Mambo ya kutegemea ukikaa ukweni

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our UA-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

КОМЕНТАРІ • 123

  • @lizzybahati9833
    @lizzybahati9833 3 роки тому +2

    Mzee matata Mungu akulaze mahali pema peponi Amen

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 4 роки тому +10

    Mizengwe wote mnaweza lakini mimi nikimuona SUMAKU nacheka kabla hajaongea ""eti huyu bwana ananenepa kwa uzoefu"" 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 роки тому +2

    Dah hizi comedy bado zipo?? Nawakumbuka Sana nkiwa home Arusha via ITV🤣🤣🤣, I love both haswa huyu mama. Watching from USA

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 4 роки тому +26

    Hawa mizengwe nawapenda sana, kati ya comedy zote TZ hawa number one bila ubishi, tena wasije kuongeza mtu mwingine kwenye group lako.

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому +2

      Asante kwa kutuunga mkono tunafanyia kazi ushauri wako.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 4 роки тому +3

    bonge la bwana unanenepea ukwen 😁😁😁😁💃💃💃

  • @stanfordaladinmwakalibule2895
    @stanfordaladinmwakalibule2895 4 роки тому +9

    ....ise nimependa sana

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Karibu sana.

  • @nehemiakiswaga1819
    @nehemiakiswaga1819 4 роки тому +1

    15:28 ananenepa kwa uzoefu tu😂😂😂😂😂 sumaku bhana

  • @muhingiramuhingira9715
    @muhingiramuhingira9715 4 роки тому +5

    Nawapongeza wahusika pamoja ITV super brand Africa

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante, asante kwa kutuunga mkono.

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 4 роки тому +3

    Ananenepa Kwa Uzoefu😂😂😂😀😀😆😅

  • @khalidtv6200
    @khalidtv6200 4 роки тому +6

    "Ningumu sana mkongo kuuza mkaa"😃

  • @mihangwamasingija3754
    @mihangwamasingija3754 4 роки тому

    Hili ni kundi zuri saana, keep it up guys Kazi zenu za maana saana!

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi9844 4 роки тому +3

    🤣🤣🤣🤣Nimecheke sana

  • @mauamawazo1573
    @mauamawazo1573 4 роки тому +1

    I love you guys

  • @richardchaula1860
    @richardchaula1860 4 роки тому +3

    Dah!!!!,hatari sana

  • @asseytv7269
    @asseytv7269 4 роки тому +1

    😂😂😂big up sanaaa

  • @hamismgaya1584
    @hamismgaya1584 3 роки тому +1

    Nimekubali wakongwe

  • @mamahance9049
    @mamahance9049 4 роки тому +1

    huni kuti kwa mkwe 🤗🤗

  • @simonndune4457
    @simonndune4457 4 роки тому

    maringo is my all time fav😂🤩

  • @mwitasamwel409
    @mwitasamwel409 4 роки тому +3

    Hakika mnatufunza mengi sana pongezi kwenu

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb 2 роки тому

    😃😃😃😃nawapenda sana

  • @sajdatomar2264
    @sajdatomar2264 4 роки тому +1

    Bora ungejenga kwenu mkwele 😄 🤣 😂

  • @mohammedrajabu7449
    @mohammedrajabu7449 4 роки тому +4

    Dah kiukweli mko vizuri nawakubali japo sasaiv mmepunguza muda wa filam

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono, hatujapunguza, muda ni uleule.

  • @nancyl6068
    @nancyl6068 4 роки тому +1

    Content ya episode zao safi sana ila background music jamani, punguzeni sauti kidogo.

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 5 місяців тому

    Huyu siyo nyoka ni mtu 😂😂😂

  • @justinalonda8220
    @justinalonda8220 4 роки тому +3

    Napenda sana Kazi Zenu zawapa wanangu furaha sana Mimi naishi Marekani, kama kuna namba yamchango naitaka tusaidiye kundi hili

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante sana kwa kutuunga mkono, na hatutawaangusha burudani kama kawaida. number nicheck mimi producer wa kipindi. +255712219950

  • @zahorrashid5459
    @zahorrashid5459 4 роки тому +3

    Mizegwe wapojuu sana wanafuza mambo yamaana naheshima.tunawapenda sn

  • @mtitagirloriginal6890
    @mtitagirloriginal6890 4 роки тому +1

    Gusa picha yangu kuona kaZ yangu🥰🥰🥰🥰

  • @innocentmarunda5853
    @innocentmarunda5853 4 роки тому +2

    mnakaa mdaa sana ila mko vizuri sana.soma nzuri

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому +1

      Asante kwa kutuunga mkono, tulisimamisha production kipindi kile cha CORONA Sasa tumerudi, burudani kama kawaida.

