha Allah Sheikh Muhammad Bachu muelimishe huyo hataki kuifuata haki amekua mkali diwani anaona atakosa wateja wa kuwauzia madawa yake ya uganga Allah atuongoze ili kuijua haki.

    • @mohammedal7864
      @mohammedal7864 2 місяці тому

      Allah hayupo sehem maalum bali yupo kila sehem, njooni Ahlulhaq wal istiqama (ibadh) haqi kwa dalili

  • @ShabaniIbrahim-u3y
    @ShabaniIbrahim-u3y 2 місяці тому +5

    Allah akujaze kila kheri sheikh wangu

  • @StephenOmoit
    @StephenOmoit 2 місяці тому +4

    Nakupenda sana Bachu kwa ajili ya Allah.Usiwaache paka wawache kuabudu kwa makaburi

    • @mussaissa6796
      @mussaissa6796 2 місяці тому

      YAANI HADI WEWE MLOKOLE UNAONGELEA UISILAMU!!

    • @saadaAbdalla1371
      @saadaAbdalla1371 2 місяці тому

      Jmn hili ni jina tu huenda ni muislam na km bado hajaslim tumuombee Allah amjaalie aslimu

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 2 місяці тому +4

    Mbn hivi vitu vipo wazi me nahis wamekusudia tu kubisha bas Mungu akuzdshie bachu

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 2 місяці тому +14

    جمعنا الله وإياكم في الفردوس الاعلى دون حساب ولا سابقة عذااب

  • @ابومعاذاحمدناصر
    @ابومعاذاحمدناصر 2 місяці тому +4

    Allah akuhifadhi shekh wetu shekh muhammad bachu tunakupenda kwa ajili ya Allah ❤

  • @masoud744
    @masoud744 2 місяці тому +4

    Mashallah... Mwili wangu unanisisimka jinsi unavyotufundisha

  • @cammackmarck
    @cammackmarck 2 місяці тому +5

    Allah akuhifadhi sheikh na uzuri wako unaonesh wazi kila kitu katk vitabu kinyume chake wao ndio wanaporoja maana hawana ata ushahid kwenye vitabu wanaongeo t na wafungue vitabu bc

  • @husseinmongolare3417
    @husseinmongolare3417 2 місяці тому +7

    Shukran mwalimu wangu❤❤

  • @ibrahimmaabadi1586
    @ibrahimmaabadi1586 2 місяці тому +5

    Hafidhaka Allah ya Muhammad bachu

  • @izmamuizmamu6521
    @izmamuizmamu6521 2 місяці тому +6

    MashaAllah tunakuelewa vyema

  • @pakashume725
    @pakashume725 17 днів тому

    Msahaaallah sheikh, mshumaa unavyoteketea wengine ndio tunapata mwangaza wa kielimu.

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur 2 місяці тому +2

    Sheikh Muhammad bachu nakupenda sana kwa ajili ya Allah

  • @KhalfanMbegu-q8e
    @KhalfanMbegu-q8e 2 місяці тому +3

    Allah akuhifadhi sheikh wet nakupend kwa ajil ya allah

  • @canoksancomprehensivelearn7182
    @canoksancomprehensivelearn7182 2 місяці тому +3

    Bahat nzuri Yusuf Diwan mshirikina mzuri wa wazi kabisa hajitambui yu hoi Sana kipofu mkuu Allah amuongoze atubie akae sawa

  • @ibrahimmg4786
    @ibrahimmg4786 2 місяці тому +3

    Mashallah Allah akuzidishie

  • @KassimMuslih
    @KassimMuslih 2 місяці тому +6

    Allah amuongoze Diwani asivuruge jamii
    Ukweli haujifichi.tusomeni

  • @ش.ف.ا.ع
    @ش.ف.ا.ع 2 місяці тому +1

    Sheikh bachu endelea na elimu alokupa allah

  • @masoudmohammed4258
    @masoudmohammed4258 2 місяці тому +5

    Mashallah sheikh Muhammad bachu

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 2 місяці тому +6

    ELIMU NDO SHIDA NA JANGA LA WATU WENGI TUNASHUGHULISHWA NA HAWAA ZA DUNIA NDO MAANA WENGI HAWAJUI WANAOJUA ALAH AMEWATAKIA KHER ALHAMDULILLAH

