BAHARIA ALIYEZAMIA MELI "DAR":NILIKOSA PUMZI/NAKATA ROHO/NILIINGIA MELI YA WAUAJI/WAGIRIKI..04
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Number❤ one
Iam a kenyan i came to greece 🎉 1987 i lived with Tanzanians who came by stole way n now i live in italy my brother is right sorry I forgot even swahili pole sana amante sana for the storia mr mbanga
Pamoja saana dupa.
Napenda iwe Kila siku
Mimi nilipanda ndege tatu kwa mara moja
Salute kaka
Jitahidini hizi stories muwe mnazipangilia,maana yake mnarukaruka sana,haijamaliza kuelezea hii,msharuka kwengine,inakuwa haiweleweki,hemu malizeni moja kwanza ikisha mwende ya pili,lakin hivyo mnavyofanya mnakorogakoroga mno,pangilieni vizur,hilo mimi naliona
adi ASA ivi watu Tu nadandia MERI we dupa vip watu majasili
Nikweli alipo sema king Edward iko pale saint George bandari kubwa
Israel port yao Ashidodi nishafunga na meli tometokea chanakal port Turkish 😂😂😂
Iyo south Africa yakitambo Mzee ivyo vitu akuna serikali Kali Sasa hivi tunamiliki magari mbaka mijengo tatizo ishakwisha Tena pesa ngumu
acha uongo south ni ileile haija badilika
Sio mzee baba saizi ndio shida zaidi kuanzia raia hadi polisi nahao polisi ndio kizaa zaa zaidi nimwendo wa rushwa tuu ata ukiomba visa hupati binafsi yangu niliomba visa hadi leo wengine miaka 4 naziada bado hawajapewa nahela imeenda
Ila pia kuna watu wanaroho safi sana naubinaadamu
Tunawajua hao,, ata kwao wabaguz sana nchi moja lakn mmmmmh
p1 dupa
Leo ndo utajua kuwa panadol ni dawa au sio dawa