Wajnaaaa Allah akufanyie wapes my dear nipo tanga nataman siku moja nikuone nami nikusaport kwanilichokuwa nacho muhim sana na natamani sana nikuone wallah mi pia naitwa Zuwena kwahiyo mimi na wewe ni mtu na somo yake❤❤❤❤❤
Pole sana haukopokeyako mpakamastar wetu baadhi Yao unaowajua wengi wao wameathirika mpenzi Sema kwavile wewe ni mdogo lakini muombe mungu tuu naundelee kunywa hizo dawa na usirudi kule tena love you❤❤❤❤
Damn hii ni hatari sana , serikali yetu inabidi iwe makini maana vidonge sikuhizi viko vya madawa ya kulevya, yani watu wengi wanakuja kutoka nje kuja kuharibu maisha ya watanzania wenzetu especially vijana wadogo.
Huyu dada atafanikiwa sana kwny maisha kwsbb .anajielewa sana.na akubariana na mabadiriko,ni watu wachache sana wenye hiyo akiri,including umri wake,tunaiomba serikali iwaangalie watu kama hawa kwa maslahi mapana ya ustawi wa nchi.umri wake bado mdogo
Uyo mdada anajielewa haijalishi anapitia changamoto gan lkn akiwezeshwa anafanya vzr.maisha ya kujiuza Yana hatari sana ,kwa vile kesha amua kutoka bac tumchangie weken no yenu kusudi chochote mwenye nacho bac amsaidie
Mungu akutie nguvu huu ugonjwa ni mzunguko mtu kama katembea na watu zaidi ya mia na wengine ni waume za watu uwiiiii je wanawake kwenye ndoa watasalimina ni kumuomba Mungu tu atunusuru na huu ugonjwa pole saana Bado mzuri na ni dada mrembo
Allah atakusinamie uiogope kuchekwa wala kusemwa kikubwa kunywa Dawa zako kwa mpangilio ukimwi sio mwisho wa Life,usiigope kwa kuvunjwa nguvu,ila ushauri wangu usirud kulala na wanaume utaona maendeleo ya afya yako 🙏
Huyu Dogo anajitambua, shida na ziki zimemfikisha hapo alipofika. Mtangazaji mlitakiwa hapo muweke lipa namba mumfungulie ili mwenyekuweza kumumtumia amtumie isiwe namba yake ya simu. Inshalaah Mungu amfanyie wepesi. Ogopa sana umasikini🙏
zuwena anajiamini na huyu kwajinsi anavyojiamin huyu demu anakitu kikubwa zaidi ya ichi watu wanachokiona kwenye macho ya kawaida....hata nyinyi wenye hii channel inabidi mdili nae sana huyu dogo mnamsaidia lkn atawasaidia pia
Mzoea kunyonga Hivi wewe mtu awe na kitu aingize 50000 kwa siku afu hawezi kufungua hata genge la nyanya watu wenye kitu wanapiga kazi huko mwisho wa Fikra zake ni kuuza mwili na ogopa mazoea
Nyie mnaohisi wanatunga story hamjaona interview ya kwanza, hebu angalieni interview ya kwanza hapo ndomtajua ni ukweli au niuongo, huyo binti alikutwa eneo tatanishi kabisa, wale wanaopangwa kama nyinyi mnavohisi huwa interview zao zinaanzia chumbani na zinaishia chumbani.
Mimi bado sjaamini kama wanaigiza,,nawadhania mema,,huyu mtoto namuombea kwa Allah awe na maisha mazuri,apate kipato kikubwa cha halali na awe mcha Mungu.
Kiukweli inachekesha sana story yenu inabidi mkae chini kama miezi 3 au 2 mpange vizuri Ili Watu wajue ni true story kumbe ni ujanja ujanja maana hapo inaonesha kabisa ni mipango ivi ukimwi unaujua wewe
Inabidi selekali iangalie vipindi kama hivi ila wajaribu kusaidia watoto wetu , ku create kazi ndogo ndogo za kusaidia hawa watoto ,la sivyo ukimwi utakuja kuwa mwingi sana ,mwisho wa siku itakua vigumu kuuzuia 😢 .
