Roast/Rojo ya Nyama ya N'gombe. the Malkia Way, utaenjoy sana
Вставка
- Опубліковано 27 гру 2023
- Nyama kg 2
beef masala 1tbsp
chumvi 1tbsp
kitunguu maji 1
Thom na tangawizi 1tbsp
pil pil manga 1/2 tbsp
Nyanya 8 ( blended or grated)
Garam Masala 1tbsp
Maggi star 1
Gilliland kiasi
carrots 2 kubwa
hoho 1+ 1/2
Maashallah. Nice and simple❤
Asante dada yummy ❤
Hiisiyo supu 🤑🤑🤑💃
Barakiwa pishi liko vizuri
mashaallah umeweza
Ubarikiwe ❤❤❤
Wat I know good cook cuts carrots,green peppers big size .I like it very nice. Blend tomatoes makes good results I hate cut tomatoes in sauces.
Thank you 😍
Me nilikuwa sijui kupika asante
Rosti nzuri sana 😋👌
Asante sana
Yummy yummy
Imefanywa vizuri sana
Nilipika hii na wali nazi weee👌😋
Ubarikiwe ddngu
MashaAllah shukran dear
Nakupenda dd naomba nisaidie nipate viungo
Nice one
Ahsante
Thank you so much for the recipe ,I will ask for the link of how to get that cooking pot
Kitunguu making sijaona
Garama salad
Garamasala
Nimzuri my 💞
Mafuta ya kula hujaweka boss
Yummy
❤❤❤
Chapati jamani
Very simple recipe. .....and adorable
❤
❤️❤️❤️❤️
Hello sorry what company name for the cooking pot you are using???
Nimependa mpenzi nitajitaidi nipike ivyo
Mungu akubariki sana sana ayakumbuke nakuyatimiza mahitaji ya maisha yako Asante kwa elimu
Amina mumy. Amina
Amen
ameeeen dear
😊
So nice napendaga mboga mboga zilizokatwa hivyo Nene nene
thanks dear
Asante
Ubarikiwe sana umenifundisha nashukuru
Barikiwa dear umebadilisha majiko yetu❤
Amina mumy 😍
Sanaaa
Sima Iko wapi,
Tamu saana
Nimependa Sana hiyo malkia
Asantee
Kalimao je?😳
Asante dear
Ndo maana watu magonjwa yamekuwa mengi kizazi hiki mix zinakuwa nyingi kwenye vyakula,kwangu Mimi sikubaliani na mix hizo
Umetisha una group ya wtsap
Ginger kitungu saum onion magi star beef masala
Mungu akutunze dad
Afu ni mimi nilisema dada malkia hiko kitochi😅😅😅nilijua kinamulika nyama😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅😅Daaah we dada nakupenda basi tu umetuinuaaa
Hahahaa. Jamanii. Sante dear
😂😂😂😂😂
Haahhaa.. Asante dear
My 2023🏆🤍
Shukrani
Karibu❤
Hiyo grinder ya pilipili manga umenunua wapi?
Dadaaaaaaaaaaaaq ubarikiwe nimepika na me leo mwaka mpya wangu nmekula vzur
Hongera sana love. Enjoy
Mafuta uliweka wakati gani?
Sijaweka kabisa kz nyama Ina mafuta
Kitunguu kinawekwa wakat gani
Ameweka wkt anaanza kuchemsha
New subscriber, nipitie pia
Mbona haujaweka mafuta?
Kwasabu nyama ilikuwa na mafuta,hata mimi huwa napika kama anavyopika
Malkiafoods hiyo mboga ujaweka mafuta
Si unaona imejaa mafuta yake dear?
Asante
Inamaana mafuta ya kula sio lazima kutumia
Kama nyama zinafuta huna haja kutumia mafuta ukaongeza fat kwa mwili
❤❤❤
❤❤❤
❤❤❤