Jistir na umuombe Allah kwasana na ufanye ibada dada angu ipo siku utapona kumbuka nabii ayubu aliumwa miaka mingi sana lakini alikuja kupona kabisaaaa
Dada ukiendekeza waganga watakuambukiza ukimwi mana ivo kutia dawa sehem za siri hufanyiwi peke yako bora muachie mungu tu kwa mana ww si mbaya na mshepu unao mashaallah
Pole sana dada yangu kwa shida hiyo, ila naho ushauri kwako, jila Jambo linalo kusudi lake, ikiwa waganga unaye tiya Imani kwao, Kwanini usihende kwa wahombaji watumushi wa Mungu, mahana twahamini Mungu ni mmoja, ila tunalo jina pekee lipitalo ma jina yote Yesu Kristo yuko tayari kukutendeya muujiza. Yeye ni mwenye uruma na rafiki wa Kweli, chukua nafasi ya kumwita nawe utahona mkono wake. Hachana kulalamikia watu hawana msahada kabisa. Mungu akubariki zahidi pole sana
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat pole dada asha inshaallah ALLAH yupo PAMOJA nawewe dada huohuo msimamo KUWA nao usibadili dini na inshaallah ALLAH atakuletea MUME MWEMA MWENYE huruma,imaan, ana hofu JUU ya ALLAH na MWENYE HURUMA NA WEWE 🤲🤲 AMINI YAKO IWEKE KWA ALLAH TU NAKWELI MANENO YAKO YANAONYESHA UNA EGEMEA KWA ALIYE KUUMBA ☝️☝️☝️❤❤❤🤲🤲🤲🤲
Dada aisha pole. Allah akusamehe na akuponye, ila acha ushirikina ukifa na imani za wanganga Allah atakutia motoni ukae milele, tubu sasa Allah atakusamehe yeye anasamehe madhambi yote
Pole sana dada. Inauma sana. Huyo mume aliyekufanyia madhira Mwenyezi Mungu amuangazie na amsaidie kwa neema zake aweze kubadilika na kuwa binadamu mwenye utu.
Pole sana dadangu,hakuna niliso wezekana kwa mungu ,mkubali yesu na umuamini yeye na kila kitu kitakua sawa na kutembea utatembea kwa jina la yesu,enda kenya kwa pastor Ezekiel akakuombee na utapona tu
Japokua ni mlemavu lakini wewe dada ni mzuri sana, inaskitisha sana kuenda kwa waganga wakakuchezea yaani kama ungeijua thamani yako na ukifanya subra utapata mume mwema na kuishi maisha mzuri, Asha umzuri kweli Mashallah.
Assalaam A'leykum, binafsi nafanya kazi za dua lkn ule ukweli nawachukia waganga washirikina wanaofanya kazi kwa staili hii. Mara makaburini, mara njia za panda hawana hata khofu na Allah. Mara wawaingilie wanawake za watu wallah wana dhima mbele ya Allah adhabu zinawangoja. Kila mwanamke wanazaa nae yaani mafedhuli wasio na imani. Tiba gani mnakwenda kumuosha mtu kwa maji ya maiti, dah mashetani wakubwa hawa. Allah awadhalilishe. Puuzi kabisa.
Pole sana dada maradhi ni mtihani unaowachanganya wengi kwenye fitina za ushirikina na matapeli na bado watakuja, mtegemee Allah sw kikweli sio binaadam aliyezaliwa na mwanamke
Pole sana dada mungu yupo nawe hayo mengine yote yachie dunia na kila likujialo niliasababu zake uenda ndio kheri yako kesho mbele ya Allah utayapata mema.
Sababu kuu wanaume wanaacha wanawake,ukweli ni kwamba wanawake wa tanzania wanapenda sana hela za wanaume,akimuona mwanaume anaona hela sio mpenzi,ndio chanzo kikuu,ukimpenda mwanaume na kumuhudumia kimapenzi na kumthamini hawezi kukuacha.Acha kuweka hela mbele uone awez kukuacha na kuwa na adabu ni ngumu sana
Jaribu kutumia magongo yale ya kutembelea dada hili uchangamshe mwili inshallah mungu atakupa nguvu,historia yako yauzunisha kweli unapitia mengi na una moyo pia.
