#MIZENGWE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

КОМЕНТАРІ • 83

  • @SabinaRashid-du3nb
    @SabinaRashid-du3nb 2 роки тому +11

    Nikiwaona nakumbuka mzee wetu mungu ampunguzie azabu ya kaburi mlipendeza sana mlivo kuwa watano nawapenda sana

  • @restitutanjau2585
    @restitutanjau2585 2 роки тому +5

    Mume muungwana sana,anambekeza mke wake,anamuelewesha maisha yalivyo.Hongera sana Mr Mkwere

  • @judiehance1736
    @judiehance1736 2 роки тому +8

    Huyo mwana dada kanenepa ❤️Safina kamepenfeza

  • @mtaniphinias
    @mtaniphinias 2 роки тому +9

    Hili ni fundisho kubwa sana, wapo wanawake wengi wa aina hii katika familia zilizo nyingi. Huwezi kutatua tatizo la njaa katika familia yako, au kupata maendeleo yoyote kama upo na mwanamke kama huyu.
    Ukosefu wa shukurani, wanawake kutothamini jitihada za waume zao, ndiyo visababishi vikubwa vya matatizo katika familia nyingi.

    • @lusese1
      @lusese1 2 роки тому +1

      Ahsante kwa ktunguunga mkono.

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 роки тому +1

    MIZENGWE long time sanaaaaa enzi hzo za TV za kishogooooooooooooo.

    • @lusese1
      @lusese1 2 роки тому +1

      Tupooooo bado mzee babaaaaa!! vipi umetuchoka? tuvumilie bado tuna vichekesho 32,000 hatujavicheza.

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Рік тому +1

    Et mbona unanifagia mimi😂😂

  • @AngelReims
    @AngelReims 22 дні тому

    🎉🎉🎉 good job

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому +2

    Nawapenda nyie hatari kila jumapili saa 3 lazima niwaangalie yaani.❤❤❤❤👍👍👍👍👍👍👍👍😁😁🙏🙏🙏

    • @lusese1
      @lusese1 2 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 2 роки тому +3

    asante auseee😊😊😊😊nimejifunza kitu

  • @marliusmajani3782
    @marliusmajani3782 2 роки тому

    Tunafuatilia toka Zambia

  • @mauricemaungu8390
    @mauricemaungu8390 2 роки тому

    Mbarikiwe sana kwa mafundisho yenu mazuri kupitia sanaa ya maigizo. Namkumbuka sana hayati Matata jamani 🤔.

  • @rajeshrajesh-lp2oy
    @rajeshrajesh-lp2oy 2 роки тому +2

    Shukrani saner 🙏

  • @shabanhamza6814
    @shabanhamza6814 2 роки тому

    Dah!! Ipo sahihi kabisa ktk hiloo

  • @yassinm69
    @yassinm69 2 роки тому

    Tunammiss mzee matata mu mungu ablaze roho yake mahala pema peponi

  • @kassimchuo5290
    @kassimchuo5290 2 роки тому

    I like it for sure nawatch nikiwa huku Qatar I feel at home waaaaaaah.......

    • @theclasinu9642
      @theclasinu9642 2 роки тому

      Hiyo nchi ya Qatar kutoka dar mpk huko nauli bei gani na kunapatikana nini zaidi

    • @maphitamaphita3091
      @maphitamaphita3091 2 роки тому

      Tuko wote goha ndug

  • @hidodomagarasha5804
    @hidodomagarasha5804 2 роки тому

    Mko vizur hongereni❤️❤️❤️

  • @atepamashavu6122
    @atepamashavu6122 2 роки тому

    aisee uyu mdada mstaarabu sana

  • @abuumkamba1760
    @abuumkamba1760 2 роки тому

    Kiukweri mnatufundisha asanteni

  • @yusuphmjengo924
    @yusuphmjengo924 2 роки тому

    Safinna una miguu mizuri mhhh

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому

    Waaaaaoooooo niliwamiss

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 роки тому

    Umetisha sana mkwere

    • @Swahili14
      @Swahili14 2 роки тому

      English translation for me 🤣🚮

  • @imansaid8020
    @imansaid8020 2 роки тому +3

    Ushaur wangu angemwambia mume wake kwanza

  • @Muna_mamoyo
    @Muna_mamoyo Рік тому

  • @tranchescoanthony2509
    @tranchescoanthony2509 2 роки тому +1

    Yanatukuta sana sana Tena sana

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 роки тому +2

    Hapana kwa kweli angetoa kidogo

  • @musaamini401
    @musaamini401 Рік тому +1

    Safina endelea na moyo wako mzuri mkwere unatbia mbaya

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 роки тому +1

    Tatizo mzee umekosea kuuliza mchele wa wapi huu ungevunga tu wala usingeulizwa umetoka wapi wala umebeba nini 🤣😃

  • @nashwaabubakar9382
    @nashwaabubakar9382 2 роки тому

    Jamani muna madili hamtumii matusi japonica mnafanya comedy lakini mnaweka mamdili ya kuongea na hishima na ni vizuri kila mtu kujua mipakaa yake na madili sio watu wenginewe wakifanya komedy wanatumia lugha MBAYA na matusi mpakaa mtu unaona haya kusikiliza matusi makubwa ya ilahi mungu atusiri tusi ya hifadhi