  • @moudswalehe4207
    @moudswalehe4207 2 місяці тому +2

    MashaaAllah baaraka Allah fiyk wa jazaaka Allahu khayra. Wallahi inafurahisha sana

  • @TRIPLE.3Rs
    @TRIPLE.3Rs 2 місяці тому +6

    Asalam Aleikum.
    Sheikh Bachu ni mwingi sana kwa hawa kina Diwani (Diwari)tena Sheikh Bach mfumo huu bora kuliko msabaka..Vp unawakomoa vizuriiii.
    Allah akupe Afya na umri mrefu.

  • @KishkitvAhmad
    @KishkitvAhmad 2 місяці тому +6

    Masha allah from Moçambique 🇲🇿🇲🇿 allah akupe umri mrufu wenye Baraka na manufa

  • @MfaumeHassan-n5g
    @MfaumeHassan-n5g 2 місяці тому

    Mungu akubari shekhe wetu

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340 2 місяці тому

    MAASHAA ALLAH TABARAKALLAH SHEIKH

  • @abuujamsheed2345
    @abuujamsheed2345 2 місяці тому +3

    Hawa jamaa elimu yao nakumbuka zilitaka kunipeleka na Mimi kuwa mshirikina alhamdullilah Allah kaniongoa

  • @ibrahimuakwilombe
    @ibrahimuakwilombe 2 місяці тому +3

    Allah akuzidishie kheri nyingi

  • @YahyaYahya-vp2pp
    @YahyaYahya-vp2pp 2 місяці тому +3

    Diwani anafanywa ubao

  • @MohamedSaburi-s7w
    @MohamedSaburi-s7w 2 місяці тому +3

    shekhe ALLAH AKUBAARIQ, tunapata faida kubwa kupitia taluma ZAKO, huyu diwani kazi yake ni omba omba tuu,

  • @zainabJuma-x9j
    @zainabJuma-x9j 2 місяці тому

    Assalam alykum kwema
    mzima sheikh tumepooza tunataka elim❤km unaumwa Allah akuafu km majukum mengine Allah ayatilie wpc❤Allahuma amiin

  • @habibmohd8008
    @habibmohd8008 2 місяці тому +1

    Hongera sheikh

  • @KhalfanMassoud
    @KhalfanMassoud 2 місяці тому +3

    may your presence become more blessed and bring people to man-haj assalafiy. Ameen

  • @OmarSalum-y9c
    @OmarSalum-y9c 2 місяці тому +3

    Mimi baaachuuu namkubali ssssaannna na diwani namkubali ssaaaanna na wote nawaombea pepo njema na kwa uwezo wake na nguvu zake ALLAH atawajaalia pepo mimi naamini sh diwani hajafahamu tu akifaham atabadilika c mgumu kufaham hata kidogo sh dowani

    • @ش.ف.ا.ع
      @ش.ف.ا.ع 2 місяці тому +1

      Diwani ni waganga hao walio chificha kwenye dini

  • @sheikhabuusakakin3243
    @sheikhabuusakakin3243 2 місяці тому +2

    ❤❤جزاكم الله خيرا وجعله الله في ميزان حسناتكم ونفع الله بكم أمين يارب العالمين

  • @hamisisaibu7779
    @hamisisaibu7779 2 місяці тому

    Baraka allahu fiiika

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 2 місяці тому +10

    Sheikh Bachu hafidhaka Allah,muambie huyo mganga diwani ya kwamba: العلم قليل يضر

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 місяці тому +1

      Hahaha, kweli kabisa,,,,,, amwambie...