  • @frediricknandonde1690
    @frediricknandonde1690 4 роки тому +8

    Kuna mwana yuko ukweni ngoja nikae karibu nae kama ataangalia hii😂😂

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 4 роки тому +1

      😃😃🏃‍♀️

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 4 роки тому +1

      😂🤣🤣🤣🤣🤣

    • @charlesmagere1519
      @charlesmagere1519 4 роки тому

      😀😀😀😀😀😀😀😀😀daaaah umalize unipe matokeo kama ameangaliaa

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 4 роки тому

      @@charlesmagere1519 😂😂 nitakuambia naona leo atarudi mapema nitakupa matokeo

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому +1

      Ha haa haaaa!! hata hivyo asituchukie hatukumlenga yeye.

  • @baitulquranallyibrahim3185
    @baitulquranallyibrahim3185 4 роки тому +2

    Baba Nikakukodie gar??
    Haahhaahhaha
    Bati hizo

  • @k-wanga9052
    @k-wanga9052 4 місяці тому

    Mnajua sanaaa ila ondoeni hio back ground ya hiko ki mziki kinaumiza mackio pia hatusikii vzr

  • @jamilasaid2718
    @jamilasaid2718 4 роки тому

    Hata mie nawapenda sana

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden6678 4 роки тому +1

    Nzuri sana isipokuwa umaliziaji haukukaa vzr

  • @uwezosimoni6975
    @uwezosimoni6975 4 роки тому +3

    Duuhh fundisho tosha wanaokaa ukweni nimewapa asilimia 100

  • @jambo3751
    @jambo3751 4 роки тому +3

    Nikakudie gari?😄😄😄 Sasa hizi bati unamwachia nani?😄😄😄

  • @moseshaji1177
    @moseshaji1177 Рік тому

    R.I.P mzee Matata

  • @وزينبتنزانيا
    @وزينبتنزانيا 4 роки тому +1

    Mmh..dada umenenepa

  • @mibokichannel4006
    @mibokichannel4006 4 роки тому +3

    Somo zuri sana

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @aploscoder4358
    @aploscoder4358 4 роки тому +6

    Utu pesa, KAZI ndo heshima, imenitachi. I think They do it for me it's Pain

  • @manko5627
    @manko5627 4 роки тому +2

    Mwanaume kazi nasio kupendeza

  • @allyidrisa1520
    @allyidrisa1520 4 роки тому +3

    Nikakukodia gari mm hahaha

  • @georginajohn8456
    @georginajohn8456 4 роки тому

    Kweli kabisa Mwanaume anaweza kuishi na Mwanamke asiye na kazi lakini Mwanamke huyohuyo hawezi kuishi na Mwanaume pindi anapokosa kazi kwa sababu yoyote ile wakati huohuo Mama Mzazi wa huyo Mwanamke anaishi na Baba yake hana kazi Wanawake badilikeni haya ni maisha tu

  • @titojeremia8365
    @titojeremia8365 4 роки тому

    Nyie kiboko nawakubali sana

  • @Falsharji77
    @Falsharji77 3 роки тому +1

    Stop the background music, it's too loud 😤

  • @ibrahimmwilo1586
    @ibrahimmwilo1586 4 роки тому

    #Sumaku hio hela utakayo kodishia gar si bora umpe akaanzishie maisha 🤣🤣🤣🤣

  • @selemanlwiza9283
    @selemanlwiza9283 4 роки тому +1

    👍

  • @robertjunior9916
    @robertjunior9916 4 роки тому +1

    Jamani hivi ni kweli kuoa mtoto mwisho ni nongwa ? 🤔

  • @takimbawala5966
    @takimbawala5966 4 роки тому +3

    Nimejifunza jambo ila namimi ninajambo langu ntahitaji ushauri

    • @lizzyshayo209
      @lizzyshayo209 4 роки тому

      Mshauri yuko hapa....kwaziadaa angaliaa video za Baba mmoja anaitwa Chris Oyakhilome kwa ushauri zaidi

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому

    Haha Kama si ufala. Ujenge ukweni badala ya kujiwekeza

  • @kaba7911
    @kaba7911 4 роки тому +9

    Mimi ni a Big fan of the show lakini please punguza background sound ya filimbi inaovertake the comedi voices and punchlines

    • @gooddeeds162
      @gooddeeds162 4 роки тому

      Upo sahihi kabisa asee

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому +2

      Asante kwa kutuunga mkono, tutafanyia kazi ushauri wako.

