Mzee Said mashallah ww ni bab kubwa .yani mm pia .ningekua Hers .kwanza mm yanga dam dam nipo sweden .ile Manara anatakiwa kukadiriwa kupewa mike ndani ya yanga au asipewe kabisa .anaharibu decipline nidhamu anaharibu nidhamu ndani ya timu .plz Hers na jopo lako la ufundi ndani ya yanga jicho kubwa kwa Manar .not allow in Avic .wangapi wananikubali wanipe like
Kumwita mobeto kwenye kadamnasi Ile ni kumwekea mazingira magumu Azizi Ki. Mashabiki wa yanga hawanauvumilivu Azizi akiteleza uwanjani kidogo ataoga matusi na mobeto wake na inaweza kumtoa kabisa mchezoni na akachukia kuwepo tz . Mapenzi na kazi wapi na wapi. Katika hili manara alikosea. Na Azizi Ki aelezwe madhara ya hao wanawake wasioridhika na wanaokodolewa na macho na Kila mmoja.
Mzee nakuunga mkono japo mi ni mwanainchi hakustahili kumuita ni uchafu kwa kweli huyu mm wa wtt sijui wangapi hana haya hata kidogo tobaa amuache huyo kijana asimbemende
Chagamba unachelewa Sana kumuhoji Mzee saidi
Mzee Said mashallah ww ni bab kubwa .yani mm pia .ningekua Hers .kwanza mm yanga dam dam nipo sweden .ile Manara anatakiwa kukadiriwa kupewa mike ndani ya yanga au asipewe kabisa .anaharibu decipline nidhamu anaharibu nidhamu ndani ya timu .plz Hers na jopo lako la ufundi ndani ya yanga jicho kubwa kwa Manar .not allow in Avic .wangapi wananikubali wanipe like
Mzee Saidi ana mashabiki na miongoni mwao ni mimi
Hunifikii mm
@@Msanii1237 sawa mwamba
10k views in 2 hours,Mzee Saidi tumetisha,kazi nzuri Finest Online
mzee saidi umenikumbusha marehemu mama yangu anapenda msemo huo ulivyosema kufyontoka umeongea kinyamwezi kabisa😂😂😂😂😂
,Mzee saidi,wa pili,miraji,3mwanduke tv,napenda sana ushabik ushabiki wao hawana ushabi wa kitoto
Yaan kwel nimekubali ukubwa dawa mzee saidi ninakukubar sana mzee wangu good fact
Chagamba unachelewa Sana kumtafuta mzee saidi ❤❤❤❤❤❤❤❤ mzee miaka 100000000000 kwak
Chagamba UWE unamuhiji MZEE SAID MAPEMA BWANA,ANATUFURAHISHA SANAAA
Huyu mzee said anajua kama hatoboi kwa yanga lakn 😂😂😂
Ila mazee said umetutek watu kwa kweli🤣🤣
Nilikuwa nakusubili mzee saidi unikusikie
Namkubaliii saana mzee said usichoke kumuhoji
Tunampenda sana sideboy 💚💛
Ujue weng tumezoea kumsifia mzee said ila chagamba nae fara sn kaz yke anaiweza😂😂😂😂
Mzeee sema unamikwala ya uhakika na tatizo unajua kutizama viwango vya wachezaji big up Mzee saidi .mind set game hizo tunawapiga tu
Chagamba unacherewa sana kumuhoji mzeee saidi uweee una tangulia Kwa mzeee saidi ndouende kwa milaji
Asante mno mzee saidi kwakutupenda wamasai,
😂😂😂😂😂naanza kucheka kabla mzee saidi hajaongea
Kweli nimesubiri kuhojiwa kwa Mzee Saidi asante kwa kumtafuta Mzee wetu
Kwel kabsa shehk said wametagaza zina kabisa
Kumwita mobeto kwenye kadamnasi Ile ni kumwekea mazingira magumu Azizi Ki. Mashabiki wa yanga hawanauvumilivu Azizi akiteleza uwanjani kidogo ataoga matusi na mobeto wake na inaweza kumtoa kabisa mchezoni na akachukia kuwepo tz . Mapenzi na kazi wapi na wapi. Katika hili manara alikosea. Na Azizi Ki aelezwe madhara ya hao wanawake wasioridhika na wanaokodolewa na macho na Kila mmoja.
