jaman xi saw kumshutumu kW maneno MAKALI, HAKUNA MKAMILIFU KAMA MNAWEZA BAC NAYRNU SEMENI USIKUTE KUNA WATU MAFIRAUNI WAMEMSHINDA TITO,muhimu no KUCHUKUA MANENO MAZUR ASEMAYO MABAYA YAACHE HUWEZ KAAA KIMYA ,JAMAN HAKUNA MKAMILIFU NDIO MAANA KILA MMOJA PUA YKE IMELEKEA CHINI
Unajua tito kila siku naongea kuna kitu ndani yake na pengne mungu akamtumia kwel bt tunapuuza coz anachokiongea kila siku ni point kasoro yake ni mazingira anayojiweka and bt ni muhubir mzuri sana
Hata kama hujaacha ukiendelea kusemasema ivo kwamba umeokoka naumeacha iko siku utaacha kabisa kwahiyo endelea kuichukia hali hiyo namungu wa mbinguni atakusaidia
funzo lipo ap na laonekana katka jamii zetu ,malezi yamebaki kW wadada w kaz mama na baba wkpta mudq in mitandaon t, jaman USIPOZBA UFA UTAJENGA UKUTA, ila Tito I'll n funzo sawq lkn n vgumu MTU klpkeq 7bu bado we hujaonyesha kubadilika, pllls baba badlika HUJACHELEWA BADO NAKUOMBEA MUNGU N WAKUSAMEHE PALE T UKITUBU
Aki nimetokwa na machoz Nina Watoto wa kiume mimi Mungu tusaidie mwenye hekima ya kumsikiliza vzry huyu; baba jamani ataelewa msimtukane hakukusudia jamani daaaa roho inauma hapo anavyosema hatujui Watoto wetu wanacheza wapi wamekula Wapi kiukweli ni kweli kabisa mtoto anaenda kucheza hata Mama hujui kaenda kucheza Wapi daaaa
Mmungu akusaidiee na kukuponeshaa ilaa mja akitubuu hutubuu kwa mola wakee nae ni ALLAAH SUBHANNA WATAALA sio kutubu kwa binaadam wenzio kwanii sio watakao kuhukumu umejitahidi kwa kutowa wasia na tahadhari kwa wazazi umeongea ya maana MIEE NAAKUOMBEA DUWAA MMUNGU AKUSWAMEH NA AKUHIDI AKUONGOZEE KATIKA NJIA ILIYO NYOOKA KWELI ULIHARIBIKA KIAKILI KUTOKANA NA ULIYO TENDEWAA MASIKINI ULIHARIBIKA KI SAICOLOGIA ILAA MKIMBILIE MOLA WAKO NDIE MUOKOZI WAKO NA NDIE TABIBU YAANI NDIE DAKTARI WAKO INSHAALLAAH MMUNGU ATAKUSAIDIAA NA ALIE KUSABABISHIAA HAYO YOOTEEE HATAUONA UFALME WA MOLA WAHAPA DUNIANII NA KESHO AAKHERA MALIPO ATAYAONA HAPA HAPA DUNIANI
Leo nineamini kuwa hata saa mbovu kuna muda inasema ukweli
Chizi hapo mtambo ulikuwa umekaa sawa yani kaongea ya maana sana
☺☺☺☺
HALFA HALFA channel hHahhaha
Dah machozi ya huruma yamenitoka! Siwez kukuhukumu zaidi ya kukuombea kaka! May Lord Jesus guide you in a right way
Uwakika
wazazi wenzangu msikilizeni sana huyu baba
Kabisa
Leo umeongea point sana nikweli wazazi tunatabia yakujisahau tujifunze hili
hakuna binadam asiyekua na faida sasa naanza kuona faida ya uwepo wa TITO hatuna haja ya kukupuuzia wakat unaongea maneno yanayoishi ..