    • @WakaliFashionTz
      @WakaliFashionTz 2 місяці тому +1

      Hahahahah kweli elim ndogo inadhuru sn

  • @mpogonm5203
    @mpogonm5203 2 місяці тому +4

    Iviii diwan anaelewaa mzigo wa bachu

  • @BafaaAbuu-c5y
    @BafaaAbuu-c5y 2 місяці тому +3

    Mashaallah shekh la mashekh east africa maghurafi wanapata tabu san

  • @SadickMussa-g6h
    @SadickMussa-g6h 2 місяці тому +1

    Diwani aende akafanye uganga wake huko, hana sifa zakuwa mlinganizi ktk njia ya Allaah

  • @ISSAMAALIM-sk6hg
    @ISSAMAALIM-sk6hg 2 місяці тому

    Aaanaka llah

  • @MussaYasini
    @MussaYasini 2 місяці тому +2

    Mashallah

  • @IbraahJuma-dl2rd
    @IbraahJuma-dl2rd Місяць тому +1

    Katika Hal za namna hiyooo 😂😂😂😂😂

  • @iddimohamed254
    @iddimohamed254 2 місяці тому

    Mi napenda vile bachu anachambua vitabu sio kama huyu diwani anapiga mdomo tu ili apate mashabiki...Allah akuhifadhi kka bachu..

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 2 місяці тому +2

    Shekh Muhammad laiti kama sio kufaidika kwa watu wasiojua mambo, ningekuambia diwani na mtoto wa bangi hawana sbb ya kujibiwa, kwa sbb zifuatazo;
    1-Hawatetei Dini.
    2-Sio wasomi wa Elimu ya Dini
    3-Ni wajinga walio topea kwenye ujinga.
    4-Ni washindani na wabishi tu, hawana cha ziada ambacho wanaweza kuunufaisha umma.
    5-Sio watu wenye shida na haqqi, bali haqqi hata iweje kama inaenda kinyume na matakwa yao na mazoea yao na uzushi wao na ushirikina wao, basi wataipinga tu, hatakama hawa hoja zinazo weza kusimama wakati wa kupinga kwao, lkn wataunga maneno hivyohivyo ilimradi tu wapinge.
    Mfano nikama hivi vigawanyo vya kumpwekesha Allaah Azza Wajalla.
    Wao wanapinga kua havigawiki.
    Sasa watu wajinga kama hawa wanaoweza kupinga kitu kama hiki kwa vipimo vya matakwa yao na matamanio yao tu, yaliojaa upofu na ujinga,kuna kipi wasicho weza kukipinga?
    Maana hakuna hoja wanayo weza kuitumia katika kupinga aina tatu za kumpwekesha Allaah Azza Wajalla.
    Hapo tukiwauliza kwa mujibu wa dalili Allaah anapwekeshwa kwenye vitu vingapi utapata vioja usivyo vitarajia kwa sbb kuna watu wana hadhi na nafasi kama ya Allaah au kuliko Allaah, ndiomana hawataki yale yanayo mstahikia Allaah peke yake kubainishwa na watu wakaambiwa kua hiki na kile na hicho nistahiki ya Allaah peke yake.......!!!!!!!!!!

  • @masoud744
    @masoud744 2 місяці тому

    Elimu Tisha.. Allah akuhifadhi

  • @yahyaibrahim4731
    @yahyaibrahim4731 2 місяці тому +6

    Bachu huyu mganga Diwan anakupotezea mdaa wallah sio size Yako una mpa elim ya chuo kikuu wakati yeye yupo level ya msingi

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 2 місяці тому +7

    BACHU ELIMU UNAYOTULETEA NI SAFI KBISA NYEUPE KILA MWENYE KUSOMA ANAKUELEWA LKN WAGANGA LAZMA WAKUCHUKIE HATA USICHOKE WENGINE TUNAHAMA KUTOKA SEHEMU MOJA KWENDA NYENGINE ALLAH AKUJAALIE NA WALE WENYE KUIKUBALI TAWHID NA UKAMILIFU WAKE KTK TAQSIMU TAWHIYD

