HATUMTAKI HUYO MKULIMA, KAZI YAKE TU SITAIWEZA, ILA NIMEMPENDA - HELLO MR. RIGHT

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 19 гру 2023
  • ►Instagram / stbongotv
    ►TikTok / stbongotv.tz
    ►Facebook / stbongotv
    ►Twitter / stbongotv
    ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 194

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 6 місяців тому +20

    Huyu mkaka siyo mkulima. No mtu kazi yake mzuri sana kila amekuja kupima je kuna wenye mapenzi ya Kweli. CONGRATULATIONS MY BROTHER. Kwa kupima watu.

    • @esterpaschal6080
      @esterpaschal6080 6 місяців тому +4

      Kwan mkulima anashida gan

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 6 місяців тому

      ​@@esterpaschal6080mi mwenyw nalima huko 😂😅 kwa hyo tunashida gani

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 6 місяців тому

      @@esterpaschal6080 tena ukulima ukikubali una pesa

    • @jeromeshirima2053
      @jeromeshirima2053 6 місяців тому

      @@esterpaschal6080ni wewe hiyo dp

    • @user-zs4qz4wm2n
      @user-zs4qz4wm2n 6 місяців тому +2

      Watu wengi hamjui kama kilimo ni bonge la mchongo....kilimo ni pesaaaaaa

  • @williammussa5621
    @williammussa5621 6 місяців тому +7

    Hiki kipindii wapo serious kweli au ni comed 😂😂

  • @EmiliaNuru
    @EmiliaNuru 6 місяців тому +6

    Am proud of you brother and I love that

  • @ammydaniel8947
    @ammydaniel8947 6 місяців тому +15

    Ila kumjudge mtu kimaumbile ni kumvunjia heshima na udhalilishaji Sijapenda hao wadada walichofanya. Please weken sheria kama mtu hajampendae mr right ni bora akatae! Kwa No bas!

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 6 місяців тому

      Yani nawaskiliza naona wenyewe ni Mungu asee wana judge had uumbaji 😂,

    • @ammydaniel8947
      @ammydaniel8947 6 місяців тому +1

      @@theprincejr1417 na hao sijui madaktar wanaona kawaida tu , ila akifanyiwa hivyo bint yoyote ndio wanajifanyaga wanahasira na mr right , then wanamfukuza. Hakuna binadamu yoyote mwenye haki ya kukosoa! Yan hili limeniuma kama nimefanyiwa mm.

    • @user-ly2mj6od3v
      @user-ly2mj6od3v 6 місяців тому

      Ni kweli,,hawana adabu kabisa waweke sheria jamank

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 6 місяців тому

      Kwanza mwanaume mwenye akili zake timamu hawez kwenda hapo na ndio maana hao wanaume wanaowahitaj hawawez kufika hapo

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 5 місяців тому

      Kiufupi hamna wanawake wa kuoa hapo wengi wanaangalia vitu vya kimwili

  • @PatsonSimpito
    @PatsonSimpito 6 місяців тому +18

    Johar afukuzwe kabisa mbwa huyuu

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe8927 6 місяців тому +16

    Braza katudanganya hakuna mkulima hapa. Ila chaguo alilochagua wala hata hawaendani. Anitha anahitaji mubaba😢 by the way hakukuwa na haja ya kuingiza ufupi, just say No inatosha. Kila mtu kajikuta ameumbwa

    • @user-xz9zg2yk6m
      @user-xz9zg2yk6m 5 місяців тому

      Sasa na hao wamalaya wamekuja kuninadi nao wanachagua pumbavu kabisa nyie😂😂

  • @tausimohammedy
    @tausimohammedy 6 місяців тому +7

    nilkua najiuliza why mr right hawaji kumbe hawataki jichoresha😂

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le 6 місяців тому +4

    Hawa wanawake woote siwo, wanataka wanaume waongo, mana mwanamme akiwa mkweli hawataki wanataka wanaume weny majumba na magari, kaz nzuri lkn wanaume weny kuhangaika na maisha hawataki

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 6 місяців тому +4

    Duh hata hawaendani😂😂uyu dada mwili mkubwa

  • @mwanashasjambia8572
    @mwanashasjambia8572 6 місяців тому +4

    Madharau hayoo ndiomaana mkakosa wanaume wakuwaowa.wanawake mlokuja apoo nyote mnaila.

