Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Nakupenda sana sheira mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Waoooo Sheila nimesubiri sana exclusive yako na Leo nimempata nimefurahi sana I love you so much 🎉🎉🎉
Waooooh Sheila nakupendaa sanaaa nimejifunza mengi kupitia tamthilia zakoo💓💓💝💝💗💗💗
Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Niko zangu burundi nawafuatilia 5\5
Uwez igiz kitu Ambacho huna asil ya roh hiyo anayo sem tumshauri asiiruhusu kuitumia iyo roho
Ukweli kabisaaaa, iwe hivyo Tu, ya kuigiza, wala sio ya kuzaliwa😂😂
Mimi cheilla simpendi kamwe ajili ana roho mbaya saaana
Kabisa Hilo nalo neno
Queen Mtiti aka Sheyla. Nakupenda, una tabasamu zuri sana na sauti nzuri pia
Sheila you are the bomb , I love the way you do ur thing
Nakuomba Ingia katika account Yangu naimani utazipenda kazi zetu❤❤❤
Hongera sana Sheila nakupenda from Kenya 🇰🇪
Hongera queen uko very smart
Sheila weye ni noma sana nakupenda sana kwenye Benzema ume nifurahisha sana I love you ❤ from South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
❤❤❤❤❤❤❤nakupongeza sana dadaangu mungu azidi kukuongoza kwenye kazi yako
Sheila much love from Kenya 🇰🇪🇰
she's super talented 😍
❤❤❤❤❤
Kupitia Queen najifunza kuwa binadamu ni wanafiki, cha msingi ni kuishi nao kwa akili. Nakupenda Sheila ❤❤
Yupo vizuri aisee
Mi na tamarind kuigiza
Sheira mnafika hii anaiweza zaidi ❤nakuombea mazuri Sheira sema kuna mda unakuwa mnafiki mpaka me mwenyewe naumia ujue.
I love Sheila kumbe unaroho nzuri sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Shaillah hakika we ni mrembo kweli so beautiful girl 🥰😍😍
❤❤You Know What I Love Her.
Ila unajua kuingiza roho mbaya wew mpaka nilitak kumaanish kumbe hamna very good sheira
Hongera sana Sheila nakupenda sana nimejifunza mengi kutoka kwako
Mashaallah Sheila hongera sana sikujua kua bint nyoka ndio kazi yako ya kwanza ia hongera sana uliweza kmanakwamba uianza zaman❤❤more love guys
Nakupenda sana shaila Kwa kazi Yako nzuri
Uko vizuri sheila ❤
Napenda kazi Yako Sheila ila natamani kujua ww ni mtu wa wapi ❤
Nakupenda Sheila mwanz nime kucukiya Ila nakupenda Burundi
Sheila tunakupenda sana big up
Kiukwer mmenifanya nikapenda maingizo yakitanzania mnajitahindia sanaaaaaaaaa ❤
Nakupenda sana dadangu Sheila ❤❤❤❤
Sheila mwanangu 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Nakupenda sana Sheila mungu akulinde muda wote
Shaila I love you so much naomba benzema iendelee nitamu sana na tena Ina SoMo nzuri.
Sheila wewe ni mtu wa mkoa gani mamy Hakika upo vizuri sana ike benzema ndio imenibambaa zaidi❤❤
Nakupenda shey shey ❤❤❤❤❤❤
Nakupenda xana
Shaila I love you keep up the good job
Huyu Demu fundi sana nampenda Buree and she has beautiful smile.
Sheila nakupeda ❤❤❤Sana you are a good teacher
James mukindia from kenyaSeila are you engaged?
