Juzi nilkua kwenye mwendokasi nimesimama tumebanana hatari ila niko bize nasikiliza Edna sijaka vzuri nikamuona na mwingine yupo bize na Edna hapo tunasukumana hatariii😂😂😂😂 lucas unatuweza
Khaah ila hii simulizi ni moto zaidi ya 🔥🔥🔥🔥kiukweli Yanbwen hana chake azidi kuchora maumivu kwani Neema hawezi mtendea Roma visivyo kwani anampenda nomaa pia happ kwa dili kati ya Roma na Edna Roma lazima a win na kumiliki Edna achukie ama apende kwani yeye mwenyewe ndie anae mkusanyia Roma michepuko angelimkubali mbona namba ya muchepuko haingezidi
Hivi huyu yambuweni anajielewa mbona anataka kujitafutiya kifo,masikini Roma mbona hana baya na mtu ila watu wanamutafuta wenyewe akipandisha hasila zake watu wanaanza malalamiko si wamuache Roma jamani, harafu nahuyo Abu amesha sahau kilicho mtokeya baba yake mulezi yangu macho ngonja nisubilia kuona jinsi watu watavujwa mashingo kwakujitakia wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ivi wasikilizaj tumlaum Edina kwa kutokumzingatia mumewe au tumlaumu Roma lakin mbon Kuna mida edin anakaa tu kwenye mstar kwa upande wangu naona Kuna mida Roma anazingua iviii lakin wanawake tujifunze kuwa na misimamo na kuwa na uhakika na tunacho kifanya isia zisituendeshe kama michepuko ya Roma wanayoyafanya
@@TeklaNdekeja malezi,kuna mabinti baadhi ya sehemu wanafundishwa ubaya wa tendo la ndoa tu,bila kuambiwa kuna uzuri wake wakati utakapofika matokeo yake ndiyo hayo
Huyuu sijui anborn hamjui roma kabila kitu kifanyike yy amejua sasa anamtuma wema liwazo amtoe damu mybe huyuu sianatafuta kifoo..nakumbe boss wake ako kinyume naulimwengu wetu wakuamini Mungu haonekani yy anataka kuwaMungu wakuonekana hiyoo sijui kama itafauluu pili mnafanya uchafuu wanawake wawili.. dens amejisahau kweli ametolewaa kwenye kifo lkn bado anataka kumuua roma haya.kaka mtuu anataka kuoa dadake halafu mamake mshezi anasema anafanya bidii Awenayee huyuu mama nishetan kama mwanae na huyu msaidixi wa Edina asijeakajukikana na Roma hapo ako kwamission atauliwaa.nyaraka mybe waszchukue kama roma kamezwaa na udongoo lkn akiwa hai hapana...halafu unaexa kuwa namkeo AMA mwanao mume ukaona mkosawa kumbe ni maagent wasiri hii ndoimetokea kwaraisi anamkula secretary akijua hana lolote kumbe agent wasirii...roma achaa michepukoo tulia namkeoama muachee Adina kaa namichepuko
Sasa kama mwili wa hades wazamani uko mikononi mwa Athena inamanisha Nafsi yake bado inafanya kazi sasa Athena japo kuwa alitege mtego lakinihades wazamani bado anafanya kazi kama kawaida akishirikiyana na Roma na hao wa Anti illuminate mbona Antena anakazi nahuyo binti anaye ishi na Antena ndie atakuja kumumaliza Antena ngoja tusubiliye tuone moto jinsi utakavyo waka😂😂😂😂😂
Mwezi uiishe waachane juu huyu Adna naboa sana sasa anataka kuchukuliwa kama mke na yeye hamfanyii mambo yakikubwa acha nasra aolewe kiukweli ndo akili itamkaa sawa
Huyo wajina km hatoi mzingo atamfuma mpaka aseme po, ajitia kauzo hajali, nawakati maumivu yanamtafuna goja wakina Nasra,Roz, maege na neema naakina wengine wafaid yy sawa anaupendo na mtoto lanlan
Edna awache ujinga yeye mwenyewe ndo anayataka c alipanganga awe mke kimukataba hamujali roma atoe kitumbua kwa mme wake roma anampenda ila nikauzo sasa abaki na ukauzo wake
