SIMULIZI MPYA: PENZI LA MTOTO WA TAJIRI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Athumani alijikuta nimetokea mbele ya jumba moja la kifahari. Ilimchanganya kidogo asijue nielekee upande gani . Wakati akiwa katika kujishauri mara gari la kifahari NEW Model lilisimama mbele yake baada ya muda kidogo mlango ulifunguliwa. Alikuwa binti mmoja mweupe akiwa katulia katika vazi la shule siketi yake iliyombana na kuonesha makalio yalivyotulia si masihara.

КОМЕНТАРІ • 182

  • @binthassan9191
    @binthassan9191 Рік тому +22

    😢😢kwani watu wanalala simu zikiwa nimetegeshwa UA-cam jamani..haya wacha nisikilize kigogo kipya..Ahsante Anko jay kwa kitu kipya bila kumsahau mtunzi wetu DR.AMBE 😊😊😊tunaenjoy sana

  • @ruthwaithera2650
    @ruthwaithera2650 Рік тому +12

    Waooh❤❤❤❤❤❤❤ true love.what God has put together no man can seperate them..simulizi taamu nyie😍😍🤩🥰

  • @ZinaTanzani
    @ZinaTanzani Рік тому +3

    Shukran anko Jay tupo pamoja kipenzi chetu Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo tunakupenda sana zaidi ya sana

  • @christinesifaruwa
    @christinesifaruwa Рік тому +2

    Nzur sana hongeren wapendanao anacho kipanga Mungu mwana damu hawez kukipangua glory to God

  • @FaizaSherif
    @FaizaSherif 11 днів тому

    ❤❤❤simulizi murwa kabisa...anko jay asante sana
    Mama tajii🎉🎉🎉🎉
    From London...❤❤❤❤

  • @LyidiaSilayo
    @LyidiaSilayo Рік тому +4

    Nimeipenda love story ya dr.ambe na msimuliaji wetu anko jay mungu awabariki sana❤❤❤❤❤❤

  • @ndayisabaneema9514
    @ndayisabaneema9514 Рік тому +2

    Masha Allah leo nimewahi Asante anko jy kwakutufurahisha na kwaiyo sauti yako nzuli

  • @jacklinekwamboka6245
    @jacklinekwamboka6245 Рік тому +1

    Hii imeenda I see ❤❤❤❤❤sikupiri kusikirisa dio kumalisia anko we ni kindume kwa kuunganisha manenos
    Asant Ambe❤❤❤❤

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga4798 Рік тому +7

    Wow upendosiku zote hushinda hongera kwa mtunzi storry😢 nzuri sana. Shukrani anko jay❤

  • @susansamira8137
    @susansamira8137 Рік тому +2

    MashaaAllah simulizi ya mafunzo sana wazazi tuheshimu mawazo ya wenetu

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Рік тому +2

    Good 👍 san❤❤ tunakupenda Sana mpendwa wetu

  • @aishahassan-cl2zf
    @aishahassan-cl2zf Рік тому +4

    Mood on now thank you Anko JAy 🥰😍😍 ur bless my day 🥰❤️❤️

  • @ReginaMwenzelatifah
    @ReginaMwenzelatifah Рік тому +2

    Jamani simulizi ninzuri sana jamani kumbe mapenzi yapo kweli wow

  • @bijouxbigaya2116
    @bijouxbigaya2116 Рік тому

    Asante saana Anko jeyi simulizi nzuri tena haina makubwa kwakuwa kunazigine simulizi huwezi sikia na watoto kwa kweli asante from Burundi

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 Рік тому +4

    Mashallah simulizi mzuri haina matusi❤

    • @Yaslahallyabdulla
      @Yaslahallyabdulla 9 місяців тому +1

      Kuna watu ndo wanapenda asa simulizi za matusi mana sijuw wanapenda kujitia izo ham loo!!!