  • @zanzibaronlytv3470
    @zanzibaronlytv3470 2 місяці тому

    Tatzo lako bachu unashirikiana na mahizbi ndo mana masalaf hatukukubali , Allah atuongoze sote

  • @mpogonm5203
    @mpogonm5203 2 місяці тому +2

    Bachu tunakuelewa

  • @saidmduchu8100
    @saidmduchu8100 2 місяці тому +2

    kaka wanyooshe kweli kwelii maana sasa hivi wanafana dini kuwa haina msimamoo kwa upuuzi wao

  • @bwagizoselemani8434
    @bwagizoselemani8434 2 місяці тому +1

    Shekhe nassoro bachu wewe uko vizur sana weng tunakuelewa wenye akili. Mifano ipo mingi waisilamu tupo wengi sana tunaamini kua mungu yupo ndio mlezi wetu lakin kuswali tumekataa ukitaka kuamini hivyo tizama msikiti uliopo jiran je unajaa watu au hata swafu moja pia haikamiliki lakin waisilamu ndio tumezunguka kila kona ila ibada tumeikataa hakuna mtu atapinga hili sasa anaepinga hiz tauhid ndio sisi weng wao washirikina ibada tumepuuza wewe mtu anathamin maulid kuliko swala ajabu kubwa hii

  • @mfalmenajjash2128
    @mfalmenajjash2128 2 місяці тому +20

    Diwani akauze dawa Muhammad unanifrahisha unavyo vunja hoja zake huku unacheka ngoja namm nicheke kidogo samahan lakini 😂😂😂😂

    • @alhadajjmohammedsmith9042
      @alhadajjmohammedsmith9042 2 місяці тому

      😂😂😂Shida/Tatizo Elimu (Shule)........

    • @jumajuma1324
      @jumajuma1324 2 місяці тому +1

      Kumbe diwani nae ni shekhe😊 basi hakubakia mtu hata punda wakivalishwa malemba na makazu watakua mashekhe hahhhhhh

    • @jumajuma1324
      @jumajuma1324 2 місяці тому +1

      Kwaza na aifunze kutamka hao majina ya Allah ajifunze hukmu za raa kati ya tarqiiq na tafkhiim

    • @jumajuma1324
      @jumajuma1324 2 місяці тому

      Muulize wani akiso :سبح اسم ربك الأعلى ، الذي خلق فسوى ، والذي قدر فهدى ،والذي أخرج المرعى. Kwaakili yake hapo kuna miungu mingapi?

    • @jumajuma1324
      @jumajuma1324 2 місяці тому +1

      Mjinga ndo hiahia kua mkali kama vle dini ya babaake anaogopa kukosa mirathi mwenye elimu huzongea kwa kinukuu dalili na kauli za wanachuoni

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 2 місяці тому +1

    Ahsantum

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 2 місяці тому +1

    Huyu jamaaa na wengine mfano wa Yusuf Diwani
    Walikuwa wanapotea na kupotosha watu maana walishajikita ktk Utapeli watu haswa kina Mama
    lkn
    Allah akuhifadh Ibn Buch Ustadh wetu umenyoosha kiswaswa
    sasa hivi
    Hatuoni
    cjui chukua mwembe chai changanya cjui nn ogea mara saba cjui nn....
    Hatuoni
    Maaana yake walikuwa Ni anatapeli watu tu,
    kujipatia tonge
    Saaa hivi kila kitu wanajipanga
    tofauti na zamani,
    Zamani walikuwa wanasema mradi tonge liiende kinywani na umaarufu tu
    HIZI RADDI NA TAALIQAAT ZIMELETA UADILIFU NA KUHESHIMISHA DINI
    MAANA WALIKUWA WANAIPOTEZA HAWA MAAUUF
    MAANA WALIKUWA WANAANGALIA KINYWA TU NA CIO TAWHEED YA KWELI
    UKIANGALIA WENG WALIOSOMA VYUO VYA MASUUF WENGI HUWA N WAGANGA. MAANA YAKE HAWAFUNDSHI TAWHEED AU HAWAIJUI TAWHEED KISAWSAWA.
    CHUNGUZA SANA UTAONA.

