Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
TEAM DUBU TZ❤❤ BASI LEO NIPENI LIKE ZANGU JAMANI BECAUSE MIMI LEO NDO WA KWANZA. LEO NI MWENDO WA KU ENJOY NA “”” REVENGE EP 4 “”❤❤❤😂😂😂😂
Inapendenza
Team nyani ngwengwe na mutumishi moto on fire
Yes on fire 🔥
Hajra na dubu mnaedana hata kwa ngoma nliona mpo vizuri 🎉🎉🎉maua yenu
🙏🥰
Mdogo wangu HAJRA hapa kwa DUBU kiufupi tusubiri NDOA TUU maana sio kwa kuendana huko kiukweli 🎉
Kwakifup tu nawapenda ❤
Nilijua mm njo natak 2
Kazi ni nzuri lakini kuweni serious 😂😂😂
Mimi nikekuwa wa Kwanza hapa naomba like hata 20 tuu alafu tuendelee na hii siries
Team Dubu from Mozambique 🇲🇿🔥🔥🇲🇿
Mko vizur jamaa bt mnachelewa sana nawakubal toka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🤝
Good job
dubu movie yako ni nzuri sanaa sema unachelewa kutoa vipande kipenzi 😢
Like yangu ndoiyo nimekutumia
Dubu unachelewa sana kuweka mwendelezo kaka
Mnajua mpaka mnaboa🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻
🙏🙏
Nakwmbia wee😂😂😂😂😂
Jamn na mm nmewahi leoooo❤❤❤❤safi sana tunapata rahaaa
🥰
Mpaka sasa nimemtambua dubu na dube huyu watatu bado,,, big up yng brother 🎉🌹
@@OfficialDubu_tzmuoe hajra dubu nshallah mwaendana walai 😂😂😂😂😂🎉
Kaz nzur kisha 🔥🔥💯 sana inshallah mambo yazid kuwa mepes
Am here am here as usual from kenya
Watu wanawahi sana 😂
Wapi like zangu from 254🎉🎉🎉
Good job ila awamu hii mme2chelewesha sana 2taisahau jaman, Muendelez m2waishie bas
Show kali
Umetisha broo
Thenoiseboy from Kisii KENYA 🇰🇪 am in
Munaducerewesha Guys 🙏🏼🙏🏼 Much Love From Burund 🇧🇮❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hongera kazi nzur xana💓💓
Jmn dubu na dube na huyu wa tatu si nitachanganyikiwa zaidi
Kwqhiyo ni mapacha kweli
Nikama bt kuna kitu huyu mzee anaficha
Kaka kazi nzuri japo nachangamoto unazo pitia jitahidi kuwahisha kazi
🤝🤝
😂😂😂😂😂 Samahani nilijua kopo😂😂
Kazi nzur sema tatzo mnachelewa cn kutoa kazi kwa muda mlefu
😂😂😂😂mtumishi moto wekiboko mama wawatu anamachungu namwae ww unajibebisha😅
🤣
Wakwaanza like dubu
Wakwanza jaman
Asante kaka dubu
umeweka dakika nyingi lkn utashangaa zinaishia10 iyo nyingine matangazo
Team Dubu Oyeeeee❤much love from 🇰🇪 Dubu. Mbona uwa mnaichelewesha Sana hii Revang
Dubu naomba lenke 😂😂😂😂❤❤❤❤
Jamani nipeni mauwa yangu wakwaza leo
Aah Mnachelewesha sana mpaka tunasahau tuliishia wapi
Hongeren sana na kaka ila hajira kanenepa saiv daah
Oya mwanangu dubu we noma sana nipen ❤❤❤
Safi sana🎉🎉❤❤
Tamu sana leteni mbio yagufata
Unaweza
From Mozambique 🇲🇿❤ Nawakubali sana ❤
Dube kiburi nayo
Kazi nzuriii😂😂😂
Good job my brother Dubu 🎉🎉🎉🎉
🙏
