MKASA WA BINTI ZUWENA INASIKITISHA AFUNGUKA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI (VVU) INAUMA SANA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 21 лют 2024
  • FUATILIA MKASA WA BINTI ZUWENA NA SAKATA LA KUJIUZA AKIWA KATIKA UMRI MDOGO KWA MATEGEMEO YA KUFANIKIWA KIMAISHA.

КОМЕНТАРІ • 193

  • @NajmaRamadhan-ig2cw
    @NajmaRamadhan-ig2cw 4 місяці тому +13

    mungu atakusaidia mdogo wangu maisha ni kujituma usipo jituma utatumwa kama unamuamini mungu yupo gonga like zako hapaa🫧🫧🫧👌🏼🙏

  • @user-ur2wj6td5r
    @user-ur2wj6td5r 4 місяці тому +11

    Wajnaaaa Allah akufanyie wapes my dear nipo tanga nataman siku moja nikuone nami nikusaport kwanilichokuwa nacho muhim sana na natamani sana nikuone wallah mi pia naitwa Zuwena kwahiyo mimi na wewe ni mtu na somo yake❤❤❤❤❤

  • @mankaminja683
    @mankaminja683 3 місяці тому +4

    Very impressive smile...Mungu akutangulie mpendwa.

  • @halidimgonza5945
    @halidimgonza5945 4 місяці тому +4

    Allah akujaalie kila lenye kheir na akuepushe na huo uovu uendelee kufnya kaz yenye kumpendeza Mungu

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 4 місяці тому +2

    Mwenyezi Mungu akutie nguvu dear pole saana

  • @user-zq5ld5px6u
    @user-zq5ld5px6u 19 днів тому +1

    nashida na nambaa ya simu....... Pole sana,, Mungu aendelee kukuepusha na kukusimamia

  • @FloraComores-xe3uo
    @FloraComores-xe3uo 4 місяці тому +3

    ❤❤❤❤ honger san zuwena Allah akusaindie

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 3 місяці тому +1

    Pole sana haukopokeyako mpakamastar wetu baadhi Yao unaowajua wengi wao wameathirika mpenzi Sema kwavile wewe ni mdogo lakini muombe mungu tuu naundelee kunywa hizo dawa na usirudi kule tena love you❤❤❤❤

  • @AishaHaji-jn7sg
    @AishaHaji-jn7sg 3 місяці тому +8

    Watu wanao smile muda wote wanapitiaga magumu sana maishani 😢

  • @ashatwalib2106
    @ashatwalib2106 4 місяці тому +1

    Mungu akufnyie wepesi mdgo wangu n maisha tu kama ulivyosema hpo mwanzo❤❤❤

  • @naimanimo4925
    @naimanimo4925 4 місяці тому +1

    Masha Allah she has a good smile Allah guides who he loves

  • @josephmchila6467
    @josephmchila6467 2 місяці тому +1

    Nakuombea sana mdogo wangu, brilliant girl

  • @IbrahimKisuka
    @IbrahimKisuka Місяць тому +2

    Mwenyezi mungu atakubadilisha mpendwa

  • @htx1873
    @htx1873 4 місяці тому +4

    Damn hii ni hatari sana , serikali yetu inabidi iwe makini maana vidonge sikuhizi viko vya madawa ya kulevya, yani watu wengi wanakuja kutoka nje kuja kuharibu maisha ya watanzania wenzetu especially vijana wadogo.

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 4 місяці тому +2

    Anaakili sana huyu mtoto...Mungu amsimamie tu

  • @makiemndasha1281
    @makiemndasha1281 4 місяці тому +3

    She’s so pretty

  • @user-jw6jv9yy5d
    @user-jw6jv9yy5d 4 місяці тому +6

    Huyu dada atafanikiwa sana kwny maisha kwsbb .anajielewa sana.na akubariana na mabadiriko,ni watu wachache sana wenye hiyo akiri,including umri wake,tunaiomba serikali iwaangalie watu kama hawa kwa maslahi mapana ya ustawi wa nchi.umri wake bado mdogo