Allah akujaze subra Dumu na ibada hivyo hivyo swali unakaa mshukuru sn mungu na adhkar kwa sana mungu atakulipa uko ktk ibada mwanangu kila mda sema alhamdulilahi
@@princematumbo Yesu amenisaidia mambo mengi Sana infact haihesabiki coz ile maisha niliishi matendo na matatizo nilioyapitia ni sehemu kubwa zaidi ametenda maishani mwangu.
Dada pole sana Mungu yupo amini utapona, ushauri wangu kwako nakuomba uende kwa pasta Dominiki kiboko ya wachawi hakika Mungu atakutendea maajabu utatembea mara moja.
Ila dada wewe ni mzuri sana mungu akufanyie wepesi asha lakini naomba nikuahauri kitu japo imani yako ni tofauti lakini mungu mmoja tafuta uponyaji naomba uende kimara temboni kwa kuhani musa wewe hujazaliwa na ulemavu iyo hali ni wanadamu ya kutengeneza na sikama unabadirishwa dini utakwenda mjua mbaya wako na uponyaji utaupata ubarikiwe dada yangu ni hayo
Biblia. Yohana 8:31-32 [31]Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli; Then said Jesus to those Jews which believed on him, If ye continue in my word, then are ye my disciples indeed; [32]tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru. And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
Dada Mungu njo uendelee kuomba. Ni yeye tuu anaye uwezo wa kukusaidia. Achana na hawa waganga wanaweza wakakuletee mambo mazito zaidi kuliko huo ulemavu. Ambatana na Mungu atakusaidia.
Mjukuu wangu pole sana. Tafadhali usikate tamaa tatizo lako linatibika ila hao wote uliowaendea hawalijui na hata namna ya kulishughulikia hawajui ndo maana unateseka hadi sasa
Watumishi wa mungu wapo watafute wakushauri, nenda ukamtafute hata mwamposa umueleze utaona woote waliokufanyia michezo mpaka huyo wataisoma namba ya yesu. Yesu juu🎉
Yesu anaweza yoote, kama uko tayari kwa Deliverance simama uganye maamuzi utapona. Na achana na mitandao, unajianika. Huyo shekh sharifu hajakifanyia la maana zaidi ni kwamba kakuongezea shida. Nina uhakika una majini na mapepo, uchawi, na nguvu za hiza zoote zinakuzunguka. Muite yesu
Biblia. Mathayo 11:28 [28]Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha. Come unto me, all ye that labour and are heavy laden, and I will give you rest.
Jamani pole shida umeweka tumaini kwa binadam binadam hana msaada mkimbilie Yesu peeke mwenye majibu zaidi ya hapo maana hizo ni nguvu za giza ulirushiwa pole sana
Dada pole Sana kwa yalio kukuta , ila Mungu bado anakupenda saba, Ila ungitafuta Wana maombi kumbuka rose muhando aliumwa myaka 9 alivy9kwenda kimaombi bwana Yesu christ alimponya nanda kwa watu wakuombeye utapona
Dada ukisom coment usije ukabadili din kwa ajili yakupon miguu mungu tuy hajaamuw utapona usisikeze hao wanao sem etnokoka umuone yesu waulize yesu anapatikan wap ndo umuone kaa na dini yako
Jistir na umuombe Allah kwasana na ufanye ibada dada angu ipo siku utapona kumbuka nabii ayubu aliumwa miaka mingi sana lakini alikuja kupona kabisaaaa
naomba MOLLA akujalie mume mwema pia akujalie maisha mazuri asante sana kwaku mtegemeya ALLAH
Dada ukiendekeza waganga watakuambukiza ukimwi mana ivo kutia dawa sehem za siri hufanyiwi peke yako bora muachie mungu tu kwa mana ww si mbaya na mshepu unao mashaallah
Mungu/MUNGU sio mungu
Sasa akiendekeza lini wakati imeshatokea?
Jifunzeni mganga ni Yesu tu.
@@comsmkemwa2671 😳😳😳 sasa unamwambia nani ?? Au unamfunza nani uyo yesu ni wako ww usiniambie mm alafu mawaidha ya dini yako peleka uko
@@Zaburi- sasa umefaham au hujafahamu ?? Ujuwaji tu kwani nliandika tusi??? Tafuta watoto uwafungulie masomo ya ziada mungu atakubariki
Pole sana dada yangu kwa shida hiyo, ila naho ushauri kwako, jila Jambo linalo kusudi lake, ikiwa waganga unaye tiya Imani kwao, Kwanini usihende kwa wahombaji watumushi wa Mungu, mahana twahamini Mungu ni mmoja, ila tunalo jina pekee lipitalo ma jina yote Yesu Kristo yuko tayari kukutendeya muujiza.