Mpka tunakusahau kwel
Inapendeza ❤❤❤❤
Mmh ila uyo demu mwenye shedo nyeusi sjui judy mmmhh mmmh AU BAS😊😅😅
Acha zarau mzee😅
Achia ya tano dj wetu
Jamani kwani watu mnalala online weee😂😂😂😂hii nayo ni kali kazi nzuri dubu mungu akutangulie na usichelewe kutuletea part 5🔥❤️🔥❤️🔥
Huyu dogo mdogo ameweza sana hadi kafanana na Dubu mpaka vituko....much love young man❤❤❤❤
🙏🙏🥰🥰
Naomba linki yangu
Dubu uctueke sana 🥰kitu kimenoga bwna🔥🔥
Dubu fundi kama dubu ❤❤
Kaliii🎉🎉🎉🎉
Naomba like hata 5 wakwanza
Dubu mm mdau waka chengine mm shemeji yako Kwa mabuti lkn sijaelewa hi movi kabisa Jiji ni mapcha watu au wawili yarabii mungu wangu eti mabuti ni vp hap
Utaelewa Inshaallah 🥰
@@OfficialDubu_tz saw
Courage🎉🎉🎉🎉
Mtumishi moto na mwenzake ni fire
Nakbal sana dubu ka mkuu
Ety pole mpenzi😂😂😂🎉 we mzee Atar alafu nakujilamba kabisa😅😅🙌
😛
Nice jobs🎉🎉🎉
Morefire❤
Huyu jamaa nyaningwengwe Mbn anajua had anapitiliz sas
Kazi nzuri but mwachelewa sana jmn
naomba like zangu broo dubu tz
Afadhali maana nilimiss kitambo sana haki sijachelewa sana
Nakupenda Sana dubu uko vzur ❤❤❤🎉🎉
Nyani ngwengweee nakukubali sana
Kazi nzuri wakuu ila mnachelewesha episode nyingine sijui tatizo ni gani
Broo unakawia sana kiachia kazi💔💔💔
Kenya hapa...napenda show yenu sana...congratulations
My Dubu again 🔥🔥❤️❤️ much love from🇰🇪🇰🇪🇸🇦
Much love kwa tuem nzima❤❤❤🇰🇪🇰🇪
Dah hili bongemoka la movie mzee sema usichelewe kuilusha sehemu ya 5
Wow kazi nzuri sana 🎉🎉🎉
Samahani nilijua kopo
Kwhivyo si wezi😂😂😂we mshamba nini🎉🎉🎉😂😂😂aaaya bwana ukubwa jalala 😂😂😂
Kazi nzuri.
Dubai jameni week mbili zoteee tuhurumie mashabiki zako ❤😢
Bado nipo na Amapiano kibaka halafu mganga😂😂😂😂anikomeee anikabe huku ananiagua maana na majanga kibao na simu achukue shenziii kabisaa
Kazi nzuri sana Dube 🥰🥰🥰🥰🥰
🥰🥰
😂😂 halafu hicho kizee et pole mpenzi 😂😂😂chenyewe kifupi kaa piriton 😂😂😂
oya kaka dubu me shabiki wako sana,sema hao Madogo wana kazi safi walai Mungu azidi kuwapeleka mbali From Kenya we love you🇰🇪💥💪💪🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌❤
Alaf ww😂😂😂
Nyani gwegwe wanipunga jamani 🤣🤣🤣
Dah nyani ngwengwe na mtumishi moto wananiacha hoi sana😂😂😂
🤣🤣
Unyama kama wote 💪✋✋
Napenda sana confidence ya hawa madogo
Wa 40😆
BIG MISONDO KIBOKO YA WACHAWI😅😅😂😂😂
😂😂😂
Mmmh sijaelewa bado kwanini Dube hataki kumskiliza uyo mama 😢
Ila uyu big anachekeshaaa daaah😊😂😂😂😂
Dubu ongea yake huku anabinya macho ananikosha sana❤❤🎉😊😊
❤🎉❤🎉😅 Mkn san bro
Thanks dubu kazi yani iko on fire 🔥 pia leo episode imekua ndefu I appreciate good job
Like when you heard’’ You’re understanding you😂😂😂😂😂I absolutely love this movie.
