Msimamo wa Alikiba Bifu la Lunya na Young Killer | Kumbe King Anamkubali....

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 жов 2024
  • XXL Kutoka nyumbani kwa Marioo, Bad Nation #cloudsdigitalupdates

КОМЕНТАРІ • 94

  • @juniorkyando3546
    @juniorkyando3546 Рік тому +37

    Young killer is the best namkubali kichizi🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @albertkatuga2434
    @albertkatuga2434 Рік тому +40

    Aikiba kweli wewe mwanmziki unjua how to explain and interpret 😄😁😁😁 wasitupiane mikono tu

  • @Ronny-ok3qd
    @Ronny-ok3qd Рік тому +19

    Team young killer gonga like 🚒

  • @juniourku
    @juniourku Рік тому +25

    Msodok myama🔥🔥🔥 ww uyo sijui young kunya bit zinazopigw kweny ngoma zak ndo kali ila ukimsikiliz Amna kit anaimba😂😂😂

  • @omyjy4819
    @omyjy4819 Рік тому +14

    Lunya 👑👑👑

  • @gikundimitu7821
    @gikundimitu7821 Рік тому +11

    Killer🔥🔥

  • @asajilemwaitenga4935
    @asajilemwaitenga4935 Рік тому +35

    Killer mnyama sana sema alishaacha kuwa lamba miguu Cloud Media maana mnapenda sana kumpoteza msoki

    • @Makomando-l8s
      @Makomando-l8s Рік тому

      ua-cam.com/video/O0IALZfelFc/v-deo.html

  • @fasterwalker1464
    @fasterwalker1464 Рік тому +3

    Msodoki mtu mbaya kmmk kwaanaejua mziki hawez kumpinga ndomaana hata marioo kaanza kusema yy mbuzi mshkaji wake ndomaana ampingi

  • @BarakaKanyamibwa-lo4gc
    @BarakaKanyamibwa-lo4gc Рік тому +9

    Yani alikiba tuke achana na music pia busara unayo big up umeongea bro

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Рік тому +11

    Bongen ila young kila ni moto

  • @officialndaluj4868
    @officialndaluj4868 Рік тому +14

    youny killer ni rapa bora tunafaamu hilo lakini media kubwa za bongo ni zinamkazia wao wamebase sana upande wa lunya na inakuwa haiko sana

    • @MohamedYusufu
      @MohamedYusufu Рік тому +1

      Xhda killer now Hana soko

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Рік тому +1

      ​@@MohamedYusufusoko kaliua nani?

    • @MtuSafi
      @MtuSafi Рік тому +1

      hata lunya watamtupa sio muda wee subiri

  • @b9media144
    @b9media144 Рік тому +4

    @Medias. Kwanini Lunya mnamuita sana kufanyanae Intavyu lakini Killer hapewi? Japo mnampa sana Lunya, lkn haumfanyii Killer awe chini na hii n kwasababu Killer anakubalika sana na Jamii kuliko Lunya
    Endeleeni kumnyima Killer, ila mitaani tunajua kuwa Killer n mkali zaidi 🔥🔥🔥

  • @limymasele21
    @limymasele21 Рік тому +6

    Mbuzi anachinjwa na kuchunwa ngozi anachemshwa Kisha analiwa

  • @bornkilla6173
    @bornkilla6173 Рік тому +7

    Young killer 💥

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 Рік тому +7

    SOUND CHECK MICROPHONE ONE TUUU,,,,😬😬😬😬 HATUSIKIIIIII

  • @shaurisafari
    @shaurisafari Рік тому +9

    Msodokiii

  • @willyntacobakinvuna5885
    @willyntacobakinvuna5885 Рік тому +2

    Hii Haina upinzan killer tz hakuna wakumtoa kimichano

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +12

    KIBA ANAWAKA

  • @Greatnessfxx
    @Greatnessfxx Рік тому +23

    Team Young lunya gonga like apaaa❤❤❤❤

  • @rosemoshi7673
    @rosemoshi7673 Рік тому +3

    Ali kaongea jaman thus why I love him so so much tusichochee vita waache watupe vitu

  • @Oldskulgemini9991
    @Oldskulgemini9991 Рік тому +11

    Kiba kashinda tu kusema Lunya kwa Sasa anafanya vizuri kazunguka mbaka kwa Mtu wa UK anamsikiliza Lunya 😂😂

    • @ZeraGeofrey
      @ZeraGeofrey Рік тому +1

      Hapo kunaprogram ya kumshusha killer kumpandsha lunya kama walivyofanya kumshusha Godzilla ilikumpandisha Billnass