Mungu akuzidishie( amin)🤗🤚✋✋✋✋✋✋ God bless you 🙏 ❤
Huyo mwanadada amenefunza vitu mingi sana,kwa maisha yangu ,
Nakupenda saana unaigizag vizurii,💓💓
Nakupenda Sana shaila
Hongela sana Sheilla 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nakupenda sana shail pamoja na timu yako❤❤❤
Mampenda sana Sheila
Sheila ako n smile mwaah❤
Nakukubali sana Sheila uko vizuri kuigiza
Sheila ww n mtu mwingine poa xn n unafanya kazi yako Kwa moyo mmoja hongera xana
I like this game..hongera kijana wangu..km mimi haki sikupendi sheila nikikuona tu roho yangu inashtuka.mana najua utamtesa zebuu
Waoo sheila nakupenda ❤❤❤
Sheila my favourite🥳
😊😊😊❤❤❤penda wewe beby girl kwanza last cord uuuuiiii umeicheza amazing sana 😊
Una talent sana Sheila
Nakukubari sana dadangu unanipanga guvu sana🎉🎉🎉🎉🎉
TIKSA LASITA JAMAN MM SHEY UJUE NAPENDA SANAA🎉🎉🎉
Much love❤❤❤❤Sheila
Ubarikiwe sana Mungu akufikishe mbali 🎉🎉
Nakupenda Sheila ❤❤❤❤
Shakira pokeya hongera yako napenda San vitu vyako yes❤
Hongera sanaa Sheila
Nakupend San dada Sheila ❤❤❤
Hogela sana upo vizuri kwausiliazi
Sheila nampenda Bure natamani nikutane nae nimpe hizi hisia zangu😢
Mwambie Sheilla binty Likona akupe no yke usijipe maumivu jaman
Kweli hudjadanganya kbx nilikukupenda mpakabasi❤❤❤💋
Wamangushi yaaan hilo Jina mmetuachia kazn kwetu tumepeyana majina tunaitana m'mangushi jaman nawapenda sana❤️❤️❤️❤️💯
Nakupenda Sana shaila 🥰🥰🤲
Sheila much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mungu akuzidishie kipaji chako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali San dada mmoja Ivi anaye upiga mwingi San
Uko viziri sana Sheila unatufundisha mambo mengi sana mm binafs I nomejifunza mengi sana jinsi ya kuishi
Nakupenda Sana dad sheira uko poa sana
Sheila wokhaya big up sana Naomba nafasi ya kuigiza na Mimi of course napenda sana kuect
Shailah nakupenda sana nimepata mafuso kwako sana
Sheila nakpenda unavyoongea❤️
Kazi safi Sheila
Waah Queen Mtiti ama tukuite Sheilla ongera sana daa umependeza
Sheila love you am from Kenya
Sheila jmn lv ♥️♥️♥️
Sheilla Nakukubali sana ❤❤
❤❤❤❤shaila
Waoo hongera Sheila Kwa kazi nzuri ,pia sasa unapendeza
Nakukubali San ukhti Sheila kwa kazi zako
Shaila ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongera sana dada
Kaz njema Sheila mungu akubariki aki mzuri ww mwanamke
Uko vizuri Sana sana
She is great and talented
Nice Sheila......
