CAF WAIPA YANGA RUHUSA YA UFUNGUZI/VITAL O WANAKAZI KUBWA JUMAMOSI/ALLY KAMWE AHUTUBIA TAIFA.
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2024
- Meneja Habari na Mawasiliani wa Yanga Ally Kamwe amezungumza na Wanahabari kuhusu Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao Yanga watakuwa Nyumbani dhidi ya Vital O Jumamosi kwenye Dimba la Mkapa.
Aidha ameeleza kuwa Mechi hiyo ni maalum kwaajili ya ufunguzi wa Ligi ya Mabingwa Afrika Msimu huu ambapo CAF wameidhinisha Yanga walifanye hilo.