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 6 місяців тому +2

    Mungu huumba matumboni mwamama zetu atakavyo yeye.....tena kwa mfano wake ,yaani sio kwakufanananaye ,bali kwa namna yake anavyohitaji ,msije mkanifikilia nafananisha mungu na hinadamu , laa hasha .....ila kwa namna atakavyo yeye , so MTU mfupi au mrefu hujikuta tu hapo wala sio kwa mahitaji au kuomba.....huo ndio uweza wa mungu ambao watu huutilia shaka.

  • @Angelkilawe
    @Angelkilawe 6 місяців тому +23

    Huyu kaka nimtu mkubwa kadanganya wanawake hamna bahati😂😂😂

  • @emanuelayubu5021
    @emanuelayubu5021 6 місяців тому +12

    huyu jamaa ni mtata, itakuwa amedanganya kwenye shughuli na kuna kitu anapima.

  • @user-ul9kp8zq1k
    @user-ul9kp8zq1k 6 місяців тому +6

    Na nyie wanaume bhna kwan huwez kudanganya kama una kazi nzuri unasema kazi ya uongo na kazi mbovu ili wazarau atakekukubali ndio unasema ukweli sasa maana ndugu zangu wanaonekana wapenda pesa

  • @rutherick255
    @rutherick255 6 місяців тому +3

    But it hasn't end oooh😢😢😢

  • @user-nt1do3vn8x
    @user-nt1do3vn8x 5 місяців тому +1

    Conglatration

  • @jotoentertainment9225
    @jotoentertainment9225 6 місяців тому +4

    Ko sie wakulima mnatuona watu waajab au sio😢😢😢

  • @flm1530
    @flm1530 6 місяців тому +48

    Hao ni Malaya wapo hapo

    • @paulmuhia7781
      @paulmuhia7781 6 місяців тому +1

      Makosa kuwaita hivo.

    • @user-tr8xz1fd5s
      @user-tr8xz1fd5s 6 місяців тому

      Makos gani?​ wamalay awo@@paulmuhia7781

    • @themalumbos4214
      @themalumbos4214 6 місяців тому +2

      kabixa kabisa😅😅

    • @user-gb3sf9fy2u
      @user-gb3sf9fy2u 6 місяців тому +3

      Umeniwahi nilitaka kucomment ivo ivo hao malaya tu kwanza mwanamke anayejiheshim na kujua thamana yake awez kwenda kujinadi ivo

    • @elvilamwambambale950
      @elvilamwambambale950 6 місяців тому +2

      ​plz niunganishe me na huyo kijana plz

  • @ibrahimyusuph4908
    @ibrahimyusuph4908 6 місяців тому +2

    Wa kwanza leo😊

  • @timamulituto
    @timamulituto 6 місяців тому +5

    Uyo dada ana laana ufupi una nn Mungu ampe laana uyo dada asipate mwanaume

  • @aminamwivita7690
    @aminamwivita7690 6 місяців тому +2

    Congratulations keep it up good job 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu 6 місяців тому +6

    Johar kaongea pumba😂

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 6 місяців тому +2

    Safi Kijana huna Hasira, huo ndiyo Uanaume

  • @justinealex8020
    @justinealex8020 6 місяців тому +2

    Huyo johar hatopata hata mwanaume wenda awe fara kama yeye make toka nmeanza kumuona hapo anaelekea kuchacha sasa Inaonesha tabia na tu mbov hyo ndoa ataitunza

  • @WilliamEzekiel-hv9li
    @WilliamEzekiel-hv9li 6 місяців тому +4

    Johari utazeekea apo apo😂😂

    • @theprincejr1417
      @theprincejr1417 6 місяців тому

      Huyo nikimkuta yuko na braza nitafukuza , mwanmke hajui kuongea na stara ya mwanmke

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 6 місяців тому +3

    Haipendezi kumtoa mtu kasoro kama hajakuvutia tuliza kipago

  • @saidkombo9904
    @saidkombo9904 6 місяців тому +1

    Hapo hakuna wake ni panya road tu wamejaa😂😂

  • @user-pl7hp9qz6h
    @user-pl7hp9qz6h 6 місяців тому +4

    mbona anita mwenyewe nilimama kabisa afu anajishauwa angekuwa mzuri siangelinga

  • @user-ne8zu9vs8y
    @user-ne8zu9vs8y 6 місяців тому +1

    tobhaaaaa Si shangazi yake huyu🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

  • @RebyTizo-mn6gh
    @RebyTizo-mn6gh 6 місяців тому +3

    Wote watafika mbinguni wamechoka maan hao wantk waume wenye pesa km wazazi wao wanazo

  • @user-li1fl4jp3r
    @user-li1fl4jp3r 6 місяців тому +3

    Mkulima huyu jameni siungeenda kuoa kijijin ili mlime vizur 😂😂😂😂😂😂 Pole au twende tukalime wote

    • @RosemaryPius-cs5lh
      @RosemaryPius-cs5lh 6 місяців тому

      Kwani mtu anajishugulisha na kilimo ni lazima ashike jembee????

