MAJIBU YA DKT.MWINYI KWA ACT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 104

  • @alirashid3239
    @alirashid3239 2 місяці тому +5

    Kama huna habari hao sio wana ccm zinduka watu wako kazi yao nikukusanya watu na kuwalipa ikiwemo vikindi binafsi na wanafunzi wasikupe moyo na kama ww unajiamini weka uchaguzi huru.tume huru.matokei hueu utizimae kama hukulia kilio ammbacho maisha yakk huja wahi kulia jaribu ufe.

  • @Mursalin68680
    @Mursalin68680 2 місяці тому +14

    Weka tume huru na ya haki wazanzibar ndio tunayoihitaji

  • @ISSAissa-r3b
    @ISSAissa-r3b 2 місяці тому +4

    Mm binafc sio mwana siasa ila kwangu mm uyu ndo Raisi bora hayawai tokea znz...❤❤❤❤❤❤

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 2 місяці тому +2

      Unaipenda ccm uxjiday xio mwanasiasa

    • @Stillrunlikeaball
      @Stillrunlikeaball 2 місяці тому

      Hicho kiswahili ulicho kiandika tosha wewe Nikichogo kutoka Tanganyika Bara😷

  • @kagetaabdallah3712
    @kagetaabdallah3712 2 місяці тому +2

    Mwinyi tunataka uchaguzi uhuru na haki. Nyinyi wanasiasa pia mjue dunia sio yenu ni ya mwenyezi mungu na kwake mtarejea na yote mnayo yafanya kwa Allah mtakwenda kuyakuta

  • @Grataaaaa
    @Grataaaaa 2 місяці тому +5

    Ccm na mbwa nachaguwa mbwa

  • @نوفل-س5ر
    @نوفل-س5ر 2 місяці тому +12

    Muhimu tume Huru ya uchaguzi,

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 2 місяці тому +8

    Tumepiga hatua kweli maana mapembe kilo 2400 saiv Njaa imeeka nanga kwenye majumba

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 2 місяці тому +1

      Wanaopandisha mapembe bei ni jamaa zako hao

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 2 місяці тому

      Jamaa yangu yupi mim nina jamaa dhalim ccm?Allah aninusuru

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 2 місяці тому +10

    Tunataka uchaguzi wa huru na haki

  • @dm_hulsdv86
    @dm_hulsdv86 2 місяці тому +1

    Ahsante Mr. President
    Tumekuitikia

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 місяці тому +1

    vile vile mara nyingi wanaopiga kura huwa ni wengi kuliko walioandikishwa

  • @MachanoMohdmachano-mo6xe
    @MachanoMohdmachano-mo6xe 2 місяці тому +3

    Ba Mwinyi hanaga sera wazanzibar unawakera 2025 ukishinda sawa ukishindwa usije kutumia mabavu tume huru tuu😂

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours 2 місяці тому +1

    Tunaomba kipindi hiki cha uchaguzi hawo wasio Wazanzibar muwasiyopishe kuja Zanzibar mueaache waje wapige kura zao huko huko Tanganyika mikoani mwao.

  • @MasoudKhamis-b1v
    @MasoudKhamis-b1v 2 місяці тому +3

    Mbona hatuoni watu

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 місяці тому +4

    Hapo umeteleza kaka mwinyi unyesha mkutano mmoja tu act wametukana halafu na wewe useme act walete mikutano mlotukana na kuchochea fujo ,mkutano wenu mmoja jimbo la kwa hani uchaguzi mdogo na mkutano wa pili amani na wewe ulikua mgeni rasmi naomba rejea hiyo mikutano halafu utamjua nani anaharibu amani ya nchi naomba tu uwe mkweli kwani mikutano ipo wazi na kula mmoja anaoona ogopa technology technology

  • @KhanifaSaid
    @KhanifaSaid 2 місяці тому +3

    Nyie munaosema jussa hajaoa sio mambo binafsi wachen unafik wacheni kujisahau

  • @IsmailMadiana
    @IsmailMadiana 28 днів тому

    Hongera docta mwinyi

  • @sule17942
    @sule17942 2 місяці тому +1

    Tushawazaoe

  • @SaidHamad-s4j
    @SaidHamad-s4j 2 місяці тому +1

    Mm nakuomba nikuulize Muheshimiwa Hussein.. Kwani CCM ilishawhi kushinda kwa kura? Au ndio funika kombe mwanaharamu apite?