Yeye ni mwenye uruma na rafiki wa Kweli, chukua nafasi ya kumwita nawe utahona mkono wake.
Hachana kulalamikia watu hawana msahada kabisa.
Mungu akubariki zahidi pole sana
Pole sana wewe mwandishi, unakompeleka ndiko mbakochukuliwa ndagu na watu wanaotumia jina YESU,
Aslamu alaykum warhmatullah wabarakat pole dada asha inshaallah ALLAH yupo PAMOJA nawewe dada huohuo msimamo KUWA nao usibadili dini na inshaallah ALLAH atakuletea MUME MWEMA MWENYE huruma,imaan, ana hofu JUU ya ALLAH na MWENYE HURUMA NA WEWE 🤲🤲 AMINI YAKO IWEKE KWA ALLAH TU NAKWELI MANENO YAKO YANAONYESHA UNA EGEMEA KWA ALIYE KUUMBA ☝️☝️☝️❤❤❤🤲🤲🤲🤲
Kweli inshaallah
@@user-zl6mq1jo6t HAKIKA dada ❤️🤲
Pole dada. Ila Uwe mwangalifu, wanaume sio suluu ya maisha. Mgeukie Mungu.
Anapokuwa nahamu sasa afanyeje?
Atagongwa na nani
Mm nko tayari kukustiiri Rudi kwa Allah...nipo Kenya inshaalah itakua kheir...
Ishaallah kwa uwezo wa Allah utapata unachomuomba Allqh bi Aisha Allah atakujaalia kheri
Maashallah mrembo sana allah akujalie shifaa na akupe mume mwenye kheir inshaallah
Utapona dada kwa nguvu za Allah❤
Mungu awasaidie ndungu zako awape maisha marefu
Okoka we we Dada yesu anaweza kukuponya ,, sikutani kweli we we unateseka Dada..
Acaurongoo
Pole dada mola yupo mupokee yesu atakusaidia
Wow! pole sana dadangu Mungu atakuondolea matatizo yote Insha Allah,napenda sana msimamo wako wa kidini Allah azidi kukuongoza Amiin.
Dada aisha pole. Allah akusamehe na akuponye, ila acha ushirikina ukifa na imani za wanganga Allah atakutia motoni ukae milele, tubu sasa Allah atakusamehe yeye anasamehe madhambi yote
Mdd pole sn kwa mtihani ila badilika
Acha mkorogo jjistir
Fanya ibada amka usk Mwuombe mungu mungu atakupa mume mwema
Da asha namuomba afanye ibada kutwa mara tano na awe anamuomba allah akae sawa na je vip akipatiwa dada wa kazi itakuwaje
Naam hilo ni wazo zuri kweli
Pole sana dada. Inauma sana. Huyo mume aliyekufanyia madhira Mwenyezi Mungu amuangazie na amsaidie kwa neema zake aweze kubadilika na kuwa binadamu mwenye utu.
Pole sana dadangu,hakuna niliso wezekana kwa mungu ,mkubali yesu na umuamini yeye na kila kitu kitakua sawa na kutembea utatembea kwa jina la yesu,enda kenya kwa pastor Ezekiel akakuombee na utapona tu
Yesu huyo yupo wapi?acheni utapeli
Yesu yuko haï
Inje ya yesu ni giza mutupu
Maana yeye ndiye nuru la ulimwengu
@@umutoniyvette8637Muhimbili mbona hamuendi wakati ndio Kuna walemavu wengi?
Mungu ana fungu iko siku atokea mume wa daraja kwako akunusuru bado una pendeza mashallah
Pole sana mungu akupe Nuru akuponye na hiyo hali
Mama pole sana inaumiza saana simama ktk Imani yako (MUNGU) Na jarbu kupambania tiba naamini utapona na Mambo mengine baadae "MUNGU NI MKUBWA" 🙏🙏🙏
Pole sana dada aisha ww kaa na maisha yako .usikimbilie tena kuolewa dada
Japokua ni mlemavu lakini wewe dada ni mzuri sana, inaskitisha sana kuenda kwa waganga wakakuchezea yaani kama ungeijua thamani yako na ukifanya subra utapata mume mwema na kuishi maisha mzuri, Asha umzuri kweli Mashallah.