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur 2 місяці тому

    Asalam aleykum huyo mganga ana jelasi na wewe tu ila unaeleweka sheikh wangu endelea kutoa daawa Allah akupe umri mrefu wenye Kheri inshallah

  • @ShamsudeenOmary
    @ShamsudeenOmary 2 місяці тому +1

    Mimi nafikiri either huyoo diwani hajui maana ya Tauheed (anafikiri Tauheed maanake Allah) aau anafanya khiyana ili aendeleze uganga wake na hili ndo hatari zaidi, Allah atunusuru sote

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp 2 місяці тому +1

    Thx

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5ui 2 місяці тому +1

    Usilazimishe UTATU ktk uislam

    • @JumaOmar-ku6cr
      @JumaOmar-ku6cr 2 місяці тому +1

      Shekh vitabu ndovinasema usiwe kama makafiri ukalishwa ujinga

    • @abdulkrimalawi7165
      @abdulkrimalawi7165 2 місяці тому +1

      Ndio hawa لهم قلوب لا يفقهون بها ولهم أعين لا يبصرون بها ولهم آذان لا يسمعون بها ألئك كالأنعام بل هم أضل ألئك هم الغافلون

    • @abdulkrimalawi7165
      @abdulkrimalawi7165 2 місяці тому +1

      Wajuwa ndugu yangu mufike wakati mujitambue musipelekeshwe pelekeshwe tu hii ni dini ya sio ya kuchezewa chezewa

  • @AwadhTariq
    @AwadhTariq 2 місяці тому +4

    Allahumma barik sheikh Muhammad

  • @Ally-h9c
    @Ally-h9c 2 місяці тому

    : لَنْ يُفْلِحَ قَوْمٌ وَلَّوْا أَمْرَهُمْ امْرَأَةً )
    Hii yote inatokana na kutawaliwa na mwanamke wanaoiwa masheikh wamekuwa wanawake na wanawake wamekua wanaume Yaa rabbi wapeleke wanaume zanzibar

  • @imrizzy9668
    @imrizzy9668 2 місяці тому +2

    Sheikh usishindae nae wamdhalilisha sana. Hata sisi wenye elmu ndogo twamshinda na ualimu wake. Common sense hana 😂. Inshallah mungu atamuongoza wallahy this is crazy 😅.

  • @MohammedSalmin-f3l
    @MohammedSalmin-f3l 2 місяці тому +1

    SHEIKH BACHU YUKO VIZURII..SANAA

  • @MohammedSaid-nd8eb
    @MohammedSaid-nd8eb 2 місяці тому

    Shekh Muhammad huyu diwani hana elimu nimpotoshaji asipo angalia ataingia ktk shirki mbaya sana

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 місяці тому

      😂asa aingie mara ngapi wakati ni mshirikina huyoo, si mganga kuhani, huyo anatumia nyota, na mtume kasema Aina ya uganga huo ni ushirikina Sasa na uchawi, kufanya ilmu za nyota mambo ya ukuhani hayooo diwani ni mshirikina pyua na wenzie kina doctor sule, watubie Tena watangaze adharani kama wameacha ushirikina, Sabu si wanajtangaza mitandaoni bila khofu, na wartubu kabla hawajafa moto wa Allah so mchezo mchezo😂😂 wafikiliavyo watu.

