Imenibidi nije kwenye hii comment baada ya kufika sehemu ya 20 anavyoteswa na Alvin, memories zinatesa sana. Alimfanya ampende sana halafu amekuja kumtesa.
Tutafika mwisho.wa.simulizi kama tumechoka sana.😂😂😂hapa kisasi cha linnah kwa lissa na Alvin bado hakijaanza .duuh huu ni utamu usio kifani.big ❤❤❤ tu Anko j simulizi family.
Nazidi kumpenda alvin japokua Lissa hana imani nae kutokana na tabia zake za mwanzo. Ila tangu mwanzo hawa watu wanapenda. Na ninawaombea Waoane waishi kwa amani nawapenda sana hawa watu 👌 Anko jay kazi nzur sana pamoja na mwandishi wako Mungu azid kuwatunza💐
Mwandshi ni msomaji mzuri wa novels, na mtazamaji mzuri sana wa series,ametukusanyia idea nzuri sana tunaenjoy. Hata hivyo ana akili sana anajua kupangilia matukio,pia ana exposure kubwa,ana uelewa wa vitu vingi.
Lisa ukimuacha Alvin 😢😢😢saiv bra ata nisiskilze tna hii smuliz yte ayo unayo fanyiw bda unawsws tu hem rdisha moyo wko kwko upte kula raha za dunia una maadui weng ww
Ankojay umemaliza vizuri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 napenda sana hiyo part ya minongono jmn umejua kunifurahisha aki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwanaume kama Alvin katika ulimwengu wa kawaida hayupo, eti mwanaume mzuri sana,mwenye power,mwenye hela,haendekezi ngono,ana upendo wa kweli ni ndoto. Vile vile mwanamke kama Lisa hayupo,mwenye akili,mzuri,mpishi mzuri,bikira at 20's, jasiri na mpambanaji
Aaaa lisa ananivunja moyo kuwa hampi sapota Alvin anmyima raha habadiliki hachunguzi yy kila mwanamme anamfata akimpa mualiko.naombe waowane hawa watu.tuwakomeshe wambea.
😂😂😂 Humu ndani duuh maana mlimmis sanaaaaaa LISA & ALVIN 😂😂maana lichungulia mpaka 😂😂 HAYA TIMU LISA LIKE 10 ILI TUJUANE 🔥🔥✌️✌️✌️
😂nikama Mimi 😅😂🤣💐
Wew Anko njey mm paka mwalabu kana sikiliza kutoka oman
@@girukwishakaclaudine5374 🤣🤣🤣🤣tupo wengi jamaniii 🤣🤣🤣
@@JozeFeeen waarabu huyo jamaniii 🤣🤣🤣🇴🇲🇴🇲🇴🇲wi-fi tena ya kwake🤣🤣🤣
Kama watu wanavunjwa mikono ni noma SANA Lisa kipenzi cha Alvin kweli ALVIN kapenda kweli kweli 😢
Na mm wakwanza leo team Alvilisa naombeni like zenu 😢❤❤❤❤
Njoon huku nyie, timu Alvlisa njooni huku jamani uuuuwiiii ❤❤❤❤❤❤
Pole sana Lisa Kwa msukosuko,ila unamwonea kipenzi chako Alvin,Mimi napenda Bora waowane Wawa komeshe hawo chawa.🎉🎉🎉🎉🎉
My goodness 6 minutes ,na watu wamesha jazana jamani taratibu tusikanyagane ❤❤❤❤❤😂😂 gonga like basi
😂😂😂😂😂
Watu walikua hapa tangu 3 seconds 😂😂😂😂😂😂
Hujiw kama tunakaga kwakusubiri😅
@@nurianaramadhan watu warikuwa wanahamu na simulizi yenyewe ndo inaanza kunoga kama vile inaanza vile😅😅😅😅
@@umi-je4qmamakweri turikuwa tunayi miss sana😅😅😅
Hata Burundi tunapenda Alvin amuoe Lissa Jamani
Yan nimechelia kwakweli 🤭 lakini siosana Acha ni 🪑🎧 family Lisa wetu like zen jameni alafu tuinjoi sana AnkoJay ahsante ❤❤
Nimekua wamwisho leo😢😢😢 nipeni likes bax atayakufuta machozi
Pongezi Bawana Alivilisa Kwa ujasiri wako Na kusimama na lisa kila wakati nimejifunza kitu Kwa hii simulizi ❤❤ from Kenya Nairobi ❤❤❤
Safi Sana ALVIN LISA PONGEZI YENU, 🌹🌹❤️❤️❤️
Timu alvilisa♥️♥️🔥
Yaani Lisa ukidhubutu kumuach Alvin kimaro ntakuchukia hadi kuzimu. Shukran Mr jay kwa muendelezo wa simulizi tamu ❤❤❤
Sio ww tu hata mm nitamchukia hata nikikutan nae njian ntamzibua
Imenibidi nije kwenye hii comment baada ya kufika sehemu ya 20 anavyoteswa na Alvin, memories zinatesa sana. Alimfanya ampende sana halafu amekuja kumtesa.