Nakupendag đada❤
I love you Sheila namuomb mungu mafanikio yenu yawe makubwa l like this game,,, umetisha sana🎉🎉😅
Sheila mwanangu nakupenda sana
I like this game,,,wamaangushi uliipeperusha kabisaa
Sheila nawapenda Sana pamoja timu from musoma
Sheila anaweza kuwa na Roho mbaya
Hongelen sheila
My beautiful queen❤❤❤❤❤
Mi nakupenda sana
Nakupendaa xnaa mremboo
Shaila napenda movie sako sana
Mbona anafanana na rose muhando ni dada ke ama
Asante cheila
Wow nice ❤❤❤
Kubwa la maaduu😂😂 nakupenda sana sheila
Nakupenda Sheila huwa unavaa uhusika sana unaweza sana
Nakupenda sana sheira mungu akufikishe mbali zaidi ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Waoooo Sheila nimesubiri sana exclusive yako na Leo nimempata nimefurahi sana I love you so much 🎉🎉🎉
Waooooh Sheila nakupendaa sanaaa nimejifunza mengi kupitia tamthilia zakoo💓💓💝💝💗💗💗
Shaila nakupongeza sana kwa maigizo yako kiukweli unajitahidi ila naomba ile roho mbaya ulio nayo kwenye filam isiwe ya undani iwe ya maigizo tu naomba ivo
Niko zangu burundi nawafuatilia 5\5
Uwez igiz kitu Ambacho huna asil ya roh hiyo anayo sem tumshauri asiiruhusu kuitumia iyo roho
Ukweli kabisaaaa, iwe hivyo Tu, ya kuigiza, wala sio ya kuzaliwa😂😂
Mimi cheilla simpendi kamwe ajili ana roho mbaya saaana
Kabisa Hilo nalo neno
Queen Mtiti aka Sheyla. Nakupenda, una tabasamu zuri sana na sauti nzuri pia
Sheila you are the bomb , I love the way you do ur thing
Nakuomba Ingia katika account Yangu naimani utazipenda kazi zetu❤❤❤
Hongera sana Sheila nakupenda from Kenya 🇰🇪
Hongera queen uko very smart
Sheila weye ni noma sana nakupenda sana kwenye Benzema ume nifurahisha sana I love you ❤ from South Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
❤❤❤❤❤❤❤nakupongeza sana dadaangu mungu azidi kukuongoza kwenye kazi yako
Sheila much love from Kenya 🇰🇪🇰
she's super talented 😍
❤❤❤❤❤
Kupitia Queen najifunza kuwa binadamu ni wanafiki, cha msingi ni kuishi nao kwa akili. Nakupenda Sheila ❤❤
Yupo vizuri aisee
Mi na tamarind kuigiza
Sheira mnafika hii anaiweza zaidi ❤nakuombea mazuri Sheira sema kuna mda unakuwa mnafiki mpaka me mwenyewe naumia ujue.
I love Sheila kumbe unaroho nzuri sana ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Shaillah hakika we ni mrembo kweli so beautiful girl 🥰😍😍
❤❤You Know What I Love Her.
Ila unajua kuingiza roho mbaya wew mpaka nilitak kumaanish kumbe hamna very good sheira
Hongera sana Sheila nakupenda sana nimejifunza mengi kutoka kwako
Mashaallah Sheila hongera sana sikujua kua bint nyoka ndio kazi yako ya kwanza ia hongera sana uliweza kmanakwamba uianza zaman❤❤more love guys
Nakupenda sana shaila Kwa kazi Yako nzuri
Uko vizuri sheila ❤
Napenda kazi Yako Sheila ila natamani kujua ww ni mtu wa wapi ❤
Nakupenda Sheila mwanz nime kucukiya Ila nakupenda Burundi
Sheila tunakupenda sana big up
Kiukwer mmenifanya nikapenda maingizo yakitanzania mnajitahindia sanaaaaaaaaa ❤
Nakupenda sana dadangu Sheila ❤❤❤❤
Sheila mwanangu 💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Nakupenda sana Sheila mungu akulinde muda wote
Shaila I love you so much naomba benzema iendelee nitamu sana na tena Ina SoMo nzuri.
Sheila wewe ni mtu wa mkoa gani mamy Hakika upo vizuri sana ike benzema ndio imenibambaa zaidi❤❤
Nakupenda shey shey ❤❤❤❤❤❤
Nakupenda xana
Shaila I love you keep up the good job
Huyu Demu fundi sana nampenda Buree and she has beautiful smile.
Sheila nakupeda ❤❤❤Sana you are a good teacher
James mukindia from kenya
Seila are you engaged?