Mzee saidi unatufanya turahi sana ❤❤
Au niwe mimi wa kwanza ku comment kabla ata ya mzee saidi kuongea😂😂😂😂
😂😂😂
Mimi ni Yanga damu lakini namkubali mzee Saidi sana, Manara amezingua
Kweli afu mbele ya makamu wa rais am sure hata viongozi walimuonya hakukuwa na haja ya kufanya vile kabsa
Mm shabiki wa yanga mzee saidi uposawa manara kazingua sana amezidi misifa
Tumuchangie mzee said jaman maana huyu ndo mfariji wetu wanasimba
Nakubali mzee saidi
Mzeeeeeeeeeeee side 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
😅😅😂😂 mzee namkubali sana
Big up mzee saidi😂😂😂
Wajinaaaaaaaa tuache utani pale kweli Manala kaalibu aisee.
Mna Raha wa Tanzania mnawahi kabla ya anaewahiwa kila mtu anata awe wa kwanza anaeka order ya kua wakwanza Bas me niwe wa p2 😂😂
😂😂😂😂hahahaa pametutumkaaaa hahahhaha baba angu saidi daaah aya bhnAa😊😊😊
mzeee saidi nampenda sana anavyoo ogeanga najua nishabiki wa mnyama
Wakati azizi k anasajiliwa yanga mlimsifia mobeto leomwageuka
kipenz Cha watu saa hv tanzania n mzee said 😂😂😂
Kweli mm ni Young Africans lkn kufa lkn Mzee saidi KIBOKO Kabsaa
Mzee nakuunga mkono japo mi ni mwanainchi hakustahili kumuita ni uchafu kwa kweli huyu mm wa wtt sijui wangapi hana haya hata kidogo tobaa amuache huyo kijana asimbemende
Ulikuwa ujinga uliokubuhu
Ila mzee said ana balaa sanaaa😂😂😂😂😂😂
Kicheko cha chagamba nacho mmmmh😅😅😅
😂😂😂Mzee Said leo umeongea kwa kutumia nguvu Sana sema mm nakukubali Sana Mzee Wangu miaka 💯 tuendelee kupata burudan chukua🎉🎉🎉🎉
mzee saidi Mungu akupe maisha marefu sana
mzee said unanifurahisha sana wewe na ulefa wapi na wapi
Nakukubali sana mzee said ❤❤❤❤
Hyu mzee said napenda sn anavo ongea
Hpana mzee saidi yanga hawachezi rafu rafu iko azam na sima wachezaji 3 simba wanacheza rafu sana
Mzee saidi mungu akubariki manara nimpumbavu aliepitiliza
Ndio Mzee saidi manara Hana heshima Tena hafahi hata kwenye mpira awachie watoto
Mzee said 🔥🔥🔥 SIMBA NGUVU MOJA
Mzee said🙏
Mzeeee saidi nime kungojaaaaaaaa
😂😂😂😂 ilaaa mzee said 😂😂😂
Ila Mzee Saidi kavurugwa sana na Haji Manara achana naye mzee wangu Manara akili zake anazijua mwenyewe
💛💚💛💚💛💚💛
Mzee Saidi MUNGU Akuweke sana hauna baya una pendwa na Mashabiki Wote wa timu Kubwa.
Kwa burudaaaaani hii ya mzee Said Chagamba tunakutakia followers kama milion 🎉
Ila kweli kamdhalilisha mwenzie mpk AIBU
Shida mkifungwa mna timua wachezaji halafu mnasema bado mna jenga timu endeleeni kujenga timu kila mwaka wenzenu waleeee
Mzee said daaa tunakupenda sana tunaenjoy
PROUD KIBAIGWA
Hahahah iyo aya ilivyo somwa mzee said hiyo inasomwa walaatakrabu zinaaa inahuukaana faahishata wamakata wasaaa a sabila
Kufyondoka duu Mzee said noma sana..
