TOFAUTI YA MKATABA NA MAKUBALIANO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2025
  • #difference #between #contract #and #agreement

КОМЕНТАРІ • 6

  • @TumainielKitundu
    @TumainielKitundu Рік тому +1

    Asante kwa udadavuaji kuntu

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Tumainiel, Tunajivunia wewe. Usisite kushare na unaowajali.

  • @IsaacBashilwango
    @IsaacBashilwango 6 місяців тому +1

    Asante sana kaka
    🎉🎉

    • @yourportal
      @yourportal  6 місяців тому

      Karibu sana Isaac! Tunajivunia wewe.

  • @lemalema3613
    @lemalema3613 Рік тому +1

    Sawa kabisa mdadavuaji. Makubaliano hayapo kisheria. Waungwana wawili au zaidi wanapopatana jambo la kiungwana (halali) linalohusu mfano familia zao, rasilimali zao, n.k, na huku wakijua kuwa jambo hilo litawagusa watu wengi kwa namna mbalimbali, basi hufanya patano la kisheria ambalo kwa muktadha huo litaitwa MKATABA. Na lazima patano hilo liridhiwe na watakaoguswa ndipo saini za wawakilishi wa pande zote zitawekwa mbele ya mashuhuda wa pande zote husika.

    • @yourportal
      @yourportal  Рік тому

      Karibu sana Lema, Tunajivunia wewe. Mchango wako ni muhimu kwetu na Tunaendelea kujifunza.