Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya Ali Kiba. Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele. Nimependa your new song!
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
chriss cherry weeeee tena ustop akizingua tunamtimua chezea sis weweee 🤘✌Zari yuko wapi Idi Amin Dada yuko wapi na Sara wa Amonaiz yupo njian kama chupi pumbavu wew upole wa Amina haufanani na wew uko tofaut 😂😂
Hongera sana kaka etu ALIKIBA KWA KUPATA WIFI MREMBO , Ila hapo kwenye mkw wa pili mmenivu ja mbavu mie ali unavituko mara upo upande Amina mara unamgeuka hahha but this is one of the best interview kwakweli nimeinjoy lol. bonyeza kwenye picha yangu karibuni kwenye chaneli yangu kwa maisha na habari za ujerumani
kiba wewe kama ni muislam hao watoto kwa mujibu ya dini yako hao watoto wahudumie ukiwa hai ila ukifa hawakurithi labda uwa ndikie kwa hiyari yako kabla ukali hai
Khadija Said tumekosea dada hata mm nilkua najua ivyo bi amina alimlea mtume lkni hakua mke wake, ikabidi niskize historia yake vzuri kumbe bi amina alkua ni mke wake kweli coz nimeskiza sasa ivi historia ya mtume na nikapata jibu kamili kwa ivyo ni kweli amina ndio mke wa mtume.
Khadija Said dah ni kweli bi amina alkua mamake mtume lkni sio mke wake, yani naskiza historia ya mtume huku nina usingizi😀😁😂😂mungu aniswameh hadi nikakurekebisha kukwambia kweli bi amina ni mke wake, kumbe hakua mkewe ni. Mamake imebidi nirudishe nyuma niskize tena vzuri ndio nikajua kumbe bi amina ni mamake lkni sio mke wa mtume
Kuna Tofauti Kati Ya Pure Talented Na Magumashi Talent. Diamond Platinum Anabaki Kuwa Mwakilishi Wa Tanzania Kwenye World cup! Kama Hutaki Kunya Boga. Hao Wengine Mtatuwakilisha Hata Ndondocup Final Sio Mbaya Duniani Viwango Hatufanani.
#AliKibaDay
CLOUDSMEDIA can i see this live?
CLOUDSMEDIA kooo! uyo Kiba mbona anambaniaa mkewee asijibu maswal
CLOUDSMEDIA oya mwambiyeni #KingKiba nikotayari kurudisha mahari yake anipe uyo mke wake #BiAmina bhana duhhh🔥🔥😍🏃🏃+1
Rashemana Low sio kla swali lahitajika lijibiwe,
CLOUDSMEDIA Amina was the Prophet's mother , not wife as your presenters stipulated on the radio.
Wasanii wetu wana mengi sana ya kujifunza kupitia Maisha ya
Ali Kiba.
Kwanza hongera kwa kuowa mwanamke alie lelewa kutoka katika
mifupa ya kiungwana. I love everything about your wife. Mrembo, mpole, ana sifa
za mke. Uso umemtulia. Yaani HONGERA kaka! Mashallah
Allah awaongezee mapenzi, uvumilivu, na Baraka tele.
Nimependa your new song!
Gonga like kama unaikubali hii couple
Halima Raj pamoja sana
Maashallah bint katuliaaaaaa pia kiba wote wametulia.angelikuwa kina mwanafulan wamakiki hapo hashuo mojakwamoja kushikana kutuonesha mahaba yakishamba moja kwa moja hawa nimewapenda sanasana mwaaaa maashallah bint mzuuuuuuur sana wangelikuwa wa bongo hapo mmmmmh
miss moona hahahaha umesema kweli
miss moona kweli usemayo
msiseme hivo bi amina ni mama yake mtume muhammad mzazi msiseme msilo lijua pia sio kila mtu ana paswa kua na wake zaidi ya moja kuna sheria zake
emmah tumaini kweli mummy kwan uongo
miss moona kwanza kina mwafulani wangetinga vimini na vitop na nyele zao zile kama wanauzwa
Wow Ali kiba mashallah kaanza kunga'arishwa na dadaetu Amina hongera dadaetu Kwa kumng'arisha shemela wetu,,, mombasa hoyeee!!