Nomaaaa
Mzee Said wewe Tanzania one
Nampenda bule huyu mzee
Chagamba hata ukiwa unamuhoji Mzee saidi sisi hatumchoki yaaani Mzee saidi 😂😂😂😂
Mzee said acha makasiriko, tarehe 8 kipigo kipo pale pale
yanga na mpa 55% simba 45% kushinda napingana na mzee said
Ubora wao utaisha wakikutana na yanga
CHAGAMBA UNATUCHELEWESHEA MZEE SAID 😂
Hahhaahahahah daah mzee anafurahisha
mzee said, humu tu!!
Aisee nimecheka sana kwenye kufyontoka tu kwel we mzee nishida
😂😂😂😂😂
Lete maneno 😂😂😂😂
Tajiri kasema supu alianza mwenyewe uchokozi
Tajir kayataka mwenyewe
Mzee Said Kajizima Data.
Kabisaaaaa ye ndo alianza, na manara alisema vile makusudi huyo tajir Yao ndo alianza madongo ya supu 😅😅😅😅
Amejuzina data
Mzee said😂😂😂😂😂😂😂
Nikweli kabisa Mzee saidi kaikosea yanga manala
Kwaupande Fulani wanammalia mpila azizi k
Mzee said huwa msema mkweli mara nyingi
Yani nimecheka sana tena kwasauti kubwa sana
😂😂😂😂 mzee Saidi bhana..Ila ana Jicho flani hivi la kuona Mambo..Kweli mechi ya APR kuna Pahala wachezaji wetu walikuwa wanamiss kuziba nafasi.
Jamaniii mzee saidi jamaniii 😂😂😂😂nilikuwa Nakusubili hapa 😂😂😂Ila mzee saidi jamaniii chagamba anainjoi sanaaaaaa 😂
Tafuta cku ukamhoji na ww
Hahahaha Mzee anaongea
@@BarakaAmosi-gb4ve 🤣🤣🤣🤣tena anaongea ata mate amezi🤣🤣
@@johnkikoth sina uwezo miee
Hahaa ata bao la kwanza haliwah km mlivyo wah nyie
Kama uswahili Simba mnaongoza kwa uswahili tumejaza viwanja viwili mnasema uswahili
Mwambie Mzee said mobeto alikua Simba so alikua anavishwa he's na kutawazwa kua shabiki wa yanga
Changamba nataka umtafutie mzee saidi t-shirt na kofia ya MGen atakua bora sana
Wape mzee saidi simba tunawapa asilimiya100❤❤
Hata mimi shabiki wazee said
Ila alicho fanyiwa azzi ki sio kizuli...... Opinion 😢😢😢😢😢
Mzeee hiyo point sana
Natutawangoga sana mzee said afu umpunguze kuwa Sifia sana simba unajihami
UTAUFYATA TU TOPOLO WEWE
Nakukubali sana mzee saidi nipo dubai ila nawafatilia sana wewe na miraji mara moja na mwenyewe chagamba mpo okay
Ila Mzee saidi apo umedaganya maan kama Kuna wanaopenda sifa hakuna wa kuizidi Simba kolo
Mzee said nakupata haji manara katangaza zinaa
Hapo kwa wamasai umetudanganya
Ww achilia uyu .mzeee aongee jamani
Murudani yangu ni kumuangalia mzee said 😅😅 waukae kabisa huyu
Gambaaa safiii san leo ni me enjoy San 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Ila tajiri nae aliyatimba alisema anataka kuwasaidia yanga supu
Chagamba kwanza mhoji Mzee said halafu ndo uwende Kwa miraji😂😂😂
chagamba tunashida na namba za uyo mzee tumtumie ata vocha
Mzee SAIDI noma😂😂😂😂