Tutafika mwisho.wa.simulizi kama tumechoka sana.😂😂😂hapa kisasi cha linnah kwa lissa na Alvin bado hakijaanza .duuh huu ni utamu usio kifani.big ❤❤❤ tu Anko j simulizi family.
Lina hawezani nao atakuja kuishiya gerezani, mwanzo aritorewa meno akisubutu tena kufatilia lisa atajijuwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Alvilisa basi nawapenda muwowane mulete part 15
Nazidi kumpenda alvin japokua Lissa hana imani nae kutokana na tabia zake za mwanzo. Ila tangu mwanzo hawa watu wanapenda. Na ninawaombea Waoane waishi kwa amani nawapenda sana hawa watu 👌 Anko jay kazi nzur sana pamoja na mwandishi wako Mungu azid kuwatunza💐
Ankojay sehemu ya 15 tunaomba usicheleweshe❤ kwani inakuwa roho juu❤❤🎉❤
Na Burundi tunataka Alvin amuowe Lisa.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Lastborn ndo naingia kuzila tuu kidogo kurud nakuta mzigo tayar😂😂😂
Jamani jamani. Lisa. Hayakaribu tukusikize🙏😘😘❤,,,
Anko jay tunashukuru kwa mzigo Kaka, Allah abariki kazi Yako from Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Haloo hatulali huku asante anko kwa simulizi tamu❤❤
Story nzuri sana lisa na alvn
Ndo naingia sasa, 😂 lakini sijachelewa saana🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂weee!huyo mwanamke atakaye kuhonga ukaacha kutusimulia tutampiga ngumi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 kweri kabisa ajipange eti atahonga hata simulizi zote😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 wuwiii leo kanivunja mbavu zangu 😂😂😂😂
@@avelinabaluhya2804 Anko anataka kutuacha kama mayatima kisa kuhongwa😄😄😄😄😄😄😄
Chezea kupendwa wwe
Ajipage Sana naaonyeshe msimao km Alivlissa hapa tutapiga salut kwake😂😂😂😂😂
❤twende kazi anko🎉🎉
Wow wakwanza Leo gonga like kama zote
🎉🎉❤tumpe mauwa yake anko wetu
Natamani kumsikia Alvin na lisa kwenye simulizi nyengine baada ya hii❤
Kwel kabsaa
Couple imemechi hii kama kweli nawaona
alvinlisa na Lisa mm napenda wawepamojaa mau kwa Anko jay🎉🎉🎉❤❤❤😅😅😅😅
Sijachelewa jamn like zenu tafadhali Tim Lisa na alvin😂😂😂❤🎉🎉
Simulizi hii nilikuwa nimeingojeo Kwa hamu sana❤
Mambo mazuri sana Anko Jay wetu jaman,tunakupenda sana ujue
Oyooo..familia ya Ankojay tukutane harusini kwa alvlisa ni raha si raha we have we have not...📢📢📢📢📯📯📯
Tujiandae na sare na nderemo,za woyoooo ,woyoooo,woooyoooooo
Jamani watu awalali 😂❤❤❤❤🎉🎉🎉
nawapenda sana Alvilisa mumetufulaisha jaman nakupenda lisa kwakutufulaisha
Wakwanza leo Zanzibar oyeeeeee weka kopa ❤❤❤
Oyeee
Oyeeee❤❤❤❤❤ zenjj
❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
❤️❤️❤️❤️
Oyeeee
Woooohh safi kabesa ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nilikuwa nahisubiri kwahamu sana Anko Jay wetu 🙏🙏🇨🇵🇨🇵♥️♥️
🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ nahamu sana kuona maadui wakiduaa maana wawili hawa hawaeleweki😂🎉🎉🎉🎉🎉
Naisubiria hiyo fursa kwa shauku kuu
Mh watu awalali umu duh Asante anko kwa muendelezo ❤🎉🎉
🎉🎉🎉Asante Anko wetu twende naloo...much love from Kenya
