ANGALIA MR RIGHT ALIVYOWAPA WAKATI MGUMU WAREMBO
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Kwa story zaidi za maisha, burudani, vipindi na za kila siku tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group chat.whatsapp....
►SUBSCRIBE / @stbongotv
►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
RATIBA ZA VIPINDI VYETU
THE BANTU JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 10 JIONI
SPOTLIGHT JUMATATU HADI IJUMAA KUANZIA SAA 12 JIONI
TWENDE JIKONI KILA IJUMAA KUANZIA SAA 1:30 JIONI
FASHIONISTA KILA JUMAPILI SAA 1 USIKU
MR RIGHT SHOW KILA JUMAMOSI SAA 4 USIKU
KIU SERIES JUMATATU HADI IJUMAA SAA2:30 USIKU
THE SPIRIT NA IBADA LIVE KILA JUMAPILI KUANZIA SAA 4 ASUBUHI
MOVIE NIGHT NI KUANZIA JUMATANO MPAKA IJUMAA KUANZIA SAA NNE USIKU NA MARUDIO MCHANA KILA SIKU
Toka nitizam iki kipindi uyu ndiye mwanaume anae staili kuyitwa Mwamba💯🔊✋❤❤❤❤❤❤❤
Hakika
Yaani ❤❤❤❤❤nimempenda na kumkubali sanaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@salomevenance9555waaaooo❤❤asnt sana nakupenda pia nipo apa
Nimependa hiyo ,mwanaume anajiamin na kazi yake apewe maua yake 💐
Nakukubali mwamba unaongea point kk from USA 🇺🇸 naipenda iyo kk
Mmepatikana leo,ukipenda mwanaume penda jinsi alivyo,watu walilia stara ya ndoa wewe walilia hela utabaki ivo 😂😂😂😂,,,congrt🎉🎉🎉broo nimependa confidence yako mwanaume ni kijiamini
safi sana bro wanawake wanajichanganya sana anataka mwanaume mihela nahana lolote
Kivumbi kweli,huyu jamaa ni shupavu na mkakamavu sana hongera bro,kwa kutuwakilisha.
Safi sana mwamba hakika huu ni uwakilishi bora wanaume 🙏
Huyu bro nmemuelewa Sana huyu ndo kijana na mwanaume wa kujenga maisha achana na huyo mchora kucha
Hivyo ndivyo anavyotakiwa mwanaume big up Mzee baba umetueshimisha vijana wapambanaji
Daaaah huyo dada amepatikana, kaka yupo vizuri si kwa muonekano tu ata kwa majibu yake, wadada tujifunze ukiamua kwenda huko uwe umejiandaa kiufahamu pia si kimuonekano tu
Jamani wekeni video nzima huu mwamba kaondoka na nani # kiboko yao hongera kaka100% gara b upo kakangu
Hii nimeipendaa hiii MR RIGHT❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mr right wa leo kiboko 😂👏👏👏👏👏👏 salute kwako 🫡🫡🫡
Asante sana hawa wana tafuta madanga pumbavu sana
Yaani huyu jamaa amenifurahisha sanaa 😂😂 nimempenda bure ❤️
Mwanaume Bora Kwa njia zipi ,Safi Kaka nimekupenda bure wahoooo
Huyu ndo mwanaume ssa 😘😘😘 mauwa yako pokea
Ooh my God i love this guys hes straught and he has goid questions zimewaingia wana dada sikioni ope wameskia,leo kiliwatambaaaa peupeeeee,from kenya but currently in Saudi Arabia
Nimempenda huyu kaka Yuko poa sana wadada wanachagua sana huyo kakomeshwa
Jamaa anajua sana kuflooo
Nataka mwanaume wangu aingize kiasi flan wakt we mwenyewe huna kaz ya maana kua. Mfamasia sio kazi tofautisha kati ya elimu na ujuzi ulionao na kazi uliyonayo unawezakua mfamasia ila jobless😂
Huyu kaka yuko vzr sana kujibu kaka nimekupenda bure kunywa soda apo kwa mangi ntalipa
Mwamba alikuwa anapiga kwenye mshono tu na hakosei
Nilitamani kujua mwisho wa mwamba huyu daah safi sana
kaka shikamoo nipo tunduma songwe kweli wewe ni sindano imeingia🙏❤️😊
Mwamba huyu hapa toka nihanze kuhangalia hichi kipindi leo nimemuona mwanaume mwenye misimamo na bingwa wa hawa wauni 😂😂😂 upewe mauwa yako kaka 😂😂😂 well done penzi sio pesa mpate maskini mwenzako and pesa mkazitafute wenyewe
Kabisa 😂
Huyujamaa kajua kuninyoshea mtu 🎉🎉
❤❤❤❤
Wengi hapo wanafata mwenye hela
Kbs
Sasa huyu jamaa kanifurahisha sana ningekuwa nanamba yake leo haki muamala ungesoma kajua kuwakomesha wao wadada wanatafta madanga maana wanatafta mwanaume ambae nikama wa kustarehe nae mana najua ukimpenda mtu hata kama anaingiza buku kwa cku kama ni wandoto yako upo tayari kumshaur namna ya kuitumia 500 na 500 kutunza ili mfike malengo sasa hao wanataka mtu aliejipata tayari huku wao bado hawajajipata 😏
Good
💐
❤❤❤
Kaka umetuheshimisha 😂😂😂
Hahaha
Safi sana mwamba, umemueleza vizuri sana huyo dada.