    • @user-li1fl4jp3r
      @user-li1fl4jp3r 6 місяців тому

      @@RosemaryPius-cs5lh 😂ndio kilichomkosesha pale aliposem nimkulim yeangesem mjeda wote wangewasha taa

  • @OfficialThony-23
    @OfficialThony-23 6 місяців тому +2

    Mbona uyo johari mjuwaji San na hapo podium hatobowiiii

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia 6 місяців тому +4

    Hawa wanawake wote mafala

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 6 місяців тому +3

    Alau uyu jokhal.atoke

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 5 місяців тому

    Wasichana mungu anawaona acheni mashauzi mkulima kwani siyo mtu kwani mnakula vilivyotoka wapi! Kama siyo mkononi jamani du!

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 6 місяців тому +2

    Mmmmh hicho kidemu kinafanya kinajua ngoja nitokee Mimi nikakikatae pia

  • @czechzyamwaga1021
    @czechzyamwaga1021 6 місяців тому +2

    Wafupi wana dudu ndefu sanaaa ❤😂

  • @laurian27
    @laurian27 6 місяців тому +2

    Huyo johari atawapunguzia mashabik wa kipindi hicho hebu jaribuni kupunguza wahuni wengine wateja wetu tunawaona kabisa na mjue kbs kuwa madanguro yashaondolewa kwa sasa wanajitafutia na bahati mbaya kwakuwa ni wameshazoea kila aina ya wanaume ndo maana hawaishiwi machaguo na wanasumbua na kubaki hapo kuwaharibia kipindi.binafc gari b ntakuja hapo kama mr r lkn mtanifukuza kwa kuwachana hao malaya

  • @OmanJalan-xc8nx
    @OmanJalan-xc8nx 6 місяців тому +2

    Uyo johari namuombea asipate mume asugue Gaga apo adi akome anamdomo sana na atakeye mchagua nishida

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 5 місяців тому

      Kashamba kametoka bush kamekuja mjini kalimbukeni

  • @magreciousthomas3527
    @magreciousthomas3527 6 місяців тому +2

    Mmh mbona kama udharirishaji jmn

  • @SharifaSelemani-ix4xs
    @SharifaSelemani-ix4xs 6 місяців тому +2

    Kwani hawa wadada wanatafuta wanaume wa kuwaoa au wanatafuta wanaume wenye pesa, wadangaji wakubwa wanaboa sana wanakuwa kama malaya bwana wanachagua utasema wao wanamaisha mazuri vile hawana lolote

  • @zainaburashid1578
    @zainaburashid1578 6 місяців тому +2

    Yani nyie wadada sura mbaya hadi roho gara b shusha hao wanaojiona hapo na mtasubiri sana kupata wanaume kweli mtapata w kuwafunua tu🧐🤔

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 місяців тому +8

    Huyu Johari hawutapata mwana umme kwa tabia hizo Nakwambiya hawutapata sijuwi unajionaje

  • @user-ec9nn1kt2w
    @user-ec9nn1kt2w 6 місяців тому +2

    Kwan uyo Johar yupo kwaajr ya kulekebisha Mr right

  • @user-rm8ew8xr6q
    @user-rm8ew8xr6q 6 місяців тому +2

    Me uyo mkaka nimempend BURE aje kwng ao wte malaya tu wanajiuza t

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 6 місяців тому +1

    kwel maisha yanaenda Kasi muolewaji anachagu wanataka kuolewa na wanaume wenye pesa wakati huo wenyewe Hali mbay

  • @user-eu5xt1vb6f
    @user-eu5xt1vb6f 6 місяців тому +1

    Johar anasifa sanaa

  • @user-rl2bp8re9c
    @user-rl2bp8re9c 5 місяців тому

    Watu awaataki kulima jamani😂😂😂 jembee

  • @user-yu8fo2lk7c
    @user-yu8fo2lk7c 6 місяців тому +1

    Hii entertainment tu

  • @mkambaselemani-ej7np
    @mkambaselemani-ej7np 6 місяців тому +3

    Ukiona w,mke kaja kujianika hapo ujue anatatizo Mara kazi yake mby Mara mfup zaa wako akuow