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 місяці тому

      😂asa aingie mara ngapi wakati ni mshirikina huyoo, si mganga kuhani, huyo anatumia nyota, na mtume kasema Aina ya uganga huo ni ushirikina Sasa na uchawi, kufanya ilmu za nyota mambo ya ukuhani hayooo diwani ni mshirikina pyua na wenzie kina doctor sule, watubie Tena watangaze adharani kama wameacha ushirikina, Sabu si wanajtangaza mitandaoni bila khofu, na wartubu kabla hawajafa moto wa Allah so mchezo mchezo😂😂 wafikiliavyo watu

  • @seifsaid9905
    @seifsaid9905 2 місяці тому +2

    PIGA HAYO MAJITU YA BIDAAAA

    • @omarsal3266
      @omarsal3266 2 місяці тому

      😂😂😂😂😂

    • @seifsaid9905
      @seifsaid9905 2 місяці тому

      @omarsal3266 DAAH SHKH HYO NI MTIHAN SAN

  • @Muswlih
    @Muswlih 2 місяці тому +2

    Yusuf Diwan ata sehem ya comment haeki anajua anacho kifany

    • @OmariOmari-y8h
      @OmariOmari-y8h 2 місяці тому

      Huyu mganga anazuiya mpaka comment watu wasione kwa sababu anajua hana elimi

  • @ramadhanyusuf2401
    @ramadhanyusuf2401 2 місяці тому +2

    Diwani ananuka harufu za moshi za kisufi mwisho asipona vzruri anakufa kafiri laa qadara Allah

  • @Imrani-g9o
    @Imrani-g9o 2 місяці тому

    Innaka la tahdii man ahbabta walakinna llaha yahadii man-yashaa ila swiratwi lmustaqim
    sinashaka Kuwa diwani hataki kuongo pia haoni njia yahaki

    • @KhalfanMassoud
      @KhalfanMassoud 2 місяці тому

      Diwani anakibri na anaona kama nikudhalilika akifuata haki,,, Allah amuoneshe njia ya haki aweze kuifuata

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 2 місяці тому

    MAWAHABIIIIII HAO MAULAMAA WOTE ULIOWAONESHA HAWAJAGAWA TAUHID BALI WAMEFAFANUAAAA.
    MASKINI MAWAHABI HAWAJUI HATA TOFAUTI YA KUGAWA NA KUFAFANUWA.

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 місяці тому

      Uchizi ni fani! Ndio Nini sasa? Lete hoja ya kielimu ya kukataa tawheed 3😮

  • @mediization
    @mediization 2 місяці тому +1

    Shekhe bachu hujafafanua mgawanyo wa tauheed umeelezea majina na sifa za Allah ktk majina na sifa zote 99 zigawanye mafungu 3 kwa ushahid wa quraan na sunna tukajua kua hii ni tauheed ulugiya, rububia na asmauwasifaat mwisho nasema Tumuogoopeni Allah ghadhabu zake ni kali.

    • @jumamahmoud9271
      @jumamahmoud9271 2 місяці тому

      Sheikh leo amevunja hoja za sheikh diwani ila kama unataga maelezo kuhusu vigawanyo vya tauhidi basi rudi ktk darsa zake za nyuma

    • @AbdulIssa-o7e
      @AbdulIssa-o7e 2 місяці тому

      Ukipotea daima hata macho na masikio huwezi pokea hakki, moyo umepofoka na mashekh muendao nao haooo watakuingiseni motoni, wew unaona kabisa shekh mwenyewe mshirikina unapokea ilmu toka kwake,

  • @ش.ف.ا.ع
    @ش.ف.ا.ع 2 місяці тому

    Mwenye kuufungua moyo wake haqi atakubali Tu ... Enyi watu ACHENI kuwasikiliza masufi ni wapotofu hawataki kufuata haqi ni watu wa matamanio si kwamba hawaoni ukweli ila wanashindwa kufuata Tu