Mwamba nakupa 5 Safi Sana katika Jamhuri ya masela umeiwakilisha vyema.
Safi sana kaka umemuweza wanajionaga wajanja sana hawa wadada waivo
Haki nimempenda bure Mr right 😘😘😘
hii imeenda kabisa
Ila baadhi ya wanawake hakili hawana kukimbilia kuzungumza kabla ya kufikiri ndio inawa coast😩
Nilitamani nione mpaka mwisho amejua kunikosha mwamba uyo❤❤❤
Hapo wanawake wote hawana sifa ya kuolewa na hawajui maana halisi ya ndoa na nini kinachowapeleka kwenye ndoa... Mitazamo ya wanawake wote waliokuwepo hapo ni ya tamaa ya vipato vya wanaume na sio mapenzi .... Ni gold diggers tu hao...hapana mke hapo ,,
Wanaangalia sura pia, kwahiyo km haingizi pesa hakuoi, hawajui mtu anaeza akawa hangizi mkaoana na akaana kumake money mpk watu wakakushangaa
Mwamba huyu apa. 😂😂😂👑💯
Safi Sana , Kwanza kanaoneka kasumbufu Sana kana tamaa,
Jamani mwisho ilikuwaje❤️
Mwanzo sikuizingatia ila jamaa ni smart sana watu Wana demand vitu ambavyo kuvifanya kwa ajili Yao tu wameshindwa
Huyu mwamba namvuia kofia kabisa well answered 👏 👍 👌
Wasichana wanajibamba eti wazuri kumbe wafuga kucha tu
nimeipenda sasa huyu kaka yuko vizuri
Safi bro umemjibu kabisa wanaringa xna
Well done bro safi kabisa ss ndo wanaume inabidi tuwe
Awaresome i appreciate for sure
Bro. Bravo umejibu vizuri sana hongera sana bro
Subuhanallah... Kujiuza huko hakunke sahihi hapo wala mume mwema hapo. Nimtihanitu Allah atunusuru na watotowetu inalillahi wainailahi rajuin
Safi saaaana wajifunze na wengine❤
jamn wew mkaka nimekupend buleeeeeh jamn honger san ❤
Mr right kagwaduka 😂😂😂
😆😆😆😆
Mwamba umetisha Sana upewe maua yako mwamba km mwamba
Tough indeed yaani anategemea mpaka watu waumwe ndio apate kuingiza malipo .....😂😂😂😂😂
Yes! Huyu ni mwamba ,pesa tukatafute wote,wanawake waache mitelemko
Chukua mauwa yako mr right nimependa unavyojiamin na kazi yako ❤️♥️❤️🤎🤎♥️💖💕💕🌹💖💕♥️❤️❤️💖💕🌹😂😂
Yan huyu jamaa ajengewe sanam lke posta wanawake wenzangu mbadilike khaaa
Nimepenta mwanaume yupo straight hana kona ukizingua ni za uso he's matured 😂😂😂
Wamezidi. Kuuliza. Maswali. Ambayo hayana. Faida yeyote
Very intelligent man keep up
Huyu jamaa angetaja namb chap kwa tukampa ya soda maana yuko vzur😂
Asee huyu kaka nimempenda bureee
Nimepend broo
So nice.. nimekupenda bure
Duu nimekupenda bure kaka maana Awa mabinti anajishaua sana
alaf libayaaa ila linalingaaa
@@chimpayachimpaya5644 umeonaee
Uyu mwamba nilimpenda sanaaa yaani aliongea ukweli na kama kawaida ukweli waumaaaa.....aliwafunga vinywa waschana wana haja na pesa ya mwanaume....naomba mumu alike tena lulu pls aje tumuome tena
Safi sana kaka 🎉🎉
Mnatubania dah simuweke full video
Kaka nimekupendaaaaaaa
Kwanza kabaya,mashauzi kibao rti nataka mwanaume anaeingiza 50 kwa siku wakati mfamasia mshahara wa mwezi laki mbili😂😂😂 haya ndio matokeo ya kuongea bila kufikiria...ingekuwa rahisi hivyo angekuja kujinadi hapo 😂😂dada tamaa mbelee mauti nyuma...Mwamba nipe no yako nikutumie hela ya soda umejua kunifurahisha!