  • @zubedamae-ro1jx
    @zubedamae-ro1jx 6 місяців тому +2

    Naomba part 2 ya huyu boy coz lastly atasema kazi yake au mnipe no. Yake

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema57 6 місяців тому +1

    Hivi hawajui kilimo kina pesa mno...basi tu hawaangalii pesa zinapatikan wapii

  • @nuratirama
    @nuratirama 6 місяців тому +3

    Yaani hawo wanawake wa mr right siyo kwamba wanampenda mtu bali huwa wanapenda pesa na kazi ya mtu si kumpenda mtu mwenyewe

  • @ayubuzayumba
    @ayubuzayumba 6 місяців тому +2

    Huyo luludiva nae hanabwana

  • @juddykamau8618
    @juddykamau8618 6 місяців тому

    Nami sijui nice nipate wangu?

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 6 місяців тому +1

    kujidhalilisha hivii mhmm

  • @amosmutasa3454
    @amosmutasa3454 5 місяців тому

    Hili ni dangulo lililo sajiliwa tuu tofauti kidgoo na aloyavunja Chalamila hili ni official

  • @zainaburashid1578
    @zainaburashid1578 6 місяців тому +4

    Huyu sio mkulima...wadada mnapenda pesa na sio mtu kwendraaaa

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 3 місяці тому

    Mmmmh kwani Mungu haajakosea kuumba muelewe hilo msijaji kuumbwa kwake

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 6 місяців тому +2

    Broo tafuta hela ufupi hutaonekana😂😂😂

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 5 місяців тому

      Alfu pesa ikiisha ufupi si unarudi palepale

    • @chulelubella2819
      @chulelubella2819 5 місяців тому

      Mtu akikupenda hawezi kuangalia kasoro zako za kimwili

  • @omanmobile5746
    @omanmobile5746 6 місяців тому +6

    Mmezalilisha mkaka wa watu malaya nyie mtazeeka mkiwa mnadanga pumbavu zenu 😏😏😏😏😏

  • @rutherick255
    @rutherick255 6 місяців тому +1

    What's wrong with míchael😂😂😂😂

  • @elvilamwambambale950
    @elvilamwambambale950 6 місяців тому +1

    Plz naomba huyo kijana mniunganishe me namempenda plz naomba mc garab

  • @giddie_barnabas
    @giddie_barnabas 6 місяців тому +1

    malaya hao

  • @Sweetnaah
    @Sweetnaah 4 місяці тому

    Ndo maan tunadanganywa kumbee😂😂😂😂😂😂😂

  • @jimmylevoyo2539
    @jimmylevoyo2539 6 місяців тому +1

    Anita kamkonyeza huyo jamaa, kashamulewa ila anazuga.😂

  • @user-tr8xz1fd5s
    @user-tr8xz1fd5s 6 місяців тому +2

    Akun mwanamuk mweny heshim Zak utamuona hap wote niwamaraya tu afu johari hatapatag bwana mimi uyu😮😮😮

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 6 місяців тому

      Atapata wapi na kiburi alichonacho mdomo dharau uso tu unaonyesha akiongea ndo usiseme

  • @sidetheboymakerchief2412
    @sidetheboymakerchief2412 6 місяців тому

    mwanaume ukiwa mfupi kazi sana

  • @yassingawaza5097
    @yassingawaza5097 2 місяці тому

    Ila kaz ngum hiii daaaa😂😂

  • @shabanimiyumbaniki6021
    @shabanimiyumbaniki6021 6 місяців тому +1

    Ufupi changamoto

  • @Itsblackghost
    @Itsblackghost 6 місяців тому +2

    Watupandishe wanaume n sis tuwazalilishe kma walivyo mshusha chalii asee

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 6 місяців тому +2

    Hamna mwanamke wa KUOA hapo wote kahaba tu wapenda pesa😂

    • @faizaahamd2052
      @faizaahamd2052 6 місяців тому +2

      Kweli Kabisa

    • @ruth1377
      @ruth1377 6 місяців тому +1

      True 👍

    • @Aplustz-mh5dx
      @Aplustz-mh5dx 6 місяців тому +1

      sasa nyie wanaume mnaenda kufanya nn kwa malaya awa wadada na waonaga mazingira ya kujiuza alafu mnaenda kutafuta ukimwi2