Mungu akuzidishie( amin)🤗🤚✋✋✋✋✋✋ God bless you 🙏 ❤
Huyo mwanadada amenefunza vitu mingi sana,kwa maisha yangu ,
Nakupenda saana unaigizag vizurii,💓💓
Nakupenda Sana shaila
Hongela sana Sheilla
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nakupenda sana shail pamoja na timu yako❤❤❤
Mampenda sana Sheila
Sheila ako n smile mwaah❤
Nakukubali sana Sheila uko vizuri kuigiza
Sheila ww n mtu mwingine poa xn n unafanya kazi yako Kwa moyo mmoja hongera xana
I like this game..hongera kijana wangu..km mimi haki sikupendi sheila nikikuona tu roho yangu inashtuka.mana najua utamtesa zebuu
Waoo sheila nakupenda ❤❤❤
Sheila my favourite🥳
😊😊😊❤❤❤penda wewe beby girl kwanza last cord uuuuiiii umeicheza amazing sana 😊
Una talent sana Sheila
Nakukubari sana dadangu unanipanga guvu sana🎉🎉🎉🎉🎉
TIKSA LASITA JAMAN MM SHEY UJUE NAPENDA SANAA🎉🎉🎉
Much love❤❤❤❤Sheila
Ubarikiwe sana Mungu akufikishe mbali
🎉🎉
Nakupenda Sheila ❤❤❤❤
Shakira pokeya hongera yako napenda San vitu vyako yes❤
Hongera sanaa Sheila
Nakupend San dada Sheila ❤❤❤
Hogela sana upo vizuri kwausiliazi
Sheila nampenda Bure natamani nikutane nae nimpe hizi hisia zangu😢
Mwambie Sheilla binty Likona akupe no yke usijipe maumivu jaman
Kweli hudjadanganya kbx nilikukupenda mpakabasi❤❤❤💋
Wamangushi yaaan hilo Jina mmetuachia kazn kwetu tumepeyana majina tunaitana m'mangushi jaman nawapenda sana❤️❤️❤️❤️💯
Nakupenda Sana shaila 🥰🥰🤲
Sheila much ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mungu akuzidishie kipaji chako🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali San dada mmoja Ivi anaye upiga mwingi San
Uko viziri sana Sheila unatufundisha mambo mengi sana mm binafs I nomejifunza mengi sana jinsi ya kuishi
Nakupenda Sana dad sheira uko poa sana
Sheila wokhaya big up sana Naomba nafasi ya kuigiza na Mimi of course napenda sana kuect
Shailah nakupenda sana nimepata mafuso kwako sana
Sheila nakpenda unavyoongea❤️
Kazi safi Sheila
Waah Queen Mtiti ama tukuite Sheilla ongera sana daa umependeza
Sheila love you am from Kenya
Sheila jmn lv ♥️♥️♥️
Sheilla Nakukubali sana ❤❤
❤❤❤❤shaila
Waoo hongera Sheila Kwa kazi nzuri ,pia sasa unapendeza
Nakukubali San ukhti Sheila kwa kazi zako
Shaila ❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hongera sana dada
Kaz njema Sheila mungu akubariki aki mzuri ww mwanamke
Uko vizuri Sana sana
She is great and talented
Nice Sheila......
Nakupendag đada❤
I love you Sheila namuomb mungu mafanikio yenu yawe makubwa l like this game,,, umetisha sana🎉🎉😅
Sheila mwanangu nakupenda sana
I like this game,,,wamaangushi uliipeperusha kabisaa
Sheila nawapenda Sana pamoja timu from musoma
Sheila anaweza kuwa na Roho mbaya
Hongelen sheila
My beautiful queen❤❤❤❤❤
Mi nakupenda sana
Nakupendaa xnaa mremboo
Shaila napenda movie sako sana
Mbona anafanana na rose muhando ni dada ke ama
Asante cheila
Wow nice ❤❤❤
Kubwa la maaduu😂😂 nakupenda sana sheila
Nakupenda Sheila huwa unavaa uhusika sana unaweza sana