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Рік тому

      @@ZeraGeofrey Killer alishashuka mda Sana Wala hakuna mtu atapoteza muda kuanza kumfikiria killer Saivi kwa kipi sasa, ngoma anazotoa haziendi mjini tulishamsahau, amshukuru Lunya maana Bila kum diss Lunya tusingemkumbuka kabisa. Staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu hawataki kusikia mtu anaongea kwenye wimbo wanataka mistari inaendana na flows kali. Msodoki alikuja akahit wakati wake upishapita mda Sana Lunya amekiteka soko toka 2019 mbaka Leo na wakina Conboi vile vile, mfano killer kwa Sasa huwezi mfananosha hata na Conboi, Conboi anatoa ngoma mbaka Fat Joe kutoka marekani kaikubali kwasababu anarap kwa staili inayovutia mtu hata kama haelewi lugha anajua kabisa huyu jamaa ni mkali, msodoki yeye anaongea tu kwenye biti yani wanaomwelewa ni watu wa mikoani ndani ndani huko

  • @lemmyajabu8171
    @lemmyajabu8171 Рік тому +6

    Lunya moto sanaa🔥🔥🔥 unyama mwingiiii sana

  • @edwinamos9734
    @edwinamos9734 Рік тому +8

    Mariooo fara wewe qm unamjua killer au ushamba wa kuchelewa game

  • @NathanaeliMerck
    @NathanaeliMerck Рік тому +4

    Namkubar mbuz

  • @Maduga_gang
    @Maduga_gang Рік тому +4

    Kama unamkubali @youngkiller gonga like

  • @sadruhsnow5637
    @sadruhsnow5637 Рік тому +7

    Killer

  • @DezlyRitto
    @DezlyRitto Рік тому +6

    Msodoki

  • @burtonmwanjela
    @burtonmwanjela Рік тому +12

    Msodoki de' son 🔥

    • @Makomando-l8s
      @Makomando-l8s Рік тому

      ua-cam.com/video/O0IALZfelFc/v-deo.html

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Рік тому +7

    Sauti zinapishana na picha wakulungwa 😢😢

    • @Makomando-l8s
      @Makomando-l8s Рік тому

      ua-cam.com/video/O0IALZfelFc/v-deo.html

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Рік тому +5

    KingKiba elewa Killer n mwambaaaa aseeeeh

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 Рік тому +4

    Mbuzi ni wakuchinjwa kuchunwa kupikwa na kupakuliwa

  • @brunomelody1174
    @brunomelody1174 Рік тому +2

    Season au session

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 Рік тому +4

    Enheeeeeee mambo kama hzi sasa mnakuwa kma mnatupa mb nyie 😂😂😂 safi sana

  • @Remmy1149
    @Remmy1149 Рік тому +4

    Killer mwamba huyo lunya kwao ana baa kwa nyuma

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Рік тому

      Kumbe unaijua hyo sema msodoki anajua mziki itafute ngoma moja inaitwa the waiting is over 2 ninoma hyo

  • @rymax7790
    @rymax7790 Рік тому +4

    🔥🔥🔥

  • @ChellyDeBoe-vi1nw
    @ChellyDeBoe-vi1nw Рік тому +2

    Killer mOt0r..

  • @AyubuJeremia-z5q
    @AyubuJeremia-z5q Рік тому +1

    Yani uwe unataka au hutaki young killer anajua Sana Sana zaid ya huyo mbuz

  • @Smochaaa
    @Smochaaa Рік тому +3

    Killer ni mbayaa ...kuzoza kuzoa

  • @zachaamaster5378
    @zachaamaster5378 Рік тому +1

    #msadoki Hana mpinzani uwo ndio ukweri ni wamoto

  • @ramadhanmngeza1065
    @ramadhanmngeza1065 Рік тому +2

    killer jeshi

  • @ahmedseif5612
    @ahmedseif5612 Рік тому +3

    SIO KILA YOUNG NI KILLER!!!!

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Рік тому +8

    😂😂😂msodoki atabaki kuwa bora anaambo mengi

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Рік тому +1

      Sasa msanii huna mambo mengi unakuwa Bora Sasa😃😂😂 Lunya mbaka watu wa UK wanasikilizwa si umemsikia Kina hapo😃

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Рік тому

      @@Oldskulgemini9991 🤣🤣🤣🤣sasa mtanzania mmoja anamsikiliza uko UK ambae alikuwa anaishi Tanzania nisawa mm nibebe simu yangu nanyimbo zangu