Pamoja na usenge wake, ameongea point sana. Wazazi let's watch our kids
Leo umeongea kweli kabisaaa
maskin pole sn,Mungu akuponye
Pole sana Nabii. Tuko pamoja
Kama umemuelewa titto gonga like apa
Mmmmm,,kila alitajaye jina la Yesu na hauache uovu!!!!
kwakua sasa umejitambua simama na Mungu na ahsante kwa ushauri kwa wazazi na walezi
Mwenye asili yake haachi anapumzika tyuu
Ameongea kitu cha maana sana, msimdharau tafadhali.. ijapokua hasomeki lakini
Kondoo huyu jamani haeleweki
MUNGU akuondolee aibu na akusamehe makosa.kisha.wewe mpokee.YESU kama mwokozi wa maisha yako
Emmah Melisa
Allah nilindie kizaz changu
jaman xi saw kumshutumu kW maneno MAKALI, HAKUNA MKAMILIFU KAMA MNAWEZA BAC NAYRNU SEMENI USIKUTE KUNA WATU MAFIRAUNI WAMEMSHINDA TITO,muhimu no KUCHUKUA MANENO MAZUR ASEMAYO MABAYA YAACHE HUWEZ KAAA KIMYA ,JAMAN HAKUNA MKAMILIFU NDIO MAANA KILA MMOJA PUA YKE IMELEKEA CHINI
Kweli nabii leo umekubalika
mwenye masikio na asikie`ayamambo yapo wazazi wawe makini tafadhali
Kama kahaba alivyookolewa na Yesu basi hata shoga ni mtu kama wengine bado Mungu ni wa wote
elmas roj Ameen 🙏
elmas roj Emeen,tusihukumu jaman,ila tumuombee Mungu hashindwi kitu atambadilisha tuu
Leo umeongea Mambo mazito Sana nimekuelewa naona umeanza kufunguliwa
jaman! huyu sas siyo chiz. akili zake zimerudi na anatoa angalizo kwa ajili ya watoto wetu.
Malezi mabaya kumbe pole sana
Wakati fulani hata mwehu anaweza kuzungumza maneno ya kweli,,,,,,,!!!!!
Juma waaah umeniweza
@@eunicekamamaa2437 huo ndio ukweli madame!!!
vipi nabiii umepaka manjano
Ukiwa na akili huyu jamaa unamwelewa!
Usijali mtumishi wa Mungu
You good keep going.
Unajua tito kila siku naongea kuna kitu ndani yake na pengne mungu akamtumia kwel bt tunapuuza coz anachokiongea kila siku ni point kasoro yake ni mazingira anayojiweka and bt ni muhubir mzuri sana
Pole sana
Mwenyewe wajiona umenawiri kweli vua salaba hilo
ila kwamaneno yako sijawai kuyapuuza maana Unaongeaga point tu kila siku
Ushauri mzuri kwa Wazazi
Asante kutukumbusha wazazi tujitahidi nikweli kabisa
We malaya acha kudanganya umma!
Nabii gani kaliwa manabii hawaliwi
Pole sanaa na bii tito
pole sana
Simama zaidi kwa jina LA yesu
Umesema kweli wazazi tuna jisahau sna jaman
Huwezi jifunza kwa asiyekosea ukaijua dunia, huyu sio chizi anasema ukweli, ukweli ni jambo gumu Sana, kujintangaza ushoga ni jambo gumu Sana
Maneno haya wazazi tuyazingatie kama hatupendi hii tabia ya ushoga,na nyingine mbaya.tutamsema tito leo lkn tunao watoto pia
Hhhhhh subhanallah
Nice Tito umeongeaa point pamojaa naujingaa wako unaoufanyaa lakini umeongeaa point mnooh
Huo mkorogo sio wa nchii hii
Bona hujatoa yearling
Akuna ambaye ni mkamilifu kikubwa kaongelea kuhusu kulea watoto wetu kazi ya hukumu ni ya mungu pekee
more be
Ameongea vizuri na nisomo kwetu ila ametumia kiki kuelimisha jamii
Ni mwanamke mwenye uume wanaitwa # Shemales “ kenya ilitokea
unauhakiika hayO ya sheMaLes huku Africa MashaLiiki DaDa ?...
Ata saa mbovu kunamda inasema kweli
Xawa lakni uwe silias inaonekana aupo silias towa maheleni hayo namisalaba ndipo itaonekana umeanza kibadilika
hana hereni apoo na Huwezi kuacha kuva Msalaba apo ume feli
Ukiamua kuacha basi acha kila kitu kama hereni bado unavaa..uo ushoga utaacha kweli..😏
Eti Leo umechelewa tumekupiga panga hahahahaha yaani nimecheka kama mzuri yaani maisha haya
Alipigwa panga.
🤣🤣🤣🤣
Pole yesu alikuukoa
Toa mahereni basi
Kumbe mda mwingine upo vizuli
😭😭😭😢😢😢😢😢😢😭😭😭nimekuelewa
Wazazi mjifunze kitu hapo msimshambulie tu kwa maneno mabaya asemayo yapo.