😂😂😂😂😂😂😂 nahuyo mama Desmond yani hakiri zake zinafanana na Mme Jeremy vilevile na mtoto wao mwenyewe Desmond yani hakuna mwenye niya njema kati yao harafu huyo musaidizi wa Edna asubilie hivyo vinasa sauti Roma avigunduwe atajua hajuwi 😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 😂😂😂 hizi familia ni za washenzi walioshindokana, yaani hawajali hata watoto wa damu moja kuoana kisa kulinda heshima ya madaraka 😂😂😂kikweli mimi nasubiri wapate kibano chao tu wajinga hawa
Na tukumbuke Rose aliponyeshwa na Roma akitumia damu yake mala 2 sasa huyo yambuweni akijalibu michepuko ya Roma yote lazima plan C ifanikiwe ila acha tusubiliye tuone 😂😂😂😂😂
Ohoooo ama kwel Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥hata km wanapanga Dili Edna akubali2 mpango wa Roma waishi pamoja hata km mkataba unaisha like please please
Ata mi natamani iwe ivo
Team Roma mpoooo 🙏🙏🙏🔥🔥🔥♥️♥️♥️♥️♥️♥️ from Italy 🇮🇹 🇹🇿 ciao ciao wote
Asante sana kaka Lucas Lumbas Allah akulipe kheri Inshaallah. Nimewahi
Oooyooooo kumbe na Leo nimeai. Jaman17 edn &rom tunaendelea. Nitarud kukoment nikimariz kusikiriz❤❤😂😂😂🎉
uyu edna anatufanya tusilali jamani haya acha tusikilize mambo ni 🔥
Nimewahi leo😂❤ kaka Lucas Lumbas tunakupenda huku Riyadh
Nko Riyadh pia
Mambo ni 🔥🔥SASA EDNA HAYA TUNASIKILIZA MPAKA MWISHO WA SIMULIZI ✌️✌️✌️
Juzi nilkua kwenye mwendokasi nimesimama tumebanana hatari ila niko bize nasikiliza Edna sijaka vzuri nikamuona na mwingine yupo bize na Edna hapo tunasukumana hatariii😂😂😂😂 lucas unatuweza
@@godrivermichaelsugwejo4979 🤣🤣🤣🤣
Wakwanza kulike nakupenda sana kaka lucas zaidi kutupa utamu
Wadau mwajua hii story n reall koz sai uwanithi umejaa freemason watele twasubiri dajal tu aje..Allah atulinde
Amin Allahuma Amin
Bro ubarikiwe uwe n afya tele maradhi yakuepuke..big love ❤🎉
Hongera sana kaka Lukas Kwa simuliz nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Mwenzenu rohoo juu: itakuaje roma akitoa damu
Uyu mheshimiwa anashangaza sana anamkana kwajeuli yamadalaka hv siku wakikutana tna maana pcha ipo nameiona nawanapenda kumualika kwenyemialko yao mh
Mungu mwema tuko pamoja
Sijui kitakachoendelea lakini nimependa title ❤
Nmechelewa sana Leo ila bora nmefka wadau
Wakwanza leo 😂😂😂😂 habar zenu wadau
Nimeota Athena yupo 6/6 na Romah jaman, kaka lucas hii imekaaje🤭😆
Jamani Roma hana shida na mtu isipokuwa wanamchokoza kwa sana tu jamani kweli hadi namhurumia
Kwa kweliiii😂😂😂😂
Sasa Edna anasubili Nini kutoa hicho kitumbuaa jamani
Kaka Lumbas tumeshafika hapa uwanjani simlizi hii ni zaidi ya movie
Huyo Edna si afanye ashike ndoa yake vizur apate kuwakomesha michipuko ya Roma
Hii simulizi Roma akimuacha Edna mm pia naacha kuskiliza😂😂
Haachwi mtu
🤣🤣🤣 nipo pamoja na wew
@@ReginaBenjamin-ij2ec umeona eeeeh hii kapo n nzuri kwa sababu Edna anajielewa hao wengine ni wapuuzi yaani wanatongoza mwanaume mwenye ameoa
Mko mbio kweli vipenzi vyangu jamani😂😂 haya like zenu 🎉🎉🎉
Susan leo haupo bz
@@TeklaNdekeja ndio leo niko off
Bismillah nilikuwa busy😂😂😂😂
Wakwanza jamani nipeni lake zenu
Khaah ila hii simulizi ni moto zaidi ya 🔥🔥🔥🔥kiukweli Yanbwen hana chake azidi kuchora maumivu kwani Neema hawezi mtendea Roma visivyo kwani anampenda nomaa pia happ kwa dili kati ya Roma na Edna Roma lazima a win na kumiliki Edna achukie ama apende kwani yeye mwenyewe ndie anae mkusanyia Roma michepuko angelimkubali mbona namba ya muchepuko haingezidi
Wa 41 ila guys naombeni likes zenu vipenzi vyangu
Nimewahi leo
