Simulizi Ya Kweli (Nazareth Amulike) Aliye Tuliza Kupitia Ambwene Mwasongwe

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Kuendelea kupata mafundisho mengine zaidi tufuatilie kupitia mitandao yetu ya kijamiii:-
    Facebook : / gospeltvshow
    Instagram : / chomozanews
    UA-cam : www.youtube.com...
    #ChomozaTv#2021

КОМЕНТАРІ • 88

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 2 роки тому +15

    Ndugu watanzania na ulimwengu mzima MITHALI 4:6 mungu alituaidi akasema usimwache nae atakusitiri na umpende nae atakulinda,na mithali 4:8 hapa mungu anafika mbali zaidi anasema umtukuze nae atakutukuza na atakupatia heshima ukimkunbatia,WATANZANIA NA ULIMWENGU TUMPENDE MUNGU SANA SANA ILI ATUPE ULINZI KWASABABU ATUJUI YALIOKO MBELE YETU SHETAN ALINYANG'ANYWA MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA KWAIO ANAJUA MAFANIKIO YETU YALIOKO MBELE KWAIO UA ANAANDAA UARIBIFU JUU YAKO KWA KUEKA MITEGO YAKE.shetan anaona yalioko mbele YETU kabla sisi atujaona anajua mipangò YETU.mithal 4:27 kumcha bwana kunaongezà siku zamtu

  • @jamiraabbakary739
    @jamiraabbakary739 2 роки тому +27

    Namfaham Sana huyu kijana kambi alofanyia kazi ndiko nilikokulia, pamoja na kuwa askari pia alikuwa muuguzi hospital, kanichoma sindano Sana huyu Jamaa coz nilikuwa na shida ya kifua nikiwa mtoto, nimefurahi kuona yuko huru tena. kimsingi nilisikitika alipopata hayo matatizo hakuna alokuwa akiamini kwakuwa tabia yake ilionekana kuwa njema, lakini nani ajuaye kesho ya mtu? Jibu ni mungu peke, Pole Sana Nazareth majaribu ni mtaji umechagua njia njema kutumika na mungu barikiwa Sana.

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Рік тому +2

    Mazingira ya kesi, Ushahidi, Sheria za kazi zilinibana, mpaka mkewangu akaniambia kama umefanyaaa kili kosa tujue moja 😭😭😭😭😭😭😭 Yesu wa nadhareth akukumbuke daima mpendwa 🙏🏽

  • @blackqueen3532
    @blackqueen3532 2 роки тому +3

    I feel you mtumishi😭😭tumepitia kwenye kesi za kusingiziwa na inauma sana MUNGU UTUKUMBUKE NA HAKI ZETU ZIENDELEE kustawi🙏

  • @pasuakaratu2601
    @pasuakaratu2601 Рік тому +1

    Ukiona lakwako zito jaribu kujifunza kwa wenzako🙆‍♀️

  • @BGHaule
    @BGHaule 2 роки тому +2

    Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 2 роки тому +1

    Nyie huyu kaka miye ananiliza, kila nikiona Story yake napata huzuni sana,nawaza kama hatuna wapelelezi wanayoijua kazi yao je ni wangapi wako gerezani kwa makosa yasiyowahusu,Mungu aingilie kati awatetee mwenyewe watu wake.

  • @dadesefute8095
    @dadesefute8095 2 роки тому +2

    Hakika Mungu ni kwa ajili ya wote wenye mwili. Asante kwa ushuhuda umenijenga.

  • @petermshali5157
    @petermshali5157 Рік тому +1

    Mweeeh... Isya nkisu sikutamya mweeee....

  • @njonjolomahfudh3238
    @njonjolomahfudh3238 2 роки тому +2

    THE STRONGEST MAN NAZARET, UYU MTU KAPITIA MITIHANI MIZITO MNOOO

  • @focuseric4109
    @focuseric4109 2 роки тому +1

    Shetani alinyänganywa MAMLAKA AKUNYANGANYWA MAARIFA kwaio anaona yalioko mbełe yako kwamana iyo wewe unaepanga mipango mizuri Leo,kesho, kila siku shetan anaiona nae anapanga jinsi yakuzuia na kuiaribu kwakutumia ma agent kupitia ajał ,magonjwa,kwenda jela, magomvi,MITHALI 4:6 usimwache nae atakusitiri,umpende nae atakulïnda .