Leo kaongea kitu ila usijirembe sasa unapaka mpaka foundation
Shahawa zimemjaza vidole
Pole kaka
Hata kama hujaacha ukiendelea kusemasema ivo kwamba umeokoka naumeacha iko siku utaacha kabisa kwahiyo endelea kuichukia hali hiyo namungu wa mbinguni atakusaidia
nabii tito umejipaka usoni nn (???)
funzo lipo ap na laonekana katka jamii zetu ,malezi yamebaki kW wadada w kaz mama na baba wkpta mudq in mitandaon t, jaman USIPOZBA UFA UTAJENGA UKUTA, ila Tito I'll n funzo sawq lkn n vgumu MTU klpkeq 7bu bado we hujaonyesha kubadilika, pllls baba badlika HUJACHELEWA BADO NAKUOMBEA MUNGU N WAKUSAMEHE PALE T UKITUBU
Bado ana dalili za kishoga
wakati mwegine hata mwehu uhongea ukweli.
SONGA MBELE MTUMISHI MUNGU AMEKUSAMEE KABISA
Pole
shoga mstaafu
Asa kukongorolewa rinda ndo ulemavu?
Ati nabii na msenge
Aki nimetokwa na machoz Nina Watoto wa kiume mimi Mungu tusaidie mwenye hekima ya kumsikiliza vzry huyu; baba jamani ataelewa msimtukane hakukusudia jamani daaaa roho inauma hapo anavyosema hatujui Watoto wetu wanacheza wapi wamekula Wapi kiukweli ni kweli kabisa mtoto anaenda kucheza hata Mama hujui kaenda kucheza Wapi daaaa
Uko sahihi sana wazaz tuwe makin
Hhhhh mtoto wake wa kwanza pia ehh balaaa
Hata saa mbovu kunamuda inasema kweli
Hakuna Nabii aliekuwa shoga
Nikweli siku zamwisho zimekaribua maana tutawajua manabii wauongo kwa matendo yao
Mmungu akusaidiee na kukuponeshaa ilaa mja akitubuu hutubuu kwa mola wakee nae ni ALLAAH SUBHANNA WATAALA sio kutubu kwa binaadam wenzio kwanii sio watakao kuhukumu umejitahidi kwa kutowa wasia na tahadhari kwa wazazi umeongea ya maana MIEE NAAKUOMBEA DUWAA MMUNGU AKUSWAMEH NA AKUHIDI AKUONGOZEE KATIKA NJIA ILIYO NYOOKA KWELI ULIHARIBIKA KIAKILI KUTOKANA NA ULIYO TENDEWAA MASIKINI ULIHARIBIKA KI SAICOLOGIA ILAA MKIMBILIE MOLA WAKO NDIE MUOKOZI WAKO NA NDIE TABIBU YAANI NDIE DAKTARI WAKO INSHAALLAAH MMUNGU ATAKUSAIDIAA NA ALIE KUSABABISHIAA HAYO YOOTEEE HATAUONA UFALME WA MOLA WAHAPA DUNIANII NA KESHO AAKHERA MALIPO ATAYAONA HAPA HAPA DUNIANI
mikono yako ni pepsi na uso wako ni mirinda...hongera sana
Dad mary wew noma😂😂😂😂
@@erickwilliam3787 hahahaaa
Achen kuwa mnawaambia wtoto wenu tumekupiga panga khahahaha ....wazee wa mchiliku
Hahahaha
kapaka foundation zile za elf mbili
We bado moyo unabadilika lkn mwili bado yaani unavaa msalaba ambayo haijabarikiwa bado unaitaji maombi sana
Tito umeongea facts!!!
upo vizur tito
Yameshapita, usiendelee kufuatsha namna ya dunia sasa!
Msenge ww
Leo ume jitahidi kuongeya kituchenye akili kidogo
Ujumbe umefika.
Kwani una jinsia ngapi unalia sana kk?
Acha kujichumbua
He might be right
Tito
Huyu jamaaa ukute mpaka leo hii anatoaga mambo km kawa
Shoga
Huyo aliyekuanyia mambo mabaya Mungu Atamlaani kwakwel pole sana.
Kama imeisha njiani
Ukafir ni mzigo
Abdalah Juma swadakta
Sana
We acha tu
Huyu mtu anafadhiliwa na nani? Au anamirad gan.
In a way ujumbe wako umefika 🙏🏾
Huyu Tito Juzi Siameongozwa Sara Ya Toba na Gwajima?
Nadhani hii crip ni kabla ya toba ya
Kwa Gwajima.