  • @olyoly9992
    @olyoly9992 Рік тому +4

    Woow ukipendacho roho hula nyama mbichi mapenzi kikohozi asante anko jay kwa simlizi hii tamu yenye mafunzo ndani yake

  • @Salma-zi6hn
    @Salma-zi6hn Рік тому

    Mh mashalah bby boy simulizi tamu sn mungu azidishe kipajii chako

  • @JamesRoberty-m2w
    @JamesRoberty-m2w Рік тому

    Ni simuriz nzur xn kwel mapenz ya yananguvu ❤❤❤❤❤❤

  • @Pretty22750
    @Pretty22750 Рік тому +1

    Big salute to Dr Ambe n mr Jay 🔥🔥❤️❤️❤️🥇

  • @حمدانالحويطي-م8ك

    Anko Jay na dr ambe ahsateni sana na hongereni kwa shughuli zenu safi

  • @ashaabdalla924
    @ashaabdalla924 Рік тому +1

    Utu bora kuliko kitu shukran anko J ❤❤❤❤

  • @buru1235
    @buru1235 Рік тому +1

    Wow am proud of you guys that is true love Mashallah ❤

  • @NeyJackson-bd5fs
    @NeyJackson-bd5fs Рік тому

    ❤❤❤ love story zuri sana saruti kwako Ako jay

  • @girukwishakaclaudine5374
    @girukwishakaclaudine5374 Рік тому +4

    Yan kwakweli ni 🔥 🤭😂🤣🤣

  • @PhoebeWafula-d6c
    @PhoebeWafula-d6c Рік тому

    Wow,wow I,lve the story

  • @Syviahalex
    @Syviahalex Рік тому

    Asante Kwa simulizi ingawaje sijaliskia , Wacha nijieke vizuri, niskie utamu wa simulizi,taratiiiiibu😂

  • @HellenIssa-nc7sk
    @HellenIssa-nc7sk 9 місяців тому

    Big up sana anko jay

  • @selfamitche3530
    @selfamitche3530 Рік тому

    Mmmmmh, shukran Mr jay

  • @mudjaidihassani6735
    @mudjaidihassani6735 Рік тому

    Napenda simulizizako

  • @rosalienahimana6287
    @rosalienahimana6287 Рік тому +2

    Thank you Anko Jay may God richly bless you abundantly ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI
    @FURSA-REAL-HERO-VIPODOZI Рік тому +1

    Saaaafi

  • @aumuelly2909
    @aumuelly2909 Рік тому

    Mashallwah Mr mabrook

  • @dalilaamiri
    @dalilaamiri Рік тому +1

    Shukuran ankojay

  • @VictoriaBrown-wb7nb
    @VictoriaBrown-wb7nb Рік тому

    Nice story 😘😘😘

  • @Zinbo-pc9uu
    @Zinbo-pc9uu Рік тому

    Nice story❤❤❤

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Рік тому +6

    Anko Jay umejuwa kututeka na simulizi zako aise ni Kutwa na simulizi zako

  • @fatimafoaani2263
    @fatimafoaani2263 Рік тому

    Asante sana anko Jay kwa kibao kipya ubarikiwe sana ❤❤❤❤

    • @fatimafoaani2263
      @fatimafoaani2263 Рік тому

      Anko Jay mambo za saizi kaka yetu waendeleaje, leo umejua kutuweza ata salamu akuna leo hope your fine, siku leo imekuwa kuaje kwako?

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Рік тому +1

    Nimejifunza kitu Ankojay kwenye maisha. Hongera Sana ww na timu yako nawapenda wote jamani family yako pambana baba usitishwa na walimweng mmen mungu ndio mtetezi wa kila wanadamu tunakupenda Sana ❤❤

  • @WiriamJifti-ff4bl
    @WiriamJifti-ff4bl Рік тому

    leo sijachelewa nikewai japo sijawa wa kwanza❤❤❤❤

  • @DalinaSamweli-ji3fc
    @DalinaSamweli-ji3fc Рік тому

    Anko jay asante kwa kitu kipy

  • @MinaBuguf
    @MinaBuguf 15 днів тому +1

    Daah kweli watu amlali umu ndani anko jay nambie mganga wako maana tusipo sikia sauti yako siku aiendi😂😂

