#RepostBySimuliziMix.... Hii Simulizi sio mpya... Inaitwa SAFARI YA TROPEA Kama ulishaisikiliza Basi subiri mpya.... Kama bado Basi hapa unaipata yote mwanzo mpaka mwisho.... Enjoy.
VIP sana simuliz, sasa jaman dhaa mushaanza ku bowa tayari🥲 kuliko kurudiya simuliz sibora mutumaliziye mulizo ziaciya kati jaman☹️☹️dhaa muzimu wa kahaba, laaanaaa ya ukoo, 😡
#RepostBySimuliziMix.... Hii Simulizi sio mpya... Inaitwa SAFARI YA TROPEA Kama ulishaisikiliza Basi subiri mpya.... Kama bado Basi hapa unaipata yote mwanzo mpaka mwisho.... Enjoy.
Listening from Kenya 🇰🇪 👌
Asante sana.
Simulizi nzuri sana
Hogera sana bigo🎉🎉
Asante sana simurizi mix shukurn san tunawapenda san
Woooiye hio ni kali sana 😭❤🔥🔥🔥🔥💔
Kwangu ni mpya, asante sana Simulizi Mix
Mie mnanizingua tuu nuishaausikiza hii hapa hapa
Kitu kipya icho Asante saana kaka Felix
Safy
Kaka Felix vip laana ya ukoo season 3plz
Kitu kipya hichoooo
Mbn nanulia simuliz ferix hiii so safar ya tropea mji wa wafu jmn Yan kuanza tuu nimeijua kwel jmn y as ivi🥺
Kwakusubilia gobole letu n'a Davina wetu Acha tukae n'a vikombe vya kahawa
Tutumien Bora nifetunasubil bana
VIP sana simuliz, sasa jaman dhaa mushaanza ku bowa tayari🥲 kuliko kurudiya simuliz sibora mutumaliziye mulizo ziaciya kati jaman☹️☹️dhaa muzimu wa kahaba, laaanaaa ya ukoo, 😡
Mdau kwani simulizi ikirudiwa umelazimishwa kusikiliza .. si usubiri mpya zinazoendelea??
Kwanini muna rudia story jamanii Awo wanazo zitaka si wazitafute tu hapahapa mpaka mposti tena zile zazamani, mnatuchanganya bana