Hivyo vidonge vinaitwa pep vinazuia maambukizi ya ukimwi yani kama hayajapita maasaa 72 na uli sex na mtu mwenye vvu au kujeruhiwa na mtu mwenye vvu vinakukinga usipate maambukizi ndani ya masaa 72
@Habarijamii unakosea kusema huyo mwana dada AFUNGUKA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI (VVU) wakati mwenyewe amekili amepima na yuko salama. Tafadhali rekebisha kichwa cha Habari sio sawa.
mungu atakusaidia mdogo wangu maisha ni kujituma usipo jituma utatumwa kama unamuamini mungu yupo gonga like zako hapaa🫧🫧🫧👌🏼🙏
Wajnaaaa Allah akufanyie wapes my dear nipo tanga nataman siku moja nikuone nami nikusaport kwanilichokuwa nacho muhim sana na natamani sana nikuone wallah mi pia naitwa Zuwena kwahiyo mimi na wewe ni mtu na somo yake❤❤❤❤❤
Saw mumy
Very impressive smile...Mungu akutangulie mpendwa.
Allah akujaalie kila lenye kheir na akuepushe na huo uovu uendelee kufnya kaz yenye kumpendeza Mungu
Mwenyezi Mungu akutie nguvu dear pole saana
nashida na nambaa ya simu....... Pole sana,, Mungu aendelee kukuepusha na kukusimamia
❤❤❤❤ honger san zuwena Allah akusaindie
Pole sana haukopokeyako mpakamastar wetu baadhi Yao unaowajua wengi wao wameathirika mpenzi Sema kwavile wewe ni mdogo lakini muombe mungu tuu naundelee kunywa hizo dawa na usirudi kule tena love you❤❤❤❤
Watu wanao smile muda wote wanapitiaga magumu sana maishani 😢
Wallah ni kweli
Kweli ata kwa wanaume ivyo ivyo.
@@josephemmanuel388 pole mungu afanye wepesi kwenye magumu yako
🫂
Mungu akufnyie wepesi mdgo wangu n maisha tu kama ulivyosema hpo mwanzo❤❤❤
Masha Allah she has a good smile Allah guides who he loves
Nakuombea sana mdogo wangu, brilliant girl
Mwenyezi mungu atakubadilisha mpendwa
Damn hii ni hatari sana , serikali yetu inabidi iwe makini maana vidonge sikuhizi viko vya madawa ya kulevya, yani watu wengi wanakuja kutoka nje kuja kuharibu maisha ya watanzania wenzetu especially vijana wadogo.
Anaakili sana huyu mtoto...Mungu amsimamie tu
She’s so pretty
Huyu dada atafanikiwa sana kwny maisha kwsbb .anajielewa sana.na akubariana na mabadiriko,ni watu wachache sana wenye hiyo akiri,including umri wake,tunaiomba serikali iwaangalie watu kama hawa kwa maslahi mapana ya ustawi wa nchi.umri wake bado mdogo
Uyo mdada anajielewa haijalishi anapitia changamoto gan lkn akiwezeshwa anafanya vzr.maisha ya kujiuza Yana hatari sana ,kwa vile kesha amua kutoka bac tumchangie weken no yenu kusudi chochote mwenye nacho bac amsaidie
Super proud of you petite ❤❤
MashaAllah ❤❤zuena
Mola akufanyie wepesi mdogo angu
MUNGU akiamua kumtoa mwanae haangalii alipotoka….MUNGU aendlee kumtengenez pia apate watu wa kumsupport 🤲
Aamiin yaa rabbi
Mungu hana mtoto , hajazaa wala hajazaliwa
@@allyabdallah7080 pole kwa kukosa maarifa 🤣🤣🤣 anza kusoma vitabu vya dini vyema
Nimekupenda sana mungu akulinde sana
Mimi nimependa sana huyu dada awemkewangu kama ataweza kutoka kenya
Mungu akutie nguvu huu ugonjwa ni mzunguko mtu kama katembea na watu zaidi ya mia na wengine ni waume za watu uwiiiii je wanawake kwenye ndoa watasalimina ni kumuomba Mungu tu atunusuru na huu ugonjwa pole saana Bado mzuri na ni dada mrembo