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 2 місяці тому +2

    Jiaribu kuweka uchaguzi huru tuone

  • @AbdulSuleiman-w2m
    @AbdulSuleiman-w2m 2 місяці тому +2

    haijui pemba kamuulize mrema

  • @salyali7807
    @salyali7807 2 місяці тому +8

    Kijasho kinamtoka kwa kusema uongo .. usanii mtupu ... majimbo mawili tu roho imekutoka ...

  • @fahmysaid-zw4np
    @fahmysaid-zw4np 2 місяці тому +6

    hhhhh muondowe faina na uchaguzi wa siku mbili si mna watu wengi nyie

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 місяці тому +2

    Dr. Hussein lakini hakuna Waalim bora sana wa Lugha ya Kiswahili na Kingereza . Na Wanafunzi walopasi vizuri form 6 wapatie Scholarships wakamilishe ndoto zao na kujenga Nchi yao kwenye mustakbal.

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 2 місяці тому +1

    Karafuu bado bei ndogo mnauza kilo Moja Dola 850 Sasa kwanini mwananchi asipewe kilo laki Moja hiyo elfu 15000 ni ndogo sana

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 2 місяці тому +3

    Mungu ayapange mambo mnoyataka yamalizike kwa salama bila ya dhulma. Dr. Hussein yote hayo maneno unayo yasema Mungu ajaaliye salama na akupe umri mambo yasije yakabadilika…. Lakini ile harusi haikuwa kubwa hivyo Kama maharusi ya Ma Raisi😊 watu wanapenda kusema tuu.

  • @AhmedShaame-f1d
    @AhmedShaame-f1d 2 місяці тому +1

    Hongere mh Dr mwiny

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m 2 місяці тому +2

    Pemba hamna Jimbo t moj nynyi fanyen mikutano ya nje bc ccm wanaisabik nyi mtavotuibia malipo kw mungu

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 2 місяці тому +2

    Shida ya nchi hii sio maneno nyinyi CCM tokea uhuru miaka 60 sasa maneno ni hayo hyo,,watu wanahitaji vitendo,,tume huru na chaguzi za haki na uwazi,,anaekaa madarakani awe amechaguliwa sio kuibia wenziwe,,ndio maendeleo yaanzie hapo

  • @Bobobobo-jr9zr
    @Bobobobo-jr9zr 2 місяці тому +2

    hongera sana mh umefanya makubwa ambaya katka nchii hatujapata kuyaona

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 2 місяці тому +1

      Kweli kafanya mambo mengi ila kwenye kuzulumu nafsi za watu na kufanya maisha kuw magumu zaid

  • @ISSAissa-r3b
    @ISSAissa-r3b 2 місяці тому +1

    Tubadilike znz maendeleo hayana chama!!! Kutembea insaidia sio kila siku shamba na mjini TU... Tutembeeeee

    • @Grataaaaa
      @Grataaaaa 2 місяці тому +1

      Watembeee wapi

  • @AmanimbiuMgambo
    @AmanimbiuMgambo 2 місяці тому

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 2 місяці тому +5

    Kwani aloifunga ni nani au Pemba ilikua ikiongozwa na Kenya??

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours 2 місяці тому

    Na muache kuwapiga wapizani usiku majumbani mwao mmoja mmoja. Mutakwrnda kuwajibishwa vibaya kesho mbele ya Allah. Leo tuko duniani na kesho tunakufa. Akhera Kuna masuali mazuri ba makubwa.

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 2 місяці тому +5

    Tuhubiri amani tu bila ya haki? Haki huihubiri unahubiri amani

  • @fatimasaid9469
    @fatimasaid9469 2 місяці тому +1

    I love so much Dr mwinyi Allah akupe umbri mrefu ukimaliza znz tunakupa uraisi bara inshallah

  • @omaribrahim1087
    @omaribrahim1087 2 місяці тому +2

    Wote ni wavamizi

  • @saidsalim453
    @saidsalim453 2 місяці тому +1

    Kwa matazamo wangu ulimwengu hautoshangaa usgindi wa ccm zanzibar, kwa sababu 2016 ccm ilishind zaidi ya asilimia 90 na2020 ccm ilshinda zaidi ya asilimia 80, kwa matokeo hayo.........