  • @CeciliaChuwa-q2k
    @CeciliaChuwa-q2k Рік тому

    Utu ndio kila kitu asant ank j 😊

  • @janetkazungu7795
    @janetkazungu7795 Рік тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nzuri sana jamanii

  • @MonicaMahonga
    @MonicaMahonga 9 місяців тому

    Nzur san

  • @GraceShansila-f1f
    @GraceShansila-f1f Рік тому

    Nipo tayari kusikiliza na subiri Anko jay❤❤

  • @brigdk
    @brigdk Рік тому

    Shukurani Anko jay 🙏🙏🙏🙏

  • @hawasaid2670
    @hawasaid2670 Рік тому

    Shukran ankojay

  • @MargretMumbi-o8b
    @MargretMumbi-o8b Рік тому

    Nice job

  • @sophiahassan-kn7ov
    @sophiahassan-kn7ov Рік тому

    😅aaahhhaaa😂we Anko kwani mm nimepokea notification let😢,ok sawa nipeni mauwa basi

  • @wizohpuzzle6912
    @wizohpuzzle6912 10 місяців тому

    Sana tu❤❤❤

  • @isaac.hakizimana
    @isaac.hakizimana Рік тому

    This one’s gon’ be good i see🔥

  • @rachypsalms2869
    @rachypsalms2869 Рік тому

    Tamu sana🥰🥰🥰

  • @rukiaikrima5639
    @rukiaikrima5639 Рік тому

    Chombo ichooo nakisubir kwa ham😋🥰

  • @justinebitariho1129
    @justinebitariho1129 Рік тому

    Good one.

  • @zuenahz5514
    @zuenahz5514 Рік тому +2

    Ila jamani umaskin mbaya eeeh mungu mpe kila mtu riziki 😢

  • @JamesRoberty-m2w
    @JamesRoberty-m2w Рік тому

    Kwer mapenz yana nguvu xn salut sna

  • @peninahmmbone4648
    @peninahmmbone4648 Рік тому

    Asante sana Anko J listening 🎧🎧 from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with much Love ❤❤❤

  • @Amina0098-i5t
    @Amina0098-i5t Рік тому

    Asante Anko jy jana nimekuwa sina laha kweli 😢😢😢

  • @rahmaayubu2514
    @rahmaayubu2514 Рік тому

    Leo nimewahi anko j MUNGU azidi kukutunza anko wetu

  • @fatumamuhoma5902
    @fatumamuhoma5902 Рік тому +2

    Matajiri wengine bwana 😢😢 kaka wawatu hana kosa ila toto lao daaa

  • @mkasiseif4587
    @mkasiseif4587 Рік тому +1

    Watu washarogwa tunalinda cm kwa simulizi

  • @RoseMnubi-ce2jb
    @RoseMnubi-ce2jb Рік тому

    Kaka unauti Zuri jaman

  • @mimi_Elikar
    @mimi_Elikar Рік тому +1

    Naaam ! Mani dio nanza kuskiza story baada ya siku nzima ya kazi 😅😅

  • @ZaiZainabu-o4p
    @ZaiZainabu-o4p 7 місяців тому

    Ancojey miss you msela plez

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 Рік тому

    Dr Amber

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Рік тому

    Fupi ila tamuu anko Jay ❤❤❤

  • @agnesagnes5288
    @agnesagnes5288 Рік тому

    Hope cjachelewa xn team ya ankoj mapesa 😂😂 pamoja ankoj

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Рік тому

    Duu hii kali ya malezi

  • @SophiaHuseni-py4kf
    @SophiaHuseni-py4kf Рік тому

    Asant San anko jey

  • @RehemaLadislaus-qn5up
    @RehemaLadislaus-qn5up Рік тому

    Tam sana haina matusi

  • @tabiasalum3381
    @tabiasalum3381 Рік тому

    Habar zako vp leo akuna simuriz😢😢

  • @lulusenzia4807
    @lulusenzia4807 Рік тому

    Uncle Jay penda wewe sana

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Рік тому +4

    MTOTO WA TAJIRI jamani ankojay tunamsubili hapa ili afike halafu jutuwe yaliomo🤣🥰🥰🥰