  • @MakameHamadi-k6j
    @MakameHamadi-k6j 2 місяці тому

    Hujui maneno ya wana zuoni bachu kasome acha ujinga huo

  • @huseynmaingu6073
    @huseynmaingu6073 2 місяці тому

    M.Bachu -3
    Y.Diwani-0

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 2 місяці тому +2

    وَإِذْ قَالَ إِبْرَاهِيمُ رَبِّ ٱجْعَلْ هَـٰذَا بَلَداً آمِناً وَٱرْزُقْ أَهْلَهُ مِنَ ٱلثَّمَرَاتِ .. } [البقرة: 126] فاحتاط لأنْ يكونَ في بلده ظالمون، فقال: { مَنْ آمَنَ مِنْهُمْ بِٱللَّهِ وَٱلْيَوْمِ ٱلآخِرِ .. } [البقرة: 126].
    لكن جاء قياس إبراهيم هنا في غير محله، فعدَّل الله له المسألة؛ لأنه يتكلم في أمر خاص بعطاء الربوبية الذي يشمل المؤمنَ والكافر، والطائعَ والعاصي، فقد ضمن الله الرزق للجميع فلا داعي للاحتياط في عطاء الربوبية؛ لذلك أجابه ربه: { قَالَ وَمَن كَفَرَ فَأُمَتِّعُهُ قَلِيلاً ثُمَّ أَضْطَرُّهُ إِلَىٰ عَذَابِ ٱلنَّارِ وَبِئْسَ ٱلْمَصِيرُ } [البقرة: 126].
    إذن: فهناك فارق بين العطاءين: عطاء الربوبية وعطاء الألوهية، والإمامية في منهج الله، فعطاء الربوبية رِزْق يُسَاق للجميع وخاضع للأسباب، فمَنْ أخذ بأسبابه نال منه ما يريد، أما عطاء الألوهية فتكليف وطاعة وعبادة.

  • @KasimuKiduba
    @KasimuKiduba 2 місяці тому

    Allah akuongoze huyu anatapatapa hajui kitu chochote huyo diwani hmn kitu

  • @SaidMidobare
    @SaidMidobare 2 місяці тому

    Ww bachu nimekusikiliza vizuri lakini naona hunahoja jibu hoja naona unaporoja tuu

  • @RajabuMsumari-dh5jb
    @RajabuMsumari-dh5jb 2 місяці тому +2

    Nimekusikiliza vizuri mwanzo mpaka mwisho hukuthibitisha taqsiim tauheed.Siku zote nakupa nasaha kasome mijadala utafanya ukisha pata Elimu

    • @muzammilsalim3983
      @muzammilsalim3983 2 місяці тому +2

      Wewe @Rajab musumari hata ukisiliza mara elfu hautoweza kuelewa madamu bado hisia zako zinafinikwa na Giza la ukhorafi/ usufi,,na ndio maudhui hii( mna macho hamuoni,mna masikio hamsikii,mna nyoyo hamtumii kuwazia,,,,,

    • @Saidimkwizu
      @Saidimkwizu 2 місяці тому

      Nan akasome?

    • @Saidimkwizu
      @Saidimkwizu 2 місяці тому

      Nan akasome?

    • @Saidimkwizu
      @Saidimkwizu 2 місяці тому +1

      Huyu rajabu Akili yake haifanyi kazi akasome na uyo mganga wake anayeitwa diwani

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 2 місяці тому +1

      Wana macho lakin hawaoni wana maskio lakin hawaskii wana mioyo lakin hawaelewi nd ww ukiwemo katka hawa watu

  • @issaabdallah1205
    @issaabdallah1205 2 місяці тому +1

    Napenda kumuona huyu diwani akiwa ubao wakati wenzake wakisomeshwa

  • @kyle-j4d9m
    @kyle-j4d9m 2 місяці тому +1

    Wanaoamin tawhid haigawiki waje na vtabu vinavyosomesha tawhid bila kugawa ili tupate faida

  • @dhidhasalim267
    @dhidhasalim267 2 місяці тому

    Sheikh Muhammad Bachu unatumia nguvu nyingi kumuelewesha mtu ambaye fi kulubihim maradha.Ameamuwa kukaa kwenye upotofu na kupotosha watu licha kumuonyesha Dalili zote hizo.Elimu yake ndogo.Ni muda sasa uwachane naye utuelimisha sisi umma wakiislamu tunahitaji hiyo ilmu.