  • @lukajohn1919
    @lukajohn1919 2 роки тому +2

    Kwel kabisa nakukumbaka sana tulikuwa wote segerea

  • @lydiamsafiri9613
    @lydiamsafiri9613 3 роки тому +2

    Mungu anabaki kuwa Mungu, barikiwa sana mtumishi, hayo ndio mapito, iliwe uwe dhahabu lazima moto uwepo, Mungu azidi kukuinuwa

  • @willymwakasonda8043
    @willymwakasonda8043 2 роки тому +5

    Huyu jamaa ninamfahamu kabisa nilipokuwa Askari gereza la segerea nilikuwa nae kabisa na alikuwa kiong ozi katika misa as mahabusu na alikuwa jamaa poa sana mwenye kusali sana, hakika Mungu yu mwema sana atukuzwe sana bwana wa majeshi

  • @BGHaule
    @BGHaule 2 роки тому

    Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu

  • @BGHaule
    @BGHaule 2 роки тому

    Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu

  • @BGHaule
    @BGHaule 2 роки тому

    Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi was Mungu

  • @BGHaule
    @BGHaule 2 роки тому

    Pole na Hongera Kwa kushinda na kuendelea kumtumainia Mungu,kwa kweli machozi yamenitoka,sijui ni machozi ya nini,ila Mungu ni mkubwa....but nadhani katika hilo inabidi serikali wakufikirie angalau ulipww fidia kwa yale yaliyokukuta,ingawa tunajua haiwezi kurudisha roho za wale Wapendwa wako but itakusaidia angalau kuhisi bado Taifa linakupenda. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Рік тому

    Shetani ni muonevu sana kwa kweli Mungu aku compasatie kila ulichopoteza familia na miaka yako yote uliyoipoteza Mungu anatosh Kaka. 🌹🌹

  • @ndipomwakalindile4337
    @ndipomwakalindile4337 Рік тому

    NAMFAHAMU SN NAZARETH NI KAKA ANGU TUMEKUA NAE KIJIJI KIMOJA NA TUMESOMA NAE SHULE YA MSINGI TALATALA ILIYOPO KYELA MBEYA HALAFU NI FAMILY FRIEND NAFURAHI KUSIKIA YUPO HURU SN

  • @babycandy3225
    @babycandy3225 3 роки тому +2

    Pole bamdogo naza

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila3300 3 роки тому +1

    Yaani shetani akiamua kukutesa anakutesa mno. Hii mi roho ya mateso ambayo ilikupata kukupoteza

  • @lidiamwantandi452
    @lidiamwantandi452 2 роки тому

    Pole saana kaka hii ndio nchi yetu na uwongozi wake, njoo tuungane kudai katiba mpya na tume huru

  • @petermundele7301
    @petermundele7301 2 роки тому

    Dah mungu huyu acha binadamu aitwe binadamu ,ndo maana binadamu mdogo but anatengenezewa mabomu makunwa

  • @mpalleymwaipola7435
    @mpalleymwaipola7435 3 роки тому +2

    Nakumbuka hii story na kaka Isaya mwakiswalele naye aliunganishwa kwenye hiyo kesi

  • @mozzkamaru
    @mozzkamaru Рік тому

    Aisee , listening to this , Nabaki tu kumshukuru Mungu . Binadamu tunapita kwenye changamoto sana ila Mungu anatusimamia. Asante sana kwa ushuhuda huu .

  • @tunaitwakiwovele7358
    @tunaitwakiwovele7358 2 роки тому +2

    Nimelia mimi

  • @dennisjosephat237
    @dennisjosephat237 2 роки тому

    Dah ! Painfully story! God is living and glory to almighty.

