Najiita Msegeju: Sehemu ya Kwanza
Вставка
- Опубліковано 10 жов 2024
- Wasegeju ni kina nani? Jee kuna kabila kama Wasegeju ama ni pande la Wadigo? Katika kisa hichi Mzee Ali Suwaka anakumabana na maswali haya na kujaribu kupata undani. Tokea amezaliwa aliitwa Msegeju na alijitambua hivyo lakini katika uzee wake watu wakaaanza kumhoji utambulisho wake. Mfuate Mzee Ali katika uchunguzi huu tokea kijijini Mnyanjani mpaka kwenye vijijini vya mlimani kama Bwiti huko Usambaani.
Safi
Nashukuru.
Dope
Ninashauku ya kujua kitakachoendelea Wallah.... Loh
Mashaallah Nyumbani Huko
Wewe ndugu yangu Akhi.
Sinema nzuri sana inayotupelekea kutaka kujua ukweli ni upi
Hii nimeelewa its good Idea. Ila bado sijaelewa je Msegeju ni kabila au ni muundo wa maisha
Endelea kutafiti nzuri hii nimependa ila bado sijajua maji kwa kisegeju wanaitaje na KILIGO PIA wana itaje
SAFI HII 👏🏼👏🏼👏🏼
Umependa nini?
@@mohamedyunusrafiq6930 WAPI WASEGEJU WALIPOTOKEA NA KWANINI MSEGEJU UKIMUITA MDIGO ANAKATAA .
njoo Pongwe Kidimu Kenya utawapata
Wasegeju bado wajajijua wao ni kina nani
Mjomba @abdulrahman nakuona aisee. Begi bado unalo hilo?
mzee ali natumai atatwambia sisi ni nani
Sasa wasegeju na wagunya ndioo wapi au wabaajun ndioo wap
Duuh kwahio sisi wasegeju hatuna lugha maaluum
Jee Mzee Ali atachukua hatua gani sasa? Atawapata hao Wasegeju? Wewe unaonaje?