Gea yuko poa sana. Yupo free, yupo real. Nilivyokuwa namchukulia zamani ni tofauti na ninavyomchukulia sasa baada ya kuona hiki kipindi. Kila la kheri katika kazi zako....
Mashallah nimefurahi kumjua gear kisura coz ilkua namsikiza sana kwa heka heka nikasema nimependa sauti yake natamani kumuona sura yake coz hio sauti nzuri nae bila shaka atakua ni mzuri kumbe ni kweli mungu akulinde na mitihani kwa hizo kaz zako unazofanya unapitia changamoto nyingi kweli, nimekupenda bure dada, sauti nzuri ww mwenyewe ni mpole pia na izo ndio sifa za wanawake hadi mungu kakujalia kuolewa.
Gea Habib. One of the best interviews za Mkasi. Nimefurahia interview kaongea fresh very interesting. Nakukubali endeleza umaridadi. Nimekodolea macho kipindi kizima. Cheers
Gear Dunia inakwenda mbele hairudi nyuma kuweka kiwango ni vzr tofauti na hapo utajikuta umeita watu wengi FEDHA Zina kuwa kdg na tayari hazikidhi mahitaji ukitoa uhuru mfanya biashara mkubwa atoe km muuza mchicha na wote ni abiria wako
mi hua sipendi taarabu ila ni shabiki mkubwa wa geah habibu huwa napenda sana sauti yako big up mama la mama
CalifRecords New Hit "MUMMY" play/download>> soundcloud.com/rajayjay/mummy-track-rajayjay
"Kwanini wanawake wengi hawataki kuolewa..." Nadhani Salama angejibu swali alilouliza mwenyewe!
Gear vp mama hicho kifua umekiacha waz! Hiyo ni fahari ya me wako mama
Gea yuko poa sana. Yupo free, yupo real. Nilivyokuwa namchukulia zamani ni tofauti na ninavyomchukulia sasa baada ya kuona hiki kipindi. Kila la kheri katika kazi zako....
uko vzri gea
Kusema kweli nilipokua nakusikia ktk hekaheka ni tofauti,Nimependa interview yako big up my sister
Suzana Roman b
Mashallah nimefurahi kumjua gear kisura coz ilkua namsikiza sana kwa heka heka nikasema nimependa sauti yake natamani kumuona sura yake coz hio sauti nzuri nae bila shaka atakua ni mzuri kumbe ni kweli mungu akulinde na mitihani kwa hizo kaz zako unazofanya unapitia changamoto nyingi kweli, nimekupenda bure dada, sauti nzuri ww mwenyewe ni mpole pia na izo ndio sifa za wanawake hadi mungu kakujalia kuolewa.
Swali langu ni kwa salama ni Jinsi a gn mwonekano km dume
"Kwanini wanawake wengi hawataki kuolewa..." Nadhani Salama angejibu swali alilouliza mwenyewe!
Gea Habib. One of the best interviews za Mkasi. Nimefurahia interview kaongea fresh very interesting. Nakukubali endeleza umaridadi. Nimekodolea macho kipindi kizima. Cheers
Hiyo nguo inamboa
Wasanii wetu wa tz wamepata ufahamu mkubwa sana wa kuongea na vyombo vya habari,big up ommy dimpos unaiwakirisha vyema kigoma
Salama unaharibu lugha za watu
nampenda sana Gea
HAWA WAHUNI TU
Nakukubali sana gea dada yangu wa ukweli mwaaaaaaaa!
Nakukubali sana gea dada yangu wa ukweli mwaaaaaaaa!
Huyo salama mbona nae hataki kuolewa
Nakupenda Sana Sana da geah
Hahaha uwiiiiiii mbavu zang me da Geah mtu wa nguvuu
Salama wew ni mumewa mtu ama mkewa mtu hatuelewi huo muonekano wako utachanganya
Salama bana...mtaji kiuno
nakupenda geah
nice show
Mke wa mtu kushikwa shikwa kichwa hata kama nikaz
Nimewamiss sana wa tz
hujambo da geya plz naomba namba yako tuweze kuwasiliyana muhimu ok
Gear mmwaàaaaaaa
maashaallah
we are leaning though this show,big up jabir
sawasawa gea nimekuelewa
uhhu
gea she is the best one
usisahau kucheki mtandao wawabongotu google tanzaniamoja
Nakupenda sana gea yaani saana
Gea hongera
Hai sa
iko poa
gea nakupendasaaana
Gear Dunia inakwenda mbele hairudi nyuma kuweka kiwango ni vzr tofauti na hapo utajikuta umeita watu wengi FEDHA Zina kuwa kdg na tayari hazikidhi mahitaji ukitoa uhuru mfanya biashara mkubwa atoe km muuza mchicha na wote ni abiria wako
Nice gea
m3lif3 ĺ9