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 4 місяці тому +3

    Uyo mdada anajielewa haijalishi anapitia changamoto gan lkn akiwezeshwa anafanya vzr.maisha ya kujiuza Yana hatari sana ,kwa vile kesha amua kutoka bac tumchangie weken no yenu kusudi chochote mwenye nacho bac amsaidie

  • @verokasongo9717
    @verokasongo9717 4 місяці тому +2

    Super proud of you petite ❤❤

  • @RedmiNote-wv6cn
    @RedmiNote-wv6cn 4 місяці тому +5

    MashaAllah ❤❤zuena

  • @user-pb8ns7jp7x
    @user-pb8ns7jp7x 4 місяці тому +4

    Mola akufanyie wepesi mdogo angu

  • @theresiamwarabu2411
    @theresiamwarabu2411 4 місяці тому +4

    MUNGU akiamua kumtoa mwanae haangalii alipotoka….MUNGU aendlee kumtengenez pia apate watu wa kumsupport 🤲

    • @fatmahmuhamad7301
      @fatmahmuhamad7301 4 місяці тому

      Aamiin yaa rabbi

    • @allyabdallah7080
      @allyabdallah7080 4 місяці тому

      Mungu hana mtoto , hajazaa wala hajazaliwa

    • @theresiamwarabu2411
      @theresiamwarabu2411 4 місяці тому

      @@allyabdallah7080 pole kwa kukosa maarifa 🤣🤣🤣 anza kusoma vitabu vya dini vyema

  • @ApsaraaomaryOmary-ge7df
    @ApsaraaomaryOmary-ge7df Місяць тому

    Nimekupenda sana mungu akulinde sana

  • @Alan-e1o
    @Alan-e1o 3 дні тому

    Mimi nimependa sana huyu dada awemkewangu kama ataweza kutoka kenya

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 4 місяці тому +4

    Mungu akutie nguvu huu ugonjwa ni mzunguko mtu kama katembea na watu zaidi ya mia na wengine ni waume za watu uwiiiii je wanawake kwenye ndoa watasalimina ni kumuomba Mungu tu atunusuru na huu ugonjwa pole saana Bado mzuri na ni dada mrembo

    • @thestoryteller212
      @thestoryteller212 6 днів тому

      hana Huo ugonjwa amesema watu wa media wameongeza chumvi

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 місяці тому +2

    Very intelligent girl. Mwenyezi Mungu ata ku sahidiya Dada yangu mdogo

  • @AdejaAhmad-uq4wj
    @AdejaAhmad-uq4wj 14 днів тому

    Pole dada allah akufanyie wepesi inshallah

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny 4 місяці тому +3

    Allah atakusinamie uiogope kuchekwa wala kusemwa kikubwa kunywa Dawa zako kwa mpangilio ukimwi sio mwisho wa Life,usiigope kwa kuvunjwa nguvu,ila ushauri wangu usirud kulala na wanaume utaona maendeleo ya afya yako 🙏

  • @user-so7cn5os2q
    @user-so7cn5os2q 4 місяці тому

    Maashallha kumbe nimzuri ila shida tuu ndio ilio mbadilisha

  • @samiahsalum3464
    @samiahsalum3464 4 місяці тому

    Allah akutie wepesi mdgwang inshallah

  • @ApsaraaomaryOmary-ge7df
    @ApsaraaomaryOmary-ge7df Місяць тому

    Pole sana mdogoangu mungu yupo pamoja nawe

  • @ShamsaAbasi
    @ShamsaAbasi 3 місяці тому

    Asanty mungu kwakumtoa huko anllah akufanyie wesi

  • @user-ng7fi7nl2r
    @user-ng7fi7nl2r 4 місяці тому +3

    Anatakiwa apewe daawa ili allah amzinduwe zaidi ayò aliyokuwa anayafa niushetani wahali yajuu