Assalaam A'leykum, binafsi nafanya kazi za dua lkn ule ukweli nawachukia waganga washirikina wanaofanya kazi kwa staili hii. Mara makaburini, mara njia za panda hawana hata khofu na Allah. Mara wawaingilie wanawake za watu wallah wana dhima mbele ya Allah adhabu zinawangoja. Kila mwanamke wanazaa nae yaani mafedhuli wasio na imani. Tiba gani mnakwenda kumuosha mtu kwa maji ya maiti, dah mashetani wakubwa hawa. Allah awadhalilishe. Puuzi kabisa.
Sheikh naomba no yako
Usibadili din Ila sikiliza mawaidha
Jambo baya said ni kufa si muhisilam ukawa ni mtu wa moton
Tubia kwa Allah wanganga hao ni mawakala wa mashetan
Wa'alaykum ssalaam... Kweli kabisa.
Pole sana da Aisha Allah akupe kila hitaji lako plz usitokagi kwenye dini yaki islam
Na’am. Usiingiye kwenye ushawishi mbaya kwa mtu yoyote kubadilisha Dini sababu ya kuolewa.
Anaitwa ASHA sio aisha 😅
Muislam uislam unaufaham masha allah tanya ibada na umtegemee Allah peke yake usisahu dhikr nyingi mola anatosha kwa kila tatizo.
Namshauri ampokee Yesu kwa dhati. Huo ndo mwisho wa matatizo yake.
Yesu yypi unae mkusudia,asiwe yyyle mwingereza alie ekt filam
Pole sana dada utapona kwa uwezo wa Allah Asbeena Allah waneemaallih wakilh
Pole sana dada maradhi ni mtihani unaowachanganya wengi kwenye fitina za ushirikina na matapeli na bado watakuja, mtegemee Allah sw kikweli sio binaadam aliyezaliwa na mwanamke
Nenda kwa yesu kristo utapona
Atamgonga
Pole sana dada MUNGU akuponye kwa jina kuu la YESU
Kweli pole sana ungemkubali Yesu hakika ungepona
Yesu wa wapi
Yesu hana uwezo wa kumsaidia huyo
Njoo kwa Yesu kristo mwokozi ndiyo mwisho ya yote akuna zaidi. Amen. Wote waongo na matapeli . Mungu mkuu akusaidie dada. Pole sana.
yesu nibinadamu kama weye nayeye arikuwa anahitaji msada kwamungu kama wewe gisi unahitaji msada kutoka kwamungu 😊
@@abdulhamidhaji5056waganga wenu kwishaaa, ndio hao unawaamin wanaponyesha
Kabisa YESU KRISTO MWAMBA, ATABAKI KUWA MFALME WA MILELE
Du pole sana dadayangu
Pole sana dada mungu yupo nawe hayo mengine yote yachie dunia na kila likujialo niliasababu zake uenda ndio kheri yako kesho mbele ya Allah utayapata mema.
Pole sana .dada mungu .akubariki
Sababu kuu wanaume wanaacha wanawake,ukweli ni kwamba wanawake wa tanzania wanapenda sana hela za wanaume,akimuona mwanaume anaona hela sio mpenzi,ndio chanzo kikuu,ukimpenda mwanaume na kumuhudumia kimapenzi na kumthamini hawezi kukuacha.Acha kuweka hela mbele uone awez kukuacha na kuwa na adabu ni ngumu sana
Kwa hili la asha huyo mume ni tapeli sio muoaji.
Jaribu kutumia magongo yale ya kutembelea dada hili uchangamshe mwili inshallah mungu atakupa nguvu,historia yako yauzunisha kweli unapitia mengi na una moyo pia.
Mwamini Yesu tu, Utapona achana na waganga Dada yangu,
Amini tu hivi;
YESU KRISTO NI MWANA WA MUNGU ALIYE HAI
YOHANA 3:16
Mganga ni Yesu Kristo ndio jibu la maisha ya wanadamu wote
Allah akujaze subra
Dumu na ibada hivyo hivyo swali unakaa mshukuru sn mungu na adhkar kwa sana mungu atakulipa uko ktk ibada mwanangu kila mda sema alhamdulilahi
Mashallah Dada unaimani Allah atakupa shifaa kikuwa subira Dada angu baki na dini yako ya haki ❤❤❤
Pole dada mungu atakusaidia. Mtegemee mungu Kwa moyo was dhati
Pole sana dada kwa mitihani Allah atakufanyia wepesi utakuwa sawa
Uspomjua mungu sawa sawa! Lazima waganga wakutese! Tiba gani mpaka makaburini? Siuchawi huo!