Jefason Kingy Mrs Hoyeeee
Jefason Kingy Mrs hoyeee sanaa
Yani kiba nakupenda sana maisha yako ww na familia yako atausipo toa nyimbo mm nitabaki kuwa shabiki wako
Nampenda mke wa alikiba ametulia sana
Fyuuuuuuuuu
Mamae
Ndonn
kweliiii iii.....mi mwenyewe nakubaliii
She's simply beautiful mashallah ❤
thank you for getting married..Ali kiba
MASHAALLAH Kiba tulia my brother mke umepata Allah akupeni subra na midomo ya waja maana kama mavuvuzela zbeni masikio kamwe Allah awalinde ktk ndoa yenu.
Jamani nawaonea wivu mungu awape maskizano na umri kwanza mulivovaa oyooooo
Amina mashaallah mstaarabu ... mola akuzishie imani hiyo hiyo
twaza sam
Amina is so shy, can't keep eye contact
Mashaalla Amina hakuwa mke wa mtume ila ni mama wa mtume
Usicheze na Wakenya...nimempenda bure...Sauti nzuri...Ali Kiba amepata kisu...Mashallah
MaShaAllah Tabarakallah. Much love from 254 Mombasa
mashaallah ally Mke umepata
Mwanamke ma sha Allah... Macho chini 👌👌👌 sio kina fulani macho juu juu kaa waangalia mwez👀👀
Salama Omary 😂😂😂
Salama Omary ahahahahahahaaaaaaaaaaa utaniua we Dada kwa kuchamba, eti kama wanaangalia mwezi
Salama Omary
😀😀😀
Salama Omary Haha SalamaOmary ww hehe umenivunja mbavu😃😃😃😃
😄😄😄😄😄😄
Wallahi Ally ongera umecaguwa mzigo kweli,Allah awajaliye muzidi kupendana
Mashallah mashallah kiba u are lucy one,nawatakia kila la kheri karika ndoa yenu,mwenyezi mungu awape baraka tele tele
emmah tumaini lucy one???
Lucy....did u mean lucky?
MASHA ALLAH tabarakallah...mungu awape maskilizano awajalie vizazi vya kheri
Mmpendeza wadada mashaallah
Duh amina anaaibu sana Kiba umepata mke
Mashaallah mmependeza kiba na bi aminaa
Nimempenda bure mke wa Kiba. Anajielewa
Bi amina una sauti nzuri jmn
Yes gal show them Kenyans we don't talk to much😍😍nawatakia kila la kheri kwenye ndoa yenu👌✌
ukiwa mstaarabu lazma hata mke upate mstaarabu hongera kk ang kiba
Mashallah Mashallah mke wetu mzuri kweli bi Amina Hongera sana king kiba umtunze mtoto huyu kama mboni yako ya jicho 👌🏾😂
Masha Allah kinga hapo umepata mke kwakweli Allah awalinde
Bi Amina is so beautiful, elegant and poised
stay this way ❤️
Amina mrembo mashaAllah na endelea kujistiri hivyo hivyo mama utaheshimika
MashaAllah Mme pendeza saaana Ali kiba na b.Amina much love from UK in Newcastle
I love them wlhy from 254 one love shemeji wetu
king kiba I love the way u always answer those guys , yani majibu yako unaipanga kwa mdomo ndio itoke, sio eti unaropokwa, I love it, may ur family have peace always and let God take control of anything in , may God bless your marriage and live happily life with ur wife
Mwanamke staarabu kiba..mashallah uliwahi chombo
mashallah mwenyenzi mungu awajalie kila la kheri kwenye ndoa yenu,mmependeza sana
Bi Amina hata hayuko interested na mambo ya media, hadi raha!!!
Masha Allah
Ila amina nampenda bure mpole mstaarabu sana dada mungu akujaalie
Please try and make us proud Amina by being Organized prior to any planned interview. Reason out with facts, don’t give short replies, explain further. Use your education and reasoning capabilities well. You a Kenyan! Kenyans are smart bwana!