  • @وزينبتنزانيا
    @وزينبتنزانيا 4 роки тому

    Itv ya kaole

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 4 роки тому +1

    Excellent

  • @hilgathjoshua8804
    @hilgathjoshua8804 4 роки тому +5

    Kunenepa kwa uzoefu duu

  • @lawrencegorden6678
    @lawrencegorden6678 4 роки тому +3

    Wanawake jifunzeni badirikeni.Mizengwe nyie ni hatari

  • @wazirisukari5178
    @wazirisukari5178 4 роки тому +1

    Sasa alipe kodi ya nyumba ya nini wakati huyo nyumba cyo ya kupanga jamani

  • @kaitaramadan6340
    @kaitaramadan6340 4 роки тому +2

    Jenga kwenu ukweni unapoteza

  • @maicojoseph7386
    @maicojoseph7386 4 роки тому

    Nice

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 4 роки тому +1

    Kweli kuhisi ukweni kwataka uzoefu na je umemchunguza mkeo yukoje,hapa nimejifunza kitu.

  • @afizuboy3433
    @afizuboy3433 4 роки тому +1

    Wanawake wanarohombayasana

  • @kisoukejothame210
    @kisoukejothame210 4 роки тому

    Kweli ukweni sio powa

  • @erickkipenya5801
    @erickkipenya5801 4 роки тому +1

    Ahahaha uzoefu

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 4 роки тому +4

    Nyinyi bwana munatuchosha
    Sana yan ni bora MUGAILI na hizi
    Comedy zenu na hiki kipindi chenu
    Maana mpaka munavyo jisikia
    Ndiyo munapandisha mtandaon
    Tatizo sijui uwongoz wenu ndiyo
    Kuna matatizo ya mikatabaa yan
    Sijui kwann na ndiyo maana
    Amuli vyuwazi za kutosha watu
    Tuna wasaau ksbisa
    Nyinyi ni wazembe sana sana

    • @ahdal5288
      @ahdal5288 4 роки тому +3

      Mbona huweleweki? Tumia lugha ya Kiswahili maanake sijui ni lugha gani uliyotumia

    • @frediricknandonde1690
      @frediricknandonde1690 4 роки тому

      Ni kweli kabisa aisee

    • @kupasteven7128
      @kupasteven7128 4 роки тому +1

      Mbona kama umechukia Na wewe imekugusa nn? Upo kwenye list

    • @emmanueljoseph2576
      @emmanueljoseph2576 4 роки тому

      Kabisa kaka

    • @pieremchome5202
      @pieremchome5202 4 роки тому +1

      Ni kujifunza kisoma ukubwani au kiswahili haukijui?

  • @issamsumi538
    @issamsumi538 4 роки тому

    Njooni jamani muone Mpya mpya bado ya moto

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 4 роки тому

    Matata bahna

  • @afizuboy3433
    @afizuboy3433 4 роки тому

    Wanaume mnaokaa ukweni amkeni fanyenimtoke ukweni.sio pazuli wanawake mnadhalilikasana.

  • @victormushi6641
    @victormushi6641 4 роки тому

    UNANYENYEPAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAH

  • @elizabethstephen7814
    @elizabethstephen7814 4 роки тому +1

    Bati hizi😝

  • @issamsumi538
    @issamsumi538 4 роки тому +3

    Wale Wa kulelewa tuwajua msijifiche

  • @fatumamroki2716
    @fatumamroki2716 4 роки тому

    😁😁😁😁

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 роки тому

    Fundisho tosha ilo eti nikakukodie gali

  • @ivaniavianarodrigo7201
    @ivaniavianarodrigo7201 4 роки тому +2

    huyu rasta mbona anakonda sana??!!, au ngoma??!!.

    • @devidkingu2439
      @devidkingu2439 4 роки тому

      Kufuga Nywere nyingi zinakondesha sna kwa mwanamme kama hali vizuri hasa chakula cha protein

  • @mwendokaudanzi4688
    @mwendokaudanzi4688 4 роки тому

    Du muko vzur sn

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Asante kwa kutuunga mkono.

  • @sophiakasana2937
    @sophiakasana2937 4 роки тому

    😂😂😂

  • @allymohando6209
    @allymohando6209 4 роки тому

    Funzo kubwa

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis3115 4 роки тому

    Uzoefu unanenepesha

  • @masumbukosendwa3216
    @masumbukosendwa3216 4 роки тому

    Pendeza sana

  • @jenipherkavusha1661
    @jenipherkavusha1661 4 роки тому

    Hahahaha

  • @saidyori7044
    @saidyori7044 4 роки тому

    muna chelewa kutupa uondo

    • @lusese1
      @lusese1 4 роки тому

      Poleni sana, tulikuwa mapumziko kupisha balaa la Corona, sasa tumerudi kazi kazi tu.

  • @francissamson7594
    @francissamson7594 4 роки тому +1

    Ni funzo

    • @allyidrisa1520
      @allyidrisa1520 4 роки тому

      Eti nikakukodie gari mm ndio msuruhishi wa kesi huyo hahaha

    • @salehemapande36
      @salehemapande36 4 роки тому

      mzee matataaaa.sina swaliiiii umefiti mzee wangu