  • @user-qt9jr5zl9l
    @user-qt9jr5zl9l 4 місяці тому +3

    Mungu atakusaidia zuena

  • @yohanemwanzalima2777
    @yohanemwanzalima2777 14 днів тому

    Nakukubali sana unavyojiamin mdogo wangu tangu nianze kukufatilia

  • @Captain_film
    @Captain_film 4 місяці тому +1

    Leo ana ongea kistarabuu sanaa😊

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo2099 4 місяці тому +10

    Shishi food ajaye🎉

  • @originalamani4193
    @originalamani4193 2 місяці тому +1

    Jaman mrembo sana❤

  • @user-he7ht6mj4f
    @user-he7ht6mj4f 2 місяці тому

    Mungu akusaidie daa

  • @rahmaabdallah8796
    @rahmaabdallah8796 Місяць тому

    Inshallah utatoboa kwasababu ni jasiri😊

  • @allyadam7355
    @allyadam7355 4 місяці тому +5

    Allah tunakuomb nusra ako

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema 4 місяці тому +1

    Umefanya uamuzi mzuri. Hongera sana kwa kuamua kuacha tabia chafu. Hongera Zuwena.

  • @troikatanzania1149
    @troikatanzania1149 4 місяці тому +2

    😂😂😂😂😂mi bado nko na wanangu wa kucheka😂😂🎉🎉🎉🎉nahc mmenielewa😂😂

  • @Alan-e1o
    @Alan-e1o 3 дні тому

    Mimi natoka Kenya ningependa sana awemke wangu

  • @MichaelNoah-rb4qh
    @MichaelNoah-rb4qh 7 днів тому

    Mungu akuinue

  • @RazakiMmalinda-rl3ej
    @RazakiMmalinda-rl3ej 3 місяці тому

    Daah atimaye mungu amekutoa kwenye ile kazi ya haramu😔🦅

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 4 місяці тому +1

    Huyu Dogo anajitambua, shida na ziki zimemfikisha hapo alipofika. Mtangazaji mlitakiwa hapo muweke lipa namba mumfungulie ili mwenyekuweza kumumtumia amtumie isiwe namba yake ya simu. Inshalaah Mungu amfanyie wepesi. Ogopa sana umasikini🙏

  • @user-do4mn4wb7p
    @user-do4mn4wb7p 4 місяці тому

    Najikuta nakupenda bure❤

  • @fidonsostenes
    @fidonsostenes 4 місяці тому +4

    Alafu mbona kuna dada mwingine mlimuhoji akasema ndg zake wamemuona na wamekuja kumchukua😢

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 4 місяці тому +1

      Yule aliona mwenzie atapata msaada Sasa kaona wivu

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 6 днів тому

    Anza taratibu dear biashara huwa inakua taratibu mdogo wangu

  • @user-gh2yh4zq5e
    @user-gh2yh4zq5e 4 місяці тому

    Pole mdogo wangu jee ukipata wa kukuoa utapenda😊

  • @sulegogo9790
    @sulegogo9790 3 місяці тому +1

    😢😢

  • @maombitereza
    @maombitereza 4 місяці тому +2

    vipi kuhusu huyo mama kwa interview yengine anae fanya kazi ya kujiuza ina endelea vipi naye

  • @glorybrayankessi7002
    @glorybrayankessi7002 4 місяці тому +1

    Nampenda alivo natabasamu muda wote. MUNGU amtimizie haja za moyo wake

  • @user-ju4it2lu1t
    @user-ju4it2lu1t 4 місяці тому +5

    zuwena anajiamini na huyu kwajinsi anavyojiamin huyu demu anakitu kikubwa zaidi ya ichi watu wanachokiona kwenye macho ya kawaida....hata nyinyi wenye hii channel inabidi mdili nae sana huyu dogo mnamsaidia lkn atawasaidia pia

    • @dikakimishawasumbwahalisit7596
      @dikakimishawasumbwahalisit7596 3 місяці тому

      Mzoea kunyonga
      Hivi wewe mtu awe na kitu aingize 50000 kwa siku afu hawezi kufungua hata genge la nyanya watu wenye kitu wanapiga kazi huko mwisho wa Fikra zake ni kuuza mwili na ogopa mazoea

  • @naomipaul8984
    @naomipaul8984 4 місяці тому +2

    Hongera sana Zuwena

  • @user-nu3oz2ub9s
    @user-nu3oz2ub9s 4 місяці тому +10

    Nyie mnaohisi wanatunga story hamjaona interview ya kwanza, hebu angalieni interview ya kwanza hapo ndomtajua ni ukweli au niuongo, huyo binti alikutwa eneo tatanishi kabisa, wale wanaopangwa kama nyinyi mnavohisi huwa interview zao zinaanzia chumbani na zinaishia chumbani.