  • @matukiotvonline6366
    @matukiotvonline6366 2 місяці тому +1

    Wekeni tume huruu

  • @AbdallahJuma-wb8lq
    @AbdallahJuma-wb8lq 2 місяці тому +1

    Sio,kukandiwa,hatakiwi,znz,naaende,mkuranga,akalime

  • @BakarAliy
    @BakarAliy 2 місяці тому +1

    Kazi uongo tu kijasho kinakuttoka

  • @abdulbastadam7985
    @abdulbastadam7985 2 місяці тому +1

    2024 karne ya 21 tunajigamba na Skuli za ghorofaa 🤣🤣😂

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 2 місяці тому

    Kura zako zote ni asilimia 20 Zanzibar nzima

  • @muslihpandu6
    @muslihpandu6 2 місяці тому +2

    Ni upuuz tu mlonao ccm na ujinga wenuu

  • @hafidhhemed1514
    @hafidhhemed1514 2 місяці тому +3

    Suala la mamlaka kamili Zanzibar sio muhimu?

    • @SuleimanMussa-x5i
      @SuleimanMussa-x5i 2 місяці тому +1

      Umuhimu ni nini we mtangnyika mbwa

    • @hafidhhemed1514
      @hafidhhemed1514 2 місяці тому +1

      @@SuleimanMussa-x5i acha mihemko, , hivi umeishia la ngapi wewe? naweza kukutukana pia.. Mimi hapo nimewauliza swali, em rudia tena comment yangu

    • @nassorseif7907
      @nassorseif7907 2 місяці тому +1

      @@hafidhhemed1514 Msamehe hajaona question make

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 2 місяці тому +1

    Bila haki tambua hakuna amani ulimwengu mzima bila haki amani hakuna itakua nyimbo tu ya mdomoni hiyo

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 2 місяці тому +1

    Unajisifu kushinda uchaguzi wakati tume unaichagua wewe mwenyewe kama ni sheria mbona mambo munayoyataka munayafanyia miswada ya sheria kubadilisha

  • @mattarmattar3026
    @mattarmattar3026 2 місяці тому +2

    Mbona unaongea vibaya unaagiza watu wa upande wako tu na si wazanzibari wote wanaostahiki kama vile wavyotowa haki wapinzani ktk mazungumzo
    Inaonyesha umbo landani ktk nia zako si salama
    ASEme kuwa ifikapo wakati wa kupiga kura wazanzibari wote wanaostahiki kupiga kura wawe wamepata haki zao za kupigia kura na sio Kwa watu wetu tu
    Hatutokuelewa wewe ni mkuru lazima uwe mfano ktk usahihi
    Au.... Ndio vile?

  • @aliissa123
    @aliissa123 Місяць тому

    Sasa kama unahitaji yote hayo watu wote waandikishwee

  • @saidal-hind5338
    @saidal-hind5338 2 місяці тому

    Weka tume huru tumekuchoka maisha yamezidi kuwa magumu

  • @Ahmarhassan-lk3ms
    @Ahmarhassan-lk3ms 2 місяці тому

    😂😂😂😂😮😮😮

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 2 місяці тому

    Ccm ni chama kubwa inauwezo na wapiga kura zanzibibar sio wengi wawezesheni mtashinda kwa,kishindo

  • @makamekhalfan5968
    @makamekhalfan5968 2 місяці тому +5

    ww km unajiamin weka uchaguz wa hur na salam na pia wach majigambo ww unajip tamaa bc weka tum hur tuone

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 2 місяці тому

    Wasiokua wenu hawana haki yakupata haki yakupata zao

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 2 місяці тому

    Wapeni motisha bure bure haiendi wapeni motisha sio dhambi mkiwapa motisha

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 2 місяці тому +3

    Mjomba Mwinyi hukuhitajiki kukupigia kura wewe kaa Tu utungarishie Zanzibar mana hakuna atakae fanya kama wewe.

  • @Abs-tz8dl
    @Abs-tz8dl Місяць тому

    Duh haha watu mpaka damu imagikwe

  • @AbdulMajidi-i9m
    @AbdulMajidi-i9m 2 місяці тому +1

    Hao mbinu zao wakija kusindwa kw kura waje waseme uchaguz imeharbik ufutwe waisabu wanachama wenye kad za ccm walowaandikish kwenye madaftar hiz ndio mbinu zao mara hii man hawajawah kushinda na Pemba ndio kabisa hakun ccm wanaisabik

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 2 місяці тому +1

    Sirohombaya tunadai uru wa wazanzibari wanatwita wakaazi mkaazi ni mkimbizi ss raiya wazanziba mtanganyika yy ndomkaazi

  • @hassanbakar
    @hassanbakar 2 місяці тому

    Na haki pia itendeke sio amani tu

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 2 місяці тому +2

    Kwa hyo palikuwa vitu haviko sawa jussa alikuwa sahihi? Hahahh

  • @ZanzibarTrltrusttours
    @ZanzibarTrltrusttours 2 місяці тому

    Kumbe waliokuwa WA Chama cgamo tu Cha CCM ndo wajewa wajandikushe Katika daftari la kura 2025 waliokuwa c CCM hawaandikikishi Wala hawapigi kura.