  • @yasintaraphael8334
    @yasintaraphael8334 2 роки тому

    Wewe ni mtumishi wa MUNGU mkubwa sana shetani alijalibu kuondoa hatma yako akashindwa .ubalikiwe mtumishi wa MUNGU kwenye huduma yako

  • @annadaudi9266
    @annadaudi9266 2 роки тому

    Pole San kaka,, dhahab ili ing'ae lazm ipite kweny Moto hakik wew Ni dhahabu🙏

  • @naomybenedict5855
    @naomybenedict5855 2 роки тому

    Bado ninamshangaa Mungu kwakwli,,marajibu yapo kutufunza kwakweli pole baba angu namshukuru Mungu ww ni mzima.

  • @tupilikeiswasu5474
    @tupilikeiswasu5474 2 роки тому +1

    Ndagha nkamu, akapango kikulisya fijho😭😭

  • @luhekelondelwa9714
    @luhekelondelwa9714 2 роки тому

    Pole sana kwa mapito Mungu yeye ajua sbb kwa nini uliyapitia hayo

  • @maxwellmseo1380
    @maxwellmseo1380 Рік тому

    Kwa maelezo hayo hatuna Sheria za kazi

  • @gracekalihose8504
    @gracekalihose8504 3 роки тому +1

    Miaka 9 mahabusu!mmmm

  • @damarismbitha253
    @damarismbitha253 2 роки тому +2

    Nakupenda sana Nazareth...

    • @sososool9177
      @sososool9177 2 роки тому

      Pole sana kaka kumbe hu wimbo nismlizi ya kweli pole sana katika hayo yote yana Mungu

  • @happynzunda7563
    @happynzunda7563 2 роки тому

    Dhuu!! Pole sana babaangu kweli mapito yapo duniani jamani likikukuta utadhani upo pokeako kumbe wenye mapito ni wengi sana

  • @andrewsekwao99
    @andrewsekwao99 2 роки тому +3

    Pole kwa mapito ila katika hayo yote ashukuriwe Mungu awezae yote

  • @devothaisaya5833
    @devothaisaya5833 2 роки тому

    Nimeumia san hii story ingekuwa vyem upewe fidia .

  • @mwanahamisbwanga1184
    @mwanahamisbwanga1184 2 роки тому

    😭😭😭😭😭nmelia dar pole pole sanaa

  • @Joshchris24
    @Joshchris24 2 роки тому

    Ndagha nkamu, akapongo kikulisya fijho 😭

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 2 роки тому

    Jamani dah maisha haya watu wanaozea jela bila hatia pole sana kaka yetu kwa kufiwa na mkeo na mwanao na dada yako Mungu aendelee kukufariji dah nimeumia sana na kisa chako

  • @ameniameni617
    @ameniameni617 3 роки тому

    Pole Sana uyo polisi aliyekutaja ndiye chanzo cha kupoteza familia yako

  • @justinamsidada1296
    @justinamsidada1296 2 роки тому

    Hongera brother.. Wachache wanaweza kuvaa kiatu chako

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 2 роки тому

    KWAHYO kumbe hata mm naweza kuzaa mtoto nkamuita dar es Salam 😅 au

  • @devotaminga9352
    @devotaminga9352 2 роки тому

    Mwacheni Mungu aitwe Mungu

  • @gracemwakalukwa8352
    @gracemwakalukwa8352 3 роки тому

    Umenikumbusha kaka naza niliumia sana pole endelea kumtumikia mungu

  • @malangunda7365
    @malangunda7365 2 роки тому

    Aisee pito Zito Sanaa pole Sana Mtumishi

  • @vailethmduda4272
    @vailethmduda4272 3 роки тому +2

    Mshukuru Mungu kwa yote..Pia amekuonyesha njia sahihi ya kuiendea..Mtumikie Mungu kwa moyo wako wote na kwa akili yako yote...