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 роки тому +1

    Huyo nmemsahau jina anaeomba msaada wa Kodi, mbona amekonda sana jaman🙆

  • @tato8979
    @tato8979 2 роки тому +2

    Safina muonee huruma mmeo maisha magum

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 роки тому

    AisEEEEE munajua sana dah na
    Munatoa sababu watu amuwawek nyia panda

  • @enjobw5682
    @enjobw5682 2 роки тому

    Mume Wa safina noma😂😂😂😂😄😄😁😁😁😁

  • @edwardandrew6726
    @edwardandrew6726 2 роки тому +1

    Fundisho tosha kabisa kwa akinamama wenyetabia kama hizo.

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 2 роки тому +6

    Yanatukuta wengi tulio kwenye ndoa

    • @lusese1
      @lusese1 2 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 роки тому

    Nmekumbuka mzee Matata jaman😭

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 2 роки тому

    Safi sana

  • @wowo1546
    @wowo1546 2 роки тому

    mzee MATATA 😭😭 🇹🇿

  • @albinusnyaiyo2614
    @albinusnyaiyo2614 Рік тому

    Kaz ya kulala na viatu😂😂

  • @jamesobedy3687
    @jamesobedy3687 2 роки тому +1

    sio sahihi bora angempa kidogo tu

  • @omarbosiomar8608
    @omarbosiomar8608 2 роки тому

    Shukran

  • @agripinamgema3656
    @agripinamgema3656 2 роки тому +5

    Saingine mtu unaweza ukawa unauwezo, wa kujikimu kimaisha angalau kidogo usihangaike. Ila ukiendekeza ndugu umakwama 😀

    • @josephmanyama9012
      @josephmanyama9012 2 роки тому +1

      Yani wacha tuuuuu mrembo ukiwa na huruma kupitiliza ni tatizo sana

  • @fatumahengo6849
    @fatumahengo6849 2 роки тому

    😃

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Sio sahihi kugawa vitu namna hiyo.

  • @mwanalau2457
    @mwanalau2457 2 роки тому

    Mzee matata😭😭😭😭

  • @coastermahenge8910
    @coastermahenge8910 2 роки тому

    Mke boyaaa

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 2 роки тому

    Mkongo anashida gan anakonda kila siku

  • @lubuvahussein5556
    @lubuvahussein5556 2 роки тому

    Xo sahh...Ilipaswa akushirikishe ww ndo utoe rukxa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 роки тому

    Safina mtani wangu umenenepa sana kupendeza sana ongera sana.

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 2 роки тому +7

    Hayo ndy maisha ya wanawake hata uwapende vp huwa Hawana uruma na pesa ya mume

    • @EK-kp2np
      @EK-kp2np 2 роки тому +2

      We, acha kabisa; huo mfumo wako dume achana nao kabisa, sio wanaume tu wanaonynua chakula, ndugu wa mume ndiyo wabaya zaidi, bila kujali nani kanunua wao wanachota bila kuomba, acha hizo kabisaaa🤚🏼

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 2 роки тому

    Baadhi ya Wanawake sifa zinawaponza nia aonekane hana shida kumbe mumeo anaumia

    • @mauricemaungu8390
      @mauricemaungu8390 2 роки тому

      Mbarikiwe sana! Namkumbuka sana hayati Matata jamani🤔

    • @mashramadhani1989
      @mashramadhani1989 2 роки тому

      @@mauricemaungu8390 kwakweli alale pema peponi Mzee Matata

  • @japhetlameck547
    @japhetlameck547 2 роки тому

    Amakweli kumbe Safina alikua bado mtoto? Kwa sasa ndo kwakua.

  • @abdurahmnsobo4810
    @abdurahmnsobo4810 2 роки тому

    Sio sahihi

  • @williamgumbo8525
    @williamgumbo8525 2 роки тому

    Duuuh

  • @votiairdigital
    @votiairdigital 2 роки тому

    Fundisho

  • @mmn7480
    @mmn7480 2 роки тому

    uyo dada kanenepa

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 2 роки тому

    😂😂😂😂😂😂

  • @edwardongori7734
    @edwardongori7734 2 роки тому

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @modinakshy6276
    @modinakshy6276 2 роки тому

    Haya kimenuka

  • @ashminaabdulla8946
    @ashminaabdulla8946 2 роки тому +1

    Michele mwenziwe maharage 😳🤪

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 2 роки тому

    Hapana kwakweli

  • @vumiliakashindi8651
    @vumiliakashindi8651 2 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @jenahando2747
    @jenahando2747 2 роки тому

    Hahaha

  • @amanimallya2451
    @amanimallya2451 2 роки тому +1

    🤣

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 2 роки тому

    😂😂😂

  • @boazambokile2587
    @boazambokile2587 2 роки тому

    😂

  • @hhhhhhhgbhnnhn
    @hhhhhhhgbhnnhn Рік тому