Ukweli nikwamba wayahudi wanpigana vita na hizblah,wahusi na irana lakini hawa wote hawashambuli raia ila Israeli anashambulia raia tofauti nihiyo na vyombo vya magharibi kutoa habari lakini jueni hitimisho lipo toka kwenye maandiko matakatifu.samahani kwa watu nitakao wakwaza na wala sio kama nafahamu sana ila nauwelewa
Vita ina madhara pande zote hata waisrael wanakufa ingawa hawasemi. Lakini pia kumbuka tarehe 7 hamas walipovamia israel waliua watu wengi sana japokuwa israel huwa hawapendi kutangaza uharisia .ndio maana mtu anayeelewa anajitahidi kukwepa vita kwa sababu vita ina madhara makubwa sana. Tuwaombee israel,palestina na Lebanon waache kupigana.
Amina
Amen 🙏🙏🙏
🙏
Amen and Amen
Uko vzr mtumishi Yan apo kuunda gari uko vzr juz kuna dogo ametengeneza redio na ina freqnc vzr ila ajamaliza ata form 4
Tunashukuru baba askofu kwamafundisho haya tutawezaje kufatiriya chuo hicho chakutafri maandiko tukiwa inje ya tanzaniya
TAIFA TEULE NI GENOCIDE STATE WAGALA 😢😢😢😢😢😢
Ukweli nikwamba wayahudi wanpigana vita na hizblah,wahusi na irana lakini hawa wote hawashambuli raia ila Israeli anashambulia raia tofauti nihiyo na vyombo vya magharibi kutoa habari lakini jueni hitimisho lipo toka kwenye maandiko matakatifu.samahani kwa watu nitakao wakwaza na wala sio kama nafahamu sana ila nauwelewa
Vita ina madhara pande zote hata waisrael wanakufa ingawa hawasemi. Lakini pia kumbuka tarehe 7 hamas walipovamia israel waliua watu wengi sana japokuwa israel huwa hawapendi kutangaza uharisia .ndio maana mtu anayeelewa anajitahidi kukwepa vita kwa sababu vita ina madhara makubwa sana. Tuwaombee israel,palestina na Lebanon waache kupigana.
@@Neema-qm9kkkwani hawa waisrael si wanawapiga hata WAGALATIA 😢😢😢😢😢hujui wapalestina pia ni wakristo
Wagalatia hawapo Tena dunian
@@OmmyJames-xn7jiunaelewa maana ya Garatia ?
Hamna kitu hapo jamaa hajui ila mjivuni tu
Nni