  • @zedekiahmagwega8044
    @zedekiahmagwega8044 2 роки тому

    Daaa inaumiza sana

  • @winniferogechi9336
    @winniferogechi9336 2 роки тому

    I feel it but pole sana

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 2 роки тому

    Basi umeniliza sanaa

  • @rosenyato8729
    @rosenyato8729 3 роки тому +2

    Nazareth ninayekufahamu ulipitia haya kweli. Dah! Pole kaka yangu jamani. Nimeumia sana. Songa mbele usitembee na taarifa mbaya kichwani wewe ni mtumishi

    • @agneskaijage9757
      @agneskaijage9757 3 роки тому

      Mtafute umtie moyo kama unamjua natumai atafurah sana

  • @neemamwandalima5564
    @neemamwandalima5564 2 роки тому

    😭 Mungu atabaki kua Mungu

  • @euniestherwilliam1513
    @euniestherwilliam1513 2 роки тому

    Ambwene Mungu akubariki sana

  • @gracemwakalukwa8352
    @gracemwakalukwa8352 3 роки тому

    Kaka naza pole kwa yote zidi kumuomba mungu

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 2 роки тому

    😭😭😭😭 duh Mungu akutie nguvu!!! So sad

  • @nichorousmpala5366
    @nichorousmpala5366 2 роки тому

    Ainuliwe Mungu wetu alie juu

  • @ruthsinkamba8209
    @ruthsinkamba8209 2 роки тому

    Aisee ,MUNGU NI MWEMA

  • @pescopenterprises2728
    @pescopenterprises2728 2 роки тому

    Msaada namba za hoyo mwinjilisti

    • @jdjhdj6973
      @jdjhdj6973 2 роки тому

      Tatizo kubwa hii yote ni ukosefu wa kamera km ungekuwa huku bs ukweri ungejulikana

  • @janethchaz1813
    @janethchaz1813 2 роки тому

    pole sana kaka😭😭😭

  • @kourtneykourtneyismaile7745
    @kourtneykourtneyismaile7745 2 роки тому

    Ulipitia rafiki yangu

  • @jonsongabriel937
    @jonsongabriel937 2 роки тому

    Sifa utukufu na heshima ni kwake Muumba wa mbingu na nchi.

    • @gracestewartmchaky6650
      @gracestewartmchaky6650 2 роки тому

      Pole saana Naza Mungu akutiye nguvu ,,ktk maisha yako ,, .kifo cha mkeo kiliniuma saana nafika Muhimbili nawakuta ndio wanamzungushia PAZIA LA kijani

  • @azaliamathias414
    @azaliamathias414 3 роки тому +5

    To God be the Glory...🙏

    • @sophiamirambo9656
      @sophiamirambo9656 2 роки тому

      Nimelia sanaaaa😭😭😭Ila mama Samia aingilie Kati ili Apate haki zake kwa sababu kuna watu wanajua kujieleza sana wanawaeleza viongozi taarifa mbayaaaaaa yaani shetani Ana nguvu

  • @rosemaryyohana6440
    @rosemaryyohana6440 2 роки тому

    Huyu Mungu ni mkuu sana. Sifa na utukufu ni kwake

    • @eliudiezekieli6293
      @eliudiezekieli6293 2 роки тому

      Kiukwel Hayo mambo ya kubamnikiziwa kesi yanauma sanaaa namimi niliuziwa kesi na police cplo jemsi wa kituo Cha kati mwanza nakusababisha kuzurumiwa milioni 7 stasahau Ila ashukuliwe mungu wa mbinguni nikitoka baadae ya kusota butimba mwanza

  • @angelinamichael7742
    @angelinamichael7742 3 роки тому

    Mungu aendelee kukutetea

  • @mariamethod4537
    @mariamethod4537 3 роки тому

    Nan kama mama, 😭😭😭

  • @sophiankwera9020
    @sophiankwera9020 2 роки тому +1

    Jomon 😭😭😭

    • @bonyemuelelwa3440
      @bonyemuelelwa3440 2 роки тому

      Pole sana mtumishi wa mungu uli pitiya majanga mengi makubwa sana mungu aha chii walio wake bila kuwa futa machozi lazima awape faraja ya moyo umeku mbukwa kwa lolote lile tumsifu mungu wetu kabisa

  • @peterkaombwe6251
    @peterkaombwe6251 11 місяців тому

    Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza, kukupatia riziki kubwa zaidi ya hiyo kazi