Halafu Wewe🖖
Nakukubali Dubu, ila mnakawia Sana ak
TEAM DUBU TZ❤❤
BASI LEO NIPENI LIKE ZANGU JAMANI BECAUSE MIMI LEO NDO WA KWANZA. LEO NI MWENDO WA KU ENJOY NA “”” REVENGE EP 4 “”❤❤❤😂😂😂😂
Inapendenza
Team nyani ngwengwe na mutumishi moto on fire
Yes on fire 🔥
Hajra na dubu mnaedana hata kwa ngoma nliona mpo vizuri 🎉🎉🎉maua yenu
🙏🥰
Mdogo wangu HAJRA hapa kwa DUBU kiufupi tusubiri NDOA TUU maana sio kwa kuendana huko kiukweli 🎉
Kwakifup tu nawapenda ❤
Nilijua mm njo natak 2
Kazi ni nzuri lakini kuweni serious 😂😂😂
Mimi nikekuwa wa Kwanza hapa naomba like hata 20 tuu alafu tuendelee na hii siries
Team Dubu from Mozambique 🇲🇿🔥🔥🇲🇿
Mko vizur jamaa bt mnachelewa sana nawakubal toka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🤝
Good job
dubu movie yako ni nzuri sanaa sema unachelewa kutoa vipande kipenzi 😢
🙏🥰
Like yangu ndoiyo nimekutumia
Dubu unachelewa sana kuweka mwendelezo kaka
Mnajua mpaka mnaboa🤣🤣🤣🤣🙌🏻🙌🏻
🙏🙏
Nakwmbia wee😂😂😂😂😂
Jamn na mm nmewahi leoooo❤❤❤❤safi sana tunapata rahaaa
🥰
Mpaka sasa nimemtambua dubu na dube huyu watatu bado,,, big up yng brother 🎉🌹
🙏🙏
@@OfficialDubu_tzmuoe hajra dubu nshallah mwaendana walai 😂😂😂😂😂🎉
Kaz nzur kisha 🔥🔥💯 sana inshallah mambo yazid kuwa mepes
🙏🙏
Am here am here as usual from kenya
Watu wanawahi sana 😂
Wapi like zangu from 254🎉🎉🎉
Good job ila awamu hii mme2chelewesha sana 2taisahau jaman, Muendelez m2waishie bas
🙏🤝
Show kali
Umetisha broo
Thenoiseboy from Kisii KENYA 🇰🇪 am in
Munaducerewesha Guys 🙏🏼🙏🏼 Much Love From Burund 🇧🇮❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Hongera kazi nzur xana💓💓
🙏🙏
Jmn dubu na dube na huyu wa tatu si nitachanganyikiwa zaidi
Kwqhiyo ni mapacha kweli
Nikama bt kuna kitu huyu mzee anaficha
Kaka kazi nzuri japo nachangamoto unazo pitia jitahidi kuwahisha kazi
🤝🤝
😂😂😂😂😂 Samahani nilijua kopo😂😂
Kazi nzur sema tatzo mnachelewa cn kutoa kazi kwa muda mlefu
😂😂😂😂mtumishi moto wekiboko mama wawatu anamachungu namwae ww unajibebisha😅
🤣
Wakwaanza like dubu
Wakwanza jaman
Asante kaka dubu
umeweka dakika nyingi lkn utashangaa zinaishia10 iyo nyingine matangazo
Team Dubu Oyeeeee❤much love from 🇰🇪 Dubu. Mbona uwa mnaichelewesha Sana hii Revang
🙏🥰
Dubu naomba lenke 😂😂😂😂❤❤❤❤
Jamani nipeni mauwa yangu wakwaza leo
Aah Mnachelewesha sana mpaka tunasahau tuliishia wapi
Hongeren sana na kaka ila hajira kanenepa saiv daah
Oya mwanangu dubu we noma sana nipen ❤❤❤
🙏🥰
Safi sana🎉🎉❤❤
Tamu sana leteni mbio yagufata
Unaweza
From Mozambique 🇲🇿❤ Nawakubali sana ❤
🙏🙏
Dube kiburi nayo
Kazi nzuriii😂😂😂
🙏🙏
Good job my brother Dubu 🎉🎉🎉🎉
🙏
Mpka tunakusahau kwel
Inapendeza ❤❤❤❤
Mmh ila uyo demu mwenye shedo nyeusi sjui judy mmmhh mmmh AU BAS😊😅😅