    • @Oldskulgemini9991
      @Oldskulgemini9991 Рік тому

      @@sharifabahar9905 bro killer anakonection na marapa karibia wote wakubwa Africa wote anakutana nao Kila siku wengine ameshapiga nao ngoma tayari, vitu vingine inabidi ukubali tu msodoki tulishamsahau huku mjini labda huko mikoani ndani ndani ila soko la mjini alishapotea mda Sana tangu 2018 huko Sasa Hivi ashukuru Lunya amempa kiki Subiri kiki iishe hiyo anapotea Tena😆 staili anayoitumia imeshapitwa na wakati watu mjini siku hizi hawasikilizi hizo mambo

  • @nathaliapeter9085
    @nathaliapeter9085 Рік тому +2

    Lunya mkalii

  • @mahubirins3921
    @mahubirins3921 Рік тому +5

    Mbuzi ni mbuzi tu😂😂

  • @metuselamazubesi-yw5dh
    @metuselamazubesi-yw5dh Рік тому +1

    Sina swaga kabic

  • @sappyjr4543
    @sappyjr4543 Рік тому +2

    Meena ally kama hayupo vile😂😂😂

  • @charlesmadata3410
    @charlesmadata3410 Рік тому +3

    umeogea poit xana kaka

  • @AmisamauridNgagada
    @AmisamauridNgagada 15 днів тому

    Team King Ally salehe kiba ndo Team young killer imeisha iyo🔥🔥👏👏👏👏💯💯💯💯✌️✌️✌️✌️

  • @antonymodestus2872
    @antonymodestus2872 Рік тому +6

    Lunya mavi 2 hata ww marioo akuna unacho jua wanakupaisha paisha kama mkali utakuja ujue tu kama au jui na mzik wenu wakubebabana makuz

  • @mmchopper3399
    @mmchopper3399 Рік тому +1

    Killer ni mnyama sio poa

  • @rostardlonis3257
    @rostardlonis3257 Рік тому +1

    Wanafki hao

  • @Sonbeats255
    @Sonbeats255 2 місяці тому

    Nimechelewa sana kusikiza hii kitu, kama umemsikiza #Alikiba vizuri utaelewa kwamba alimskia Young Lunya alipokua Marekani tena kwa kuambiwa na mtu mwingine imagine unatoka Tz unakwenda kumjua au kumskiza Young Lunya Mtanzania mwenzio nchi nyingine tena mbali sana ina maanisha nini? Ila YoungKiller huwa anamsikiliza😂 shout it to my bro #YoungKillerMsodoki

  • @victormbugobola802
    @victormbugobola802 Рік тому +6

    Killer on 🔥🔥🔥🔥 sana

  • @kapeamohamed2750
    @kapeamohamed2750 Рік тому +2

    Mfalme wetu

  • @SayiMakaranga
    @SayiMakaranga Рік тому +1

    Lunya anarap nini

  • @KingloveNyakamwe-sm5dr
    @KingloveNyakamwe-sm5dr Рік тому

    lunya mwamba kamsaiidia young killer kukaa kwenye trend haya nyimbo yake ya sitaki kuwa singo ipo namb ngap on treanding

  • @masongatz
    @masongatz Рік тому

    Unasemaje kuhusu ubunifu katika track ya #Mizimu hautajuta ua-cam.com/video/1Qr4-oxvImY/v-deo.html

  • @creinojohnson847
    @creinojohnson847 Рік тому

    uyo mdada hapo pembeni ya babuu wa kitaa a.k.a Johnii amekaa kama doli la Ellion Musk😂😂 au babuu kalinunua

  • @RealDuran
    @RealDuran Рік тому

    Young killer mnoma bna

  • @YoungblackMwanaCongo-tp6td
    @YoungblackMwanaCongo-tp6td 8 місяців тому

    Young killer ndo mkali nite young black mwana Congo

  • @AdijaAmiri-mr6gs
    @AdijaAmiri-mr6gs Рік тому

    Kiwalani bombom stand up..... mbuzi hatar

  • @yusuphismail64
    @yusuphismail64 Рік тому

    Sio season na ww ni session

  • @GedeonBinombe
    @GedeonBinombe Рік тому

    Mi mwenyewe ni tram killer

  • @benjaminmushi7538
    @benjaminmushi7538 Рік тому

    Mwaza mwaza kaka anajuwa

  • @japhsam_simulator
    @japhsam_simulator Рік тому +2

    Acheni kumlinganisha killer na vitu vya kijinga

  • @oketchmusic4838
    @oketchmusic4838 Рік тому +2

    😂😂😂😂😂

  • @HamisiMwajenzi
    @HamisiMwajenzi Рік тому +1

    Lunya moto xana

  • @SayiMakaranga
    @SayiMakaranga Рік тому

    Alikiba na marioo wote washamba hawajui mzuki

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi7555 Рік тому +7

    Lunya the best rapper