Hivi huyu yambuweni anajielewa mbona anataka kujitafutiya kifo,masikini Roma mbona hana baya na mtu ila watu wanamutafuta wenyewe akipandisha hasila zake watu wanaanza malalamiko si wamuache Roma jamani, harafu nahuyo Abu amesha sahau kilicho mtokeya baba yake mulezi yangu macho ngonja nisubilia kuona jinsi watu watavujwa mashingo kwakujitakia wenyewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Moto Leo japo nmechelewa lkn nmefka😂😂
❤❤ huyu denis kaujalibu mto nakijit hla hakulizika anataka ajalbu naminguu, atuulize mashabik tumpe habali kamili, kua roma 🔥,wakuotea mbali, leo sidai like ilanawapa🌹🌹🏃
🤣🤣shogire mbona unaongea kama Edna 😂😂
@@ZenaidaDaniel-r9d Roma ni mtu wa mamlaka ake
@@ZenaidaDaniel-r9d atajua hajui🤣🤣
Hakuna ninayemshangaa sana kama Abuu anavyojua kujaribu😂😂😂
Anamjalbu wakat Hana mda wamajarbio,🤣🤣
One
Jamani tu image mapambano ya athena na roma yatakuwa vp yani moto hatari
🔥🔥
Ivi wasikilizaj tumlaum Edina kwa kutokumzingatia mumewe au tumlaumu Roma lakin mbon Kuna mida edin anakaa tu kwenye mstar kwa upande wangu naona Kuna mida Roma anazingua iviii lakin wanawake tujifunze kuwa na misimamo na kuwa na uhakika na tunacho kifanya isia zisituendeshe kama michepuko ya Roma wanayoyafanya
Tuna shukulu Kwa kutufulaisha lukac ❤❤
Wow,🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤
Jamani ifike stage basi awa wanandoa waeleweke basi maana daaaaaah.
Kuna mida naye Roma anamvunja moyo Edina San sa sijuw itakuwaj
@@ReginaBenjamin-ij2ec 🤣na hana mpango wa kuachana na yoyoye🙆♀️
Yaan kumbe ww ni km mm🎉Edna anabana sana jaman anatuboa❤
@@TamaAbdulazizi Tuendelee kuvumilia tu🤣
Watu wana maajabu,wannang'ang'ania heshima ambazo hawana,mtu unamkana mwanao damu yako sababu ya madaraka? kama taahira vile😔😔
Edina mammy jiachie hatoki huyo
Edna Kisha nitibua anaishia juys yamdomo2 asubl mchepuko izd kukanyagana si anavunga kutokujal
Today am first one❤❤❤🎉🎉🎉
Hiiiiii,huyu Senga hana busara hata tone,sijui anaongozaje taifa zima kwa hisia zauropokaji hivyo😔
Yanii h
Kma vle si kiongoz mkuu kwajs anavo ropokwa Hana hekima
Ila endina mengi anayasababiaha mwenyewe mfano leo kamfuma na mwanamke alafu haonesh kujali
@@TeklaNdekeja malezi,kuna mabinti baadhi ya sehemu wanafundishwa ubaya wa tendo la ndoa tu,bila kuambiwa kuna uzuri wake wakati utakapofika matokeo yake ndiyo hayo
Kaka Lucas siwudie semu 23 na 24 moja ki moja tu asant
Woyooo
Waooo👏👏👏
Amken jaman😂
Roma atumie njia ingine sio damu yake kwa denis
❤❤❤❤❤
Waooo 19❤❤🎉🎉🎉😂😢
Wa 23
Roma ataezana kwel na vita vya Athena
Alf Edna unatak kufanyiwa Mazur na Roma akijarib tu unamkatizia njian SAS Roma akufanyej
Tukae mkao wa utam sasa😊😊😊
Usafil unao mbona kuchelewa rafik
@@TeklaNdekeja nilikuwa mtu mwenye shughuli nyingi leo🤣🤣
Labda atumie damu ya Rose kwasababu ye pekee ndo mwenye damu ya Roma ndani ya mwili wake
Tunaendelea na utamu wa roma
Gays hamlali 😂😂😂😂
Huku ni mchana mbona😂😂😂😂😂😂
❤❤
Simulizi nzuri sana ongera L Lumbas
Jmn Roma upewe mauwa yako jmn na nilijuwa kama hawezi ku muua ndungu yake
❤❤❤🎉🎉
Huyuu sijui anborn hamjui roma kabila kitu kifanyike yy amejua sasa anamtuma wema liwazo amtoe damu mybe huyuu sianatafuta kifoo..nakumbe boss wake ako kinyume naulimwengu wetu wakuamini Mungu haonekani yy anataka kuwaMungu wakuonekana hiyoo sijui kama itafauluu pili mnafanya uchafuu wanawake wawili.. dens amejisahau kweli ametolewaa kwenye kifo lkn bado anataka kumuua roma haya.kaka mtuu anataka kuoa dadake halafu mamake mshezi anasema anafanya bidii Awenayee huyuu mama nishetan kama mwanae na huyu msaidixi wa Edina asijeakajukikana na Roma hapo ako kwamission atauliwaa.nyaraka mybe waszchukue kama roma kamezwaa na udongoo lkn akiwa hai hapana...halafu unaexa kuwa namkeo AMA mwanao mume ukaona mkosawa kumbe ni maagent wasiri hii ndoimetokea kwaraisi anamkula secretary akijua hana lolote kumbe agent wasirii...roma achaa michepukoo tulia namkeoama muachee Adina kaa namichepuko
