MSANII WA CLAM VEVO AVUNJA UKIMYA AANIKA MAMBO MAPYA ''UCHAWI UPO''/ SNAKE BOY KUNIPANDISHA NDEGE
Вставка
- Опубліковано 29 чер 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - Розваги
Mwenye anapenda style ya huyu jama ati wachaaa 😂😂😂❤❤❤
Iyo sign naikubali sana mmhh wachaaaaaaaaaaaaa , chili umeuwa sana kwenye snake boy
Hiyo waacha nazipenda sna Tena hususa ni hiyo saut Yako inaendana sana na ww nahiyo ngulu kuntantama ntentele pia naipenda sna ❤❤❤🇹🇿
Alafu kumbe ni handsome michoro na maleso nakuinua mabega juu🤣
Gwiji wa sinema legend kabisa chilli mwanawasosi
Huyu mwamba namkumbuka na kishtobe wake #chilli
Chili sahivi we wamoto sana nakukubali sana
Huyu ni msanii WA miaka mingi Sana ya nyuma ni legend,wacheni kuzingua nyinyi
Toka DRC 🇨🇩 tuna mfahamu kama legend, siyo msaani wa Clam
Character ya wachawi ni huyu jamaa na zinga they are perfect huyu kwanza akikohoa
Uko sawa Vila, kweli kwako tunaona kazi poa
Kweli uyu kwa uganga namukubali saaaana
Chili anaweza sana ❤
Mmekosea Sana kuandika title yenu Uyu ni mtu mkubwa mpeni eshima yake siyo msanii wa Vevo ni msanii wa taifa la letu lawa TZ
Uyu ni chili ama ❤❤❤
Huyu huyu zama hizo alikuwa anaitwa Kabwera kwa jina la kimchezo tena alikuwa mwemba sana tena. Mimi huyu kaka nimekuwa nafuatilia toka kitambo. Kama siye yeye basi sio kitu.
chilimwanawasosi😂
Legendary chilli wachaaaa😅😅😅
Nakukubar Sana mwinyi mkuu
yaani hata mimi naipenda hiyo atali❤❤
Huyu Kwan ni chill jaman
Ndo yeye
Nlishangaa sana nnamwangalia mara tatu tatu kwa Tamthilia sura kama naijua Leo ndio nimejua macho yahifadhi kumbukumbu... Well done Chilli.... zama hizoooo
Walahi uko sawa sana kakangu ❤
Huyo cy msanii WA clam. Bali ameshirikishwa tu
Kiukweli hii nimeipenda sana
BinaTv, Title yenu mmezingua huyu sio msanii wa Vevo, Huyo brother ni Legend mpeni heshima yake Chill Mwanawasosi🌍🔥🔥🔥
Wambie ukweli Hao watangazaji walio zaliwa mwaka 2001 bado watoto
Hawa mjuwi Chili, tangu movie ya shumileta mpaka leo yupo, sasa anakueje msanii wa Vevo? Wamejaa mandevu kumbe awajuwi lolote pumbavu zao
@@RichardBambila😂😂😂
Watangazaji hawana adabu
Kweli kabisa wanahisi kupewa hiyo part na clam ndo clam BINGWA sana, huyo jamaa BINGWA sana na ata huyo clam alimvuta sababu bila shaka alikua shabiki yake
Kumbe huyu ndy yule chill mwana wa sosi
Hio sign naipenda vibaya mno baba
Uyu ni legend bana
Namkubali sana huyu jamaa wachaaaaa
Nampenda sana 🫴🏾🇰🇪❤️
Nakpenda sana chill ❤
This is legend
Clam coming number one
Heshima kwako brother 🙏🙏🙏🌹
Exactly.. waaacha 🔥🔥
Daa kumbe Bado uko poaa unatisha sn
Naipenda San👍👍
Jaman kabwera upo. Nimekukumbuka enzi hizo na mzee Majuto❤❤❤🎉🎉🎉
Ndugu huyu sio kabwera hutu anaitwa CHILI SOS ni msanii wa MUSA BANZI sio wa VEVO
Ndo huyo@@terashangwe255