Ila Lisa unapenda sana kujizima data yani kila. Mwenzie anavyo jitahidi yeye ana yatibuwa hiii simulizi ikiisha nitakuwa na miss sana vibweka vyao😊
Lisa hana shukrani na wala haoni mazuri ya Alvin sijui anajikuta nani kama vip liende kwa kelvin ili akome
Lisa kuna Mda anakela Ila ukweli sipendi waachane alvin
Miki kuna mda ana nikera mpaka napanda hasira
Sana
Kweli kabisa
Oyoooooo hatimae nimekuwa wakwanza maua yen😂😂
Nimekuwa wamwisho jamani Leo ndio nasikiloza Ahasante sana anko jay 🇴🇲🇴🇲🇴🇲❤️🥰 mambo mengi muda mfupi🙏
Nilikua nasubir kwa hamu Asante ankojay ❤
Mwandshi ni msomaji mzuri wa novels, na mtazamaji mzuri sana wa series,ametukusanyia idea nzuri sana tunaenjoy. Hata hivyo ana akili sana anajua kupangilia matukio,pia ana exposure kubwa,ana uelewa wa vitu vingi.
Asante
@@jombawajo bro utafika mbali sana.Pambana utengeneze series ya hii stori,nakuhakikishia u will make it.
Hongera zao,mwandishi na msimuliaji wetu matata sana
@@RahelIbrahim-id2li msimulizi nae ana sauti ya dhahabu.
Better analysis
Yani family yangu yote tupo makini na story ank j unajua🙌🏻
Jamani acha tuone mana nihuzuni Jamani lisa mungu akuodole kila zito
Mambo mazur Sasa❤❤🎉🎉
Mimii huyuu lissa ananikeraa..... Yaan badala ya kumskiliza Alvin anajifnyaa ana. Kiburiii😢 mpk nakerekaa
7mins nimewahi leo ❤❤❤❤❤
Asante anko jay kwa utamu unaotupatia wkend njema tunakupenda sana ❤❤❤🎉🎉
mungu akubariki sana kipenzi chetu❤❤
Sana tu
Daaaaaaaa nimewahi jamn Ila watu mko fasta sana jamn😂😂😂
Duuuh hiii simulizi ipo kama move kabisa
Binti lisa anko j umeweza bwana ❤ nimeipenda sana hii simulizi
Much love ❤️ ❤anko Jay kwa mambo yako mazuri mazuri
Mambo mazuri sana jay tunakupena sanaaaa❤❤❤❤
wanasimulizi waanko jay mmehuzunika kama mimi 😭😭😭😭😭lsaaaaaaaa duuu
😢😢😢
Nimachaliwa but tuko pamoja 😂😂asent san Ankojay kwa simulizi tamu sana ❤❤😊😊😊
Jamani team alvilissa najihisi mnyonge njisi lisa sio mtuu wakujiaminiii tena
Ataharibu tena,asitutie ugonjwa wa moyo sie
Ankojay naona kusubria mbaka kesho mbali tim Alivlissa mwenye mahaba yake ya dhati like 10❤❤
Tupo
Lisa ukimuacha Alvin 😢😢😢saiv bra ata nisiskilze tna hii smuliz yte ayo unayo fanyiw bda unawsws tu hem rdisha moyo wko kwko upte kula raha za dunia una maadui weng ww
Kweli hata me
Anaudhi kweli
Mashaallah nice story 👌....really admire yooohhh
Ankojay umemaliza vizuri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 napenda sana hiyo part ya minongono jmn umejua kunifurahisha aki😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Good job Ankojay but Leo umenifurahisha ❤❤❤😂😂😂
Hatimae lisa amekubali kuolewa na Alvin nimefurahi sana jamani hoyeeee
Atakubali sasa,mbona ana dalili za kutoroka?
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mauwa yake Ankojay 🎉🌺🌹💐
Lisa anamuuzi sana Alvin
Duu,😂😂😂😂😂😂😂hii ngoma nzito,ubabe ubabe tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii simulizi na iishe nshachoka kuumiza akili bana khaa yani lisa tu kila siku kuumia
Shonga Lisa kama tunda tu mpka ukila limeiva basi limetoka mbali tu mpka kuliwa 😂😂😂😂😂
Mengine lisa anayataka,mbona sio mwelewa?
