Najiita Msegeju: Sehemu ya Kwanza

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 жов 2024
  • Wasegeju ni kina nani? Jee kuna kabila kama Wasegeju ama ni pande la Wadigo? Katika kisa hichi Mzee Ali Suwaka anakumabana na maswali haya na kujaribu kupata undani. Tokea amezaliwa aliitwa Msegeju na alijitambua hivyo lakini katika uzee wake watu wakaaanza kumhoji utambulisho wake. Mfuate Mzee Ali katika uchunguzi huu tokea kijijini Mnyanjani mpaka kwenye vijijini vya mlimani kama Bwiti huko Usambaani.

КОМЕНТАРІ • 19

  • @sanjifilm1722
    @sanjifilm1722 3 роки тому +1

    Safi

  • @moonz15
    @moonz15 2 роки тому +1

    Dope

  • @abdulrahmansalim3016
    @abdulrahmansalim3016 3 роки тому +2

    Ninashauku ya kujua kitakachoendelea Wallah.... Loh

  • @salehalkharousy7317
    @salehalkharousy7317 3 роки тому +2

    Mashaallah Nyumbani Huko

    • @gomakuu
      @gomakuu  3 роки тому

      Wewe ndugu yangu Akhi.

  • @APEffects
    @APEffects 3 роки тому

    Sinema nzuri sana inayotupelekea kutaka kujua ukweli ni upi

  • @athumanilitunu6462
    @athumanilitunu6462 3 роки тому +1

    Hii nimeelewa its good Idea. Ila bado sijaelewa je Msegeju ni kabila au ni muundo wa maisha
    Endelea kutafiti nzuri hii nimependa ila bado sijajua maji kwa kisegeju wanaitaje na KILIGO PIA wana itaje

  • @chicharito4201
    @chicharito4201 3 роки тому +1

    SAFI HII 👏🏼👏🏼👏🏼

    • @mohamedyunusrafiq6930
      @mohamedyunusrafiq6930 3 роки тому

      Umependa nini?

    • @chicharito4201
      @chicharito4201 3 роки тому

      @@mohamedyunusrafiq6930 WAPI WASEGEJU WALIPOTOKEA NA KWANINI MSEGEJU UKIMUITA MDIGO ANAKATAA .

  • @jumahamisi9328
    @jumahamisi9328 Рік тому

    njoo Pongwe Kidimu Kenya utawapata

  • @anwarsaid9579
    @anwarsaid9579 2 роки тому +1

    Wasegeju bado wajajijua wao ni kina nani

  • @gomakuu
    @gomakuu  3 роки тому

    Mjomba @abdulrahman nakuona aisee. Begi bado unalo hilo?

  • @hamadimsegeju5568
    @hamadimsegeju5568 3 роки тому +3

    mzee ali natumai atatwambia sisi ni nani

  • @moramtanga-dar7372
    @moramtanga-dar7372 2 роки тому +2

    Sasa wasegeju na wagunya ndioo wapi au wabaajun ndioo wap

  • @ramadhanjamali5761
    @ramadhanjamali5761 Рік тому

    Duuh kwahio sisi wasegeju hatuna lugha maaluum

  • @gomakuu
    @gomakuu  3 роки тому +1

    Jee Mzee Ali atachukua hatua gani sasa? Atawapata hao Wasegeju? Wewe unaonaje?