Najiita Msegeju: Sehemu ya pili, Safari ya Chongoleani
Вставка
- Опубліковано 10 жов 2024
- Katika sehemu ya pili tunamwona Babu Ali akielekea Chongoleani kutaka kujua zaidi kuhusu hawa Wasegeju ni kina nani na lugha yao ikowapi? Huku Chongoleani alikutana na wazee kama yeye na badala ya kupata majibu alikumbana na maswali mengi na mitihani. Jee haya maswala ni yepi? Na Jee Babu atapata alitakalo Chongoleani?
big up broh😍💪💪
1234
Wasegeju na Dhaiso wana uhusiano wa karibu sana na Wakamba Kutoka kenya.
Hakika, Maurice hili jambo ni la kweli na mada ambayo naiangaza kwenye kitabu changu kipya
@@gomakuu Mimi natoka kabila la wakamba wanaojulikana kama Athaiso kwa lugha yetu.
@@mauricekitana6587 Nashukuru mno. Jee mna historia kwamba watu wenu waliondoka kwenda mbali?
@@gomakuu Hakuna historia inayosimuliwa kuashiria asili ya watu wetu (Wakamba) isipokuwa hekaya(myth) lakini wanahistoria wengi kenya wanaamini kuwa makabilla ya kibantu ya pwani mwa kenya na yale yanoishi karibu na mlima kenya walitokea upande wa mlima kilimanjaro.
@@mauricekitana6587 Kweli? Unaweza kunipa marejeo ya hao wanahistoria?
Twaomba muendelezo wa bwiti jamn kiseguju kipo mwaderwataaa
Kutana semenyeuwe
Hapa Kenya 🇰🇪 wasegeju, Wakamba,Wakikuyu,Wameru na Waembu walikua kabila moja kitambo kama 1000 years ago.
Shukran sana.Jee unaweza kuelezea zaidi.
@@gomakuu Ni hadithi za kitambo lakini hao hutaja 'Thagicu'. Wakamba toka Kitui zamani walikua wanaitwa Wathaiso.
Kisegeju tunacho uku Kenya
Tuambie zaidi sheikh. Tupe mifano ya sentensi na misemo.
Jamani kisegeju kipo bwiti njoo bwiti maramba
Hiyo_beshamv_,iko_wapi_tukijua_tu_ni_wapi_tutakuwa_tumejua_Asili_na_je_ealikuwa_wakikimbia_nini_huko_kwao_Tusaidien_tujue_asili_yetu
hicho mukiongeacho si kisegeju ni kimtangata ambacho kinaongelewa tambarani na visiwa vingine cha fanana kabisa hata hiyo nyimbo ya tambarani tungeuya twaogopa jumbe na mwinyi akida
Shukran sana Mariam. Hebu tuelezee zaidi tafadhali. Tupe mifano ya misemo, vietndawili, ama sentensi.
Nlunga nifate hicho ni kidigo xaxa
Kweli Wasegeju walikaa sehemu za mlima Kenya. Wanaume ndio waluovuka mto. Wanawake waliobaki wakaolewa na wadigo.
Ahmad shukran sana tupe zaidi tafadhali
Asante sana Ndugu Ahmad. Jee kwanini waliamua kuondoka? Na huko milimani walikuwa wakifanya nini?
Real life kila kitu niukweli hakuna janja janja itanibidi asili yangu haswa muhaya anatokea wapi kihakika kabisa
Bwiti kwetu huko wamamata
Wasegeju kwao ni bwiti
Lakini hata wa Bwiti na Daluni wanasema na ndugu zao pwani na pia wanakoo zilizofanana kama vile Mwaita.
Kama mmeipenda hii tumewatayarishia kazi nyingine kuhusu hazina na siri za mji wa Kimbiji: ua-cam.com/video/I-nTbQinsk8/v-deo.html
Wasegeju wanaongea kidaiso kwao bwiti Hao wengine ni waswahili
Mbona watu wa Bwiti wanasema Wasegeju wa pwani ndugu zao?