samreen st clair heheee ila ni mpole tuu don't blame her
But that wasnt about being smart..There are the questions she answered directly...other qns were teasing her so She ddnt see the reason to answer such questions Coz Tanzanians are way too much if yu speak alot yu may find urself misunderstood and People will believe their own message..And so far she is a Muslim .She knows wat she was doing and that interview wasn't meant for her but for Alikiba
Mashaallah Amina Ally hongera sana kwa kupata jiko nzuri mola awaepushie kadhia za walimwengu katika ndoa yenu idumu milele Amen
Mm nakushauri km hutojali,, huyo mkeo usimusishe na media kwani hapendi,, na heshimu hilo king kiba,, kwani sio mtu wa media
Suleiman Ali
umeonaee na c poa pia
Suleiman Ali umeonaee kaka. Kiba asimueke wazi mno mkewe maana hawezani jamani
King kiba kwa na maamuzi ktk jmbo
Amina alikuwa mama wa Mtume ... mke wa mtume alokuwa kipenzi cha wengi ni bi KHADIJA mke alokuwa amemzid umri mtume lkn alikuwa ana mheshimu kuliko kawaida
big up kiba mydear mungu azidi kuwapa upendo
Nmependa jinsi Amina alivomwangalia Kiba alivoulzwa kuuc kuzaa, mahaba bin bahabat
msema kweli dungu yangu alikiba ,kweli nakupenda,sana tena sana.unatuliya,na tena muke wako hasa anatuliya,nayitakiya ndowa yenu iwe ndowa ya Amani na mafanikiyo zaidi
Mashallah allah akujalieni maisha marefu ya kheri na baraka
Mashaaalah dada mzuri halafu mstaarabu
kiba mungu awape masikillzano bro
Ok
manshaallah mke mzuri lakini acheke bwanaa
mungu akuzidishie hekima amina kiba hakika wew ni mke mwema
Bi Amina ni mama yake Mtume Muhammad SWA mtangazaji.
Da Amina Mombasa uko pia kwetu kuna bibi zangu uko!werawera kwetu raha upate mofayaaaa mh!kwel rahaaaa
Somo uko mrembo majina ya Amina always beautiful .May God blz ur marriage siz najivunia kuona unaongea vzur kwa interv Kenya twafurahi sana..
acheni ujuaji AMINA alikuwa Mamake Mtume
Bi bi sio ujuaji. Wamekosea unafaa urekebishe sio kumsema. Dts Islam
Bi bi Ahahahhaahha
Bi bi
Amina tuwakilishe dada, wanyooshe hao watz kwa sababu hawaishiwi kusema vibaya.Waoneshe cc ni waastarabu hatuna kufake fake vitu tuko real.
chriss cherry weeeee tena ustop akizingua tunamtimua chezea sis weweee 🤘✌Zari yuko wapi Idi Amin Dada yuko wapi na Sara wa Amonaiz yupo njian kama chupi pumbavu wew upole wa Amina haufanani na wew uko tofaut 😂😂
ovyo
Fuck
Poul The King who want 🖕🖕🖕fuck?
chriss cherry Sana tuuu
Wifi masha Allah sauti tamuu km yakwngu mzanzibar halisiiiii ayo macho sasa kama mapacha!love you
Naima Mohd umeolewa?
Hashimu Mkunda bado kwani vep
Naima Mohd . tunataka tuje tukakunusuru. kwani ni zawadi kutoka kwa ALLAH mashallah
Hashimu Mkunda mh! Huachi!mkaazi wa wapi ww??
natokea Dar-es-salaam. namba yangu ni 0652047194
maskini bongo mademu Wa kibongo nawaonea huruma saaaaaaaaaaaaaaaaaana
nilivyo kuwa na angalia iyi interview nili jihisi eshima imeshuka ndani yangu
Nampenda mke wa Ally jaman ni mpole
Saffi kiba mungu awatangulie mzae watoto wuzuri
Swadakta dadaa ,, mwanamke wakiislamu anatakiwa awe na haya hivyo ndivyo tunatakiwa tuwe sio mwanamke kuwa macho juu juu haifai na ni makosa
Ally is so protective of his wife
Kiba wetu Pendeza na mkeo
A king will always be a king👑👑👑
💞💞💞💞💞🙏🏾🙏🏾🙏🏾 and God Bless
MashaAllah couple nzuri bi Amina katuria mwanamke stara 😍😍
Hongera sana kaka etu ALIKIBA KWA KUPATA WIFI MREMBO , Ila hapo kwenye mkw wa pili mmenivu ja mbavu mie ali unavituko mara upo upande Amina mara unamgeuka hahha but this is one of the best interview kwakweli nimeinjoy lol. bonyeza kwenye picha yangu karibuni kwenye chaneli yangu kwa maisha na habari za ujerumani
kiba wewe kama ni muislam hao watoto kwa mujibu ya dini yako hao watoto wahudumie ukiwa hai ila ukifa hawakurithi labda uwa ndikie kwa hiyari yako kabla ukali hai
Love u mama Franjo
Masha Allah, mkiweka dini yenu mbele Mtadumu milele my King
Wamependeza Mr and Mrs kiba
Definition of a nice couples😍😍😍Allah Barik In Sha Allah
binti anastara kweli, na nyie watoto jitahidini
Waw i wish you all the best king kiba.