Mauwa kwako brother 💐💐🌺
Mbona kama nmemuona ZUWENA. Au ni macho yangu
Big up my brother
I always feel like everyone who goes to this show to look for the right person belongs to the streets....Hii ni show ya kukulana tu after all this Nonsense....How can a well mannered, financially, physically,mentally and spiritually stable Woman/man would go to the show ati kutafuta mpenzi...Soo after umechaguliwa then uende upate is opposite of what you thought you will still come back to the show again after umetumiwa na yule wa kwanza..😮😮😮😮
Jamaaa tatizo lake ni moja tu ni mweupe😀😀😀😀
Saf sana kuwa namsimamo uhouho baba ❤❤
Dada pole🙌😂😂🤣🤣 ila he's de right man sem icho kidada kna tamaa za pesa
Aisee jamaa nmempenda sanaa,hawa wadada niwahuni tu,wameshindwa mahusiano yao ya kweli wamekuja kutafuta pesa hapo na si mahusiano
Hongera kaka unahakili sana na unajiamini pokea mauwa yako
Mwendelez
Waooooooo napenda mwanaume wa silias ata mamb ake ni silias congratulations
Safi sana bro
Safi sana mwambaa
Iliishaje hii
Mwamba huyu hapa✅💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
hii imeeendaaa 🎉🎉🎉🎉
Mr right niwa🔥🔥🔥ile mbya, but the end of the day aliondok na Mrs right au vp....???? Muendelezo please tunataka kujua🙏🙏
umetuwakilisha vyema sana gentleman hakika unguja na tanga najivunia kuwa asili ya wazaz wangu
Nimeipenda hiiii 😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉 kwa mr
Jamani sasa ata kitu tamu hivi mnatuonjesha tu😢
unaweza kuangalia full show kupitia Startimes On App
Hakika kaka nimekupenda bule 👌
Ukirudi kwenye maandiko MWANAUME BORA NA MKE BORA ANAELEZWA KULE ukija hapo kurumbana MWANAUME unataka jua MWANAMKE anaingiza bei gani basi hapo Kuna Bora MWANAUME na siyo MWANAUME Bora
Brow Noma sana
Wamama au wadada wenye njaa kama huyu mtaishia kudangaaaaaaa nakufanya nakutoa mimba zisizo na idadi
Halfu yup sirious
Uyu kauwa Nampa big up
Masikin wadada wanajiuza wenyewe kabisa sasa wanatofauti gani na wale wahaya mmh aibu hiii😢
Kula chuma hiyoo
Bravooo kaka
Mike ozurwonye wa Nigeria have a brother in TZ ...
Tx he made my morning he is very sure of what he wants anajiamini saana
Wadada tuache kua kupe tujitegemee banaa
Eeeeish ur askng a man jow much he get s a day n yet uav nothing 😅😅😅😅😅bure kabisa
Safi sana kaka majibu mazurii sana
mwamba ndio huyu hapa sasa😊
Safi sana imetisha mwamba bigapu🤗🤗🤗🤗🙏
Bro heshimaa sanaa