  • @mundhirizza
    @mundhirizza 2 місяці тому

    jamani funguweji link hio hapo chini tafadhal tusilale na kugombn sisi kwa sisi

  • @alyumaraos
    @alyumaraos 2 місяці тому

    Huyo diwan kaz yake matus t hana elim kakaa kama mwanamke kwa matus mara anamwita sheikh Muhammad mwanaharam jinga hilo na kusoma halitak kwaiyo litakufa na ujinga Allah amuongoze yy pamoja na ss.

  • @mpogonm5203
    @mpogonm5203 2 місяці тому

    Simba bachu anaunguruma kila sikuu hamumwelewii tuuu

    • @abdulkhaliqmuhammed456
      @abdulkhaliqmuhammed456 2 місяці тому

      ألقاب مملكة في غير موضعها ....... كالهر يحكي انتفاخاً صولة الأسد.
      Vyeo vikiwekwa mapala si pake ni paka anaetaka kuvimba kama simba,

  • @SaidMidobare
    @SaidMidobare 2 місяці тому

    Ww bachu nimekusikiliza vizuri lakini naona hunahoja jibu hoja naona unaporoja tuu
    Tuach usitafute sifaa huipati

  • @SaidMidobare
    @SaidMidobare 2 місяці тому

    TOA AYA INAYO
    ZUNGUMZIA VIGAWANYO VYA TAUHID

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b 2 місяці тому

      Nawewe lete Aya inayokataza vigawanyo vya tawheedi??¿???

  • @ameirameir4349
    @ameirameir4349 2 місяці тому

    Yusuf Diwani mganga WA Kienyeji

  • @nnajahtv
    @nnajahtv 2 місяці тому

    Sheikh bacho hawa waganga hawajui kitu huenda uenda ikawa hata hivyo vitabu wanavisikia Leo masufi hata ability hawana

  • @DulayoOmary
    @DulayoOmary 2 місяці тому

    Kapambane na haji upepo katuelewesha vizur tu

    • @EpcDistributor09
      @EpcDistributor09 2 місяці тому

      Na wewe katibiwe nyota na bahati na upewe pete na Diwani😂huo sindio mnaona ni uisilamu

  • @YahyaKombo-j3g
    @YahyaKombo-j3g 2 місяці тому +2

    Shekh mohd usijib wtu ambao hawana hoja za kielimu

    • @ابومعاذاحمدناصر
      @ابومعاذاحمدناصر 2 місяці тому +7

      Hatuwajib wao bali sisi tunawafanya wao ubao wa kuwasomeshea na kuwazindua waislam (ummah)

    • @fakihkombo6065
      @fakihkombo6065 2 місяці тому +3

      Ndio wasipojibiwa watapotosha umma

    • @mohagurey2214
      @mohagurey2214 2 місяці тому +1

      Anapotosha yule, lazima abainishiwe ummah na labda yeye pia ataona haqi

    • @Salaf12345
      @Salaf12345 2 місяці тому

      Ndio

    • @IsmailSanga
      @IsmailSanga 2 місяці тому +1

      Leteni hadith,tuache kubwabwaja.

  • @SaidMidobare
    @SaidMidobare 2 місяці тому

    Hatutaki porojo

  • @hassanmohdally5217
    @hassanmohdally5217 2 місяці тому

    Yusuph diwani anamihemuko na shekhe hatakiwi kuwaa kmaa hivyoo anamwitaa mwenzie mwanaharam sasa hayoo maneno hayatoki kwenye kinywa cha shekhe jirekebishee njoo na hojaa sio kutukanaa

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 2 місяці тому

    Duu diwani ana maneno makali sana halafu sio mazuri hata kidogo sheikh bachu chapa huyo sufi