Pole sana dada asha mungu atakulipi ahayo uliyo yapata kwa mungu humlipa yule ambae huzurumiwa
Imeniuma dadaangu,, pole sana,, mwamini mungu,, kuna siku mungu atatenda
Askm Dada, tafta watu Wana, WA ruqia shairiiya wakusomee.
N zaid
Nione Sheikh kisqi Ata kusaidia in sha, Allah.
Dawa ni kumwamini Yesu unapona kabisa
Mungu atakufanyia uwepesi madam.
Pole xana dadangu kuja Kenya uombewe uta pona Kwa jinala yesu
Yesu ndiye kila kitu ukimkubali nenda kwa mch.amiel katekela imgn huku kenya tunamuaminia sana mtafute atakusaidia.
Utapeli tu huo,hawana lolote
@@princematumbo Mungu akusaidie
@@kennedywabomba1851 wewe Yesu amekusaidia vipi?
@@princematumbo Yesu amenisaidia mambo mengi Sana infact haihesabiki coz ile maisha niliishi matendo na matatizo nilioyapitia ni sehemu kubwa zaidi ametenda maishani mwangu.
Akili mgando yes Ni mwanadam tu.na Wala si mungu
pole Sana dada
Pole sana dada usikate tamaa ipo siku utainuka insha allah kwa uwezo wa allah
Allah atakupa shifaah kila kitu muombe Allah kwani Allah ndie aliyetuleta sisi binaadam duniani kwahivo muombe Allah atakujalia upone..
Dada pole sana Mungu yupo amini utapona, ushauri wangu kwako nakuomba uende kwa pasta Dominiki kiboko ya wachawi hakika Mungu atakutendea maajabu utatembea mara moja.
Pasta Dominiki Yuko wapi???nipe maelekezo
MASHA ALLAH, JE ana watoto wangapi tafadhali
Pole sana ❤
Ila dada wewe ni mzuri sana mungu akufanyie wepesi asha lakini naomba nikuahauri kitu japo imani yako ni tofauti lakini mungu mmoja tafuta uponyaji naomba uende kimara temboni kwa kuhani musa wewe hujazaliwa na ulemavu iyo hali ni wanadamu ya kutengeneza na sikama unabadirishwa dini utakwenda mjua mbaya wako na uponyaji utaupata ubarikiwe dada yangu ni hayo
Pole sana dada Mungu hakuponye❤❤❤❤❤❤
Pole Sana ndugu yangu na mitihan ALLAH atakuafu aamiyn
Pole dada mungu akuponye utapata mwanaume sahihi wa maisha Yako yote
pole saaaaaana dada Mungu yu pamoja nawe utapata tu unachohitaji usichoke kumuomba.
Mungu akufanyie wepesi utapoa
Biblia. Yohana 8:31-32
[31]Basi Yesu akawaambia wale Wayahudi waliomwamini, Ninyi mkikaa katika neno langu, mmekuwa wanafunzi wangu kweli kweli;
Then said Jesus to those Jews which believed on him, If ye continue in my word, then are ye my disciples indeed;
[32]tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
Allah. akufanyie wepes upone karaka sana🎉
Nimeguzwa sana na maelexo ya kwako naninayo imani mungu atatenda
Dada Mungu njo uendelee kuomba. Ni yeye tuu anaye uwezo wa kukusaidia. Achana na hawa waganga wanaweza wakakuletee mambo mazito zaidi kuliko huo ulemavu. Ambatana na Mungu atakusaidia.
Mjukuu wangu pole sana. Tafadhali usikate tamaa tatizo lako linatibika ila hao wote uliowaendea hawalijui na hata namna ya kulishughulikia hawajui ndo maana unateseka hadi sasa
Maelekezo baba
Unatibu WW??
@@NizigiyimanzClaudia Ninaelimisha na kuelekeza namna ya matibabu.
