Nakuru: Familia moja yaachwa katika njia panda baada ya mwanao kufariki Saudi Arabia

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 вер 2022
  • Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
    Website: ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya

КОМЕНТАРІ • 34

  • @loisekamau5587
    @loisekamau5587 Рік тому +8

    Am also in Saudi Arabia Mungu atukumbuke

  • @vivianwanini9169
    @vivianwanini9169 Рік тому +1

    Karanja na watoto wako ny family ya Njeri amani na nguvu kutoka kwa Mungu na ziwatoshe na Mungu afungue njia zote 🙏

  • @abdullahim.de.g.h7228
    @abdullahim.de.g.h7228 Рік тому +5

    Rais Mteule Mhe. William Kipchirchir Samoei arap Ruto sema jambo.

  • @maryanxade3852
    @maryanxade3852 Рік тому +3

    Kwani ni lazima warned huko aaaaah Mimi nilikataaa na Niko Kwa hii Kenya haya kama maisha ningumu siwezi

  • @serahnthamba2097
    @serahnthamba2097 Рік тому +2

    Am in Saudi Arabia mungu tuongoxe

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 Рік тому +2

    May God comfort those children

  • @joshuamusyoka6828
    @joshuamusyoka6828 Рік тому +2

    please wasichanà wetu msiende Saudi arabia

  • @chepindichepindi3328
    @chepindichepindi3328 Рік тому +3

    Hakuna kuanguka wanashuwa na Hawa waarabu.the Agents from kenya needs to held responsible and kenyans need to stop going to Arabia period. It's sad.

  • @rosekadzokadzo1401
    @rosekadzokadzo1401 Рік тому +1

    Condolence to the family

  • @eunicesang1704
    @eunicesang1704 Рік тому

    Aki mungu yupo nasi pole xna kwa familia

  • @helensusana2026
    @helensusana2026 Рік тому +2

    I feel their pain till now we ask ourselves as a family what happened to our child, in Dubai 2013 was sooo a sad Year. Keep on Resting in Peace our child

  • @beirut9750
    @beirut9750 Рік тому +1

    Kwani Sharia law saudia Arabia ni ya foreigners because wauwaji hawahukumiwi?

  • @beatriceminoo4313
    @beatriceminoo4313 Рік тому

    Mr President address this issue

  • @jaymwinyi6957
    @jaymwinyi6957 Рік тому

    Sasa yeye amekataa msikizo WA bwanake daah so sad 😭 poleni Sana

  • @catherinesifa1333
    @catherinesifa1333 Рік тому

    Pole kwa familia na marafiki🙏
    I wonder why the government has never acted upon such cases in favour of it's citizens 😏🙄🥱

  • @georgengugi5197
    @georgengugi5197 Рік тому

    Saudia the real jehanum...

  • @aaht990
    @aaht990 Рік тому

    Kerry Gebs
    Ile mashaibu iko humu saidia siwezi elezea...
    Hapa utanyongwa waseme ulijinyonga
    Utachapwa ugongwe penye utamia sana ukufe
    Yaani kama umekataa kazi urundi kenye kwa hao waraabu n heri urundi ukiwa maiti
    God protect us from this country
    Rip the young grl

  • @mikemunene2870
    @mikemunene2870 Рік тому

    Deep condolences to them.
    Did you know, you can give a name to someone who's lost
    His wife
    Her husband
    Their parent
    But never has there existed a name for someone who's lost their child. Poleni sana familia ya Njeri

    • @nelnjeri4589
      @nelnjeri4589 Рік тому

      Dont be surprised people are still going there. People are making money selling this girls there. The New Slave trade. Someone Please Stop it by Now!!!!

  • @joshuamusyoka6828
    @joshuamusyoka6828 Рік тому +1

    mnashida kuambiwa msiende Saudi Arabia,,kufeni

    • @beatricemacharia4599
      @beatricemacharia4599 Рік тому

      😭😭😭😭😭😭

    • @zashalynsharryn478
      @zashalynsharryn478 Рік тому +1

      Si kupenda kwao responsibilities needed and nowhere to run to,so don't judge life hard sometimes.....we're in that shoe so don't hurt

  • @Christinessecretwords
    @Christinessecretwords Рік тому

    When Will goverment take care of This issue and when Will this Girl learn

    • @timothymwaura7430
      @timothymwaura7430 Рік тому +1

      This people do not involve the government when they are leaving only when they get into sheet that's the only time they remember the government

  • @shufaaesala3511
    @shufaaesala3511 Рік тому +1

    Roga hao waraabu

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Рік тому +2

      Uuuuuuui hao ndio wachawi,wakubwa Zile dawa ziko huku wacha tu

    • @shufaaesala3511
      @shufaaesala3511 Рік тому

      @@user-cg3vf2bl6b najua hao watu pia wanajua uchawi

    • @user-cg3vf2bl6b
      @user-cg3vf2bl6b Рік тому

      @@shufaaesala3511 Sana my cousin alimaliza contract yake akaondoka bt wakamuomba arudi tena ,so yy sijui alifika Kenya akabadili akili,na alilipiwa tickets za kwenda kurudi,na hakurudi , plus walimuhaga vizuri Sana , weeéee after two months kuisha ndio alifaa arudi ,sasa hakurudi ,I tell you ni msik mbaya ,na hakuna ugonjwa wowote unapatikana ni mungu tu