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 4 місяці тому +2

    Atafutiwe na mchumba vinginevyo atarudi. 😂😂kuna hela za haraka

  • @user-ni1sr7ly9w
    @user-ni1sr7ly9w 4 місяці тому

    Mm nitumiye namba zako umo nikupatie chochote❤❤

  • @user-qz5yh1dl1n
    @user-qz5yh1dl1n 4 місяці тому +1

    Maswali ya kuuliza hana mtangazaji vp mbona unaferi mkuu

  • @Laizer3
    @Laizer3 8 днів тому

    WANAWAKE SHIDA NI TAMAA NA WANAINGIZANA KWENYE TABIA ZA KUUZA MWILI ,MWISHOWE WANAUNGUA .

  • @poulmbogo1770
    @poulmbogo1770 4 місяці тому +5

    Hay mliopiga peku saiv huko mliko parapanda inalia masikionk

    • @itanzaniaAS
      @itanzaniaAS 4 місяці тому

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @saadboss5783
      @saadboss5783 4 місяці тому

      😂😂😂 Qmmmmk

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 4 місяці тому +1

      😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka kaa mazuri ila watu mna maneno

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 6 днів тому

    Nimekupenda bure

  • @timothytalemwa9206
    @timothytalemwa9206 3 місяці тому +1

    Mbona umedanganya kwamba kaambukizwa wakati yuko Salama?

  • @user-xd5ho6jp1s
    @user-xd5ho6jp1s 2 місяці тому +1

    Na ni karembo mnoo!

  • @saidsalum523
    @saidsalum523 4 місяці тому +2

    Mimi bado sjaamini kama wanaigiza,,nawadhania mema,,huyu mtoto namuombea kwa Allah awe na maisha mazuri,apate kipato kikubwa cha halali na awe mcha Mungu.

  • @user-gg2yf3zl3l
    @user-gg2yf3zl3l 4 місяці тому

    HII NCHI MUHIMU BANDO BASSS UTAONA MENGI SANA MADADA MARA KASAIDIWA KICK HIZIII 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-gy8no9js2u
    @user-gy8no9js2u 3 місяці тому

    Vidonge vinaitwa prep

  • @EmanueliKarolii8660
    @EmanueliKarolii8660 Місяць тому

    Anapenda kula sana ndoomana anapenda mamantirie 😂

  • @issarwambo4355
    @issarwambo4355 4 місяці тому +6

    Naomba namba zake pleaseee

  • @ABUU961
    @ABUU961 4 місяці тому +6

    Uongo mtupu hakuna cha ukweli kabisa hapo inaonekana kabisa ni story ya kupanga😂

    • @Hajer-be2kh
      @Hajer-be2kh 4 місяці тому

      Pangeni na nyie km rahis😏

    • @AsmaKaskas
      @AsmaKaskas 3 місяці тому

      Atengeneze story ili iweje ucpojifunza usijifunze si lzm

    • @ABUU961
      @ABUU961 3 місяці тому

      😂😂😂😂

    • @ABUU961
      @ABUU961 3 місяці тому

      Kiukweli inachekesha sana story yenu inabidi mkae chini kama miezi 3 au 2 mpange vizuri Ili Watu wajue ni true story kumbe ni ujanja ujanja maana hapo inaonesha kabisa ni mipango ivi ukimwi unaujua wewe

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 13 днів тому

      ​@@ABUU961kabisa kapangwa

  • @user-lj5ll3og7s
    @user-lj5ll3og7s 4 місяці тому

    Pole sana zuwena mungu atakusaidia

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 місяці тому +2

    Na hii sura yako, mtoto wa Kigoma kabisa.

