Sheikh: ALHATIMY Adhabu ya Mwanamke anaemkera mume wake

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 36

  • @AS-ve3nu
    @AS-ve3nu 4 роки тому +4

    Ukumbusho mzurii sanaa sheikh wetu Allah akuhifadhi uzidi kuuongoza umma wetu 🤲🏻

  • @kibahamza8636
    @kibahamza8636 2 дні тому

    Sheikh Allah akupe umri uzidi kutuelimisha umma wetu,wengi wetu wamejisaau???????

  • @yusufbahamad612
    @yusufbahamad612 8 місяців тому

    Wallahi sheikh wee achaaa tuuu
    Twaumia sana wanaume

  • @mukadarmukadar7881
    @mukadarmukadar7881 Рік тому

    Wallahi shekhe uko sawa twapata shida
    Sisi wanaume mungu awaongoze

  • @mukadarmukadar7881
    @mukadarmukadar7881 3 роки тому

    Mashallah shekh nikweli tuna mitiani majumbani ukimuongoza mke akwambia yashapitwa nawakati mungu atunusuru amin atuongoze sisi nabibi zetu

  • @MaulidyMadyo
    @MaulidyMadyo 8 місяців тому

    Allah atujalie sheikh uko vzr manshaall

  • @JumanneHunda
    @JumanneHunda 5 місяців тому

    Ninavyo mpenda mume wang siwez mtukana hata chembe yaraby nizidishie upendo mi na mume wang ❤

  • @nazyrable
    @nazyrable 4 роки тому +2

    Napenda sana mawaidha yako shekh na kukufati Lia sana

  • @Salsabiil12
    @Salsabiil12 18 днів тому

    Allah atunusur yaaallah

  • @mtundufujoz162
    @mtundufujoz162 5 років тому

    JAZAAK ALLAH KHEIR hapo umegusa sheikh.

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 3 роки тому +1

    Subuhannallah 😭😭😭😭jamani wadada zangu tubadilik jamani

  • @mirajiabdallah1339
    @mirajiabdallah1339 2 роки тому +1

    safi

  • @maryammakata7849
    @maryammakata7849 2 роки тому

    Allah tupe mwisho mwema

  • @allyhamisi4709
    @allyhamisi4709 5 років тому

    Mashaallah ujumbe mzito , vitu km hivi ndio tunatak maana madada zetu wamezid jeuri

    • @nadiabakari2589
      @nadiabakari2589 2 роки тому

      Kweli Kaka angu Mana namie napitia nayaona pia majumbani kwetu

  • @amrishadesh7404
    @amrishadesh7404 2 роки тому

    maelezo mzuri sana

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 3 роки тому

    Sheikh umefikisha🙏

  • @abeliever6823
    @abeliever6823 4 роки тому

    Jazaakallahu khairan

  • @fartunibrahim4883
    @fartunibrahim4883 5 років тому

    Subhana Allah

  • @muminmohamedahmed2453
    @muminmohamedahmed2453 5 років тому

    Nice daawah

  • @mauabeka4958
    @mauabeka4958 4 роки тому +1

    Subhanaallha😭😭yaa allha tuonge njia ilinyooka amini

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 2 роки тому

      Na km mwanamme anakutukana na kukudharau ? Kwa hiyo ni mwanamke tuu anakosea au ?

    • @asteriashios1852
      @asteriashios1852 2 роки тому

      Na Amina rushaina je?

  • @RahmoQaali
    @RahmoQaali 5 років тому +1

    Subahanal 😔😔♥️♥️♥️

  • @abushawalihamisi8225
    @abushawalihamisi8225 4 роки тому

    Sheikh naomba namb yako

  • @amiraawadhhassan4822
    @amiraawadhhassan4822 4 роки тому +4

    ASALAM aleikum sheikh mbona hamusemi kuhusu wanaume wanavyo waudhi wake zao?au wao hawana dhambi wanaumee?

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 3 роки тому +1

    😭😭😭😭😭😱😱

  • @ziggysoka4383
    @ziggysoka4383 3 роки тому +1

    سلام عليكم شيخ اريد رقم تلفون

  • @bilkisnazir3169
    @bilkisnazir3169 5 років тому +3

    Je mume akimudhi mke wake?

  • @ziggysoka4383
    @ziggysoka4383 3 роки тому

    Natafuta namba

  • @seifabdalla8344
    @seifabdalla8344 3 роки тому

    States saver

  • @seifabdalla8344
    @seifabdalla8344 3 роки тому

    Stater saver

  • @seifabdalla8344
    @seifabdalla8344 3 роки тому

    Gallery

  • @baanabaana2145
    @baanabaana2145 4 роки тому

    Asc

  • @Apelo_GAMER
    @Apelo_GAMER 2 роки тому +1

    Je mume akimuudhi mkewe?