❤❤❤mambo bi 🔥 📛
Jamani edina fanya mambo mpe kitu roma ili atulie jamaa anakupenda ila una mzingua kama tatizo ni mtoto ashakuachia pawa zake atakujatu
Kkkk hatari Roma
❤❤❤❤❤
🎉🎉❤❤
Mzuri sana
Kazi mzuli kaka 🎉🎉🎉🎉
5
Lucas cyo mama wotee wanapenda
Wa 6
Hakumu uwaaaa 😊😊😊😊
Kwakweli uhondo wahii simulizi ungeli tuongezea mda
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asant kaka Lucas lazima semu 23
Hata ksma roma kazd bhn
Wadau tuadamane paka Kwa Edna tumwa bie atoe kitubua Eli Roma atulie sawa watuwangu ni Mimi kama 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa kama mwili wa hades wazamani uko mikononi mwa Athena inamanisha Nafsi yake bado inafanya kazi sasa Athena japo kuwa alitege mtego lakinihades wazamani bado anafanya kazi kama kawaida akishirikiyana na Roma na hao wa Anti illuminate mbona Antena anakazi nahuyo binti anaye ishi na Antena ndie atakuja kumumaliza Antena ngoja tusubiliye tuone moto jinsi utakavyo waka😂😂😂😂😂
Mwezi uiishe waachane juu huyu Adna naboa sana sasa anataka kuchukuliwa kama mke na yeye hamfanyii mambo yakikubwa acha nasra aolewe kiukweli ndo akili itamkaa sawa
Edna oyoooooo😅😅😅😅❤❤❤🎉
Unajikutaaaaaaaaaaaa🤣🤣🤣 wajina wako
Huyo wajina km hatoi mzingo atamfuma mpaka aseme po, ajitia kauzo hajali, nawakati maumivu yanamtafuna goja wakina Nasra,Roz, maege na neema naakina wengine wafaid yy sawa anaupendo na mtoto lanlan
Edna awache ujinga yeye mwenyewe ndo anayataka c alipanganga awe mke kimukataba hamujali roma atoe kitumbua kwa mme wake roma anampenda ila nikauzo sasa abaki na ukauzo wake
Ya 23
🔥🔥🔥💃🏻💃🏻
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hee 🤣🤣🤣🤣 we Desmond ngoja ukutwe hapo na Roma 🤣🤣🤣🤣🤣 mimi simo🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂 nahuyo mama Desmond yani hakiri zake zinafanana na Mme Jeremy vilevile na mtoto wao mwenyewe Desmond yani hakuna mwenye niya njema kati yao harafu huyo musaidizi wa Edna asubilie hivyo vinasa sauti Roma avigunduwe atajua hajuwi 😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 😂😂😂 hizi familia ni za washenzi walioshindokana, yaani hawajali hata watoto wa damu moja kuoana kisa kulinda heshima ya madaraka 😂😂😂kikweli mimi nasubiri wapate kibano chao tu wajinga hawa
Kwa jinsi Roma anavyopenda minyanduano kuna asilimia 45 mpango wa buwen kufanikiwa
Na tukumbuke Rose aliponyeshwa na Roma akitumia damu yake mala 2 sasa huyo yambuweni akijalibu michepuko ya Roma yote lazima plan C ifanikiwe ila acha tusubiliye tuone 😂😂😂😂😂
@@Evelynmoreen3655 isije kuwa hivyo tu
@@Melaninmengi tunaomba yambuweni asifanikishe mipango yake
Huyo Edna sio mwanamke ambae unae muongelea apo huyo unae muongelea nimwengine. Eti mwanake mwenye pesa zake amkomalie mwanaume kama Roma kwa lipi!?
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 maua yako kaka lucas.
Edna nimeshoka nae
🎉🎉🎉🎉
Ila.roma.ww.pasua.kichwa.ingekua.mm.ila.ningefu.na.presha
Hivi Edna akijua Rose ameinvest kwenye co kama mwanamke Edna atajisikiaje?
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤😂😂😂💕💕💕
❤❤❤❤❤
♥️🙏🥳
❤❤❤🎉🎉🎉
🙏🙏
❤❤❤
❤❤