  • @agathekibobe
    @agathekibobe Рік тому

    Ankojey tu saidiye na biti lisan sehemu ya 22

  • @AminaSlumu-sf1yq
    @AminaSlumu-sf1yq Рік тому

    Anko j ukitoka kwa athumani nitafutie ya selemani please

  • @AdelinaChales
    @AdelinaChales Рік тому

    yesu awepamoja nawe

  • @DesangeKalonge
    @DesangeKalonge Рік тому

    ❤❤❤mahallah

  • @Nuru8700
    @Nuru8700 Рік тому

    Leo mapema

  • @blackangel.58
    @blackangel.58 2 місяці тому

    Haya mapenzi ni kwenye simuluzi tu kihalisia hakuna😂😂😂

  • @doricedeus7587
    @doricedeus7587 Рік тому

    Nimekuwa wa katikati ya mwisho 😜😜😜😜

  • @lidiakaminyoge468
    @lidiakaminyoge468 Рік тому

    Haya sasa ngoja tusikilize

  • @fadhaluhembwe
    @fadhaluhembwe Місяць тому

    Tunataka dayna

  • @GraceShansila-f1f
    @GraceShansila-f1f Рік тому

    Leo nimekuwa wa kwaza😅

  • @رملهرمله-ر6ك
    @رملهرمله-ر6ك Рік тому

    Ameen ❤❤❤

  • @JumaDarweshi
    @JumaDarweshi Рік тому

    Umekitahid kaka

  • @MwanajumaHamisi-yj5xv
    @MwanajumaHamisi-yj5xv Рік тому

    Thanks ankojay 🥰🥰

  • @رحيمهزيزو
    @رحيمهزيزو Рік тому +1

    Wee huyu mdada nimwamba imara😂😂😂😂

  • @nasrarajabu4260
    @nasrarajabu4260 Рік тому

    Chombo kipyaaa eee❤

  • @SalhiaSaid-i1h
    @SalhiaSaid-i1h Рік тому

    🔥🔥❤️❤️

  • @SharifahJuma-o7p
    @SharifahJuma-o7p Рік тому

    🎉🎉🎉

  • @حمدانالحويطي-م8ك

    penzi la dhati hua na mitihani na majaribu pia misukosuko bahama mateso na changamoto nyingi pia mahasidi wabaya wasio penda kuiona Mali ya wapendanao ikielea baharini ila nia yao na mawazo yao mabovu hupenda tuu kuwakatizia na kuifupisha safari

  • @sabinamasangwa293
    @sabinamasangwa293 Рік тому

    Anko kusema ukweli2 kwenye hii simulizi ulikuwa umechoka saana asee

  • @espererancesudi7600
    @espererancesudi7600 Рік тому

    To be continued

  • @Yaslahallyabdulla
    @Yaslahallyabdulla 9 місяців тому

    Ni nzur ila malezi mengine yanatumbukia nyongo wazazi mtoto amekaa kama kuku wa mayai

  • @منىعروسي
    @منىعروسي 6 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ataamansi8941
    @ataamansi8941 Рік тому

    97% ni yakusadikika (alinacha 😇🤔🤗🙄🙆😔) LISSA MWALA UKO WAPI, hebu nawe shuhudia haya 💤🙀😿 Looo

  • @SheladSalum
    @SheladSalum Рік тому

    ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @avelinabaluhya2804
    @avelinabaluhya2804 Рік тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂akili za kushikizwa😂😂😂

  • @stellahrobert5
    @stellahrobert5 Рік тому

    Ako j wewe ninoma sana

  • @AbduhKareem-hi7sg
    @AbduhKareem-hi7sg Рік тому

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