Mashallah. Penda Nyinyi sana. King kiba worldwide
kiba kaoa mke mzuri xaana
Point of correction Aminah Alikua mamake mtume
Nexttime if you need 2 interviews this girl or women musimwalike tena Alikiba yaani invitation aje mwenyewe atakuwa more open .
king kiba hujawah niangusha woow wifi mashaallah ana adabu katuliaaa mpaka raha ila clouds matangazo kibao mpaka kero mmenikeraa😏😏😏
Ally Anawivuuu Mashaallah
Mtt Maashallahu mnapendeza sana zaid ya mia 900 hahaha hahaha
miss moona
Mashaa allah hongera kingi! Amina kazuri
Kwa sasa Amina sema mambo hayanishinda na nyumba yangu
Kiba umepata mke masha Allah
Big up sana mzee baba king kibaa
Masha Allah mwanamke stara
Kusema ukweli Alikiba anaboa kwenye interview, anabagua sana maswali ya kujibu. Too much!
Japo kua nimechelewa but I really love this couple its cute from +254
Wooooow Allah awape maisha mazuri
astaafiruallah bi amina alikuwa mama yake mtume mzazi kabisa wake zake walikuwa bi Aisha bi khadija bi Hafsa mwengine nimemsahau
Khadija Said bi ummu
Khadija Said swafia..mwenginee
Khadija Said tumekosea dada hata mm nilkua najua ivyo bi amina alimlea mtume lkni hakua mke wake, ikabidi niskize historia yake vzuri kumbe bi amina alkua ni mke wake kweli coz nimeskiza sasa ivi historia ya mtume na nikapata jibu kamili kwa ivyo ni kweli amina ndio mke wa mtume.
Khadija Said dah ni kweli bi amina alkua mamake mtume lkni sio mke wake, yani naskiza historia ya mtume huku nina usingizi😀😁😂😂mungu aniswameh hadi nikakurekebisha kukwambia kweli bi amina ni mke wake, kumbe hakua mkewe ni. Mamake imebidi nirudishe nyuma niskize tena vzuri ndio nikajua kumbe bi amina ni mamake lkni sio mke wa mtume
Nafisa Mohamad amina hakua mkewe ni mamake mzazi rasul
Subhaanallah Jamani clouds Amina ni mama wa mtume muhammad (saw).. na sio mke wake
jomooon kadada kazuuuuuuuriiiiiiiii
mungu awaepe baraka kwenye ndoa yenu.
Clara Godfrey
Nawapemda sana Brother kiba na mkeo, mke mzuri adi sauti.
Mashallah una mke mzuri King hongeraaa
Kiba umeowa kisu baba simchezo
mtt mzuri ajui kujishaua kabisa tofaut nawabongo
Nyimbo za Tanzania zinapendwa dunia mzimaa karibuu Dd Amina bongoooo kwetuu Tanzania nirahaa kwakwenda mbeleeeeee
Amina usikubali
Samahani hapo mumekosea Bi Amina alikuwa mamake Mtume Muhammed S.A.W
King kiba umeuowa kitu kipya cha Kenya
Amina ni mama wa kipenzi chetu mtume Muhammad SAW na sio mke musa
Mashallah,mpendane daima!!
Hivi ni kweli mmeachana sahv ?Duu mmependekeza , Mungu awasaidie msiachane mnapendeza kuishi pamoja na mwanamke anaonekana mstaarabu
Kuna Tofauti Kati Ya Pure Talented Na Magumashi Talent.
Diamond Platinum Anabaki Kuwa Mwakilishi Wa Tanzania Kwenye World cup! Kama Hutaki Kunya Boga.
Hao Wengine Mtatuwakilisha Hata Ndondocup Final Sio Mbaya Duniani Viwango Hatufanani.
Greetings from +254 👐👐