Alivlissa ndoa tunayo atuna pole kwa merania jaameni amekosamwana kwa maji yamoto😅😅 pegakerere kwa Alivlissa weeeeeeeeee😜😱😱😱👀👀👀👀👀👀👀👀👀👀👀
Melanie anamashauzi sasa katoswa na Alvin hazarani ngoja tusubili kipi kitajiri huko mbere
Wakwanzaa leooo jamnii🎉🎉like zangu
😂😂😂 Wa mwisho tena guys naomben like 2
Wakwnz leo jamn wadau wa anko jy wetu kipenz ,, ahsanty San kipenz chetu ankoo mahela
Duuh hakika finally umetufikishia mzigo salama wacha moto uzidi kuchoma nyasi za wabaya yaani kamati ya roho mbaya
Jay tuletee part 15 weeeee simulizi ina bamba❤❤❤😂😂
Jamani leo n mimi wa 1 naombeni like zenu hata 5😅😅
Yaan nmekuwa mgonjwa kwasbb ya hii simuliz jamn kla mud na chungulia ty huk khaa hakika umenifanya niwe chiz simuliz za aunkj
Asante sana anko ❤❤❤
Kwa niaba ya team hammaam anko tunaomba utuletee story tamu tamu kipindi cha Ramadan maana wee simchezo hizo siku😢😢 ama vipi team strong 😊
😔Lisa na Alvin upendo wao ume niliza. Hapo mwisho 😅😅😅 w Anko Jay ume niacha hoi 🤸♀️
😂😂😂polee
@@wardashekaoneka1676 ahsante mwaya 😊
Jamani leo nimewahi akaa na mm leo nipewa like zangu kama zote maana nina sku ying nakuwa wa mwisho 😊😊😊😊
Chukua hizo
Na mimi nimewahi pia
Chukuweni like zoteee 100000000000000000
@@fatkisissa531thanks 😂😂😂
Mm je nimechelewa etu
Lisa unataka Alvin akupende vipi mbona aujiamini amesha kutendeya mwema sana alakini lisa anatubowa
Ajifunze kumfaham mpenz wake
Mwanaume kama Alvin katika ulimwengu wa kawaida hayupo, eti mwanaume mzuri sana,mwenye power,mwenye hela,haendekezi ngono,ana upendo wa kweli ni ndoto. Vile vile mwanamke kama Lisa hayupo,mwenye akili,mzuri,mpishi mzuri,bikira at 20's, jasiri na mpambanaji
Wa kutafuta na darubini tena ya viwango vya juu vya uchunguzi
Aaaa lisa ananivunja moyo kuwa hampi sapota Alvin anmyima raha habadiliki hachunguzi yy kila mwanamme anamfata akimpa mualiko.naombe waowane hawa watu.tuwakomeshe wambea.
Basi atoe tarifa kwa mwenz wake kabla ya hatua zake
Sehem yaku nanne namm14 zawad yako ankoj🎉🎉🎉 na jomba wajo🎉🎉🎉🎉🎉
Waooow hii simulizi ni nzur hadi nataman isiishi nzur mno ongera sana Anko J Mungu azidi kukulinda kwajili yetu🥰🥰
❤❤❤Jamani tujuwane ambao bila saut ya anko hatusikiliz
Tupo dada🎉🎉🎉🎉🎉
nimechelewa sanaa 🎉🎉ila sio mbayaa ank jay tunakupenda❤❤
Wawoo Thanks ankojay allah akubariki kazi nzuri ankojay pamoja sana broo
Lisa kusema ukweli unanikwanza sana una shukrani dada😢
Awe na uelewa haya kidogo bas
Mauwa yangu jmn like wa 72 coment wa 69🎉🎉🎉🎉🎉🎉najianzia mwenyewe nitarudi kucoment acha niskilize utam kwanza maana niliisubir kwa ham❤❤❤❤❤
Lisa umekua na roho mbaya sana
Congratulations my kka chukua ❤❤❤❤
Wakwanza Leo nipeni like zangu
Nimewah jmn time lissa tujuane Ata kwa like 5 tuuu
❤wakwanza leo😂😂 mnipe like zangu
Nmewai kuliko wote nishushiwe like zenu tujuane walevi wa simulizi 😂
Much love ❤️ ❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