hana Huo ugonjwa amesema watu wa media wameongeza chumvi
Very intelligent girl. Mwenyezi Mungu ata ku sahidiya Dada yangu mdogo
Pole dada allah akufanyie wepesi inshallah
Allah atakusinamie uiogope kuchekwa wala kusemwa kikubwa kunywa Dawa zako kwa mpangilio ukimwi sio mwisho wa Life,usiigope kwa kuvunjwa nguvu,ila ushauri wangu usirud kulala na wanaume utaona maendeleo ya afya yako 🙏
Hana virus
Umsikiliza au umejiandikia tu
Maashallha kumbe nimzuri ila shida tuu ndio ilio mbadilisha
Allah akutie wepesi mdgwang inshallah
Pole sana mdogoangu mungu yupo pamoja nawe
Asanty mungu kwakumtoa huko anllah akufanyie wesi
Anatakiwa apewe daawa ili allah amzinduwe zaidi ayò aliyokuwa anayafa niushetani wahali yajuu
Mungu atakusaidia zuena
Nakukubali sana unavyojiamin mdogo wangu tangu nianze kukufatilia
Leo ana ongea kistarabuu sanaa😊
Shishi food ajaye🎉
Jaman mrembo sana❤
Mungu akusaidie daa
Inshallah utatoboa kwasababu ni jasiri😊
Allah tunakuomb nusra ako
Umefanya uamuzi mzuri. Hongera sana kwa kuamua kuacha tabia chafu. Hongera Zuwena.
😂😂😂😂😂mi bado nko na wanangu wa kucheka😂😂🎉🎉🎉🎉nahc mmenielewa😂😂
Mimi natoka Kenya ningependa sana awemke wangu
Mungu akuinue
Daah atimaye mungu amekutoa kwenye ile kazi ya haramu😔🦅
Huyu Dogo anajitambua, shida na ziki zimemfikisha hapo alipofika. Mtangazaji mlitakiwa hapo muweke lipa namba mumfungulie ili mwenyekuweza kumumtumia amtumie isiwe namba yake ya simu. Inshalaah Mungu amfanyie wepesi. Ogopa sana umasikini🙏
Kwakucheka mashalah
Najikuta nakupenda bure❤
Alafu mbona kuna dada mwingine mlimuhoji akasema ndg zake wamemuona na wamekuja kumchukua😢
Yule aliona mwenzie atapata msaada Sasa kaona wivu
Anza taratibu dear biashara huwa inakua taratibu mdogo wangu
Pole mdogo wangu jee ukipata wa kukuoa utapenda😊
😢😢
vipi kuhusu huyo mama kwa interview yengine anae fanya kazi ya kujiuza ina endelea vipi naye
Nampenda alivo natabasamu muda wote. MUNGU amtimizie haja za moyo wake
zuwena anajiamini na huyu kwajinsi anavyojiamin huyu demu anakitu kikubwa zaidi ya ichi watu wanachokiona kwenye macho ya kawaida....hata nyinyi wenye hii channel inabidi mdili nae sana huyu dogo mnamsaidia lkn atawasaidia pia
Mzoea kunyonga
Hivi wewe mtu awe na kitu aingize 50000 kwa siku afu hawezi kufungua hata genge la nyanya watu wenye kitu wanapiga kazi huko mwisho wa Fikra zake ni kuuza mwili na ogopa mazoea
Hongera sana Zuwena
Nyie mnaohisi wanatunga story hamjaona interview ya kwanza, hebu angalieni interview ya kwanza hapo ndomtajua ni ukweli au niuongo, huyo binti alikutwa eneo tatanishi kabisa, wale wanaopangwa kama nyinyi mnavohisi huwa interview zao zinaanzia chumbani na zinaishia chumbani.
Nikweli 😢😢
Kweli
It's true
Atafutiwe na mchumba vinginevyo atarudi. 😂😂kuna hela za haraka
mm nishajitokeza nimuoe
Mm nitumiye namba zako umo nikupatie chochote❤❤
Maswali ya kuuliza hana mtangazaji vp mbona unaferi mkuu
WANAWAKE SHIDA NI TAMAA NA WANAINGIZANA KWENYE TABIA ZA KUUZA MWILI ,MWISHOWE WANAUNGUA .