  • @RayaHamad-f9o
    @RayaHamad-f9o 2 місяці тому

    HoNgera raic kwa maneno mazur ila Ukiweka tume huru utajutia mkuu

  • @nassorseif7907
    @nassorseif7907 2 місяці тому +3

    Munaandikisha mpk watoto wadogo waliokua hawajafikia umri wa kujiandikisha

  • @KhanifaSaid
    @KhanifaSaid 2 місяці тому +1

    Kura yako tu inatosha acha kucheza na akili za watu

  • @mahfoudhally2879
    @mahfoudhally2879 2 місяці тому

    Shekhe shule za gorofa sio ndoano ya kuwapata wazanzibari mji mkongwe una shule za gorofa miaka 300 iliyopita, kwenu mkuranga ndo jambo jipya wewe umeziuza kwa wawekezaji . Wazanzibari hatuhitaji majengo tunahitaji uhuru wetu dhidi ya tanganyika hata wakoloni walijenga lakini tulidai uhuru

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge 2 місяці тому +1

    Tunataka mamlaka ya nchi ya zanziba yawe zanziba sitanzania mana ss tumeungana na tanganyika sio tanzania tunataka tanganyika tuiyone sio kujificha kwenyekivuli chatanzania kilanchi uchukue mamboyake tubaki na muungano wa mkataba na si wakulazimishana nchi moja kuizulumu nchi nyengine sio tunachotaka kufanya lolote tuwafate tanganyika walojidicha kwenye kivuli cha muungano hiinchi yatanganyika tunataka tuiyone

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 2 місяці тому

    Kwenye soko la mwani umuongo unaijua bei ya mwani kwa kilo

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 2 місяці тому

    hawalalamiki ila wanasema ukweli.

  • @TAliban-gs8il
    @TAliban-gs8il 2 місяці тому

    Me nauliza tu kura itakua sku ngapi mara hii

  • @GrceLaurentkaboigora
    @GrceLaurentkaboigora 2 місяці тому +1

    Kaka umeanza mazoezi ya mlo mmoja?? Janabi demo???

  • @suleimanyussuf6679
    @suleimanyussuf6679 2 місяці тому

    Mwinyi mtu mzima haitwi muongo ila weye kunzidi uongo

  • @walidmgonja3644
    @walidmgonja3644 2 місяці тому

    Baada ya kifo cha Maalim Seif Sharif Hamadi na ushindi wa Dr.Hussein Ali Hassan Mwinyi Zanzibar hakuna tena upinzani

  • @KhadijaHussein-qn2ge
    @KhadijaHussein-qn2ge Місяць тому

    Ccm hajashinda chaguzi hata moja na hamtoshinda mtabaki hivyo hivyo kuiba na kutumia ubavu hata firauni alikua hivyo hivyo mutaondoka kwa uwezo wa mungu kila hatua dua mpaka tupate uhuru wetu tuondoshejina latanzania iwe zanziba yenye kupendeza iwe huru jina liwe zanziba lisiwe tanzania kamawalivyofanya wakoloni tanganyika kupitia nyerere ccm

  • @ibrahimame9805
    @ibrahimame9805 2 місяці тому +2

    Weka miguu ya wtu huru

  • @harithwhite589
    @harithwhite589 2 місяці тому

    Nimegundua wapinzani wengi wanamfatilia sana huyu bwana ,utaona tu comment zao za kukandia na roho mbaya

    • @NassoroHaji-i8k
      @NassoroHaji-i8k 2 місяці тому

      Ww huna akili eti

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому

      Mhhhh

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 2 місяці тому

      Hicho kitu cha kawaida hata CCM pia ni lazima wasikilize upande wa pili.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Hana hoja wala jipya!na kama na wewe Una akili usingalisema hivyo!

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 місяці тому

      Watu wa kushinda Kwa Kyra halali hamuna labda matusi ya Nadir

  • @alibulushi-d9j
    @alibulushi-d9j 2 місяці тому

    Tatizo njaa vitu ni bei mpumbavu wewe