  • @venusmapesa5829
    @venusmapesa5829 2 місяці тому

    Playbill niko 254

  • @user-ot5us9mz9w
    @user-ot5us9mz9w 3 місяці тому

    Mmmmh

  • @shakilaburhan9552
    @shakilaburhan9552 4 місяці тому

    Sikilizeni mpaka mwisho

  • @MomadeMudimoz70-cs2ud
    @MomadeMudimoz70-cs2ud Місяць тому

    😭😭😭😭😭😥😥😥🙏🙏🙏

  • @batakakutikuti5026
    @batakakutikuti5026 4 місяці тому +4

    Umezidi kumjaj huyo dada we kaka vip

  • @user-wg1nz5ms2n
    @user-wg1nz5ms2n 6 днів тому

    Namba ya simu naeza kusapoti kiasi

  • @amissijames1468
    @amissijames1468 4 місяці тому +2

    Meza na frame ni pesa ngapi kwani

  • @GerladSimon-me3sc
    @GerladSimon-me3sc 12 днів тому

    Amepanga?

  • @Mariammashaury-cl5uz
    @Mariammashaury-cl5uz 3 місяці тому

    Mungu akusaidie ueshim maamuzi yako

  • @kungwi_og
    @kungwi_og 3 місяці тому

    Nashidq na nambaa

  • @benardambetsa7642
    @benardambetsa7642 4 місяці тому

    Niko kenya naweza wasiliana aje na zuena

  • @Heartbrown1
    @Heartbrown1 20 днів тому

    munizesh mm niko tayr kuoa uyo

  • @MrNdanguza
    @MrNdanguza 4 місяці тому

    Inabidi selekali iangalie vipindi kama hivi ila wajaribu kusaidia watoto wetu , ku create kazi ndogo ndogo za kusaidia hawa watoto ,la sivyo ukimwi utakuja kuwa mwingi sana ,mwisho wa siku itakua vigumu kuuzuia 😢 .

  • @AllyRamadhan-nu2sn
    @AllyRamadhan-nu2sn 2 місяці тому

    Kwani anaishi wapi

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 4 місяці тому +1

    Huyu ni mwizi kama wezi wengine! Achaneni naye afanye yake

    • @belak999
      @belak999 4 місяці тому +2

      Acha roho mbayaaa

  • @suzanalyoto6901
    @suzanalyoto6901 2 місяці тому

    Wekeni namba yake

  • @user-gh2yh4zq5e
    @user-gh2yh4zq5e 4 місяці тому

    Kama uko serious hebu toa namba ya baba Yako tutoe mahar kwenu

  • @annamussa185
    @annamussa185 4 місяці тому +3

    Hivyo vidonge vinaitwa pep vinazuia maambukizi ya ukimwi yani kama hayajapita maasaa 72 na uli sex na mtu mwenye vvu au kujeruhiwa na mtu mwenye vvu vinakukinga usipate maambukizi ndani ya masaa 72

  • @HappyBlueLake-ts5uw
    @HappyBlueLake-ts5uw 3 місяці тому

    Naombeni namba ya huyo binti nimuoe Niko siliazi kabisa

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 4 місяці тому +3

    Kafanana na Alikiba😮

    • @Zuu673
      @Zuu673 4 місяці тому

      Mmh makengeza😂😂

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 4 місяці тому

    biashara yake ipo wapi hapa mjini tukamsuport hata kunywa supu tu🤣

  • @eddiebilly3475
    @eddiebilly3475 Місяць тому

    Naombeni namba zake

  • @bokomapesa
    @bokomapesa 8 днів тому

    Sasa kama Ana virusi vya ukimwi mbona Ana uzaa mwili kuuwa wengine achaa umaraya mtoto mdogo Ana uza kababu😅😅😅😅

  • @ChristinaMalechela
    @ChristinaMalechela 2 місяці тому

    Zuwena unapatika wapi mdog angu

  • @orbit_studios
    @orbit_studios 4 місяці тому

    @Habarijamii unakosea kusema huyo mwana dada AFUNGUKA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI (VVU) wakati mwenyewe amekili amepima na yuko salama. Tafadhali rekebisha kichwa cha Habari sio sawa.

  • @RehamAlmamari
    @RehamAlmamari 2 місяці тому

    mmmmh jmn zuwenaa wazile nyakat 😁😁😂😂

  • @user-oh8ig2cy9q
    @user-oh8ig2cy9q 4 місяці тому

    Hamna mnatutisha hana ukimwi