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 6 місяців тому +1

    Kina Anitha ni wakarimu na wapole sana na wakweli

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g 5 місяців тому

    Gara B simamia kipindi vizuri baadhi ya hao mabinti hawana kauli nzuri kwa mr right

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 6 місяців тому

    Huyu johar amnazo diva mtoen atawamalizia pepsi zenu 😂😂😂😂

  • @agnessmduma7581
    @agnessmduma7581 6 місяців тому +1

    Hapa kuna makahaba tu hamna mke wa kuoa apa kwa mwanaume anae jielewa hawezi kuja kutafuta mke apa

  • @FatumaMustafaShbani-vt1ir
    @FatumaMustafaShbani-vt1ir 5 місяців тому

    Amina ngade?? 😢😢

  • @gastondofra9151
    @gastondofra9151 6 місяців тому +1

    Mi napenda kuelewa kitu kimoja je bila kuwa nakipato ni vigumu kupata mwanamke? Wamalaya ndo wanakuja kujitafutia tu

  • @massatujeli3158
    @massatujeli3158 6 місяців тому

    😊😊😊😊huyu annitha ni mchaga

  • @jayBabakaila9883
    @jayBabakaila9883 6 місяців тому

    Huyo johari nimshenzi

  • @user-wu6dx3ho4e
    @user-wu6dx3ho4e 5 місяців тому

    Joari bado upo 😂 utazeekea apo

  • @jenniferkapama6971
    @jenniferkapama6971 6 місяців тому +1

    Johar jiangalie kwanza na uzee wako

  • @NuludiniRajabu-cb9oc
    @NuludiniRajabu-cb9oc 6 місяців тому +1

    Awo madem makuma

  • @mziwandamziwanda
    @mziwandamziwanda 6 місяців тому +1

    🙌🙌🙌😭😭😭

  • @robertkyalo5328
    @robertkyalo5328 6 місяців тому +1

    Good script!

  • @user-wu6dx3ho4e
    @user-wu6dx3ho4e 5 місяців тому

    Majina yakina Anitha ni maraya moja matata

  • @AgnesJosephBikwato
    @AgnesJosephBikwato 5 місяців тому

    Naomba niulize kwani wazee hawapo mbona vijana tu!

  • @OmanJalan-xc8nx
    @OmanJalan-xc8nx 6 місяців тому +1

    Wanawake hao hawajafundwa hao maneno machafumachafu

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 6 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂wai

  • @chongorekevin
    @chongorekevin 5 місяців тому

    Ukiwa huna kazi ya kueleweka usijisumbue kwnda hapa Kila mtu anataka maokoto

  • @thetrends472
    @thetrends472 6 місяців тому +1

    hiyo midem ni mikahaba tu

  • @keflinfuefue103
    @keflinfuefue103 6 місяців тому

    6:42

  • @fikiriisaya5803
    @fikiriisaya5803 2 місяці тому

    Hayo wa dada wote niwamalaya akuna anaye taka mme Wana taka pesa tu

  • @user-zu8dk2zo8b
    @user-zu8dk2zo8b 5 місяців тому

    Hv kwa nini nyinyi watt mnajidhalilisha hv ama kweli dunia hadaa

  • @danielstephano9723
    @danielstephano9723 6 місяців тому

    Hawako serious hao

  • @devotamutayoba9373
    @devotamutayoba9373 4 місяці тому

    Si haki kumdhalilisha mtu kimaumbile, pia nyie mnaotafuta wachumba hiyo siyo sehemu ya kupata mke wa kuoa hao ni wachunaji wanapenda pesa tu, naona wengi wanejurudia humo watoke

  • @rehemakimbesa7296
    @rehemakimbesa7296 5 місяців тому

    Hakuna mkulima hapo, anataka kucheza tu na akili za watu

  • @JiddahMohammed-dv4nr
    @JiddahMohammed-dv4nr Місяць тому

    Anita Ni mkarimu mnoo🫂♥️

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 4 місяці тому

    Muwe na maneno ya hekima wanatazama niwatu wengi

  • @user-jc2es5xt5v
    @user-jc2es5xt5v 6 місяців тому

    Mnaongeza wanawake tu alaf hawatoki😂😂😂 majivuno kabayaa wakati bikra hawana walisha kuliiiiwa hadi wakakuliwa tena lkn majivuno sasa