Acha zarau mzee😅
Achia ya tano dj wetu
Jamani kwani watu mnalala online weee😂😂😂😂hii nayo ni kali kazi nzuri dubu mungu akutangulie na usichelewe kutuletea part 5🔥❤️🔥❤️🔥
🙏🙏
Huyu dogo mdogo ameweza sana hadi kafanana na Dubu mpaka vituko....much love young man❤❤❤❤
🙏🙏🥰🥰
Naomba linki yangu
Dubu uctueke sana 🥰kitu kimenoga bwna🔥🔥
🙏🤝
Dubu fundi kama dubu ❤❤
Kaliii🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Naomba like hata 5 wakwanza
Dubu mm mdau waka chengine mm shemeji yako Kwa mabuti lkn sijaelewa hi movi kabisa Jiji ni mapcha watu au wawili yarabii mungu wangu eti mabuti ni vp hap
Utaelewa Inshaallah 🥰
@@OfficialDubu_tz saw
Courage🎉🎉🎉🎉
🙏🙏
Mtumishi moto na mwenzake ni fire
🙏🙏
Nakbal sana dubu ka mkuu
🙏🙏
Ety pole mpenzi😂😂😂🎉 we mzee Atar alafu nakujilamba kabisa😅😅🙌
😛
Nice jobs🎉🎉🎉
Morefire❤
Huyu jamaa nyaningwengwe Mbn anajua had anapitiliz sas
🙏🙏
Kazi nzuri but mwachelewa sana jmn
naomba like zangu broo dubu tz
Afadhali maana nilimiss kitambo sana haki sijachelewa sana
Nakupenda Sana dubu uko vzur ❤❤❤🎉🎉
🙏🙏
Nyani ngwengweee nakukubali sana
Kazi nzuri wakuu ila mnachelewesha episode nyingine sijui tatizo ni gani
Broo unakawia sana kiachia kazi💔💔💔
🙏🤝
Kenya hapa...napenda show yenu sana...congratulations
🙏🙏
My Dubu again 🔥🔥❤️❤️ much love from🇰🇪🇰🇪🇸🇦
🙏🙏
Much love kwa tuem nzima❤❤❤🇰🇪🇰🇪
🙏🥰
Dah hili bongemoka la movie mzee sema usichelewe kuilusha sehemu ya 5
🙏🙏
Wow kazi nzuri sana 🎉🎉🎉
🙏🙏
Samahani nilijua kopo
Kwhivyo si wezi😂😂😂we mshamba nini🎉🎉🎉😂😂😂aaaya bwana ukubwa jalala 😂😂😂
Kazi nzuri.
🙏🙏
Dubai jameni week mbili zoteee tuhurumie mashabiki zako ❤😢
🙏🤝
Bado nipo na Amapiano kibaka halafu mganga😂😂😂😂anikomeee anikabe huku ananiagua maana na majanga kibao na simu achukue shenziii kabisaa
🤣
Kazi nzuri sana Dube 🥰🥰🥰🥰🥰
🥰🥰
😂😂 halafu hicho kizee et pole mpenzi 😂😂😂chenyewe kifupi kaa piriton 😂😂😂
oya kaka dubu me shabiki wako sana,sema hao Madogo wana kazi safi walai Mungu azidi kuwapeleka mbali From Kenya we love you🇰🇪💥💪💪🙏🙏🙏🙌🙌🙌🙌❤
🙏🙏
Alaf ww😂😂😂
Nyani gwegwe wanipunga jamani 🤣🤣🤣
Dah nyani ngwengwe na mtumishi moto wananiacha hoi sana😂😂😂
🤣🤣
Unyama kama wote 💪✋✋
🙏
Napenda sana confidence ya hawa madogo
🙏🙏
Wa 40😆
BIG MISONDO KIBOKO YA WACHAWI😅😅😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂
Mmmh sijaelewa bado kwanini Dube hataki kumskiliza uyo mama 😢
Ila uyu big anachekeshaaa daaah😊😂😂😂😂
Dubu ongea yake huku anabinya macho ananikosha sana❤❤🎉😊😊
🙏🥰
❤🎉❤🎉😅 Mkn san bro
Thanks dubu kazi yani iko on fire 🔥 pia leo episode imekua ndefu I appreciate good job
🙏🙏
Like when you heard’’ You’re understanding you😂😂😂😂😂I absolutely love this movie.
Halafu Wewe🖖
Nakukubali Dubu, ila mnakawia Sana ak
🙏🤝