Chill namkubl mno ongea yk pia sirias
Kumbe ni kijana.... Nilijua mzee😂😂
😂😂😂😂Nilifikiri hivyo pia
Na kumbe ni mzuri hyu mganga❤❤❤ndania ya 🇸🇦 🇸🇦 🇸🇦
😂😂😂😂😂
Mm pia naipend
Man Chili mwenyewe
Kumbe huyu ni type yangu 😂😂nilijua n mzee
Kumbe alicheza juzijuzi mama wa kambo
🎉🎉🎉 wachaaaa😂😂😂 bravo bravo
Chili mwana wa sosi kula sili kuharisha matataa😂😂😂....namtambua tangu miaka mingi ya nyuma
Kumbe ni Chili huyo aise naikumbuka Gereji
Maana ya kurukutanta mantetele maana yake ni, nyie maadui hapa hamfui dafu
Kabadilika sana chili kisauti😂😂😂
Ndio kwanz namuon leo akivua vaz l ugang
Hata sikuwahi kujua kama nihuyo kaka nilijua nimzee mwengine hata kule kwa menina
Uko vizuri ntanta man tete mashaallah
Kuhusu kuchekesha chili ni mwamba na nusu
Waachaaaaa
Mbona kama chili
Ndie chili wamajuto
Pakuuuum wachaaaaaaa kuru kutanta mantentere😂😂😂😂😂😂
😂🤣🤣🤣🤣
Kumbe kijana
Ndoyey huyoo
Broo naswali ivi wewe ndoulikuwa mganga kwenye maneno ya kwambiwa
Namkubali Sana villa 😂
Kumbe huyu ni chilli duh kitambo sana
Kumbe sio peke angu, hako ka wachaa nakapenda sana
Mtangazaji umefeli kusema eti diamond anaweza Kwa harmonise, harmonise kwa raivany na raivany anaweza kwa alikiba, huo msemo kumuweka alikiba na rai ......mmmhmm umefeli
❤
Wamefeli pakubwa sana hata hiyo misemo sio ya leo anayo kitambo sana
Najuhusu kuchekesha chili na Ringo ndio walipaswa kuwa walisi wa KING MAJUTO
Tena chizi kabisa kafeli
Kumbe kijana tu kule unaonekana baba
Uyo ni celeo aliye teza n'a mzee majuto kwenye film ya mwizi wa kuku !?
Namkubali sana uyu mtu
Uyu ni Dogo chiliii
Mi mwenyew naiprnda 😂😂😂😂waacha😂😂
Kwenye move ya ODAMA
Mmezingua hiyo title yenu
😂😂😂heti zongo
Chili mwana wa sosii😂😂
huyo sio chili kwe?
Chili umenona mpaka kale kasauti kako umekasahau😂😂😂😂😂😂
Wachaa😂
Huyo ndo mwinyi mkuu aka Villa
😂😂😂😂😂😂😂 wachaaaaa
Kurukutanta mantetere😂😂😂😂
Mm nilijua ni mwinyi mkuu
Ata mm naiongea sana iyo wachaaa😂
Mtu wangu huyoo..tanta mantentere
😂😂 kulukuntanta man teleleee😂😂😂
Chilli mwanawasosi 😂😂
kuru kuntanta mantentereee 😅😅 waaachaaaa
translate uone inamaana gani
😂😂😂😂😂😂😂@@saidkadute6560
Ringo
Hakuna mganga kama chili TZ
Iv mwamba anaitwa nani
Chili mwana wa sosi jina lake anaitwa Rajabu jumanne
Huyu ni chili utasemaje msanii wa clam vevo
Wambie ukweli Hao watangazaji walio zaliwa mwaka 2001 bado wadogo
Sana enzi za movie ya shumileta awakuwepo,
Clam Vevo na wao Bado wanatokwa makamasi pumbavu zao
Huyu ni chili?ama namfananisha?
Ndo mwenyewee
@@jordanshemtoi9770 waaah!amebadilika sikama siku za mzee majuto
Chili mwana ww sosii
Kumbe ni wewe 😂i hee ndio najua sai km ni wee katka ile snake Me nakuona zzz tokea enzi majut
Kuru kutanta manteteree..
𝑾𝒂𝒂𝒂𝒂𝒄𝒉𝒂😂😂😂𝒖𝒘𝒂 𝒏𝒂𝒑𝒆𝒏𝒅𝒂 𝒔𝒏𝒂 𝒂𝒊𝒔𝒆𝒆
Legendary chilli wachaaaa😅😅😅
Kurukutanta Kala tetelee -Tusi Hilo kilugha chetu mbwa ww😂😂