Unatafuta cha kulaumu yanga bro ! Namna bajeti inapotishwa yanga inakuhusu nini ? Ulitaka mkutano mkuu ukae kichambua kifungu baada ya kifungu, huo mkutano ungeisha lini. Yanga tuna uongozi unaoelewa, unaoaminika wenye weledi na unaowajibika ipasavyo.Usitulinganishe na hao ambao kuanzia na structure ( mfumo wa utendaji) ni majanga. Maono ya mwekezaji ni janga. Mo ana maono ya biashara zaidi, kuliko mpira. Na huwezi kuanza na maono ya biashara ukaifikisha timu mbali. Lazima uanze na maono ya kujenga mpira kwanza, maokoto yatakuja baadae.Simba walifanya mabadiliko mchongo, ndiyo maana wadhamini waliwekwa pembeni. Yanga hatukucheza kwenye mabadiliko, Miaka mitano simba imeishia robo, Yanga miaka miwili, fainali confederation, na robo ya championship. Jembe una stress, ushauri wa bure njoo yanga kwa mkopo yakirudi kuwa shwari simba utarudi ! Au unasemaje ??
Sasa mambo ya budget ya Yanga ina kuhusu nini? Kuna ajabu gani kwa matumizi kuzidi budget sio jambo geni kwa taasisi yoyote zile mradi kuna maelezo ya kujitosheleza kwa nini imekuwa hivyo. Ndio maana taasisi hata serikali hukopa kujiweka sawa.
Kwani wakati katiba inatengenezwa Bwana Salehe ulikuwa umesafiri pia wewe sio ndio Mwandishi huwa unaitwa na Mo ofisi mnaongea na kufanyiana mahojiano leo vipi? Humshauri
Hili dunduka nalo lina shida zake ----- Simba ilifanikiwa sana mpaka timu nyingine zinaiga ---- Simba ilifanikiwa nini --- ilifanikiwa kipi kigeni,kipya cha kuigwa na timu nyingine " udunduka bhana,kazi kweli kweli "
MADUNDUKA MNAMUONA KIBARAKA WA MO,,,. HAJUI ASEMALO HUYU ANAITAKA NAFASI YA TRAI AGEN KAENI CHONJO NA HUYU KIBARAKA ASIEJUA MAANA YA ,,,,
Kwani yeye sio mtu ,wewe ndo kibaraka wa kwanza
Hahahahaaaa wanaiga nini ambacho simba Amefanya
Transfomeon hawana
Au propaganda
Waandishi mmesoma wapi baaresa anunue bila wanasimba kukubali?
Kwani huyu yuko upande gani, anamsemea nani
Unatafuta cha kulaumu yanga bro ! Namna bajeti inapotishwa yanga inakuhusu nini ? Ulitaka mkutano mkuu ukae kichambua kifungu baada ya kifungu, huo mkutano ungeisha lini. Yanga tuna uongozi unaoelewa, unaoaminika wenye weledi na unaowajibika ipasavyo.Usitulinganishe na hao ambao kuanzia na structure ( mfumo wa utendaji) ni majanga. Maono ya mwekezaji ni janga. Mo ana maono ya biashara zaidi, kuliko mpira. Na huwezi kuanza na maono ya biashara ukaifikisha timu mbali. Lazima uanze na maono ya kujenga mpira kwanza, maokoto yatakuja baadae.Simba walifanya mabadiliko mchongo, ndiyo maana wadhamini waliwekwa pembeni. Yanga hatukucheza kwenye mabadiliko, Miaka mitano simba imeishia robo, Yanga miaka miwili, fainali confederation, na robo ya championship. Jembe una stress, ushauri wa bure njoo yanga kwa mkopo yakirudi kuwa shwari simba utarudi ! Au unasemaje ??
Kumbe salehe nawewe sio Niko pamoja nawewe kuferi usajili Simba lakini suala la Dejan kavunja mkataba mwenyewe acha uchoko
Sasa mambo ya budget ya Yanga ina kuhusu nini?
Kuna ajabu gani kwa matumizi kuzidi budget sio jambo geni kwa taasisi yoyote zile mradi kuna maelezo ya kujitosheleza kwa nini imekuwa hivyo.
Ndio maana taasisi hata serikali hukopa kujiweka sawa.
Huna jipya wewe
Itisheni mkutano na ubwabwa uwepo bila hivyo hatuji.
Kwani wakati katiba inatengenezwa Bwana Salehe ulikuwa umesafiri pia wewe sio ndio Mwandishi huwa unaitwa na Mo ofisi mnaongea na kufanyiana mahojiano leo vipi? Humshauri
Leo tuna utopolo tu
Salehe nilikutegemea upo na akili na muelewa kumbe nawewe ni wale wale sasa aliekwambia simba inauzwa ninani?
Huna mzee kojoa ukalale shida yk majungu nimengi sana kwenye kila jambo lk
Bajeti ya yanga haimuhusu na wala GSM hajawahi lalamika kama Mo.
Bro ! Tatizo ni viongozi walinda kiti sio kuisimamia simba wapi kwa masilaitu.
SS kama yanga familiya tunataka moo na bakresa waungane nabado GSM awaiwezi nipo paleeeee
Pumbavu
Kuna kitu kinaitwa variation huyu ni fala
Simba ajafeli,ni ubora wa Wanga na Azam,kama ni mafanikio simba imefika robo kilabu bingwa
Wanga
Dejan alivunja mkataba mwenyewe
😅😅😅😅
Mangungu atuachie timu yetu
Salehe jembe nakukubali sana
Hauna jipya wewe
Meno mengi huyo!!!
Nakubalii
Hili dunduka nalo lina shida zake ----- Simba ilifanikiwa sana mpaka timu nyingine zinaiga ---- Simba ilifanikiwa nini --- ilifanikiwa kipi kigeni,kipya cha kuigwa na timu nyingine " udunduka bhana,kazi kweli kweli "
Huoni au yanga miaka mingap imefika robot final champion league
Wew pumbu
Shida ya kusikiliza kwa mdomo nakuongea kwa masikio mwisho WA siku ni matusi tu... Hovyo Sana
ww unapaswa upelekwe milembe yawezekana aupo sawa kiakiri
Acha wivu