Pole sana
Mungu azijibu haja za moyo wako
Achana na waganga we mpokee Yesu hapo utapata uponyaj na Amani
mungu atakufanyia wepec dada insha allah
Watumishi wa mungu wapo watafute wakushauri, nenda ukamtafute hata mwamposa umueleze utaona woote waliokufanyia michezo mpaka huyo wataisoma namba ya yesu. Yesu juu🎉
Yuko yesu apinya wengi ukimkumbilia hatakuacha anauwezo wa kuku ponya kuliko mwanadamu yeyote kata shauli leo
Yesu anaweza yoote, kama uko tayari kwa Deliverance simama uganye maamuzi utapona. Na achana na mitandao, unajianika. Huyo shekh sharifu hajakifanyia la maana zaidi ni kwamba kakuongezea shida. Nina uhakika una majini na mapepo, uchawi, na nguvu za hiza zoote zinakuzunguka. Muite yesu
mashallah Allah akuponeshe marardi yako ishallah
Biblia. Mathayo 11:28
[28]Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
Come unto me, all ye that labour and are heavy laden, and I will give you rest.
Dada achana na washilikina muombe mungu Kwa sana utapona TU Kwa mungu akuna atakoloshindwa utapona inshallah
Ila mdada mzuri maashaallah tabarakallah, namuomba Allah akujaalie mume mwema
Nashauri uokoke Dada na Mungu atafanya uponyaji kwako
Hujafa hujaumbika..mashallah bint kazuri mungu akufnyie wepesi 🤲🤲
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi- muhim umeelewa inatosha
Pole sana ,tatizo nimeoa tu ningelikuoa mimi
Huyo bwana inafaa achukuliwe hatua ya araka upesi....uta nyanyasa vip kilema na kumpiga kwa juu....hatua ichukuliwe araka....pole xna dadangu .😢😢
Ww kwanza jihifazi ww kabla kuhifaziwa ndio uombe mtu akuoe na mm nakushauru epuka vijana olewa na watu wazima watakufanya uwe na furaha
Mr. Right jiunge huko km wengine Ila usali na kutubu first.
Jamani pole shida umeweka tumaini kwa binadam binadam hana msaada mkimbilie Yesu peeke mwenye majibu zaidi ya hapo maana hizo ni nguvu za giza ulirushiwa pole sana
Dada pole Sana kwa yalio kukuta , ila Mungu bado anakupenda saba, Ila ungitafuta Wana maombi kumbuka rose muhando aliumwa myaka 9 alivy9kwenda kimaombi bwana Yesu christ alimponya nanda kwa watu wakuombeye utapona
Wabongo elimu ndio hakuna kabisa Ur very primitive surely
Kwani hakuna Sheria huko bongo
U need check for physical doctor hakuna uchwai hapo dada
Matibabu yako hapa Nairobi shy needs physical medication Nd physiotherpy
Utapona dada hayo yanamwisho wake, Mungu wetu ni mmoja jaribu kwenye maombi
Watangazaji hongereni sana,mtoeni out huyo dada angalau aondoe mawazo mumtembeze mjini angalau moyo wake ukunjuke😭
Yesu anaweza kukuponya
Umetupiwa jini alafu bado unaenda kwa majini ili wamtoe jini....tafuta kanisa karibu yako ndio kiboko ya icho ulichotupiwa...Yesu anaponya
pole sana mungu ata kusaidia
Kanafaaa kuoa mashaaalah,rudi kwa sharifu tena,chuma hicho mzee baba,unakiogesha, ndani kw ndani,
Anaknekana ana roho.mbaya
Mwamini mungu iko siku utatembea hiyo ni mitihani ya mungu inshaallah
Allah akbar
Nenda mbinga kwa Mtumishi Wa Mungu Jofrey Utapona na Kutembea papo kwa papo
Aende kwa tapeli mwingine tena .
Dada ukisom coment usije ukabadili din kwa ajili yakupon miguu mungu tuy hajaamuw utapona usisikeze hao wanao sem etnokoka umuone yesu waulize yesu anapatikan wap ndo umuone kaa na dini yako
Punguza Ushauri mwingi fata imani ya maisha yako na yeye Afate maisha yake kiufupi Heshimu imani za watu
@@stevenlugojeremia2323 .umesikia kasem yy ni mkiristo am ushambega umekujaa na umbea mwingi chiz w
Njoo kwenye ukristo Yesu atakuponyaa
Kimbilia kwa Yesu utapona
unastahili kuolewa inaonesha unaijuwa dini kidogo..nakushauri swali sana muombe mungu sana kwenye ibada yako
Pole sana