Hay mliopiga peku saiv huko mliko parapanda inalia masikionk
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 Qmmmmk
😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka kaa mazuri ila watu mna maneno
Nimekupenda bure
Mbona umedanganya kwamba kaambukizwa wakati yuko Salama?
Na ni karembo mnoo!
Mimi bado sjaamini kama wanaigiza,,nawadhania mema,,huyu mtoto namuombea kwa Allah awe na maisha mazuri,apate kipato kikubwa cha halali na awe mcha Mungu.
Aamiin yaa rabbi ❤
Aamiin yaa rabbi ❤
Aamiin yaa rabbi ❤
Aamiin yaa rabbi ❤
HII NCHI MUHIMU BANDO BASSS UTAONA MENGI SANA MADADA MARA KASAIDIWA KICK HIZIII 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vidonge vinaitwa prep
Anapenda kula sana ndoomana anapenda mamantirie 😂
Naomba namba zake pleaseee
Uongo mtupu hakuna cha ukweli kabisa hapo inaonekana kabisa ni story ya kupanga😂
Pangeni na nyie km rahis😏
Atengeneze story ili iweje ucpojifunza usijifunze si lzm
😂😂😂😂
Kiukweli inachekesha sana story yenu inabidi mkae chini kama miezi 3 au 2 mpange vizuri Ili Watu wajue ni true story kumbe ni ujanja ujanja maana hapo inaonesha kabisa ni mipango ivi ukimwi unaujua wewe
@@ABUU961kabisa kapangwa
Pole sana zuwena mungu atakusaidia
Na hii sura yako, mtoto wa Kigoma kabisa.
Playbill niko 254
Mmmmh
Sikilizeni mpaka mwisho
😭😭😭😭😭😥😥😥🙏🙏🙏
Umezidi kumjaj huyo dada we kaka vip
😂😂😂😂
Ulitaka afanyaje? Nyie ndio watenda dhambi fyuuu.
Namba ya simu naeza kusapoti kiasi
Meza na frame ni pesa ngapi kwani
Amepanga?
Mungu akusaidie ueshim maamuzi yako
Nashidq na nambaa
Niko kenya naweza wasiliana aje na zuena
munizesh mm niko tayr kuoa uyo
Inabidi selekali iangalie vipindi kama hivi ila wajaribu kusaidia watoto wetu , ku create kazi ndogo ndogo za kusaidia hawa watoto ,la sivyo ukimwi utakuja kuwa mwingi sana ,mwisho wa siku itakua vigumu kuuzuia 😢 .
Kwani anaishi wapi
Huyu ni mwizi kama wezi wengine! Achaneni naye afanye yake
Acha roho mbayaaa
Wekeni namba yake
Kama uko serious hebu toa namba ya baba Yako tutoe mahar kwenu
Hivyo vidonge vinaitwa pep vinazuia maambukizi ya ukimwi yani kama hayajapita maasaa 72 na uli sex na mtu mwenye vvu au kujeruhiwa na mtu mwenye vvu vinakukinga usipate maambukizi ndani ya masaa 72
Naombeni namba ya huyo binti nimuoe Niko siliazi kabisa
Kafanana na Alikiba😮
Mmh makengeza😂😂
biashara yake ipo wapi hapa mjini tukamsuport hata kunywa supu tu🤣
Naombeni namba zake
Sasa kama Ana virusi vya ukimwi mbona Ana uzaa mwili kuuwa wengine achaa umaraya mtoto mdogo Ana uza kababu😅😅😅😅
Zuwena unapatika wapi mdog angu
@Habarijamii unakosea kusema huyo mwana dada AFUNGUKA KUAMBUKIZWA VIRUSI VYA UKIMWI (VVU) wakati mwenyewe amekili amepima na yuko salama. Tafadhali rekebisha kichwa cha Habari sio sawa.
Atauzaje bila kuandika hivo
mmmmh jmn zuwenaa wazile nyakat 😁😁😂😂
Hamna mnatutisha hana ukimwi